*RASMI:* Klabu ya Como imekamilisha taratibu zote za kumsajili Máximo Perrone kutoka Manchester City kwa mkataba wa kudumu.

Ada ya uhamisho ni €13 milioni na mchezaji atasaini mkataba hadi Juni 2029.

#SportsElite
πŸ”΅πŸ‡¦πŸ‡· *RASMI:* Klabu ya Como imekamilisha taratibu zote za kumsajili Máximo Perrone kutoka Manchester City kwa mkataba wa kudumu. πŸ“ Ada ya uhamisho ni €13 milioni na mchezaji atasaini mkataba hadi Juni 2029. #SportsElite
0 Reacties Β·0 aandelen Β·20 Views