• nazima majigambo ya maemcee wasio na uwezo,
    hawajui kushika mic halafu wanataka ushindi wa dezo,
    rapu kwangu ni fani na lyrics ndio nyenzo,
    mazee nipo serious..nikibattle nawe usilete mchezo,
    nikianza kuchinja namaliza sihitaji maelezo,
    naswing na vina..kwenye game nimezama kwa kina,
    namfesi yeyote siogopi jina..kwangu chelea pina,
    emcee najifunga kibwebwe huku nanata na biti,
    skillz zangu zinatendi to infiniti,
    Sibattle na emceez wasio fiti..nalinda yangu diginiti,
    nazima majigambo ya maemcee wasio na uwezo, hawajui kushika mic halafu wanataka ushindi wa dezo, rapu kwangu ni fani na lyrics ndio nyenzo, mazee nipo serious..nikibattle nawe usilete mchezo, nikianza kuchinja namaliza sihitaji maelezo, naswing na vina..kwenye game nimezama kwa kina, namfesi yeyote siogopi jina..kwangu chelea pina, emcee najifunga kibwebwe huku nanata na biti, skillz zangu zinatendi to infiniti, Sibattle na emceez wasio fiti..nalinda yangu diginiti,
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·441 Views
  • napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/
    narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/
    enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/
    kigangsta napambana..bars zinapandana/
    metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/
    mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/
    bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/
    hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/
    mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/
    mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/
    batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/
    naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/
    namwona zomba ameketi peponi akichekelea..
    nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa..
    wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa//
    nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/ narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/ enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/ kigangsta napambana..bars zinapandana/ metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/ mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/ bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/ hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/ mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/ mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/ batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/ naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/ namwona zomba ameketi peponi akichekelea.. nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa.. wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa// nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·745 Views
  • Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!!
    Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!!
    Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!!
    Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!!
    Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!!
    Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!!
    Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!!
    Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
    Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!! Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!! Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!! Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!! Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!! Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!! Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!! Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
  • Sukari ndo utamu wa kitumbua..
    Nahodha kuzamisha meli utamu wa mua..
    Utamu wa asali compare na halua..
    Utamu wa mapenzi hasa ukiyajua..
    Utamu wa chumvi kwenye chakula..
    Kuramba chumvi chumvini utapata safura..
    Utamu wa simba iwepo Yanga..
    Utamu wa game zao zinaanza kuchezwa kwa waganga..
    Utamu wa smartphone uwe na emcee bando..
    Ila utamu wa YESU muulize Rose muhando..
    Utamu wa supu chapati mbili..
    Utamu wa chipsi kidogo na pilipili..
    Utamu wa kijiti upate cha Arushwa .
    Kisiwe kibichi kiwe kimekaushwa..
    Utamu wa kigodoro kubambia..
    Utamu wake adi mke wa mtu unamkamatia..
    Sukari ndo utamu wa kitumbua.. Nahodha kuzamisha meli utamu wa mua.. Utamu wa asali compare na halua.. Utamu wa mapenzi hasa ukiyajua.. Utamu wa chumvi kwenye chakula.. Kuramba chumvi chumvini utapata safura.. Utamu wa simba iwepo Yanga.. Utamu wa game zao zinaanza kuchezwa kwa waganga.. Utamu wa smartphone uwe na emcee bando.. Ila utamu wa YESU muulize Rose muhando.. Utamu wa supu chapati mbili.. Utamu wa chipsi kidogo na pilipili.. Utamu wa kijiti upate cha Arushwa . Kisiwe kibichi kiwe kimekaushwa.. Utamu wa kigodoro kubambia.. Utamu wake adi mke wa mtu unamkamatia..
    0 Commenti ·0 condivisioni ·435 Views
  • wanatupeleka wapi wanajifafanya wao ndio mambo yotE
    nachukia kishenzi tabia ya wengi wao ingawa sio wotE
    amtaki kupiga nyimbo paka mpewe chochotE
    emcee mwenyewe hana hata bati ya dopE
    halafu akupe ukanywe pombE
    nadhani wakati umefika wakumtumia hata general KombE
    east zoo ndiko nilko hiphop ndio chimbukO
    vina ndio mwongozo.hakuna wa kunisukuma ka kondoO
    redioni magazetini wanadhani wamemaliza mambO
    hawa taki tena hiphop wanang`ang`aniza mapianO
    wanatupeleka wapi wanajifafanya wao ndio mambo yotE nachukia kishenzi tabia ya wengi wao ingawa sio wotE amtaki kupiga nyimbo paka mpewe chochotE emcee mwenyewe hana hata bati ya dopE halafu akupe ukanywe pombE nadhani wakati umefika wakumtumia hata general KombE east zoo ndiko nilko hiphop ndio chimbukO vina ndio mwongozo.hakuna wa kunisukuma ka kondoO redioni magazetini wanadhani wamemaliza mambO hawa taki tena hiphop wanang`ang`aniza mapianO
    Like
    4
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·397 Views