• Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!

    Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.

    "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.

    "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."

    Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.

    #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal

    #SportsElite
    Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·10 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze.

    Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda

    Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners.

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze. Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·113 Views
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Viktor Gyokeres usajili wake kwenda Arsenal utakamilika, Huku Sporting CP itavuna kiasi cha €80M

    Viktor Gyokeres 26 Anatarajia kutia saini the Gunners kama mshambuliaji mpya chini ya kocha Mikel Arteta..
    🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Viktor Gyokeres usajili wake kwenda Arsenal utakamilika, Huku Sporting CP itavuna kiasi cha €80M 🔴⚪🔐⌛ Viktor Gyokeres 26 Anatarajia kutia saini the Gunners kama mshambuliaji mpya chini ya kocha Mikel Arteta..
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·202 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze ameifungulia mlango Arsenal, Huku akiwa na nia ya kujiunga Gunners! Na ada ya uhamisho £60m

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze ameifungulia mlango Arsenal, Huku akiwa na nia ya kujiunga Gunners! Na ada ya uhamisho £60m❤️🤍 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·148 Views