• Ni msanii maarufu hapa tz mtaje jina lake kama unamfahamu
    Ni msanii maarufu hapa tz mtaje jina lake kama unamfahamu
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·13 مشاهدة
  • Ilichukua zaidi ya miezi mitatu kuzima moto mkubwa na kusafisha eneo la tukio. Ujenzi, ambao uligharimu mamia ya mamilioni ya dola, ulidumu hadi 2007.
    Ilichukua zaidi ya miezi mitatu kuzima moto mkubwa na kusafisha eneo la tukio. Ujenzi, ambao uligharimu mamia ya mamilioni ya dola, ulidumu hadi 2007.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·57 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 8 Watu karibu 3,000 waangamia katika mashambulizi Mashambulizi haya manne, yaliyotekelezwa chini ya saa mbili, yaligharimu maisha ya watu 2,977, ikiwa ni pamoja na waokoaji 441 kutoka mji wa New York. Zaidi ya watu 6,000 walijeruhiwa na wengine waliumwa magonjwa yanayohusiana na mashambulio hayo, haswa kwa sababu walivuta chembe zenye sumu ambazo ziliendelea kwa wiki kadhaa baada ya mashambulio.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·63 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 7 Saa 4:28 asubuhi, Mnara wa Kaskazini wa WTC ulianguka, dakika 102 baada ya athari iliyosababishwa na ndege ya shirika la ndege la American Airlines. Mamia ya watu, ambao hawakuweza kuondolewa, ikiwa ni pamoja na waokoaji waliokuwa katika ghorofa, walifukiwa na vifusi vya jengo hilo. Minara hiyo inayoanguka pia ilisababisha uharibifu mkubwa kwa majengo yaliyo kuwa karibu, kama mnara wa 7 wa WTC, ambao ulidondoka saa 11:20 jioni.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·62 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 6 Saa 3:59 asubuhi, Mnara wa Kusini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center (WTC) ulidondoka wenyewe, dakika 55 matukio hayo ya kwanza. Ndege ya nne, ya shirika la ndege la United Airlines Flight 93, ilianguka saa 10: 03 asubuhi kwenye chamba moja karibu na Pittsburg, huko Pennsylvania, ikiwa na watu 44, wakiwemo magaidi wanne. Abiria kwenye ndege hiyo waliripotiwa kupigana na watekaji nyara baada ya kuambiwa juu ya mkasa huo kwenye simu zao za rununu. Inaaminika kwamba ndege hii, iliyokuwa ikielekea Washington,ilienda kushambulia Capitol, makao makuu ya Bunge la Marekani.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·60 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 5 Lakini saa 3:37 asubuhi huko Virginia, ndege ya tatu, ya shirika la ndege la American Airlines Flight 77, ilianguka katika sehemu ya magharibi ya Pentagon, makao makuu ya wizara ya Ulinzi ya Marekani, ikiwa na watu 64, wakiwemo watu watano wa kujitoa mhanga.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·60 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 4 2:46 asubuhi, ulimwengu wapigwa na bumbuwazi Ilikuwa saa 2:46 asubuhi, saa zahuko New York, wakati Boeing 767 kutoka shirika la ndege la American Airlines Flight 11 ilipoanguka kwenye Mnara wa Kaskazini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center , ikiwa na watu 92 , wakiwemo magaidi watano. Dakika kumi na saba baadaye, saa 3:03 asubuhi, vituo kadhaa vya televisheni vilikuwa vikitangaza tukio hilo, watu waliona ndege ya shirika la ndege la United Airlines Flight 175 ikigonga Mnara wa Kusini wa jengo hilo la kibiashara. Watu 65 walikuemo, ikiwa ni pamoja na watekaji nyara watano. Wakati moto ukiharibu sakafu za juu za minara hiyo miwili, Andrew Card, mkurugenzi katika ofisi ya rais, alimfahamisha rais George W. Bush: “Ndege ya pili imegonga mnara mwingine na Marekani sasa inashambuliwa. "
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·60 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 3 Chini ya saa mbili, majengo muhimu ya nchi hii yenye nguvu duniani yalishambuliwa, na kuua karibu watu 3,000 na kujeruhi maelfu kadhaa. Mashambulio haya, ambayo ni mabaya zaidi katika historia ya kisasa, yaliuacha ulimwengu wote kwa mshtuko mkubwa.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·66 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 2 Kwa mara ya pili katika historia yake, Marekani ilikumbwa na shambulio la ndani, hali ambayo ilishuwa wengi wakati Marekani ni mojawapo ya nchi zenye nguvu duniani ambapo ni vigumu kupenya na kufanya shambulizi kubwa kama hilo.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·63 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    PART 1 Miaka ishirini iliyopita, asubuhi ya Septemba 11, 2001 katika pwani ya mashariki mwa Marekani, ndege nne za abiria zilitekwa nyara kwa wakati mmoja na magaidi 19 na kusababisha vifo vya maelfu ya watu baada ya kugonga minara pacha ya kituo cha bisahara cha World Trade Center nchini Marekani.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·8 مشاهدة
  • Osama Bin Laden, al-Qaeda na mwanzo wa shambulio la Septemba 11, 2001.

    Uzi👇🏿
    Osama Bin Laden, al-Qaeda na mwanzo wa shambulio la Septemba 11, 2001.🧨 Uzi🧵👇🏿
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·4 مشاهدة
  • Your life will never be the same
    #motivationalQuote
    Your life will never be the same #motivationalQuote
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·7 مشاهدة
  • اقرأ أكثر
    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo 🇨🇩, Felix Tshisekedi ameitaka Nchi ya Marekani 🇺🇸 kununua madini moja kwa moja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo akiitaja ndio "mmiliki halisi" wa rasilimali hizo na sio Nchi Rwanda 🇷🇼. Tshisekedi amesema kuwa anaanza kwa kutoa ofa hiyo kwa Marekani kwanza huku akitoa pendekezo hilo pia liko wazi kwa mataifa ya Umoja Ulaya (EU) na wanunuzi wengine wanaotafuta na kununua madini kutoka Nchini Rwanda kwa sasa. Rais huyo amewaonya Mataifa yanayonunua madini kutoka Nchini Rwanda kuwa wanachukua madini yaliyoibwa kutoka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, kwahiyo wanatakiwa kununua kwa mmiliki halali. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Rwanda ni moja ya kati ya Nchi zinauza madini mengi barani Afrika kwa Mataifa ya Ulaya, Marekani na Asia.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·9 مشاهدة
  • What y'all doing today
    What y'all doing today
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·41 مشاهدة
  • Whatsapp
    Whatsapp
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·40 مشاهدة
  • Uaminifu ni zawadi ya thamani kubwa sana, Usiutarajie kupata kutoka kwa watu wa bei rahisi
    Uaminifu ni zawadi ya thamani kubwa sana, Usiutarajie kupata kutoka kwa watu wa bei rahisi
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·93 مشاهدة
  • Zambia wana Laptop zao zinaitwa NEO, Rwanda wana MARA Phones na Satelite , Uganda wana Simu zao zinaitwa SIMI, Kenya wana Laptop zao zinaitwa TAIFA Wana Starlink pia wana Satelite yao, Tanzania tuna nini ?
    Zambia wana Laptop zao zinaitwa NEO, Rwanda wana MARA Phones na Satelite , Uganda wana Simu zao zinaitwa SIMI, Kenya wana Laptop zao zinaitwa TAIFA Wana Starlink pia wana Satelite yao, Tanzania tuna nini ?
    Like
    Wow
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·119 مشاهدة
  • Nyayo zetu zimebeba nerves za viungo vyetu vyote. Kwahiyo tenga mda uwani kwako ama sehemu salama kutembea miguu peku mara kwa mara, itaponya maradhi mengi. Usipuuzie!!
    Nyayo zetu zimebeba nerves za viungo vyetu vyote. Kwahiyo tenga mda uwani kwako ama sehemu salama kutembea miguu peku mara kwa mara, itaponya maradhi mengi. Usipuuzie!!
    Like
    Love
    2
    · 2 التعليقات ·0 المشاركات ·50 مشاهدة
  • Guys nifollow then like post zangu nam ntakufollow back na kulike
    Guys nifollow then like✅ post zangu nam ntakufollow back na kulike✅
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·59 مشاهدة
  • What's football funny
    What's football funny⚽⚽😂😂
    00:00
    00:00
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·32 مشاهدة ·1
الصفحات المعززة