Socialpop Socialpop
نتائج البحث
عرض كل النتائج
  • انضم إلينا
    تسجيل الدخول
    تسجيل
    البحث
    الوضع المظلم

الدليل

Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village

  • المستخدمون
  • المنشورات
  • الصفحات
  • المجموعات
  • المناسبات
  • المدونات
  • سوق المنتجات
  • التمويل
  • مفاوضاتي
  • وظائف
  • Courses
  • المنتديات
  • الافلام
  • Paul Swai
    أضاف فيديو عام
    2024-07-03 04:45:26 -
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 50 مشاهدة 29
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz أضاف صورة
    2024-07-03 05:42:50 -
    Taarifa hii imechapishwa na Gazeti la Mwanaspoti.

    "Chama amesaini mkataba wa miaka miwili (2) na Yanga SC baada ya mkataba wake kumalizika na Simba akigoma kuongeza mkataba na Simba SC sababu kubwa ikitajwa kuwa ni maslahi pamoja na kejeli za hapa na pale."

    "Yanga SC haikuwa imepanga kumtambulisha jana kama ambayo ilifanyika, lakini hatua hiyo ilitokana na matajiri hao (GSM & Hersi) kupokea simu kutoka kwa kiungo huyo kuwa Simba imepata uhakika kuwa yeye amesaini upande wa Yanga SC."

    "Kila kilichokuwa kinaendelea usiku wa jumapili baina ya Chama na viongozi wa Simba SC, Chama alikuwa anakishusha kwa Yanga kama kilivyo na ndiye aliyewashauri viongozi wa Yanga waachie picha yake asubuhi kabla ya chai kama kitendo cha kuwanyamazisha wasimsumbue.... Chama anaamini hawakumuheshimu alipokuwa Simba"

    "Ukweli mwingine ni kwamba Chama aliwaambia rafiki zake kuwa anataka kucheza ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga inaonesha uelekeo wa kufika mbali"

    "Simba SC baada ya kupata taarifa hizo matajiri wake kuanzia June 30 walirudi mezani wakihaha kumbakisha kiungo huyo kwa gharama yoyote wakimuwekea pesa mara mbili ya zile alizochukua Yanga, lakini ngoma ikadunda"

    "Yanga baada ya kupata taarifa hizo (Kutoka kwa Chama) na kujiridhisha ikaona hapana isambaze picha hizo wakati akisaini kama walivyoshauriwa na Chama, zikawatibua mabosi wa Simba SC"

    "Hata hivyo Simba hawakukata tanaa mpaka jana Jumatatu mchana waliendelea kusukuma kete ya mwisho kwa Chama wakimtaka akubali kusaini mkataba kisha wao wanajua namna gani watakwenda kumalizana na Yanga (TFF), lakini Chama akakataa"
    Taarifa hii imechapishwa na Gazeti la Mwanaspoti. "Chama amesaini mkataba wa miaka miwili (2) na Yanga SC baada ya mkataba wake kumalizika na Simba akigoma kuongeza mkataba na Simba SC sababu kubwa ikitajwa kuwa ni maslahi pamoja na kejeli za hapa na pale." "Yanga SC haikuwa imepanga kumtambulisha jana kama ambayo ilifanyika, lakini hatua hiyo ilitokana na matajiri hao (GSM & Hersi) kupokea simu kutoka kwa kiungo huyo kuwa Simba imepata uhakika kuwa yeye amesaini upande wa Yanga SC." "Kila kilichokuwa kinaendelea usiku wa jumapili baina ya Chama na viongozi wa Simba SC, Chama alikuwa anakishusha kwa Yanga kama kilivyo na ndiye aliyewashauri viongozi wa Yanga waachie picha yake asubuhi kabla ya chai kama kitendo cha kuwanyamazisha wasimsumbue.... Chama anaamini hawakumuheshimu alipokuwa Simba" "Ukweli mwingine ni kwamba Chama aliwaambia rafiki zake kuwa anataka kucheza ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga inaonesha uelekeo wa kufika mbali" "Simba SC baada ya kupata taarifa hizo matajiri wake kuanzia June 30 walirudi mezani wakihaha kumbakisha kiungo huyo kwa gharama yoyote wakimuwekea pesa mara mbili ya zile alizochukua Yanga, lakini ngoma ikadunda" "Yanga baada ya kupata taarifa hizo (Kutoka kwa Chama) na kujiridhisha ikaona hapana isambaze picha hizo wakati akisaini kama walivyoshauriwa na Chama, zikawatibua mabosi wa Simba SC" "Hata hivyo Simba hawakukata tanaa mpaka jana Jumatatu mchana waliendelea kusukuma kete ya mwisho kwa Chama wakimtaka akubali kusaini mkataba kisha wao wanajua namna gani watakwenda kumalizana na Yanga (TFF), lakini Chama akakataa"
    0 التعليقات 0 المشاركات 442 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai
    أضاف صورة
    2024-07-03 06:31:59 -
    Tunarudi kwenye ardhi iliyobarikiwa ya Tanzania

    Mashine ya kizawa ipo tayari kuwatumikia Wanasimba. Saa 7:00 mchana kwenye Simba App. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Tunarudi kwenye ardhi iliyobarikiwa ya Tanzania 🇹🇿 Mashine ya kizawa ipo tayari kuwatumikia Wanasimba. Saa 7:00 mchana kwenye Simba App. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Love
    1
    1 التعليقات 0 المشاركات 95 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • CKTV Tanzania أضاف صورة
    2024-07-03 08:39:55 -
    0 التعليقات 0 المشاركات 62 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • CKTV Tanzania أضاف صورة
    2024-07-03 08:40:34 -
    Kawapa mwenyewe THANK YOU


    #cktvtanzania
    Kawapa mwenyewe THANK YOU🙏🙏🙏 #cktvtanzania
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 235 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-03 11:05:38 - ADULT
    0 التعليقات 0 المشاركات 146 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-03 11:06:40 -
    0 التعليقات 0 المشاركات 153 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai
    أضاف صورة
    2024-07-03 13:17:15 -
    Tumebadili gia hewani badala ya Mashine ya Kizawa tunashusha Mashine ya Kibabe 🫶

    Mpango mzima ni kwenye Simba App saa 12:00 jioni. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Tumebadili gia hewani badala ya Mashine ya Kizawa tunashusha Mashine ya Kibabe 🔥🔥🫶 Mpango mzima ni kwenye Simba App saa 12:00 jioni. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    Love
    3
    1 التعليقات 0 المشاركات 379 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • CKTV Tanzania أضاف صورة
    2024-07-03 13:31:39 -
    0 التعليقات 0 المشاركات 62 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (821-830 من 33171)
  • «
  • السابق
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • التالي
  • »
© 2026 Socialpop Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل