• BREAKING : Uongozi wa Real Madrid C.F. pamoja na Xabi Alonso wako tayari kwa pamoja kumruhusu Rodrygo Silva de Goes kuondoka Klabuni hapo majira haya ya joto. Wamekubaliana kuwa klabu haitamzuia mchezaji huyo ikiwa ofa inayofaa itatolewa.


    Source: [ MarioCortegana ]

    #SportsElite
    BREAKING 馃敶: Uongozi wa Real Madrid C.F. pamoja na Xabi Alonso wako tayari kwa pamoja kumruhusu Rodrygo Silva de Goes kuondoka Klabuni hapo majira haya ya joto. Wamekubaliana kuwa klabu haitamzuia mchezaji huyo ikiwa ofa inayofaa itatolewa. Source: [ MarioCortegana ] #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 27 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    馃彑 Michezo - 182
    鈿斤笍 Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 馃晩.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    馃嚨馃嚬 馃槩 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.馃槩 . Q馃毃 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 馃毃 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 馃彑 Michezo - 182 鈿斤笍 Mabao - 65 馃幆 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 馃槩 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii馃槶 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 馃挃 . 馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"馃槩 . Weka Alama hii 馃檹 Kama kumuombea Diogo Jota. 馃挃 Mungu Atupe mwisho Mwema 馃挃馃檹馃晩. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Comments 0 Shares 153 Views
  • BREAKING

    Lyon wameshushwa Daraja huko Ligue 1 licha ya kumaliza katika nafasi ya 6!

    Sababu iliyofanya mpka klabu hiyo ikashushwa daraja ni swala la kiuchumi wanapitia wakati mgumu kiuchumi

    Source [Fabrizio Romano]

    #sportselite
    BREAKING馃毃 馃嚝馃嚪Lyon wameshushwa Daraja huko Ligue 1 licha ya kumaliza katika nafasi ya 6! Sababu iliyofanya mpka klabu hiyo ikashushwa daraja ni swala la kiuchumi wanapitia wakati mgumu kiuchumi馃挵 Source [Fabrizio Romano] #sportselite
    0 Comments 0 Shares 133 Views
  • | BREAKING:

    Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil.

    Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife.

    Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni.

    — Felix Diaz | Marca

    #sportselite
    馃毃| BREAKING: Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil. Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife. Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni. — Felix Diaz | Marca 馃 #sportselite
    0 Comments 0 Shares 141 Views
  • BREAKING

    Napoli waanza harakati za kumsajili Jadon Sancho! 鈿笍

    Kwa mujibu wa Sky Italia, Napoli wanamwona winga wa Manchester United kama usajili muhimu kwa mipango yao ya msimu ujao.
    Mazungumzo yanatarajiwa kusonga mbele katika siku chache zijazo

    #sportselite
    馃毃 BREAKING Napoli waanza harakati za kumsajili Jadon Sancho! 馃煢鈿笍 Kwa mujibu wa Sky Italia, Napoli wanamwona winga wa Manchester United kama usajili muhimu kwa mipango yao ya msimu ujao. Mazungumzo yanatarajiwa kusonga mbele katika siku chache zijazo #sportselite
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 193 Views
  • BREAKING

    Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze

    Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.

    #sportselite
    馃毃 BREAKING Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze 馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩 Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.馃挵 #sportselite
    Like
    Angry
    2
    0 Comments 0 Shares 200 Views
  • BREAKING NEWS…..!!!!!

    FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea.

    Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea....

    #sportselite
    馃毃BREAKING NEWS…..!!!!! FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea. Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea.... #sportselite
    Wow
    1
    0 Comments 0 Shares 300 Views
  • BREAKING

    Klabu ya FC Barcelona ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Nico William Jr kutokea klabu ya Athletic Club Bilbao.

    #sportselite
    BREAKING 馃敶 Klabu ya FC Barcelona ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Nico William Jr kutokea klabu ya Athletic Club Bilbao. #sportselite
    Wow
    1
    0 Comments 0 Shares 174 Views
  • BREAKING Chelsea inakaribia kukubaliana na Man United kumsajili Winga Alejandro Garnacho, .

    Chelsea tayari imefanya mazungumzo na kambi kuu ya mchezaji na sasa inajiandaa kufanya makubaliano na Manchester United juu ya kukamilisha Usajili huo.

    Source Fabrizio Romano
    馃毃BREAKING Chelsea inakaribia kukubaliana na Man United kumsajili Winga Alejandro Garnacho, 馃嚘馃嚪 馃數. Chelsea tayari imefanya mazungumzo na kambi kuu ya mchezaji na sasa inajiandaa kufanya makubaliano na Manchester United juu ya kukamilisha Usajili huo. Source Fabrizio Romano
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 800 Views
  • BREAKING
    *ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI MUDA HUU KUTOKA UTUMISHI KADA ZA AFYA, TAASISI MBALIMBALI.*


    > PAKUA PDF HAPA:- https://wananchiforum.com/threads/kuitwa-kazini-kada-za-afya-na-taasisi-mbalimbali-5-desemba-2024.320/
    BREAKING 馃毃 *ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KAZINI MUDA HUU KUTOKA UTUMISHI KADA ZA AFYA, TAASISI MBALIMBALI.* > PAKUA PDF HAPA:- https://wananchiforum.com/threads/kuitwa-kazini-kada-za-afya-na-taasisi-mbalimbali-5-desemba-2024.320/
    KUITWA KAZINI KADA ZA AFYA NA TAASISI MBALIMBALI 5 DESEMBA 2024
    wananchiforum.com
    TANGAZO LA KUITWA KAZINI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 03-09-2024 na tarehe...
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 792 Views
  • #Breaking: Hamas iko tayari kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kufuatia kutangazwa kwa mapatano kati ya Lebanon na Israel, AFP inaripoti, ikimnukuu mwakilishi wa harakati hiyo......
    #Breaking: Hamas iko tayari kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kufuatia kutangazwa kwa mapatano kati ya Lebanon na Israel, AFP inaripoti, ikimnukuu mwakilishi wa harakati hiyo......
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 819 Views
  • BREAKING NEWS | Hatimae TS Galaxy ya Afrika Kusini imeshinda mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu Afrika Kusini baada ya michezo yote sita chini ya German Machine, Saed Ramovic kupigwa nne na sare michezo miwili.

    Leo chini ya Kocha mpya Adnan Beganovic wameshinda 3-1 dhidi ya Shekhukune ambayo ipo nafasi ya sita kwenye PSL, hii pia ni mara ya kwanza kushinda ugenini na kuvuka mabao mawili.
    BREAKING NEWS | Hatimae TS Galaxy ya Afrika Kusini imeshinda mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu Afrika Kusini baada ya michezo yote sita chini ya German Machine, Saed Ramovic kupigwa nne na sare michezo miwili. Leo chini ya Kocha mpya Adnan Beganovic wameshinda 3-1 dhidi ya Shekhukune ambayo ipo nafasi ya sita kwenye PSL, hii pia ni mara ya kwanza kushinda ugenini na kuvuka mabao mawili.
    Like
    Love
    3
    3 Comments 0 Shares 697 Views
  • #BREAKING: Athari za moja kwa moja huko Nahariya, kaskazini mwa Israel kufuatia msururu wa roketi zilizorushwa na Hezbollah kutoka Lebanon..

    https://www.facebook.com/100065398263779/videos/915805180021945/?app=fbl

    #BREAKING: Athari za moja kwa moja huko Nahariya, kaskazini mwa Israel kufuatia msururu wa roketi zilizorushwa na Hezbollah kutoka Lebanon.. https://www.facebook.com/100065398263779/videos/915805180021945/?app=fbl
    #BREAKING: Athari za moja kwa moja huko Nahariya, kaskazini mwa Israel kufuatia msururu wa roketi zilizorushwa na Hezbollah kutoka Lebanon.. | By Mk Swahili
    www.facebook.com
    #BREAKING: Athari za moja kwa moja huko Nahariya, kaskazini mwa Israel kufuatia msururu wa roketi zilizorushwa na Hezbollah kutoka Lebanon..
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 989 Views
  • #BREAKING: Mapigano nchini Pakistan yamesababisha vifo vya afisa mmoja, makumi ya wengine kujeruhiwa Angalau afisa mmoja wa polisi aliuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na wafuasi wa Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan karibu na Islamabad siku ya Jumatatu. Vurugu hizo zilizuka huku kukiwa na kizuizi cha usalama na kufuata mwito wa Khan wa maandamano.



    https://www.facebook.com/100065398263779/posts/pfbid0vhhiBod6r6T9g7PwYsBxrZf5P6fBq2PV7kJMdZBRbeoByP1kKstM724h5vMcbE8bl/?app=fbl
    #BREAKING: Mapigano nchini Pakistan yamesababisha vifo vya afisa mmoja, makumi ya wengine kujeruhiwa Angalau afisa mmoja wa polisi aliuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama na wafuasi wa Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan karibu na Islamabad siku ya Jumatatu. Vurugu hizo zilizuka huku kukiwa na kizuizi cha usalama na kufuata mwito wa Khan wa maandamano. https://www.facebook.com/100065398263779/posts/pfbid0vhhiBod6r6T9g7PwYsBxrZf5P6fBq2PV7kJMdZBRbeoByP1kKstM724h5vMcbE8bl/?app=fbl
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 909 Views
  • UBAYA UBWELA Breaking News!

    Leo saa 11:30 jioni.

    Taarifa zaidi tumia Simba App #WenyeNchi #NguvuMoja
    UBAYA UBWELA Breaking News! Leo saa 11:30 jioni. Taarifa zaidi tumia Simba App #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    Love
    4
    2 Comments 0 Shares 795 Views
  • BREAKING NEWS

    Uwayezu Francois Regis ambaye ni Raia wa Rwanda rasmi atakuwa CEO Mpya wa Simba sc kuanzia tarehe 1 August akichukua nafasi ya Imani Kajula aliyemaliza muda wake

    Francois, alikuwa Makamu Mwenyekiti wa klabu ya APR ya Rwanda pia amewahi pia kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka cha Rwanda (FERWAFA) #paulswai
    馃毃BREAKING NEWS Uwayezu Francois Regis ambaye ni Raia wa Rwanda rasmi atakuwa CEO Mpya wa Simba sc kuanzia tarehe 1 August akichukua nafasi ya Imani Kajula aliyemaliza muda wake Francois, alikuwa Makamu Mwenyekiti wa klabu ya APR ya Rwanda pia amewahi pia kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka cha Rwanda (FERWAFA) #paulswai
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 752 Views
  • BREAKING NEWS

    Klabu ya Simba imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu.
    .
    Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi.

    KARIBU UNYAMANI AUGUSTINE

    Follow ukurasa wetu

    .

    #cktvtanzania
    BREAKING NEWS Klabu ya Simba imethibitisha rasmi kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria 馃嚦馃嚞 kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu. . Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi. KARIBU UNYAMANI AUGUSTINE Follow ukurasa wetu . #cktvtanzania
    0 Comments 0 Shares 993 Views
  • BREAKINGAliyewahi kuwa Muwekezaji wa Klabu ya Yanga SC na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL) Bilionea Yusuf Manji amefariki dunia leo, Juni 30, 2024.

    Yusuph Manji amefariki dunia akiwa Marekani alipokuwa akipatiwa matibabu.

    R.I.P
    BREAKING馃毃Aliyewahi kuwa Muwekezaji wa Klabu ya Yanga SC na Mkurugenzi wa Quality Group Limited (QGL) Bilionea Yusuf Manji amefariki dunia leo, Juni 30, 2024. Yusuph Manji amefariki dunia akiwa Marekani alipokuwa akipatiwa matibabu. R.I.P
    0 Comments 0 Shares 806 Views
  • BREAKING.

    Rasmi Ligi kuu Tanzania NBCPL msimu ujao Itatumia VAR katika mashindano yote.

    Akisoma Bajeti ya Fedha 2024/25 Waziri Wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba amethibitisha ilo na kuomba kusiwepo na Kodi Kwa vifaa vya VAR.

    MSIMU UJAO TUTAONA MENGI
    馃毃BREAKING. Rasmi Ligi kuu Tanzania NBCPL 馃嚬馃嚳 msimu ujao Itatumia VAR katika mashindano yote. Akisoma Bajeti ya Fedha 2024/25 Waziri Wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba amethibitisha ilo na kuomba kusiwepo na Kodi Kwa vifaa vya VAR. MSIMU UJAO TUTAONA MENGI 馃嚬馃嚳馃毃
    Love
    Like
    3
    2 Comments 0 Shares 1K Views
  • BREAKING

    Club ya Manchester United iko mbioni kuinasa saini ya beki wa Chelsea Trevoh Chalobah.

    馃搶BREAKING Club ya Manchester United iko mbioni kuinasa saini ya beki wa Chelsea Trevoh Chalobah. 馃馃馃
    Like
    Love
    Sad
    5
    2 Comments 0 Shares 1K Views
More Results