• Music Keyboard
    Music 🎶🎶 Keyboard
    Like
    Love
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·505 Views
  • Truly let her go,
    Truly let her go,
    Like
    Love
    Yay
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·477 Views
  • Like
    Love
    Wow
    6
    · 3 Comments ·0 Shares ·486 Views
  • Yammmmu yammmmmu
    Yammmmu yammmmmu😋😋😋😋🔥
    Haha
    Yay
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·423 Views
  • Wapi unaeza pata mosi mtamu Kama huu
    Wapi unaeza pata mosi mtamu Kama huu
    1
    0
    1
    Like
    Love
    Yay
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·387 Views
  • Turejee edeni tumieni matunda na mboga mboga Kwa afya njema ya mwili na akili watu wa Mungu
    Turejee edeni tumieni matunda na mboga mboga Kwa afya njema ya mwili na akili watu wa Mungu
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·1 Shares ·245 Views
  • Wa Mji kasoro bahari tujuane kwenye comment
    Wa Mji kasoro bahari tujuane kwenye comment😂😂
    Like
    Love
    5
    · 4 Comments ·0 Shares ·433 Views
  • Love
    Haha
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·195 Views
  • wanamke ni utukufu wa mwanaume kw babu ametoka kwenye ubavu wake. wanamke bora ni huyu hapa:

    Mwenye heshima kwa wadogo mpaka kubwa. (USAFI WA MWILI, MATENDO & OMO) o anatukana tu ovyo ovyo halafu we aenda kuoa, atakuja kutukana wazazi ko.

    Zaharibu watoto, mtoto akikosea amtukana matusi makubwa makubwa ku atakutia aibu mbele za watu.

    Anaekubali kuwa chini ya mme wake. <WELI UNAUMA)

    apa naongea hasa na wasomi.

    gombana kidogo tu atasema kila mtu mukue hamsini zake, wezi kuwa chini ya mwanaume kwa

    ingizio cha kumpanda kichwani.

    Muelewa wa elimu ya mambo ya JenyeEnzi Mungu vizuri. (MCHAMUNGU) kikosea hapa utalogwa wewe na famili Ko na wote mtakuwa chini yake.

    Muwazi na mkweli na mwenye upendo. Laonganisha familia.

    takusaidia kufahamu historia yake vizu ana kuna wengine wakisikia kuwa mke Kuwaga hivi au vile/ au ukijua kwa munguzi wako tu kuwa mkeo alipita pa na pale, ila yeye hakukuambia uma sana (ila wengi hujifanya yakale mepita ila moyoni mwao sivyo).Inauma a sababu umegundua mwenyewe ila ve hakukuambia (unaanza kujiuliza, anini hakukumbia kitu muhimu kama ho, kwanini alificha?). Ni vizuri ahamu historia ya mwenzio hata kama mbaya au inauma.

    Asiyehangaika na dunia hii kwa lolote (ULEVI,UMBEA, USENGENYAJI, STAREHE) siyependa starehe, asiyetumia kilevi apo wanawake walevi hukataa kuwa vi huvunja ndoa au mahusiano) ko hivi hata kama mwanaume ni

    uhuni na mlevi wa kutupwa, usidhani amba atachagua mtu wa aina hiyo, akupitia tu na kukuacha). fano: Unaweza kupata tom-boy (Japo vizuri kuwa tom-boy) na hawa huwa nawake waelewa sana na akija kuamu acha utom boy kwa umri fulani hapa -70% anakuwaga ni mke wa juu sana, wa wanawake ni ngumu kudanganywa hujua nini ampe mumewe na familia a ujumla, na maranyingi huwa na oyo meupe sana isiyohifadhi chuki,

    mchukiza anakwambia pohapo...wengiwao sio wasengenyaji n acha tabia zote hasa akishaanza kuwa ce. Achana na wale matom boy wahuni wavuta bhangi.

    Asiyependa matumizi ya vipodozi jichubua) wala vitu feki (kucha za Dandika na mawigi), na vitu vya kuvaa ma hereni, bangili, vikuku n.k. (NATURAL asikuletee mapepo na ibada za miung umbani, mikosi na mabalaa, hasa ajini mahaba.

    wenye quality na quantity unayoitaka

    we ya kimwili, asikulazimishe mtu ili kes e uje ujibu mwenyewe kwa Muumba ko kwa habari ya zinaa na kutowajibika wanya, lips, kiuno, miguu, shingo, abega, mgongo, hips, nywele au hata Ja.

    siye lazimisha ndoa ifanyike haraka. HAMIANENI VIZURI KWA MDA/ACHA JRUPUKAJI & UPELEKESHWAJI)

    "anawake wanaopenda ndoa, hupenda a, hupenda harusi halafu ndoa

    washinda. aepusha kuuziwa mbuzi kwenye gunia.

    sa kwa wale wasiopenda wanawake liozaa.

    siye na tamaa, asiyeyumbishwa na

    ali au anayekataa kujamiiana kabla ya α.

    uyu ana msingi mzuri wa maisha na

    milia yako ya baadae itakuwa bora, yu ndio yule hasa kifo kitawatenganish

    Wewe mwenyewe mtafutaji mke uwe kichwa kizuri.

    io upoupo tu halafu unatafuta mke, ewe kwanza, jitambue na amua. Acha uata mkumbo.

    WISHO:

    ha kudharau wanawake, nao wana oyo na haki kama wewe, usichague ality wakati wewe mwenyewe huna

    ality, utaleta shida tu duniani. Bahati uri au mbaya ni kwamba, msipopatanc

    mkeo hata ufanyeje maombi yako yatakubaliwa. Mungu huwasikia sana o watu usije ukasema kuwa mwanamk

    yu ni mikosi, kumbe mikosi umeileta we mwenyewe kwa kumuonea venzio.

    PETRO 3:7

    adhalika ninyi waume, ishini na

    ake zenu kwa kuwahurumia,

    kitambua ya kuwa wao ni aifu na hivyo muwape heshima va maana ninyi ni warithi

    moja nao wa neema ya uzima. nyeni hivyo ili sala zenu

    sizuiliwe.
    Love
    1
    · 2 Comments ·0 Shares ·438 Views
  • Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni amesema kuanzia July, 2023 hadi April, 2024 jumla ya vitambulisho 7,698,819 vimezalishwa na hivyo kufanya jumla ya vitambulisho vilivyozalishwa kufikia 20,578,325 sawa na asilimia 99 ya idadi ya Namba za Utambulisho 20,701,956 zilizozalishwa ambapo ametoa rai kwa Wananchi wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao vya Taifa kufika katika ofisi za Serikali za Mitaa walipojiandikisha kwa ajili ya kuvichukua.

    Akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025, Masauni amesema “Katika mwaka 2024/25 Shilingi bilioni 2.9 zimetengwa kwa ajili ya kusajili na kutambua Watu 2,389,290 wenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa kila Mwananchi mwenye namba ya Utambulisho Tanzania Bara na Zanzibar anapata Kitambulisho cha Taifa”

    “Hadi Aprili, 2024 NIDA imeunganisha Taasisi 21 katika mfumo wa usajili na utambuzi, hivyo kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 107, katika mwaka wa fedha 2024/25 jumla ya Taasisi 35 za umma na binafsi zinatarajiwa kuunganishwa katika mfumo huo ili kuwezesha ushirikishanaji wa taarifa na hivyo kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii, naomba nitumie fursa hii kuwahamasisha watoa huduma kujiunga na Mfumo wa NIDA ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi za Wateja”
    #MillardAyoUPDATES
    Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni amesema kuanzia July, 2023 hadi April, 2024 jumla ya vitambulisho 7,698,819 vimezalishwa na hivyo kufanya jumla ya vitambulisho vilivyozalishwa kufikia 20,578,325 sawa na asilimia 99 ya idadi ya Namba za Utambulisho 20,701,956 zilizozalishwa ambapo ametoa rai kwa Wananchi wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao vya Taifa kufika katika ofisi za Serikali za Mitaa walipojiandikisha kwa ajili ya kuvichukua. Akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025, Masauni amesema “Katika mwaka 2024/25 Shilingi bilioni 2.9 zimetengwa kwa ajili ya kusajili na kutambua Watu 2,389,290 wenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa kila Mwananchi mwenye namba ya Utambulisho Tanzania Bara na Zanzibar anapata Kitambulisho cha Taifa” “Hadi Aprili, 2024 NIDA imeunganisha Taasisi 21 katika mfumo wa usajili na utambuzi, hivyo kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 107, katika mwaka wa fedha 2024/25 jumla ya Taasisi 35 za umma na binafsi zinatarajiwa kuunganishwa katika mfumo huo ili kuwezesha ushirikishanaji wa taarifa na hivyo kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii, naomba nitumie fursa hii kuwahamasisha watoa huduma kujiunga na Mfumo wa NIDA ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi za Wateja” #MillardAyoUPDATES
    Like
    Love
    12
    · 4 Comments ·0 Shares ·1K Views