Alejandro Garnacho tayari amewasilsha London kukamilisha Usajili wake wa Kujiunga na Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032..

Man United na Chelsea tayari wamesaini nyaraka zote za Usajili huo na Garnacho atafanyiwa vipimo leo. .

Source Fabrizio Romano

#SportsElite
đŸ‡Ļ🇷🚨 Alejandro Garnacho tayari amewasilsha London kukamilisha Usajili wake wa Kujiunga na Chelsea kwa ada ya £40m na mkataba wa miaka saba hadi 2032.. Man United na Chelsea tayari wamesaini nyaraka zote za Usajili huo na Garnacho atafanyiwa vipimo leo. 🔒. Source Fabrizio Romano #SportsElite
0 Reacties 0 aandelen 563 Views