Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League

๐ŸŽ™"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu"

Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani.

Hii inaonyesha tu kujitolea kwake."

Humble N'golo


#SportsElite
๐Ÿ˜„๐Ÿ“ฑ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟSiku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League ๐ŸŽ™"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu" Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani. Hii inaonyesha tu kujitolea kwake." Humble N'golo #SportsElite
0 Comments ยท0 Shares ยท18 Views