• Licha ya jana Klabu ya Yanga SC kushinda mechi yake muhimu dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal omdurman lakini kuna huyu mwamba wa kuitwa Jean Claude Giramugisha, hapa kibwana Shomari nahisi usingizi wake ulikuwa wa Mashaka (kuweweseka) maana sio kwa kuburuzwa kule

    Dogo ana speed ya ajabu mpaka nikasema dah huyu sio ndo yule kasongo lakini? achana na speed ana vyenga pia ana pumzi hachoki, Kuna muda akuwa upande wa kushoto kumxhosha kibwana sometime anabadilishana possition na adama Coulibaly, anaenda tena kumnyanyasa Shadrack Boka

    Cha ajabu huyu dogo ni mburundi tuh sijui Tanzania tulicherewa nini kusema huyu dogo ni MUHA wa Kigoma na akatupa faida Tanzania kwenye NT na vilabu

    Oya huyu dogo ni moto

    #muslehelbarcaupdates

    #Alhilalomdurman #CAFChampionsLeague #TotalEnergiesCAFCL
    Licha ya jana Klabu ya Yanga SC kushinda mechi yake muhimu dhidi ya timu ngumu ya Al Hilal omdurman lakini kuna huyu mwamba wa kuitwa Jean Claude Giramugisha, hapa kibwana Shomari nahisi usingizi wake ulikuwa wa Mashaka (kuweweseka) maana sio kwa kuburuzwa kule 🙄 Dogo ana speed ya ajabu mpaka nikasema dah huyu sio ndo yule kasongo lakini? achana na speed ana vyenga pia ana pumzi hachoki, Kuna muda akuwa upande wa kushoto kumxhosha kibwana sometime anabadilishana possition na adama Coulibaly, anaenda tena kumnyanyasa Shadrack Boka 🔥 Cha ajabu huyu dogo ni mburundi tuh sijui Tanzania tulicherewa nini kusema huyu dogo ni MUHA wa Kigoma na akatupa faida Tanzania kwenye NT na vilabu 😂 Oya huyu dogo ni moto 🔥 #muslehelbarcaupdates 👽 #Alhilalomdurman #CAFChampionsLeague #TotalEnergiesCAFCL
    Love
    1
    1 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • Kila la heri @SimbaSCTanzania kwenye mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika.

    @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu
    Kila la heri @SimbaSCTanzania kwenye mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika. @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu
    Like
    2
    1 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • Kila la heri @yangasc kwenye mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

    @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu @tanfootball
    Kila la heri @yangasc kwenye mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu @tanfootball
    Like
    2
    2 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • #CAFCL Kule Ivory Coast imepigwa ‘hattrick’ na kule Angola watu wamepia la jiooooooooooooooooni

    FT: Stade d’Abdjan 1-3 Al Ahly (Kore 26’ / Ashour 53’, 73’, 90’+5).

    FT: Sagrada Esperanca 0-1 Pyramids (Marwan Hamdi 90’+4)

    Inafuata FAR Rabat vs Raja Casablanca saa 4:00 usiku LIVE #AzamSports1HD

    #CAFChampionsLeague #CAFCL #CCL #LigiYaMabingwaAfrika #StadeDAbidjan #AlAhly #SagradaEsperanca #PyramidsFC
    #CAFCL Kule Ivory Coast imepigwa ‘hattrick’ na kule Angola watu wamepia la jiooooooooooooooooni FT: Stade d’Abdjan 1-3 Al Ahly (Kore 26’ / Ashour 53’, 73’, 90’+5). FT: Sagrada Esperanca 0-1 Pyramids (Marwan Hamdi 90’+4) Inafuata FAR Rabat vs Raja Casablanca saa 4:00 usiku LIVE #AzamSports1HD #CAFChampionsLeague #CAFCL #CCL #LigiYaMabingwaAfrika #StadeDAbidjan #AlAhly #SagradaEsperanca #PyramidsFC
    Like
    1
    1 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • MSIMAMO | Kazi bado ipo Kundi C…

    Kesho; Orlando atakuwa mwenyeji wa Belouizadad….

    #CAFChampionsLeague #CAFCL #KombeLaShirikishoAfrika #CCL #Standing #GroupA #Msimamo #StandingCAFCL
    MSIMAMO | Kazi bado ipo Kundi C… Kesho; Orlando atakuwa mwenyeji wa Belouizadad…. #CAFChampionsLeague #CAFCL #KombeLaShirikishoAfrika #CCL #Standing #GroupA #Msimamo #StandingCAFCL
    Like
    1
    1 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • Leo Julai 11, Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) litaendesha Droo ya hatua za awali za msimu wa 2024/25 katika makao yake makuu huko Cairo, Misri.

    Ni timu 5 tu ambazo hazitakuwepo kwenye hatua ya awali kwenye Ligi ya mabingwa (CAFCL) ambazo ni:
    Al Ahly
    ES Tunis
    Mamelodi Sundowns
    Petro de Luanda
    TP Mazembe
    Timu zingine zitaanzia hatua ya awali

    Kwa Upande Wa Kombe la Shirikisho (CAFCC) timu 12 hazitaanzia hatua ya awali ambazo ni :

    Simba Sc
    RS Berkane
    Zamalek
    Asec Mimosas
    Enyimba
    Stade Malien
    USM Alger
    El Masry
    CS Sfaxien
    AS Vita
    Sekhukhune Utd
    FC Lupopo

    *Weka Emoji Ya Timu Ambayo Unaipa Sapoti Yako Kwenye Michuano Hii Ya Kimataifa*
    Leo Julai 11, Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) litaendesha Droo ya hatua za awali za msimu wa 2024/25 katika makao yake makuu huko Cairo, Misri. Ni timu 5 tu ambazo hazitakuwepo kwenye hatua ya awali kwenye Ligi ya mabingwa (CAFCL) ambazo ni: ⭐Al Ahly ⭐ES Tunis ⭐Mamelodi Sundowns ⭐Petro de Luanda ⭐TP Mazembe ➡️Timu zingine zitaanzia hatua ya awali 💥Kwa Upande Wa Kombe la Shirikisho (CAFCC) timu 12 hazitaanzia hatua ya awali ambazo ni : ⭐Simba Sc ⭐RS Berkane ⭐Zamalek ⭐Asec Mimosas ⭐Enyimba ⭐Stade Malien ⭐USM Alger ⭐El Masry ⭐CS Sfaxien ⭐AS Vita ⭐Sekhukhune Utd ⭐FC Lupopo *Weka Emoji Ya Timu Ambayo Unaipa Sapoti Yako Kwenye Michuano Hii Ya Kimataifa* ⤵️
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue