• What's football funny
    What's football funny⚽⚽😂😂
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·189 Views ·1
  • "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana

    Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi

    Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu?

    Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu.

    Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi..

    Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga?

    Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu

    Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi

    Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ?

    Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0?

    Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench

    Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili.

    Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.

    "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu? Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu. Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi.. Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga? Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ? Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0? Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili. Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·560 Views
  • #SportsElite TETESIArsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football),

    Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks)

    Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes)

    Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),
    #SportsElite TETESI🌏Arsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football), Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks) Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes) Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·449 Views
  • #SportsElite...Manchester United wako tayari kuwasilisha dau la £33.3m (euro 40m) kwa beki wa kushoto wa Barcelona mwenye umri wa miaka 21 Alejandro Balde msimu ujao. (El Nacional - Spanish)

    Newcastle wanapanga kutoa dau la pauni milioni 33.3 (euro milioni 40) msimu ujao kwa mshambuliaji wa PSV Eindhoven na Ubelgiji Johan Bakayoko, 21. (Tuttosport – In Italy)

    Newcastle pia wanatazamiwa kuzipiku Barcelona na Real Madrid katika usajili wa bure wa winga wa Uhispania chini ya umri wa miaka 19 Antonio Cordero, 18, ambaye mkataba wake wa Malaga unamalizika msimu huu wa joto. (Mail)

    Manchester United na Chelsea wanavutiwa na mshambuliaji wa Ipswich Mwingereza Liam Delap, 22. (Football Insider)
    #SportsElite🌏...Manchester United wako tayari kuwasilisha dau la £33.3m (euro 40m) kwa beki wa kushoto wa Barcelona mwenye umri wa miaka 21 Alejandro Balde msimu ujao. (El Nacional - Spanish) Newcastle wanapanga kutoa dau la pauni milioni 33.3 (euro milioni 40) msimu ujao kwa mshambuliaji wa PSV Eindhoven na Ubelgiji Johan Bakayoko, 21. (Tuttosport – In Italy) Newcastle pia wanatazamiwa kuzipiku Barcelona na Real Madrid katika usajili wa bure wa winga wa Uhispania chini ya umri wa miaka 19 Antonio Cordero, 18, ambaye mkataba wake wa Malaga unamalizika msimu huu wa joto. (Mail) Manchester United na Chelsea wanavutiwa na mshambuliaji wa Ipswich Mwingereza Liam Delap, 22. (Football Insider)
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·369 Views
  • Hivi mpira wa miguu (football) maana yake ni nini lakini
    Hivi mpira wa miguu (football) maana yake ni nini lakini 👇😳
    0 Comments ·0 Shares ·246 Views
  • Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa?

    Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi.

    Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki...

    Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu.

    Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona.

    Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia".

    Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa? Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi. Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki... Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu. Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona. Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia". Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·672 Views
  • Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kufuzu #AFCON2025. Mengine tuwe wapole kwa sasa na tujipange kwa kilicho mbele yetu. Kwenye football lolote lawezekana.

    #aulswai
    Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kufuzu #AFCON2025. Mengine tuwe wapole kwa sasa na tujipange kwa kilicho mbele yetu. Kwenye football lolote lawezekana. #aulswai
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·536 Views
  • Football daah
    Football daah😭
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·171 Views
  • I'm not a football fan, but my uncle loved it.
    I'm not a football fan, but my uncle loved it.
    SIMBA SC 2️⃣0️⃣ CA CONSTANTINE

    #paulswai
    0 Comments ·0 Shares ·372 Views ·182
  • Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara .

    Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla

    Source : @fabriziorom @davidornstein

    Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.!

    #neliudcosih
    Erling Braut Haaland amesaini mkataba na Machester City wa miaka tisa na nusu mpaka 2034 ambao utajumuisha rekodi ya mshahara . Mshahara mnono zaidi kuwahi kutokea Man City , na pia mmoja wa mshahara mkubwa katika historia ya Ligi kuu England na Football kiujumla Source : @fabriziorom @davidornstein Piga hela tu , kuna maisha baada ya kusakata kandanda.! 😀 #neliudcosih
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·531 Views
  • Manchester City na Arsenal Football Club wanapewa nafasi kubwa ya kuweza kumsajili kiungo wa kati wa klabu ya Bayern Munich Joshua Kimmich ikiwa ataondoka klabuni hapo.
    Manchester City na Arsenal Football Club wanapewa nafasi kubwa ya kuweza kumsajili kiungo wa kati wa klabu ya Bayern Munich Joshua Kimmich ikiwa ataondoka klabuni hapo.
    Like
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·426 Views
  • Kila la heri @yangasc kwenye mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

    @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu @tanfootball
    Kila la heri @yangasc kwenye mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu @tanfootball
    Like
    2
    · 2 Comments ·0 Shares ·494 Views
  • *Ukurasa rasmi unaofanya tafiti mbalimbali za mpira wa miguu kwa kutumia takwimu, @cies_football, umechapisha orodha ya wachezaji wa mpira wa miguu ghali zaidi duniani hadi Januari hii 2025.*

    *Katika orodha hiyo, klabu ya Real Madrid ya nchini Uhispania imesheheni nyota ghali zaidi duniani, wakiwemo Jude Bellingham, Vinicius Junior, Kylian Mbappé, Rodrygo, Federico Valverde, pamoja na Eduardo Camavinga. (EUR 1 ni takribani shilingi 2,500)*


    *Ukurasa rasmi unaofanya tafiti mbalimbali za mpira wa miguu kwa kutumia takwimu, @cies_football, umechapisha orodha ya wachezaji wa mpira wa miguu ghali zaidi duniani hadi Januari hii 2025.* *Katika orodha hiyo, klabu ya Real Madrid ya nchini Uhispania imesheheni nyota ghali zaidi duniani, wakiwemo Jude Bellingham, Vinicius Junior, Kylian Mbappé, Rodrygo, Federico Valverde, pamoja na Eduardo Camavinga. (EUR 1 ni takribani shilingi 2,500)*
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·234 Views
  • Manchester United ilianzishwa mwaka 1878 na wafanyakazi wa reli ikijulikana kama Newton Heath LYR Football Club.

    Rangi za kwanza zilizotumiwa na Manchester United wakati klabu hiyo ikiitwa Newton Heath LYR Football Club, zilikuwa kijani na dhahabu.

    Rangi hizo zilikuwa sehemu ya jezi zao za awali na baadaye jina la klabu lilibadilishwa kuwa Manchester United mwaka 1902, na kubadilisha rangi rasmi kuwa nyekundu, nyeupe na nyeusi, ambazo ndizo zinazoihusisha klabu hiyo hadi leo.

    #neliudcosiah
    Manchester United ilianzishwa mwaka 1878 na wafanyakazi wa reli ikijulikana kama Newton Heath LYR Football Club. Rangi za kwanza zilizotumiwa na Manchester United wakati klabu hiyo ikiitwa Newton Heath LYR Football Club, zilikuwa kijani na dhahabu. Rangi hizo zilikuwa sehemu ya jezi zao za awali na baadaye jina la klabu lilibadilishwa kuwa Manchester United mwaka 1902, na kubadilisha rangi rasmi kuwa nyekundu, nyeupe na nyeusi, ambazo ndizo zinazoihusisha klabu hiyo hadi leo. #neliudcosiah
    Like
    Haha
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·352 Views
  • Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga.

    Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing).

    -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga

    -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana

    -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo

    JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING?

    Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo

    Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa.

    FT Yanga 5-0 Fountain Gate.

    Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga. Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing). -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga✍️ -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana✍️ -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo✍️ JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING? Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo✍️ Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa. FT Yanga 5-0 Fountain Gate.
    0 Comments ·0 Shares ·418 Views
  • fund wa football
    fund wa football ⚽
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·332 Views
  • HEAVY METAL FOOTBALL, MUDA SI MREFU IPO TIMU ITALIPA MADENI YOTE

    Juzi baada ya mechi ya TP Mazembe na Yanga kumalizika,wachezaji waliotumika kwa dakika nyingi kwenye mechi hiyo walihesabiwa “Sessioni” moja,na wale ambao walicheza dakika chache za mwisho plus wale wa benchi walifanya “session” ya pamoja ili kujiweka sawa.

    Kilio cha Ramovic ni Fitnesa ndogo ambayo inapelekea wachezaji wake kuchoka haraka,lakini pia kupata injury za ajabu.

    Baada ya kikosi kurejea Dar es laam,wikii hii kimeanza program ya mazoezi makali sana,watu wa ndani wa Yanga wanasema wiki kadhaa zilizopita wachezaji wa Yanga walitumia katoni 10 za maji kila wafanyapo mazoezi,ila kuanzia wiki hii matumizi ya maji yameongezeka x2 kutoka katoni 10 hadi katoni 25.

    Yes! Saaa hivi wachezaji wa Yanga wanatumia katoni 25 za maji kila siku pale Avic.

    Inasemekana mazoezi ya Ramovic,wiki hii ni makali sana,yana intensty ya juu sana hivyo wachezaji wanakunywa sana maji.

    Inasemekana Ramovic ni muunini wa “heavy metal football” anataka wachezaji wake wakimbie sana wakiwa na mpira na bila mpira na tayari *mapishi ya “heavy metal football” yameanza, muda siyo mrefu kuna timu italipa madeni yote*
    HEAVY METAL FOOTBALL, MUDA SI MREFU IPO TIMU ITALIPA MADENI YOTE Juzi baada ya mechi ya TP Mazembe na Yanga kumalizika,wachezaji waliotumika kwa dakika nyingi kwenye mechi hiyo walihesabiwa “Sessioni” moja,na wale ambao walicheza dakika chache za mwisho plus wale wa benchi walifanya “session” ya pamoja ili kujiweka sawa. Kilio cha Ramovic ni Fitnesa ndogo ambayo inapelekea wachezaji wake kuchoka haraka,lakini pia kupata injury za ajabu. Baada ya kikosi kurejea Dar es laam,wikii hii kimeanza program ya mazoezi makali sana,watu wa ndani wa Yanga wanasema wiki kadhaa zilizopita wachezaji wa Yanga walitumia katoni 10 za maji kila wafanyapo mazoezi,ila kuanzia wiki hii matumizi ya maji yameongezeka x2 kutoka katoni 10 hadi katoni 25. Yes! Saaa hivi wachezaji wa Yanga wanatumia katoni 25 za maji kila siku pale Avic. Inasemekana mazoezi ya Ramovic,wiki hii ni makali sana,yana intensty ya juu sana hivyo wachezaji wanakunywa sana maji. Inasemekana Ramovic ni muunini wa “heavy metal football” anataka wachezaji wake wakimbie sana wakiwa na mpira na bila mpira na tayari *mapishi ya “heavy metal football” yameanza, muda siyo mrefu kuna timu italipa madeni yote*😄
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·327 Views
  • Best kits men football from CAF and FIFA
    #everyone #followers #friend #socialpop #football #caf #fifa #anyone
    Best kits men football from CAF and FIFA #everyone #followers #friend #socialpop #football #caf #fifa #anyone
    Like
    Love
    3
    · 3 Comments ·0 Shares ·976 Views
  • ✍🏻Kwenye football huwa inaongelewa sana " MBINU " lakini kabla ya mbinu kitu namba moja cha msingi : Shinda mipambano yako :- Kuwania mpira ( Juu & Chini ) , kwenye 50/50 kuwa imara baada ya hapo ndio mbinu zinakuja . Liverpool walikuwa sharp sana , kasi , nguvu , walipasia mpira vizuri ( Ni vile tu Liverpook hawakutoa adhabu kali sana )

    ✍🏻Liverpool walikuwa na njia zote tatu za kupita dhidi ya muundo wa ulinzi wa City ( Defensive Block )

    1: Walipita pembeni yao ( Around them ) : Gakpo + Robbo & Salah & Trent

    2: Walipita ndani yao vizuri ( Play through the block ) : Ryan Grav , Mac Allister na Szobo

    3: Walipita kwa mipira ya juu ( over the block ) : mipira mirefu ya Gomez , VVD na TAA .

    Ukiona hivyo kama wewe mpinzani basi ujue upo matatizoni maana kwa kawaida mpinzani anapaswa kuwa na njia chache kati ya hizo tatu .

    ✍🏻Man City mpango wa kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji nyuma wakianzisha mpira ulikuwa sahihi wachezaji watano ( 3-2 muundo huu, nyuma watatu na mbele yao wawili : Akanji na Gundo ) lakini ukifanya hivyo kama mbele hauna wa kukutoa nyuma ( OUTLETS ) basi ni inakuwa kama unajikaba : Ukiondoa Haaland hakuna mwingine mwenye kasi .

    ✍🏻Kipindi cha pili City kutumia wingers wawili ilikuwa muhimu : Doku na Savinho kuutanua uwanja kufanya Liverpool kuzuia eneo kubwa la uwanja na kukabia chini zaidi ( shida kwa City ni Liverpool walizuia vizuri sana )

    NOTE

    1: City kwanza waanze kupunguza makosa binafsi kwa wachezaji ( upo nyuma 1-0 halafu Dias anafanya lile kosa )

    2: Luis Diaz kucheza pale kwa namba 9 kama pameanza kumfaa , movements na kuanzisha pressing

    3: Kiungo cha Rico , Gundo na Silva hapana , hakuna nguvu na kasi pale

    4: Gakpo anaendelea kufunga tu ( Madrid & City )

    5: Haaland bila huduma changamoto

    6: Pasi ya Mo Salah goli la Gakpo

    7: VVD ... najua Man of the match kachukua Salah lakini kwangu VVD leo kauchapa sana katawala Maboksi yote mawili , passing

    FT: Liverpool 2-0 Man City
    (Geogea Ambangile)
    ✍🏻Kwenye football huwa inaongelewa sana " MBINU " lakini kabla ya mbinu kitu namba moja cha msingi : Shinda mipambano yako :- Kuwania mpira ( Juu & Chini ) , kwenye 50/50 kuwa imara baada ya hapo ndio mbinu zinakuja . Liverpool walikuwa sharp sana , kasi , nguvu , walipasia mpira vizuri ( Ni vile tu Liverpook hawakutoa adhabu kali sana ) ✍🏻Liverpool walikuwa na njia zote tatu za kupita dhidi ya muundo wa ulinzi wa City ( Defensive Block ) 1: Walipita pembeni yao ( Around them ) : Gakpo + Robbo & Salah & Trent 2: Walipita ndani yao vizuri ( Play through the block ) : Ryan Grav , Mac Allister na Szobo 3: Walipita kwa mipira ya juu ( over the block ) : mipira mirefu ya Gomez , VVD na TAA . Ukiona hivyo kama wewe mpinzani basi ujue upo matatizoni maana kwa kawaida mpinzani anapaswa kuwa na njia chache kati ya hizo tatu . ✍🏻Man City mpango wa kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji nyuma wakianzisha mpira ulikuwa sahihi wachezaji watano ( 3-2 muundo huu, nyuma watatu na mbele yao wawili : Akanji na Gundo ) lakini ukifanya hivyo kama mbele hauna wa kukutoa nyuma ( OUTLETS ) basi ni inakuwa kama unajikaba : Ukiondoa Haaland hakuna mwingine mwenye kasi . ✍🏻Kipindi cha pili City kutumia wingers wawili ilikuwa muhimu : Doku na Savinho kuutanua uwanja kufanya Liverpool kuzuia eneo kubwa la uwanja na kukabia chini zaidi ( shida kwa City ni Liverpool walizuia vizuri sana ) NOTE 1: City kwanza waanze kupunguza makosa binafsi kwa wachezaji ( upo nyuma 1-0 halafu Dias anafanya lile kosa ) 2: Luis Diaz kucheza pale kwa namba 9 kama pameanza kumfaa , movements na kuanzisha pressing 3: Kiungo cha Rico , Gundo na Silva hapana , hakuna nguvu na kasi pale 4: Gakpo anaendelea kufunga tu 🔥 ( Madrid & City ) 5: Haaland bila huduma changamoto 6: Pasi ya Mo Salah goli la Gakpo 🔥 7: VVD ... najua Man of the match kachukua Salah lakini kwangu VVD leo kauchapa sana katawala Maboksi yote mawili , passing 🔥 FT: Liverpool 2-0 Man City (Geogea Ambangile)
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·568 Views
  • KI AZIZ; Mbili ya shauri zangu kuhusu DIARA na DUBE tayari zimefanyiwa kazi, sasa kilicho baki ni Kwa STEPHANIE KI AZIZ, huyu mwamba bado anakitu Cha kutuonesha bado hajafeli sema kakosa FITNESS tu!, Ushauri wangu Kwa uongozi wa yanga huyu mwamba apumzishwe michezo kama mitatu hivi ama miwili Kwa lengo la kumpa HOW TO RETURN IN FOOTBALL IF YOU LOST FITNESS{ Jinsi ya kurudi kwenye mpira wa miguu ikiwa umepoteza usawa }.Nimeandika mimi #soccersports
    KI AZIZ; Mbili ya shauri zangu kuhusu DIARA na DUBE tayari zimefanyiwa kazi, sasa kilicho baki ni Kwa STEPHANIE KI AZIZ, huyu mwamba bado anakitu Cha kutuonesha bado hajafeli sema kakosa FITNESS tu!, Ushauri wangu Kwa uongozi wa yanga huyu mwamba apumzishwe michezo kama mitatu hivi ama miwili Kwa lengo la kumpa 🔥HOW TO RETURN IN FOOTBALL IF YOU LOST FITNESS🔥{ Jinsi ya kurudi kwenye mpira wa miguu ikiwa umepoteza usawa }.Nimeandika mimi #soccersports ✍️
    Love
    Like
    Yay
    7
    · 0 Comments ·0 Shares ·805 Views
More Results