*RASMI:* Klabu ya Como imekamilisha taratibu zote za kumsajili Máximo Perrone kutoka Manchester City kwa mkataba wa kudumu.

Ada ya uhamisho ni €13 milioni na mchezaji atasaini mkataba hadi Juni 2029.

#SportsElite
🔵🇦🇷 *RASMI:* Klabu ya Como imekamilisha taratibu zote za kumsajili Máximo Perrone kutoka Manchester City kwa mkataba wa kudumu. 📝 Ada ya uhamisho ni €13 milioni na mchezaji atasaini mkataba hadi Juni 2029. #SportsElite
0 Commentarios ·0 Acciones ·20 Views