"SIMBA SC YAPEWA THANK YOU NA CHAMA …

Simba SC kimsingi waliapaswa KUMUAGA Chama kama walivyofanya kwa Bernard Morrison kabla Chama hajawapiga ‘TALAKA’ yake. Walipoachwa wangeachika na kumshukuru Mwamba wa Lusaka na kumtakia maisha mema huko aendako" - Jemedari Said, Mchambuzi

"SIMBA SC YAPEWA THANK YOU NA CHAMA …馃槀馃槀馃槀 Simba SC kimsingi waliapaswa KUMUAGA Chama kama walivyofanya kwa Bernard Morrison kabla Chama hajawapiga ‘TALAKA’ yake. Walipoachwa wangeachika na kumshukuru Mwamba wa Lusaka na kumtakia maisha mema huko aendako" - Jemedari Said, Mchambuzi 鉁嶏笍
Like
1
0 Commentarios 0 Acciones 198 Views