نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Enea Marko @eneamarko0
    2024-06-14 12:57:56 ·

    Angalizo: *Kuwa makini na uvumilivu wako kwani uvumilivu na kupoteza muda vinakaribiana sana ,,, Nakupenda Sana
    Angalizo: 🌀 *Kuwa makini na uvumilivu wako kwani uvumilivu na kupoteza muda vinakaribiana sana ,,, Nakupenda Sana 💘💓👨‍👦‍👦🤰
    Like
    Love
    4
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·468 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Lucas Sasa15 @Jump15 أضاف صورة
    2024-06-14 13:06:51 ·
    Kwee kwee kweeeh
    Kwee kwee kweeeh🤣
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·612 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • E_Play 🎧 @Elicom تحديث صورة الغلاف
    2024-06-14 14:05:45 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·238 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Jay Drama @Jay_drama_on_the_beats تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-06-14 14:29:07 ·
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·216 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Lucas Sasa15 @Jump15 أضاف صورة
    2024-06-14 14:31:26 ·
    🙏🥺
    Love
    Sad
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·610 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Masunga Daniel @Electrician أضاف صورة
    2024-06-14 14:31:55 ·
    Maisha ni kupambana
    Maisha ni kupambana
    Like
    2
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·584 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Ivan Mtanzania @Ivanmtanzania تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-06-14 14:49:16 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·504 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Ivan Mtanzania @Ivanmtanzania
    2024-06-14 14:52:46 ·
    Hellow guys how are you
    Hellow guys how are you
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·520 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Nnang'umbe Ahmadi @ungurudigital تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-06-14 15:36:46 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·604 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Social Pop @Socialpop1
    2024-06-14 16:02:24 ·
    HEBU LEO TUJIFUNZE KITU KWANZA Mwanamke mmoja mrembo aliyachoka maisha ya ndoa na alitaka kumuua mume wake.

    Asubuhi moja alimkimbilia mama yake na kumwambia "mama nimemchoka mume wangu siwezi tena kuvumilia upuuzi wake nataka kumuua lakini naogopa Sheria ya nchi itanifunga, tafadhali unaweza kunisaidia?"

    Mama yake akajibu:

    - Ndio binti yangu naweza kukusaidia, lakini, kuna kazi ndogo utatakiwa kufanya.

    Binti akauliza "kazi gani? Niko tayari na niko tayari kufanya kazi yoyote ili tu huyu mwanaume aondoke kwenye maishayangu"

    Sawa, mama yake akakubali,

    1..Itabidi urejeshe amani kwanza, ili mtu asije akakushuku siku akikutwa amekufa.

    2.. Itabidi ujirembe ili uonekane binti na wa kuvutia kwake

    3.. Unatakiwa kumtunza vizuri na kuwa mwenye shukrani kwake

    4.. Unatakiwa kuwa mvumilivu, mwenye upendo na usiwe na wivu sana, uwe na masikio zaidi ya kusikiliza, kuwa na heshima na utii zaidi.

    5. Tumia pesa yako kumuhudumia na usikasirike hata anapokosa pesa ya kununua chochote nyumbani..

    6. Usipaze sauti yako dhidi yake bali penda Amani na upendo vitawale ili siku atakapokufa, watu wasikufikirie vibaya waone jinsi gani umempoteza mtu uliyekuwa unampenda...

    " Je, unaweza kufanya yote hayo?". Mama yake aliuliza.

    "Ndiyo naweza." Alijibu

    "Sawa"

    "Chukua unga huu na uwe unamwekea kila siku kwenye chakula chake, utakuwa unamuua polepole."

    Baada ya siku 30 yule mwanamke alirudi kwa mama yake na kusema.

    "Mama sina nia ya kumuua mume wangu tena. Kwa sasa ninampenda kwa sababu amebadilika kabisa, sasa ni mume mtamu sana kuliko nilivyofikiria.Je! nifanye nini kuzuia sumu isimuue? Tafadhali nisaidie mama." Aliomba kwa sauti ya huzuni.

    Mama akajibu;

    "Usijali binti yangu. Nilichokupa ni Unga wa kawaida tu. Hautamuua. Wewe ndiye ulikuwa sumu ambayo ilikuwa inamuua mumeo polepole kwa mikwaruzano na chuki uliyokuwa umeibeba. Ulipoanza kumpenda, kumuheshimu na kumthamini, ulimwokoa"
    HEBU LEO TUJIFUNZE KITU KWANZA Mwanamke mmoja mrembo aliyachoka maisha ya ndoa na alitaka kumuua mume wake. Asubuhi moja alimkimbilia mama yake na kumwambia "mama nimemchoka mume wangu siwezi tena kuvumilia upuuzi wake nataka kumuua lakini naogopa Sheria ya nchi itanifunga, tafadhali unaweza kunisaidia?" Mama yake akajibu: - Ndio binti yangu naweza kukusaidia, lakini, kuna kazi ndogo utatakiwa kufanya. Binti akauliza "kazi gani? Niko tayari na niko tayari kufanya kazi yoyote ili tu huyu mwanaume aondoke kwenye maishayangu" Sawa, mama yake akakubali, 1..Itabidi urejeshe amani kwanza, ili mtu asije akakushuku siku akikutwa amekufa. 2.. Itabidi ujirembe ili uonekane binti na wa kuvutia kwake 3.. Unatakiwa kumtunza vizuri na kuwa mwenye shukrani kwake 4.. Unatakiwa kuwa mvumilivu, mwenye upendo na usiwe na wivu sana, uwe na masikio zaidi ya kusikiliza, kuwa na heshima na utii zaidi. 5. Tumia pesa yako kumuhudumia na usikasirike hata anapokosa pesa ya kununua chochote nyumbani.. 6. Usipaze sauti yako dhidi yake bali penda Amani na upendo vitawale ili siku atakapokufa, watu wasikufikirie vibaya waone jinsi gani umempoteza mtu uliyekuwa unampenda... " Je, unaweza kufanya yote hayo?". Mama yake aliuliza. "Ndiyo naweza." Alijibu "Sawa" "Chukua unga huu na uwe unamwekea kila siku kwenye chakula chake, utakuwa unamuua polepole." Baada ya siku 30 yule mwanamke alirudi kwa mama yake na kusema. "Mama sina nia ya kumuua mume wangu tena. Kwa sasa ninampenda kwa sababu amebadilika kabisa, sasa ni mume mtamu sana kuliko nilivyofikiria.Je! nifanye nini kuzuia sumu isimuue? Tafadhali nisaidie mama." Aliomba kwa sauti ya huzuni. Mama akajibu; "Usijali binti yangu. Nilichokupa ni Unga wa kawaida tu. Hautamuua. Wewe ndiye ulikuwa sumu ambayo ilikuwa inamuua mumeo polepole kwa mikwaruzano na chuki uliyokuwa umeibeba. Ulipoanza kumpenda, kumuheshimu na kumthamini, ulimwokoa"
    Like
    Love
    Sad
    17
    · 7 التعليقات ·0 المشاركات ·656 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (5481-5490 من 29296)
  • «
  • السابق
  • 547
  • 548
  • 549
  • 550
  • 551
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين