• Chama wa msimu gani kwako alikuwa bora sana?
    Chama wa msimu gani kwako alikuwa bora sana?
    Like
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·71 Views
  • usilolijua lisikushangaze lisikupumbazEE fanya kitu UwashangazEE
    kam una mbawa toa upaEE maisha nisafari chukua kiti ukaEE
    sema nae akila nauli achana NaEE Usipigane naEE
    usilolijua lisikushangaze lisikupumbazEE fanya kitu UwashangazEE kam una mbawa toa upaEE maisha nisafari chukua kiti ukaEE sema nae akila nauli achana NaEE Usipigane naEE
    Like
    Love
    3
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·83 Views
  • sitaki kutolea mfano jamani
    🤣🤣🤣 sitaki kutolea mfano jamani
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·72 Views ·1
  • amin leo tofauti na jaNA mangap magumu yamewezekaNA
    wangap walishindwa wakapambaNA adi isipo kuwa leo kesho itawezekaNA
    kwani wangap waliona sifAI ata ningeogea jiki wangeniona sing'AI
    mungu akinipa mkate akuninyima na chAI dunia duara inazunguka ndo maana sikAI
    amin leo tofauti na jaNA mangap magumu yamewezekaNA wangap walishindwa wakapambaNA adi isipo kuwa leo kesho itawezekaNA kwani wangap waliona sifAI ata ningeogea jiki wangeniona sing'AI mungu akinipa mkate akuninyima na chAI dunia duara inazunguka ndo maana sikAI
    Like
    Love
    3
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·73 Views
  • Its true god creator devil predator.. Its you unapenda kutaka ukinifata utadaTA..
    Kwangu succesed ni fasta six finger ni chata.. God is good devil silent the killer is pastor..



    Its true god creator devil predator.. Its you unapenda kutaka ukinifata utadaTA.. Kwangu succesed ni fasta six finger ni chata.. God is good devil silent the killer is pastor..
    Like
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·496 Views
  • Eneo ambalo Mnyama atakwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu 2024/25.

    Tarehe ya kuanza kambi itatoka hivi karibuni. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Eneo ambalo Mnyama atakwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu 2024/25. Tarehe ya kuanza kambi itatoka hivi karibuni. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    3
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·274 Views
  • kuna mamb naya fanya hadi shetani ana sema sina akili timamu..
    nikitaka kuangalia X mpak nikanunue condom..
    kuna mambo mengi uwa natafakali..
    hv mama mchungaj naye anaijua Dogg style...


    kuna mamb naya fanya hadi shetani ana sema sina akili timamu.. nikitaka kuangalia X mpak nikanunue condom.. kuna mambo mengi uwa natafakali.. hv mama mchungaj naye anaijua Dogg style...
    Like
    2
    · 2 Commenti ·0 condivisioni ·65 Views
  • Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA
    Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA
    Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA
    Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA

    Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA
    Like
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·453 Views
  • Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA
    Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA
    Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA
    Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA

    Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA
    Like
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·453 Views
  • KuamiNI mzungu yupo juu zaidi yako daima utabaki nyuma kiupEO
    Na ukiamiNI mungu yupo juu ya mzungu hapo hautokua mtumwa wa ukoloni mambo lEO
    Ukifikili walitunyonya kisa wakatupa diNI ina maana dini zao vitabu vyao elimu zAO tafuta asali yako muafriKA
    Ngumu kuelewa hii movie tumekuta mwishoni sisi ni Samson tunatakaje haki kwa farAO tunapewa shuka muda wa kuamKA
    KuamiNI mzungu yupo juu zaidi yako daima utabaki nyuma kiupEO Na ukiamiNI mungu yupo juu ya mzungu hapo hautokua mtumwa wa ukoloni mambo lEO Ukifikili walitunyonya kisa wakatupa diNI ina maana dini zao vitabu vyao elimu zAO tafuta asali yako muafriKA Ngumu kuelewa hii movie tumekuta mwishoni sisi ni Samson tunatakaje haki kwa farAO tunapewa shuka muda wa kuamKA
    Like
    4
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·323 Views