BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
.
Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:
“Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,
Source BBC Sports
.
DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL
馃彑 Michezo - 182
鈿斤笍 Mabao - 65
Asisst - 22
Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.
Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii
R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
.
馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
.
馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
.
Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.
Mungu Atupe mwisho Mwema 馃晩.
.
#RIPJOTA || #SportsElite #football
.
Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:
“Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,
Source BBC Sports
.
DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL
馃彑 Michezo - 182
鈿斤笍 Mabao - 65
Asisst - 22
Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.
Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii
R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
.
馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
.
馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
.
Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.
Mungu Atupe mwisho Mwema 馃晩.
.
#RIPJOTA || #SportsElite #football
馃嚨馃嚬 馃槩 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.馃槩
.
Q馃毃 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:
“Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,
Source BBC Sports
.
馃毃 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL
馃彑 Michezo - 182
鈿斤笍 Mabao - 65
馃幆 Asisst - 22
Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 馃槩
Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii馃槶
R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 馃挃
.
馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
.
馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"馃槩
.
Weka Alama hii 馃檹 Kama kumuombea Diogo Jota. 馃挃
Mungu Atupe mwisho Mwema 馃挃馃檹馃晩.
.
#RIPJOTA || #SportsElite #football
0 Commentarios
路0 Acciones
路41 Views