Kuwa nasi kwa habari za michezo kote ulaya 🙏
-
21 людям нравится это
-
11 Записей
-
11 Фото
-
0 Видео
-
0 предпросмотр
-
Sport
Недавние обновления
-
Emi Martínez ameweka wazi kuwa anataka kujiunga na Manchester United na Aston Villa haijakataa kumuuza. Inaweza kuchukua takriban pauni milioni 40 kukamilisha dili hilo, lakini United bado haijafanya uamuzi wa mwisho wa kuchukua nafasi ya Onana. [Ben Jacobs]Emi Martínez ameweka wazi kuwa anataka kujiunga na Manchester United na Aston Villa haijakataa kumuuza. Inaweza kuchukua takriban pauni milioni 40 kukamilisha dili hilo, lakini United bado haijafanya uamuzi wa mwisho wa kuchukua nafasi ya Onana. [Ben Jacobs]0 Комментарии 0 Поделились 431 Просмотры1
Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать! -
0 Комментарии 0 Поделились 343 Просмотры1
-
Jeremie Frimpong wa Bayer Leverkusen ni miongoni mwa chaguzi kuu mbili ambazo Real Madrid wanafikiria kumsajili beki wao wa kulia, huku Trent Alexander-Arnold akiwa kwenye orodha iyo. [AS]Jeremie Frimpong wa Bayer Leverkusen ni miongoni mwa chaguzi kuu mbili ambazo Real Madrid wanafikiria kumsajili beki wao wa kulia, huku Trent Alexander-Arnold akiwa kwenye orodha iyo. [AS]1 Комментарии 0 Поделились 594 Просмотры3
-
Gosens ilimbidi aiGoogle "Atalanta ni nani" walipompa ofa.
"Nilipokuwa Uholanzi walinipigia simu kunishawishi nijiunge na Atalanta, klabu ambayo sikuwahi kuisikia. Niliwatafuta kwenye google na nikaona kwamba wanaenda kucheza Europa League hivyo nikakubali ofa hiyo." [TMW]Gosens ilimbidi aiGoogle "Atalanta ni nani" walipompa ofa. 🗣️ "Nilipokuwa Uholanzi walinipigia simu kunishawishi nijiunge na Atalanta, klabu ambayo sikuwahi kuisikia. Niliwatafuta kwenye google na nikaona kwamba wanaenda kucheza Europa League hivyo nikakubali ofa hiyo." [TMW]1 Комментарии 0 Поделились 738 Просмотры
5
-
Kike García ndiye mchezaji wa kwanza wa Alavés katika karne ya 21 kuingia kama mchezaji wa akiba, kufunga na kupata kadi nyekundu katika mechi moja ya LaLiga.Kike García ndiye mchezaji wa kwanza wa Alavés katika karne ya 21 kuingia kama mchezaji wa akiba, kufunga na kupata kadi nyekundu katika mechi moja ya LaLiga.1 Комментарии 0 Поделились 753 Просмотры
4
-
Paul Pogba:
"Sisi sote ni binadamu, sote tuna hisia. Nakwambia, wakati marufuku ya kushiriki michezo ilipotokea, niligundua maisha ni nini. Paul Pogba kijana maarufu hayupo tena. Watu walikuwa wakinikwepa. Nilikuwa naalikwa kwenye mitindo na matukio kama hayo sasa yalikuwa kama: 'hatuwezi kumtumia Pogba'.Paul Pogba🗣️: "Sisi sote ni binadamu, sote tuna hisia. Nakwambia, wakati marufuku ya kushiriki michezo ilipotokea, niligundua maisha ni nini. Paul Pogba kijana maarufu hayupo tena. Watu walikuwa wakinikwepa. Nilikuwa naalikwa kwenye mitindo na matukio kama hayo sasa yalikuwa kama: 'hatuwezi kumtumia Pogba'.1 Комментарии 0 Поделились 874 Просмотры5
-
Manchester United itakuwa tayari kumruhusu Antony (24) kuondoka kwa uhamisho wa mkopo mwezi Januari. Imeongezwa pia kuwa watasikiliza ofa za takriban £40m kwa fowadi huyo. [Mail Sport]Manchester United itakuwa tayari kumruhusu Antony (24) kuondoka kwa uhamisho wa mkopo mwezi Januari. Imeongezwa pia kuwa watasikiliza ofa za takriban £40m kwa fowadi huyo. [Mail Sport]2 Комментарии 0 Поделились 560 Просмотры5
-
Jina na picha ya Thomas Tuchel imewekwa kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuwa meneja mpya wa England.Jina na picha ya Thomas Tuchel imewekwa kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuwa meneja mpya wa England.1 Комментарии 0 Поделились 768 Просмотры3
-
Mbappe & Vini jrMbappe & Vini jr 🔥1 Комментарии 0 Поделились 853 Просмотры3
-
-
1 Комментарии 0 Поделились 604 Просмотры2
Больше