• Yeyooo
    #HipHop
    Yeyooo #HipHop
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 235 Views
  • stebo zaidi ya mlima mtu mzima nimesimama,

    jaribu pima uzikwe mzima mzima,

    nime simama mtu mzima,

    nashanga upo macho pima,

    kila verse nayo2pa ngumu mithil ya chuma,

    me superstar hat bado cjavuma,

    mnyao mnachamba wima,

    nawaongoza wafuasi shazi nyuma,

    kiongozi shupavu kusimamisha hiphop wima,

    chuma, hama kwepa lawama muabudu maulana,

    bila sahau mshua boy big up mtu mzima nakupa free,

    vina vinajaa kwenye mashairi,mwenyewe utakiri,mi tajri maskini ila kafiri,kafiri!

    kamavp njoo nkupe dili kachimbe kaburi ,kazike kiburi,
    stebo zaidi ya mlima mtu mzima nimesimama, jaribu pima uzikwe mzima mzima, nime simama mtu mzima, nashanga upo macho pima, kila verse nayo2pa ngumu mithil ya chuma, me superstar hat bado cjavuma, mnyao mnachamba wima, nawaongoza wafuasi shazi nyuma, kiongozi shupavu kusimamisha hiphop wima, chuma, hama kwepa lawama muabudu maulana, bila sahau mshua boy big up mtu mzima nakupa free, vina vinajaa kwenye mashairi,mwenyewe utakiri,mi tajri maskini ila kafiri,kafiri! kamavp njoo nkupe dili kachimbe kaburi ,kazike kiburi,
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 345 Views
  • Achana na nguvu za giza,
    Nasoma yasiyo andikika,

    Naandika yasiyosomeka,
    Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika,

    Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika,
    Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika,

    Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika,
    Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika,

    Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika,
    Kwa kalamu naandika,
    Mikono inavimba mchiz napigika,

    Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba,

    Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika,

    Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika,
    Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika,

    Me ndo mc mpatashika,
    Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
    Achana na nguvu za giza, Nasoma yasiyo andikika, Naandika yasiyosomeka, Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika, Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika, Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika, Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika, Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika, Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika, Kwa kalamu naandika, Mikono inavimba mchiz napigika, Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba, Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika, Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika, Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika, Me ndo mc mpatashika, Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 311 Views
  • HAHAHAA,KILA SKANI MI NATIMBA,
    DAR A TOWN HADI BUTIMBA,
    UNA****A UNAKIMBIA MIMBA,
    TEGEMEA KIPAJI SIO NDUMBA,

    IKIGOMA 2TAKUONA MCHUMBA,
    NASONGA JAPO MIPANGO INA YUMBA,
    MTOTO WA MJINI KUONEKANA MCHUMBA,

    SKANI TUNA SMOKE,
    SOME PULIZA COKE,

    KAMA PARTY NA WHISKY,
    UR RHYMES R PITY,UR FACE IS BEAUTY,
    QUALIFY 2 BEAUTY CONTEST,
    NOT HIPHOP LYRICS,
    THIS IZ ANOTHER LEVEL,

    U'L NEVER CATCH ME,
    A GOT BLESSES IN ME ,

    LIK KING SOLOMOM,
    AND THE WORDS OF WISDOM,

    SEX WIT CONDOM,
    INAPOTEZA HAMU,STILL KITU MUHIM,

    NIT LIKU NDUMU,BLUNT,WEED DA JOOOINT
    BABBY, WORD UP
    GET HIGH EVERY DAY,
    EVERY RYHM A KICK LYK A BOOM SOUND

    UMECHOKA HUKU UMESIMAMA
    HAHAHAA,KILA SKANI MI NATIMBA, DAR A TOWN HADI BUTIMBA, UNA****A UNAKIMBIA MIMBA, TEGEMEA KIPAJI SIO NDUMBA, IKIGOMA 2TAKUONA MCHUMBA, NASONGA JAPO MIPANGO INA YUMBA, MTOTO WA MJINI KUONEKANA MCHUMBA, SKANI TUNA SMOKE, SOME PULIZA COKE, KAMA PARTY NA WHISKY, UR RHYMES R PITY,UR FACE IS BEAUTY, QUALIFY 2 BEAUTY CONTEST, NOT HIPHOP LYRICS, THIS IZ ANOTHER LEVEL, U'L NEVER CATCH ME, A GOT BLESSES IN ME , LIK KING SOLOMOM, AND THE WORDS OF WISDOM, SEX WIT CONDOM, INAPOTEZA HAMU,STILL KITU MUHIM, NIT LIKU NDUMU,BLUNT,WEED DA JOOOINT BABBY, WORD UP GET HIGH EVERY DAY, EVERY RYHM A KICK LYK A BOOM SOUND UMECHOKA HUKU UMESIMAMA
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 227 Views
  • napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/
    narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/
    enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/
    kigangsta napambana..bars zinapandana/
    metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/
    mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/
    bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/
    hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/
    mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/
    mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/
    batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/
    naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/
    namwona zomba ameketi peponi akichekelea..
    nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa..
    wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa//
    nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    napanda kitandani na movie ya kuzimu ndio inaanza/ narudisha miaka nyuma kurudisha enzi za HBC na KWANZA/ enzi za real hiphop hakuna vikatuni vilivyojibanza/ kigangsta napambana..bars zinapandana/ metaphorz zinafanana..punch zinafuatana/ mashairi na kinywa vinajamiiana.. ninacho ongea na ukweli vinashabihiana/ bifu zinaongezeka na emceez wanachinjana.. live kwenye cypher wanauwana/ hadi wakongwe hakuna wanaopatana.. kila mmoja anaspit kwa kina na mapana/ mapresenter wanajaribu kubana.. lakini vichwa halisi vinaendelea kuchana/ mahardcore wanamwaga vesi za kinabii kwenye cypher zinalundikana/ batto zinaanzishwa emcee feki wanafichama.. wanajifanya makamanda kumbe watoto wa mama/ naleta propaganda wote waliopo juu wanapigwa mitama/ namwona zomba ameketi peponi akichekelea.. nigga one ameketi pembeni hiphop inaongelewa.. wanadiscuss jinsi kuleta unabii hiphop bongo ikapokelewa// nastuka duuh kumbe nilikuwa naota....................
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 371 Views
  • Saka face ya Hiphop zaidi ya face Yangu...
    Face ya mac kwa rap.. ni face ya Nundu...
    Saka face ya Hiphop zaidi ya face Yangu... Face ya mac kwa rap.. ni face ya Nundu...
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 153 Views
  • Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti..
    Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi..
    Nipe kipaza.. Unae taka midondoko..
    Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko..
    Nipe dili.. Ukitaka kuni wish..
    Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich..
    Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi..
    Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi..
    Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu..
    Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti.. Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi.. Nipe kipaza.. Unae taka midondoko.. Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko.. Nipe dili.. Ukitaka kuni wish.. Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich.. Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi.. Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi.. Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu.. Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 351 Views
  • Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti..
    Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi..
    Nipe kipaza.. Unae taka midondoko..
    Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko..
    Nipe dili.. Ukitaka kuni wish..
    Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich..
    Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi..
    Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi..
    Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu..
    Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti.. Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi.. Nipe kipaza.. Unae taka midondoko.. Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko.. Nipe dili.. Ukitaka kuni wish.. Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich.. Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi.. Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi.. Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu.. Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 322 Views
  • Nimechoka Kupost, Wacha Ni Rest/
    Nimebaka Beat Kotini Nipo Na kesi/
    Hizo Zenu tetesi, Hiphop Hai Lost/
    Mvuvi Usipinge Mbizi Haya Maji Si Ya Utosi/
    Uhuru Kwa Wakimbizi, Garama Zina Cost/






    Nimechoka Kupost, Wacha Ni Rest/ Nimebaka Beat Kotini Nipo Na kesi/ Hizo Zenu tetesi, Hiphop Hai Lost/ Mvuvi Usipinge Mbizi Haya Maji Si Ya Utosi/ Uhuru Kwa Wakimbizi, Garama Zina Cost/
    Like
    3
    1 Comments 0 Shares 157 Views
  • tangu ni murdane na chuo nikaanza kusaka kazi mfukoni na degree lakini sina gangi/
    ofisini naambiwa tu samahani jamaa nitatoa wapi changu cha kubanza kwa sahani nikapoa basi na kuanza kuchora mistari/
    yaani kujenga verses na kuzipanga tu kiplani/
    mwauliza nani ni... MC flani na kama nyinyi nina nia ya kusaka mali/
    basi tafadhali.... Skiza habari Dom rap phenomenon no longer chini ya maji/
    na spit nice nikisha shika MIC ni the rap resurrector na niko kila sector/
    nabreath life into tha game siwezi acha/
    kuredefine tha... Dom hiphop chapter si fame au name wala praise mi nasaka/
    tangu ni murdane na chuo nikaanza kusaka kazi mfukoni na degree lakini sina gangi/ ofisini naambiwa tu samahani jamaa nitatoa wapi changu cha kubanza kwa sahani nikapoa basi na kuanza kuchora mistari/ yaani kujenga verses na kuzipanga tu kiplani/ mwauliza nani ni... MC flani na kama nyinyi nina nia ya kusaka mali/ basi tafadhali.... Skiza habari Dom rap phenomenon no longer chini ya maji/ na spit nice nikisha shika MIC ni the rap resurrector na niko kila sector/ nabreath life into tha game siwezi acha/ kuredefine tha... Dom hiphop chapter si fame au name wala praise mi nasaka/
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 230 Views
More Results