Sports News
Sports News
Kuwa nasi kwa habari za michezo kote ulaya 🙏
21 people like this
9 Posts
9 Photos
0 Videos
0 Reviews
Recent Updates
  • Jeremie Frimpong wa Bayer Leverkusen ni miongoni mwa chaguzi kuu mbili ambazo Real Madrid wanafikiria kumsajili beki wao wa kulia, huku Trent Alexander-Arnold akiwa kwenye orodha iyo. [AS]
    Jeremie Frimpong wa Bayer Leverkusen ni miongoni mwa chaguzi kuu mbili ambazo Real Madrid wanafikiria kumsajili beki wao wa kulia, huku Trent Alexander-Arnold akiwa kwenye orodha iyo. [AS]
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·320 Views
  • Gosens ilimbidi aiGoogle "Atalanta ni nani" walipompa ofa.

    "Nilipokuwa Uholanzi walinipigia simu kunishawishi nijiunge na Atalanta, klabu ambayo sikuwahi kuisikia. Niliwatafuta kwenye google na nikaona kwamba wanaenda kucheza Europa League hivyo nikakubali ofa hiyo." [TMW]
    Gosens ilimbidi aiGoogle "Atalanta ni nani" walipompa ofa. 🗣️ "Nilipokuwa Uholanzi walinipigia simu kunishawishi nijiunge na Atalanta, klabu ambayo sikuwahi kuisikia. Niliwatafuta kwenye google na nikaona kwamba wanaenda kucheza Europa League hivyo nikakubali ofa hiyo." [TMW]
    Like
    Haha
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·438 Views
  • Kike García ndiye mchezaji wa kwanza wa Alavés katika karne ya 21 kuingia kama mchezaji wa akiba, kufunga na kupata kadi nyekundu katika mechi moja ya LaLiga.
    Kike García ndiye mchezaji wa kwanza wa Alavés katika karne ya 21 kuingia kama mchezaji wa akiba, kufunga na kupata kadi nyekundu katika mechi moja ya LaLiga.
    Like
    Wow
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·456 Views
  • Paul Pogba:

    "Sisi sote ni binadamu, sote tuna hisia. Nakwambia, wakati marufuku ya kushiriki michezo ilipotokea, niligundua maisha ni nini. Paul Pogba kijana maarufu hayupo tena. Watu walikuwa wakinikwepa. Nilikuwa naalikwa kwenye mitindo na matukio kama hayo sasa yalikuwa kama: 'hatuwezi kumtumia Pogba'.
    Paul Pogba🗣️: "Sisi sote ni binadamu, sote tuna hisia. Nakwambia, wakati marufuku ya kushiriki michezo ilipotokea, niligundua maisha ni nini. Paul Pogba kijana maarufu hayupo tena. Watu walikuwa wakinikwepa. Nilikuwa naalikwa kwenye mitindo na matukio kama hayo sasa yalikuwa kama: 'hatuwezi kumtumia Pogba'.
    Like
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·545 Views
  • Manchester United itakuwa tayari kumruhusu Antony (24) kuondoka kwa uhamisho wa mkopo mwezi Januari. Imeongezwa pia kuwa watasikiliza ofa za takriban £40m kwa fowadi huyo. [Mail Sport]
    Manchester United itakuwa tayari kumruhusu Antony (24) kuondoka kwa uhamisho wa mkopo mwezi Januari. Imeongezwa pia kuwa watasikiliza ofa za takriban £40m kwa fowadi huyo. [Mail Sport]
    Like
    5
    · 2 Comments ·0 Shares ·315 Views
  • Jina na picha ya Thomas Tuchel imewekwa kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuwa meneja mpya wa England.
    Jina na picha ya Thomas Tuchel imewekwa kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuwa meneja mpya wa England.
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·485 Views
  • Mbappe & Vini jr
    Mbappe & Vini jr 🔥
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·543 Views
  • Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·393 Views
  • Like
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·385 Views
More Stories