
-
-
usilolijua lisikushangaze lisikupumbazEE fanya kitu UwashangazEE
kam una mbawa toa upaEE maisha nisafari chukua kiti ukaEE
sema nae akila nauli achana NaEE Usipigane naEEusilolijua lisikushangaze lisikupumbazEE fanya kitu UwashangazEE kam una mbawa toa upaEE maisha nisafari chukua kiti ukaEE sema nae akila nauli achana NaEE Usipigane naEE -
sitaki kutolea mfano jamani🤣🤣🤣 sitaki kutolea mfano jamani
-
amin leo tofauti na jaNA mangap magumu yamewezekaNA
wangap walishindwa wakapambaNA adi isipo kuwa leo kesho itawezekaNA
kwani wangap waliona sifAI ata ningeogea jiki wangeniona sing'AI
mungu akinipa mkate akuninyima na chAI dunia duara inazunguka ndo maana sikAIamin leo tofauti na jaNA mangap magumu yamewezekaNA wangap walishindwa wakapambaNA adi isipo kuwa leo kesho itawezekaNA kwani wangap waliona sifAI ata ningeogea jiki wangeniona sing'AI mungu akinipa mkate akuninyima na chAI dunia duara inazunguka ndo maana sikAI -
Its true god creator devil predator.. Its you unapenda kutaka ukinifata utadaTA..
Kwangu succesed ni fasta six finger ni chata.. God is good devil silent the killer is pastor..
Its true god creator devil predator.. Its you unapenda kutaka ukinifata utadaTA.. Kwangu succesed ni fasta six finger ni chata.. God is good devil silent the killer is pastor.. -
Eneo ambalo Mnyama atakwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu 2024/25.
Tarehe ya kuanza kambi itatoka hivi karibuni. #WenyeNchi #NguvuMojaEneo ambalo Mnyama atakwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu 2024/25. Tarehe ya kuanza kambi itatoka hivi karibuni. #WenyeNchi #NguvuMoja -
kuna mamb naya fanya hadi shetani ana sema sina akili timamu..
nikitaka kuangalia X mpak nikanunue condom..
kuna mambo mengi uwa natafakali..
hv mama mchungaj naye anaijua Dogg style...
kuna mamb naya fanya hadi shetani ana sema sina akili timamu.. nikitaka kuangalia X mpak nikanunue condom.. kuna mambo mengi uwa natafakali.. hv mama mchungaj naye anaijua Dogg style... -
Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA
Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA
Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA
Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA
Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA -
Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA
Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA
Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA
Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA
Dunia sio mbaya.. walimwengu wanazingUA Nyuso zao hazina haya.. wapo tayari hata kuUA Ee mola tunusuru.. ili tupate kukoMA Tuepushe na tanuru.. usituhukumu ka' SodoMA -
KuamiNI mzungu yupo juu zaidi yako daima utabaki nyuma kiupEO
Na ukiamiNI mungu yupo juu ya mzungu hapo hautokua mtumwa wa ukoloni mambo lEO
Ukifikili walitunyonya kisa wakatupa diNI ina maana dini zao vitabu vyao elimu zAO tafuta asali yako muafriKA
Ngumu kuelewa hii movie tumekuta mwishoni sisi ni Samson tunatakaje haki kwa farAO tunapewa shuka muda wa kuamKAKuamiNI mzungu yupo juu zaidi yako daima utabaki nyuma kiupEO Na ukiamiNI mungu yupo juu ya mzungu hapo hautokua mtumwa wa ukoloni mambo lEO Ukifikili walitunyonya kisa wakatupa diNI ina maana dini zao vitabu vyao elimu zAO tafuta asali yako muafriKA Ngumu kuelewa hii movie tumekuta mwishoni sisi ni Samson tunatakaje haki kwa farAO tunapewa shuka muda wa kuamKA