• | Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. "

    Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi.

    "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri.

    "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho."

    Source ::[@ManCity]

    FOLLOW US
    🗣️| Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. " Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi. "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri. "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho." Source ::[@ManCity] FOLLOW US
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·101 Views
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 🇮🇹 13:30 - SS Lazio ⚔️ AS Roma 🇪🇸 15:00 - Rayo Vallecano ⚔️ Celta Vigo 🇳🇱 15:30 - PSV Eindhoven ⚔️ Ajax 🇮🇹 16:00 - Torino FC ⚔️ Atalanta BC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Sunderland ⚔️ Aston Villa 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Bournemouth ⚔️ Newcastle United 🇹🇿 16:00 - Mashujaa FC ⚔️ Mtibwa Sugar 🇩🇪 16:30 - Frankfurt ⚔️ Union Berlin 🇪🇸 17:15 - Real Mallorca ⚔️ Atletico Madrid 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 17:30 - Partick Thistle ⚔️ Celtic FC 🇳🇱 17:45 - Az Alkmaar ⚔️ Feyenoord 🇫🇷 18:15 - AS Monaco ⚔️ Metz 🇩🇪 18:30 - Bayer Leverkusen ⚔️ M'gladbach 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 18:30 - Arsenal FC ⚔️ Manchester City 🇹🇿 19:00 - Namungo FC ⚔️ Tanzania Prisons 🇮🇹 19:00 - Fiorentina ⚔️ Como FC 🇹🇷 20:00 - Kasimpasa ⚔️ Fenerbahce FK 🇩🇪 20:30 - Dortmund ⚔️ Wolfsburg 🇮🇹 21:45 - Inter Milan ⚔️ Sassuolo 🇫🇷 21:45 - Marseille ⚔️ Paris Saint Germain 🇪🇸 22:00 - Barcelona ⚔️ Getafe FC
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·129 Views
  • Piero Hincape anajiunga na Arsenal kwa mkopo wa €6m na Chaguo la kumsajili kwa ada ya €46m na mkataba wa miaka mitano hadi June mwaka 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🇨🇴🚨Piero Hincape anajiunga na Arsenal kwa mkopo wa €6m na Chaguo la kumsajili kwa ada ya €46m na mkataba wa miaka mitano hadi June mwaka 2030.🔐 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·457 Views
  • Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.”

    “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.”

    “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.” 🗣️ “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.” 🗣️ “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.” #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·637 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Olympique Marseille wanafanya kazi ya kumsajili beki wa Arsenal Oleksandr Zinchenko.

    Source David Ornstein

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Olympique Marseille wanafanya kazi ya kumsajili beki wa Arsenal Oleksandr Zinchenko. 🇺🇦 Source David Ornstein #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·406 Views
  • Mshambuliaji Viktor Gyökeres anafanya mazoezi ya Ziada kwenye uwanja Arsenal wa Lmdon Colney ili kurudisha Utimamu wake baada ya kukosa sehemu kubwa ya maandalizi ya msimu mpya na Arsenal. .

    Source Football Tweets

    #SportsElite
    🚨 Mshambuliaji Viktor Gyökeres anafanya mazoezi ya Ziada kwenye uwanja Arsenal wa Lmdon Colney ili kurudisha Utimamu wake baada ya kukosa sehemu kubwa ya maandalizi ya msimu mpya na Arsenal. 🔥. Source Football Tweets #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·325 Views
  • BREAKING Arsenal wako karibu sana kukamilisha Usajili wa Beki wa Bayer Leverkusen Piero Hincape kwa mkopo makubaliano yako karibu kufikiwa.

    Here we Go hivi karibuni.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Arsenal wako karibu sana kukamilisha Usajili wa Beki wa Bayer Leverkusen Piero Hincape kwa mkopo makubaliano yako karibu kufikiwa.🔴 🇨🇴 Here we Go hivi karibuni. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·421 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 ! 𝐉𝐚𝐤𝐮𝐛 𝐊𝐢𝐰𝐢𝐨𝐫 𝐭𝐨 𝐅𝐂 𝐏𝐨𝐫𝐭𝐨

    FC Porto imefikia makubaliano kamili na Arsenal kumsajili Beki Jakub Kiwior kwa mkopo na kipengele cha kumsajili mwisho wa msimu kwa ada ya €27.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🇵🇱 🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 ! 𝐉𝐚𝐤𝐮𝐛 𝐊𝐢𝐰𝐢𝐨𝐫 𝐭𝐨 𝐅𝐂 𝐏𝐨𝐫𝐭𝐨 🚨 FC Porto imefikia makubaliano kamili na Arsenal kumsajili Beki Jakub Kiwior kwa mkopo na kipengele cha kumsajili mwisho wa msimu kwa ada ya €27. 🔐 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·163 Views
  • Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal

    Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta.

    Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii."

    #AFC #Eze10 #PremierLeague

    ---------follow Csmahona update

    #SportsElite
    🔴⚪✨ Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta. 🙌🔥 🗣️ Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii." #AFC #Eze10 #PremierLeague ---------follow Csmahona update #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·506 Views
  • Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!

    Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.

    "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.

    "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."

    Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.

    #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal

    #SportsElite
    Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·755 Views
  • Arsenal iko mbioni kukamilisha usajiri wa kinda wa Shamrock Rovers 16 Victor Ozhianvuna.

    @gunnerblog after @McDonnellDan The Athletic FC

    #SportsElite
    🚨 Arsenal iko mbioni kukamilisha usajiri wa kinda wa Shamrock Rovers 16 Victor Ozhianvuna. @gunnerblog after @McDonnellDan The Athletic FC #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·244 Views
  • Fahamu Arsenal na Crystal Palace wanakamilisha Kila kitu leo kuhusu Nyaraka zote za Eberechi Eze na Kisha kesho Ijumaa Atafanyiwa Vipimo vya afya kwa ada ya £68m na mkataba wa miaka mitano hadi 2030.

    Source Sacha Tavolieri

    #SportsElite
    🚨Fahamu Arsenal na Crystal Palace wanakamilisha Kila kitu leo kuhusu Nyaraka zote za Eberechi Eze na Kisha kesho Ijumaa Atafanyiwa Vipimo vya afya kwa ada ya £68m na mkataba wa miaka mitano hadi 2030. Source Sacha Tavolieri #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·407 Views
  • BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand..

    Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand.. Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·466 Views
  • Hakuna namna tutaweza kuficha ukweli kuwa utofauti wa Arsenal na Copenhagen ni jezi,ligi wanayoshiriki na mataifa wanayotokea pekee.

    Ubishi sio kipaji kubali kujuzwa ujifunze mengi, na ukichagua kubisha njoo na facts .

    #SportsElite
    🚨🚨Hakuna namna tutaweza kuficha ukweli kuwa utofauti wa Arsenal na Copenhagen ni jezi,ligi wanayoshiriki na mataifa wanayotokea pekee. Ubishi sio kipaji kubali kujuzwa ujifunze mengi, na ukichagua kubisha njoo na facts 😑. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·334 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze.

    Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda

    Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners.

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze. Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·363 Views
  • Pichani ni Luis Javier Suarez mshambuliaji mpya wa Sporting Lisbon aliesajiliwa pale kama mbadala wa Victor Gyokeres alietimkia Arsenal.

    Suarez ameendeleza pale pale alipoishia Gyokeres akiwa na Lisbon na jana kwenye ushindi wa goli 6 walioupata ametupia kamba 2 na kufungua njia yake ya magoli rasmi.

    Kifupi tu ni kuwa Sporting Lisbon hawajapata hasara kwenye dili la Gyokeres na saizi hawapokei simu za watu wanakula mafao ya Gyokeres kwanza.

    #SportsElite
    🚨🚨Pichani ni Luis Javier Suarez mshambuliaji mpya wa Sporting Lisbon aliesajiliwa pale kama mbadala wa Victor Gyokeres alietimkia Arsenal. Suarez ameendeleza pale pale alipoishia Gyokeres akiwa na Lisbon na jana kwenye ushindi wa goli 6 walioupata ametupia kamba 2 na kufungua njia yake ya magoli rasmi. Kifupi tu ni kuwa Sporting Lisbon hawajapata hasara kwenye dili la Gyokeres na saizi hawapokei simu za watu wanakula mafao ya Gyokeres kwanza. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·213 Views
  • VilNicolas Jackson is being offered for £60M-plus as Chelsea prepare to carry on spending.

    The striker wants guarantees of regular football and the likes of Newcastle, Aston Villa, Manchester United and Arsenal have all been sounded out this summer.

    (Source: Mirror Football)
    🚨 VilNicolas Jackson is being offered for £60M-plus as Chelsea prepare to carry on spending. The striker wants guarantees of regular football and the likes of Newcastle, Aston Villa, Manchester United and Arsenal have all been sounded out this summer. (Source: Mirror Football)
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·605 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 Mshambuliaji wa Arsenal Kai Havertz
    Atakuwa njee kwa muda usiojulikana kwa jeraha la Goti. Arsenal inaingia sokoni kutafuta mbadala wake

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 Mshambuliaji wa Arsenal Kai Havertz Atakuwa njee kwa muda usiojulikana kwa jeraha la Goti. Arsenal inaingia sokoni kutafuta mbadala wake #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·327 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·259 Views
  • BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·616 Views
Sponsorizeaza Paginile