0 Comments
·0 Shares
·22 Views
-
Liverpool FC wanazingatia usajili wa wachezaji wawili wa safu ya ushambuliaji: Anthony Gordon wa Newcastle na timu ya taifa ya England, pamoja na Antoine Semenyo wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana.
Wachezaji hao wote wanathaminiwa sana na kamati ya usajili ya Liverpool, ambayo imevutiwa na uwezo wao wa kushambulia na kucheza katika nafasi mbalimbali za mbele.
(Chanzo: Football Insider)🚨 Liverpool FC wanazingatia usajili wa wachezaji wawili wa safu ya ushambuliaji: Anthony Gordon wa Newcastle na timu ya taifa ya England, pamoja na Antoine Semenyo wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana. Wachezaji hao wote wanathaminiwa sana na kamati ya usajili ya Liverpool, ambayo imevutiwa na uwezo wao wa kushambulia na kucheza katika nafasi mbalimbali za mbele. (Chanzo: Football Insider)0 Comments ·0 Shares ·413 Views -
Kocha wa Tottenham Hotspur, Thomas Frank, haridhishwi na Dominic Solanke na anaweza kumuuza mwezi Januari.
Taarifa kutoka kambi ya mazoezi ya Spurs zinaeleza kuwa Frank hapendezwi sana na mshambuliaji huyo wa pauni milioni 60.
(Chanzo: Football Insider)🚨 Kocha wa Tottenham Hotspur, Thomas Frank, haridhishwi na Dominic Solanke na anaweza kumuuza mwezi Januari. Taarifa kutoka kambi ya mazoezi ya Spurs zinaeleza kuwa Frank hapendezwi sana na mshambuliaji huyo wa pauni milioni 60. (Chanzo: Football Insider)0 Comments ·0 Shares ·207 Views -
Mahadev Betting ID is the preferred choice for Indian bettors seeking a secure and efficient online betting experience. Available through trusted platforms like onlineambanibook.com and betbhai9.com, Mahadev Betting ID provides instant access to a wide variety of sports and casino games, including live cricket, football, and fantasy leagues.
Registration is quick and hassle-free—simply visit onlineambanibook.com or betbhai9.com, submit your basic details such as your mobile number and name, and complete OTP verification. Your Mahadev ID is usually delivered within minutes, granting you immediate entry to the platform's extensive betting markets.
With real-time updates, competitive odds, fast payouts via popular Indian payment methods like UPI and net banking, and round-the-clock customer support, Mahadev Betting ID ensures all users enjoy a smooth, transparent, and rewarding betting journey. For personalized assistance, contact [email protected] to simplify your registration and manage your account effectively.
#MahadevBettingID #OnlineAmbaniBook #Betbhai9 #SecureBetting #CricketBetting #FastWithdrawals #IndianBetting #LiveCasino #TrustedBetting
Mahadev Betting ID is the preferred choice for Indian bettors seeking a secure and efficient online betting experience. Available through trusted platforms like onlineambanibook.com and betbhai9.com, Mahadev Betting ID provides instant access to a wide variety of sports and casino games, including live cricket, football, and fantasy leagues. Registration is quick and hassle-free—simply visit onlineambanibook.com or betbhai9.com, submit your basic details such as your mobile number and name, and complete OTP verification. Your Mahadev ID is usually delivered within minutes, granting you immediate entry to the platform's extensive betting markets. With real-time updates, competitive odds, fast payouts via popular Indian payment methods like UPI and net banking, and round-the-clock customer support, Mahadev Betting ID ensures all users enjoy a smooth, transparent, and rewarding betting journey. For personalized assistance, contact [email protected] to simplify your registration and manage your account effectively. #MahadevBettingID #OnlineAmbaniBook #Betbhai9 #SecureBetting #CricketBetting #FastWithdrawals #IndianBetting #LiveCasino #TrustedBetting0 Comments ·0 Shares ·913 Views -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m.
Source Football Tweets
#SportsElite🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m. Source Football Tweets #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·821 Views -
Tanzania ni miongoni mwa Mataifa yatakayoshiriki mashindano matatu ya efootball Mobile, Console na Rocket kuanzia Septemba 2, 2025 kwa njia ya mtandao, wakali wa PS ni wakati wenu kujisajili kushiriki mashindano hayo kuelekea Kombe la Dunia 2025, jisajili kupata akaunti ya FIFA ID kupitia tovuti ya fifa.gg ili kutambulika kama mchezaji ambaye unaweza kupata fursa ya kuwa mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania. @fifae
haya sasa wa Dream league mje mtwambie ligi yenu lini🚨🚨Tanzania ni miongoni mwa Mataifa yatakayoshiriki mashindano matatu ya efootball Mobile, Console na Rocket kuanzia Septemba 2, 2025 kwa njia ya mtandao, wakali wa PS ni wakati wenu kujisajili kushiriki mashindano hayo kuelekea Kombe la Dunia 2025, jisajili kupata akaunti ya FIFA ID kupitia tovuti ya fifa.gg ili kutambulika kama mchezaji ambaye unaweza kupata fursa ya kuwa mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania. @fifae haya sasa wa Dream league mje mtwambie ligi yenu lini😂😂😂😂0 Comments ·0 Shares ·720 Views -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Thomas Tuchel anatazamia kumuacha beki wa Madrid kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Uingereza kitakachocheza na Serbia na Albania.❎️
Source Football Tweets
#SportsElite🚨🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Thomas Tuchel anatazamia kumuacha beki wa Madrid kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Uingereza kitakachocheza na Serbia na Albania.🏴❎️ Source Football Tweets #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·416 Views -
Mshambuliaji Viktor Gyökeres anafanya mazoezi ya Ziada kwenye uwanja Arsenal wa Lmdon Colney ili kurudisha Utimamu wake baada ya kukosa sehemu kubwa ya maandalizi ya msimu mpya na Arsenal. .
Source Football Tweets
#SportsElite🚨 Mshambuliaji Viktor Gyökeres anafanya mazoezi ya Ziada kwenye uwanja Arsenal wa Lmdon Colney ili kurudisha Utimamu wake baada ya kukosa sehemu kubwa ya maandalizi ya msimu mpya na Arsenal. 🔥. Source Football Tweets #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·500 Views -
Mazungumzo ya Liverpool na Kambi la Alexander Isak yamefanyika katika saa 24 zilizopita na Imani ni kwamba Liverpool watatoa ofa ya rekodi ya Ligi kuu ya Uingereza kumsajili Isak mwisho wa Wiki hili.
Source Football Tweets
#SportsElite🚨Mazungumzo ya Liverpool na Kambi la Alexander Isak yamefanyika katika saa 24 zilizopita na Imani ni kwamba Liverpool watatoa ofa ya rekodi ya Ligi kuu ya Uingereza kumsajili Isak mwisho wa Wiki hili.💰🇸🇪 Source Football Tweets #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·468 Views -
Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza
Chelsea
Paris Saint-Germain
Eintracht Frankfurt
Club Brugge
Olympiacos
Slavia Prague
Copenhagen
Newcastle
Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu .
#SportsElite🚨Mechi za Barcelona tutakazo Anza nazo awamu ya kwanza ❤️💙 🔥 ✈️ Chelsea 🏠 Paris Saint-Germain 🏠 Eintracht Frankfurt ✈️ Club Brugge 🏠 Olympiacos ✈️ Slavia Prague 🏠 Copenhagen ✈️ Newcastle Hapa PSG - Paris Saint-Germain na Chelsea Football Club ndio tishio la maisha yetu 🥶. #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·605 Views -
Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.
"Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.
"Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."
Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.
#MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal
#SportsEliteMikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·1K Views -
VilNicolas Jackson is being offered for £60M-plus as Chelsea prepare to carry on spending.
The striker wants guarantees of regular football and the likes of Newcastle, Aston Villa, Manchester United and Arsenal have all been sounded out this summer.
(Source: Mirror Football)🚨 VilNicolas Jackson is being offered for £60M-plus as Chelsea prepare to carry on spending. The striker wants guarantees of regular football and the likes of Newcastle, Aston Villa, Manchester United and Arsenal have all been sounded out this summer. (Source: Mirror Football)0 Comments ·0 Shares ·774 Views -
Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane..
(Source: Football Insider)
#SportsElite🚨 Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane.. (Source: Football Insider) #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·468 Views -
Everton imetuma ofa ya €42.8M kwa AS Roma juu ya Artem Dovbyk.
(Source: Football Insider )
#SportsElite🚨 Everton imetuma ofa ya €42.8M kwa AS Roma juu ya Artem Dovbyk. (Source: Football Insider ) #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·450 Views -
RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! ⚽️
Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania!
Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali?
Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! ⚽️
Source:- Micky Jnr African Football Journalist
#SportsElite🚨🚨 RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! 🇹🇿🔥⚽️ 🔸 Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania! 🤔 Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali? 🦁🟢🔵 Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! 🌍⚽️ Source:- Micky Jnr African Football Journalist #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·1K Views -
Everton Football Club inapanga kumsajili beki wa kati wa Adam Aznou kutoka Bayern Munich.
Ada ya uhamisho €9M na nyongeza ya €3M..
(Source: Paddy Boyland
#SportsElite🚨 Everton Football Club inapanga kumsajili beki wa kati wa Adam Aznou kutoka Bayern Munich. Ada ya uhamisho €9M na nyongeza ya €3M.. (Source: Paddy Boyland #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·487 Views -
⚪️𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City bado wanafanya mazungumzo na Newcastle United kumuhitaji beki Tino Livramento.
Manchester City wako tayari kutoa £50million kwaajili ya beki huyo Tino Livramento.
Graeme Bailey/ TBR football/ Goal.
#SportsElite⚪️🔵🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City bado wanafanya mazungumzo na Newcastle United kumuhitaji beki Tino Livramento. Manchester City wako tayari kutoa £50million kwaajili ya beki huyo Tino Livramento. Graeme Bailey/ TBR football/ Goal. #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·626 Views -
Arsenal inapanga kumuongeza mkataba William Saliba ambae anawindwa na Real Madrid.
(Source: Football Transfers)
#SportsElite🚨 Arsenal inapanga kumuongeza mkataba William Saliba ambae anawindwa na Real Madrid. (Source: Football Transfers) #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·551 Views -
West Ham United na hatua za kumpata kiungo wa Bournemouth Marcus Tavernier.
(Source: Football Insider)
#SportsElite🚨 West Ham United na hatua za kumpata kiungo wa Bournemouth Marcus Tavernier. (Source: Football Insider) #SportsElite0 Comments ·0 Shares ·521 Views -
Today's Match 🏟
PSG vs REAL MADRID
⌚️ 22:00 EAT
Stream live here
https://duduumendez.xyz/FootballLiveMatch
> 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4
▶︎ ●────────── 0:41Today's Match 🏟 PSG vs REAL MADRID ⌚️ 22:00 EAT Stream live here 👇👇 https://duduumendez.xyz/FootballLiveMatch > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4 ▶︎ ●────────── 0:410 Comments ·0 Shares ·892 Views
More Results