• Liverpool FC iko mbioni kukamilisha usajiri wa Marc Guehi

    (Source: Mirror)

    #sportselite
    🚨 Liverpool FC iko mbioni kukamilisha usajiri wa Marc Guehi (Source: Mirror) #sportselite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1 Views
  • 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Milos Kerkez akiwa njiani kuelekea Merseyside kutia saini Liverpool

    Kwa ada ya uhamisho £40m done… deal , confirmed

    #sportselite
    🚨 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Milos Kerkez akiwa njiani kuelekea Merseyside kutia saini Liverpool Kwa ada ya uhamisho £40m done… deal , confirmed ☑️🇭🇺 #sportselite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·86 Views
  • BRAKING: Bayern Munich imeingia kwenye mbio za kuisaka saini ya Mkolombia Luis Diaz (28) Liverpool

    #sportselite
    BRAKING: Bayern Munich imeingia kwenye mbio za kuisaka saini ya Mkolombia Luis Diaz (28) Liverpool #sportselite
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·60 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bayer Leverkusen imefikia makubaliano ya kumsajiri Jarell Quansah kutoka Liverpool ⚫️

    ada ya uhamisho £30m na nyongeza ya £5m
    Kandarasi hadi June 2030,vipimo vitafanyika wiki ijayo...

    #sportselite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bayer Leverkusen imefikia makubaliano ya kumsajiri Jarell Quansah kutoka Liverpool 🔴⚫️🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 ada ya uhamisho £30m na nyongeza ya £5m Kandarasi hadi June 2030,vipimo vitafanyika wiki ijayo... #sportselite
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·74 Views
  • Miongoni mwa mabeki wanao windwa na vilabu ulaya ni beki za Bournemouth,huwenda tukazikosa msimu ujao ndani ya Bournemouth

    Dean Huijsen Madrid (hatua za mwishoni)
    Milos Kerkez Liverpool (dili limekamilika)
    Illia Zabarnyi PSG (dili liko mbioni kukamilika)

    Bournemouth mwendo wa kupiga mpunga tu!
    🍒🌟 Miongoni mwa mabeki wanao windwa na vilabu ulaya ni beki za Bournemouth,huwenda tukazikosa msimu ujao ndani ya Bournemouth 🇪🇸 Dean Huijsen ➡️ Madrid (hatua za mwishoni) 🇭🇺 Milos Kerkez ➡️ Liverpool (dili limekamilika) 🇺🇦 Illia Zabarnyi ➡️ PSG (dili liko mbioni kukamilika) Bournemouth mwendo wa kupiga mpunga tu!💰
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·96 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool inahitaji huduma ya Victor Osimhen,lakini Napoli inahitaji kiasi cha £64 ili kuipata saini ya Straika huyo

    Pamoja na hayo Liverpool imemuweka Federico Chiesa pamoja na Darwin Núñez kama njia ya kumpata Osimhen,lakini raisi wa Napoli wanahitaji nyongeza ya £17 million ili kukamilisha dili hilo....
    #sportselite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇳🇬 Liverpool inahitaji huduma ya Victor Osimhen,lakini Napoli inahitaji kiasi cha £64 ili kuipata saini ya Straika huyo Pamoja na hayo Liverpool imemuweka Federico Chiesa pamoja na Darwin Núñez kama njia ya kumpata Osimhen,lakini raisi wa Napoli wanahitaji nyongeza ya £17 million ili kukamilisha dili hilo.... #sportselite
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·147 Views
  • 👋🏻 Jarell Quansah huwenda akaondoka Liverpool kujiunga na Bayer Leverkusen

    #sportselite
    🚨👋🏻 Jarell Quansah huwenda akaondoka Liverpool kujiunga na Bayer Leverkusen 👀✅ #sportselite
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·88 Views
  • Usajiri ambao umefanyika Liverpool hadi sasa

    Liverpool get Florian Wirtz, Jeremie Frimpong,usajiri huu jumla umegharimu £200m 😮‍💨

    #sportselite
    Usajiri ambao umefanyika Liverpool hadi sasa🎯🎯🎯 Liverpool get Florian Wirtz, Jeremie Frimpong,usajiri huu jumla umegharimu £200m 😮‍💨💸 #sportselite
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·114 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Federico Chiesa huwenda akapewa mkono wa kwaheri majira ya baridi Liverpool...
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Federico Chiesa huwenda akapewa mkono wa kwaheri majira ya baridi Liverpool...
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·79 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Florian Wirtz huenda akajiunga na mabingwwa wa uingereza msimu huu wa joto Liverpool na tayari mazungumzo binafsi na Wirtz yamekamilika.


    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Florian Wirtz huenda akajiunga na mabingwwa wa uingereza msimu huu wa joto Liverpool na tayari mazungumzo binafsi na Wirtz yamekamilika.
    Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·204 Views
  • #liverpool
    #liverpool
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·415 Views
  • #SportsElite
    FT: Everton vs Liverpool
    #SportsElite🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 FT: Everton vs Liverpool
    Angry
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·622 Views
  • #SportsElite TETESIArsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football),

    Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks)

    Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes)

    Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),
    #SportsElite TETESI🌏Arsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football), Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks) Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes) Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • #SportsElite
    @FA cup
    Liverpool
    Chelsea
    Arsenal
    Wababe nje ya FA
    #SportsElite @FA cup Liverpool ✂️ Chelsea ✂️ Arsenal ✂️ Wababe nje ya FA
    Haha
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·868 Views
  • Mo Salah amebakisha mabao 83 kuivunja rekodi ya ufungaji bora wa muda wote ya ligi kuu ya England inayoshikiliwa na muingereza Alan Shearer.

    Kwa sasa Salah yupo nafasi ya 6 akiwa na mabao 178, na anayo nafasi ya kupanda hadi nafasi ya 5 na kumshusha Sergio Kun-Aguero mwenye mabao 184, endapo atafunga mabao 7 katika mechi 15 zilizobaki. Na kama itakuwa hivyo basi atakuwa amebakisha mabao 76 ili kuvunja kabisa ya muda wote.

    Kwa rekodi ya ufungaji ya Salah, atahitaji misimu angalau minne kuifikia rekodi hii. Hii ni kwa sababu tangu ajiunge Liverpool 2016/18 amekuwa na wastani wa kufunga mabao 22 kwa msimu.

    2024/25 - 21
    2023/24 - 18
    2022/23 - 19
    2021/22 - 23
    2020/21 - 22
    2019/20 - 19
    2018/19 - 22
    2017/18 - 32

    Mkataba wa Mo Salah utaisha mwishoni mwa msimu huu na mazungumzo ya mkataba mpya yanasuasua. Salah mwenye miaka 32 amesema anatamani kubaki Liverpool, akini apewe mkataba wa miaka mitatu hadi 2028.

    Ila wamiliki wa klabu hiyo, kampuni ya FSG, wanasita kutoa mkataba mrefu namna hiyo kwa hofu ya umri wake.

    Mo Salah amebakisha mabao 83 kuivunja rekodi ya ufungaji bora wa muda wote ya ligi kuu ya England inayoshikiliwa na muingereza Alan Shearer. Kwa sasa Salah yupo nafasi ya 6 akiwa na mabao 178, na anayo nafasi ya kupanda hadi nafasi ya 5 na kumshusha Sergio Kun-Aguero mwenye mabao 184, endapo atafunga mabao 7 katika mechi 15 zilizobaki. Na kama itakuwa hivyo basi atakuwa amebakisha mabao 76 ili kuvunja kabisa ya muda wote. Kwa rekodi ya ufungaji ya Salah, atahitaji misimu angalau minne kuifikia rekodi hii. Hii ni kwa sababu tangu ajiunge Liverpool 2016/18 amekuwa na wastani wa kufunga mabao 22 kwa msimu. 2024/25 - 21 2023/24 - 18 2022/23 - 19 2021/22 - 23 2020/21 - 22 2019/20 - 19 2018/19 - 22 2017/18 - 32 Mkataba wa Mo Salah utaisha mwishoni mwa msimu huu na mazungumzo ya mkataba mpya yanasuasua. Salah mwenye miaka 32 amesema anatamani kubaki Liverpool, akini apewe mkataba wa miaka mitatu hadi 2028. Ila wamiliki wa klabu hiyo, kampuni ya FSG, wanasita kutoa mkataba mrefu namna hiyo kwa hofu ya umri wake.
    Like
    3
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·682 Views
  • Newcastle win
    Liverpool win or draw
    Borussia Dotmund win or draw
    Odds 2.9
    Newcastle win Liverpool win or draw Borussia Dotmund win or draw Odds 2.9
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·547 Views
  • Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)?

    1. Liverpool
    2. Barcelona
    3. Inter Milan
    4. Arsenal
    5. Real Madrid
    Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)? 1. Liverpool 2. Barcelona 3. Inter Milan 4. Arsenal 5. Real Madrid
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·976 Views
  • POUL POGBA NDIYE ALIMPAMBANIA AMAD KUREJEA MANCHESTER UNITED

    Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Poul Labile Pogba Ndiye aliempambania Winga Amad Dialo kurejea Kwenye Kikosi Cha Manchester United.

    AMAD DIALO Alisajiliwa na Manchester United mnamo Januari 2021, alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, akitokea Atalanta ya Nchini Italy.

    Kutokana na kiwango alichokua nacho Amad Dialo hakikua kizuri Kocha wa United kipindi hicho Ole Gunnar Solskjær aliuambia Uongozi Amad Atolewee kwa Mkopo kitu Ambacho Marcus Rashford Pamoja na Pogba Waliweka Upingamizi lakini alitolewa kwa Mkopo na Kwenda Rangers .

    Michael Carrick alipopewa Nafasi ya kukinoa Kikosi Cha United kwa muda Pogba na Marcus Rashford walimwambia asaidie Amad kurejea Kikosini na Carick kabla hajaondoka alitoa pendekezo hilo na Amad alirejea kama Kipaji na Eric Ten Hag alivyokua Kocha wa Manchester United alikua Hana mamlaka ya kumuondoa Amad licha ya kua alikua akimweka Benchi lakini Amd aliisaidia United hata akitokea Benchi.

    Aliwafunga Liverpool robo Fainali kwenda Nusu Fainali ya FA na United wakashinda Kombe hilo mbele ya Manchester City.

    Licha ya Marcus Rashford na Pogba kutokua na Maelewano na Makocha wa Manchester United wapya kwakua mara nyingi hupishana Kauli na Namna ya kuendesha timu lakini Amad Dialo aliambiwa akomae apambane na yeye ni Manchester United.

    Hata hivyo Amad Dialo tangu akiwa mdogo alikua ni Shabiki Wa Chelsea na Real Madrid

    Amezaliwa: July 11, 2002 (age 22 years), Jijini Abidjan, Nchini Côte d’Ivoire mama yake ni Mzungu wa Italian mama yake ni Mwafrica wa Ivorcost 🇨🇮 AMAD DIALO amekulia sana kwao na mama yake kwa Sababu upande wa baba yake walikua hawamtaki kwa kile kilichosemekana kua yeye sio mzungu hivyo mimba ilitokea bahati Mbaya.

    Mpaka hapo baadae baba yake alivyomchukua na kumpeleka Kwao Italy na kuanza maisha na Mwanae na ndipo alipompeleka Shule ya Mpira ya Atalanta ambayo ni Klabu anayoishabikia pia baba yake na Amad Diallo ni Mwananchi wa Italy mwenye Asili ya Spain.

    AMAD DIALO kutokana na kukulia kwa mama yake Lugha anayoifahamu ni Kifaransa pia ana Uraia wa Nchi ya mama yake kwa Sababu ya mama yake kumpambania licha ya kidogo alichokipata Amad ni kaka wa Mdogo wake wa kike ambaye alimwacha kwa mama yake.

    Moja ya Ahadi ambayo Amad Diallo aliwahi kumuahidi mama yake ni kua atarudi kama mtu mkubwa na atarudi kumsaidia na ataichezea Nchi yake mama yake na atajitumaa sana.

    Kukubali Kujiunga na Manchester United na kuikata Chelsea ni kwa Sababu mama yake Mzazi anashabikia klabu hiyo ya Manchester United tangu akiwa Binti wa miaka 15 .

    Mama yake dini yake ni Muslim hivyo na Amad Diallo alichagua Upande wa mama yake pia aliwahi kusema anacheza kwa bidi kwenye Kila mechi anayopangwa kwa sababu mama yake Mzazi anakua Africa akimtazama ndani ya Klabu yake.

    Mara nyingi alikua akionekana na Marcus Rashford kwenye mazoezi binafsi ya Gym na mara Nyingi amekua akipokea ushauri kutoka kwa Pogba ambaye aliondolewa Manchester United.

    #JeWajua
    POUL POGBA NDIYE ALIMPAMBANIA AMAD KUREJEA MANCHESTER UNITED Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Poul Labile Pogba Ndiye aliempambania Winga Amad Dialo kurejea Kwenye Kikosi Cha Manchester United. AMAD DIALO Alisajiliwa na Manchester United mnamo Januari 2021, alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, akitokea Atalanta ya Nchini Italy. Kutokana na kiwango alichokua nacho Amad Dialo hakikua kizuri Kocha wa United kipindi hicho Ole Gunnar Solskjær aliuambia Uongozi Amad Atolewee kwa Mkopo kitu Ambacho Marcus Rashford Pamoja na Pogba Waliweka Upingamizi lakini alitolewa kwa Mkopo na Kwenda Rangers . Michael Carrick alipopewa Nafasi ya kukinoa Kikosi Cha United kwa muda Pogba na Marcus Rashford walimwambia asaidie Amad kurejea Kikosini na Carick kabla hajaondoka alitoa pendekezo hilo na Amad alirejea kama Kipaji na Eric Ten Hag alivyokua Kocha wa Manchester United alikua Hana mamlaka ya kumuondoa Amad licha ya kua alikua akimweka Benchi lakini Amd aliisaidia United hata akitokea Benchi. Aliwafunga Liverpool robo Fainali kwenda Nusu Fainali ya FA na United wakashinda Kombe hilo mbele ya Manchester City. Licha ya Marcus Rashford na Pogba kutokua na Maelewano na Makocha wa Manchester United wapya kwakua mara nyingi hupishana Kauli na Namna ya kuendesha timu lakini Amad Dialo aliambiwa akomae apambane na yeye ni Manchester United. Hata hivyo Amad Dialo tangu akiwa mdogo alikua ni Shabiki Wa Chelsea na Real Madrid Amezaliwa: July 11, 2002 (age 22 years), Jijini Abidjan, Nchini Côte d’Ivoire mama yake ni Mzungu wa Italian mama yake ni Mwafrica wa Ivorcost 🇨🇮 AMAD DIALO amekulia sana kwao na mama yake kwa Sababu upande wa baba yake walikua hawamtaki kwa kile kilichosemekana kua yeye sio mzungu hivyo mimba ilitokea bahati Mbaya. Mpaka hapo baadae baba yake alivyomchukua na kumpeleka Kwao Italy na kuanza maisha na Mwanae na ndipo alipompeleka Shule ya Mpira ya Atalanta ambayo ni Klabu anayoishabikia pia baba yake na Amad Diallo ni Mwananchi wa Italy mwenye Asili ya Spain. AMAD DIALO kutokana na kukulia kwa mama yake Lugha anayoifahamu ni Kifaransa pia ana Uraia wa Nchi ya mama yake kwa Sababu ya mama yake kumpambania licha ya kidogo alichokipata Amad ni kaka wa Mdogo wake wa kike ambaye alimwacha kwa mama yake. Moja ya Ahadi ambayo Amad Diallo aliwahi kumuahidi mama yake ni kua atarudi kama mtu mkubwa na atarudi kumsaidia na ataichezea Nchi yake mama yake na atajitumaa sana. Kukubali Kujiunga na Manchester United na kuikata Chelsea ni kwa Sababu mama yake Mzazi anashabikia klabu hiyo ya Manchester United tangu akiwa Binti wa miaka 15 . Mama yake dini yake ni Muslim hivyo na Amad Diallo alichagua Upande wa mama yake pia aliwahi kusema anacheza kwa bidi kwenye Kila mechi anayopangwa kwa sababu mama yake Mzazi anakua Africa akimtazama ndani ya Klabu yake. Mara nyingi alikua akionekana na Marcus Rashford kwenye mazoezi binafsi ya Gym na mara Nyingi amekua akipokea ushauri kutoka kwa Pogba ambaye aliondolewa Manchester United. #JeWajua
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • Matokeo ya michezo ya Jana.

    Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca

    EFL CUP

    - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace
    - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford
    - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool

    LA LIGA

    - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence
    - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano

    COPPA ITALIA

    - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena
    - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria

    LIGUE 1

    - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG

    KNVB BEKER

    - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente
    - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht
    - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen
    - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣)
    - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣)
    - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue

    TACA DE PORTUGAL

    - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣)

    PSL

    - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns

    UEFA Champions League (Wanawake)

    - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City
    - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby
    - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich
    - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga

    SEGUNDA DIVISION

    - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria
    - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense
    - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon

    Matokeo ya michezo ya Jana. Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 EFL CUP - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool 🇪🇸 LA LIGA - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano 🇮🇹 COPPA ITALIA - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria 🇫🇷 LIGUE 1 - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG 🇳🇱 KNVB BEKER - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣) - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣) - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue 🇵🇹 TACA DE PORTUGAL - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣) 🇿🇦 PSL - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns 🌍 UEFA Champions League (Wanawake) - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga 🇪🇸 SEGUNDA DIVISION - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • 𝗙𝗔𝗖𝗧𝗦 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔

    ➜ Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Ronaldo Junior na mtoto wa Lionel Messi, Thiago Andreas Messi wanapishana siku (869) za kuzaliwa, sawa na umri wanaopishana baba zao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo

    ➜ Kocha Jose Mourinho hakuwahi kupoteza mechi nyumbani kwa muda wa miaka (9) sawa na Michezo (150) akiwa kocha wa FC Porto, Chelsea, Inter Milan na Real Madrid kuanzia 16 March 2002 hadi 2 April 2011.

    ➜ Beki wa kati, John Terry amefunga magoli mengi (EPL) akiwa Chelsea (68 ) kumzidi fundi Andres Iniesta aliyefunga mabao (35) tu La Liga akiwa FC Barcelona.

    ➜ Mark Hughes na Cole Palmer ndio wachezaji (2) pekee ambao walicheza mechi (2) tofauti (rasmi) ndani ya siku moja.

    • Asubuhi Mark Hughes aliitumikia timu ya Taifa ya Wales na Alasiri ya siku hiyo hiyo akaitumikia klabu ya Bayern Munich

    • Cole Palmer aliitumikia klabu ya Manchester city (Senior team) Alasiri na Jioni na akafunga Hattrick akiwa team (B U23).

    ➜ 2016 Cristiano Ronaldo alitwaa makombe (4) kuzidi idadi ya mechi alizopoteza (3).

    ➜ Lionel Messi ndiye mchezaji pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon d'or katika Decades | Miongo (3) tofauti kwenye historia.

    ➜ Left Fullback,, Layvin Kurzawa ana hat-trick nyingi UEFA champions league kuwazidi Xavi, Zidane, Kroos na Suarez kwa pamoja !!

    ➜ Raphinha ana hatricks nyingi La liga kumzidi Ronaldinho Gaucho !.

    ➜ Neymar alikuwa mchezaji wa kwanza wa FC Barcelona kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi La liga (November 2015).

    ➜ Klabu ya Nottingham Forest imetwaa makombe mengi ya European Cup mara nyingi zaidi kuliko klabu za Manchester City, Arsenal, Atletico Madrid na Tottenham kwa pamoja Kabla ya Kombe Hilo kuitwa UEFA champions league.

    ➜ Klabu ya Chelsea ilishashuka daraja mara (6), mara nyingi kuliko idadi ya makombe ya (EPL) waliyotwaa mpaka sasa (5).

    ➜ Harry Maguire ndiye mchezaji pekee England aliyewahi kushuka daraja mara mbili katika msimu mmoja na amewahi kushuka daraja mara (5) kwenye career yake

    ➜ Kingsley Coman ndiye mchezaji pekee Ulaya kwa sasa mwenye makombe mengi zaidi (29) kuliko umri wake (28 yrs)

    ➜ Real Madrid ndiyo timu pekee Ulaya iliyocheza mechi rasmi ya ushindani kwenye fainali dhidi ya timu yake (B).

    • 1980 Real Madrid walitwaa kombe la Copa Del Rey kwa kuifunga Real Madrid (B) mabao (6-1), Mechi hiyo ilichezwa Bernabeu.

    ➜ Jamie Carragher amejifunga magoli mengi (7) kuliko idadi ya magoli aliyoifungia klabu ya Liverpool (3) !

    ➜ Juventus waliuza jezi (0) za Lord Nicklas Bendtner katika msimu mzima.

    ➜ Zidane ndiye mchezaji pekee aliyeoneshwa kadi nyekundu (Straight red card) kisha akatwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano (World cup 2006) siku hiyohiyo aliyooneshwa red card.

    ♠ Fundi Wa Mpira Kevin De Bruyne Ajawahi kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Mwenzi wowote Toka aanze kuitumikia Manchester City

    FACTS gani imekushangaza ?

    🚨𝗙𝗔𝗖𝗧𝗦 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 ➜ Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Ronaldo Junior na mtoto wa Lionel Messi, Thiago Andreas Messi wanapishana siku (869) za kuzaliwa, sawa na umri wanaopishana baba zao Lionel Messi 🇦🇷 na Cristiano Ronaldo 🇵🇹 ➜ Kocha Jose Mourinho hakuwahi kupoteza mechi nyumbani kwa muda wa miaka (9) sawa na Michezo (150) akiwa kocha wa FC Porto, Chelsea, Inter Milan na Real Madrid kuanzia 16 March 2002 hadi 2 April 2011. ➜ Beki wa kati, John Terry amefunga magoli mengi (EPL) akiwa Chelsea (68 ⚽) kumzidi fundi Andres Iniesta aliyefunga mabao (35) tu La Liga akiwa FC Barcelona. ➜ Mark Hughes na Cole Palmer ndio wachezaji (2) pekee ambao walicheza mechi (2) tofauti (rasmi) ndani ya siku moja. • Asubuhi Mark Hughes aliitumikia timu ya Taifa ya Wales 🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿 na Alasiri ya siku hiyo hiyo akaitumikia klabu ya Bayern Munich 🇩🇪 • Cole Palmer aliitumikia klabu ya Manchester city (Senior team) Alasiri na Jioni na akafunga Hattrick akiwa team (B U23). ➜ 2016 Cristiano Ronaldo alitwaa makombe (4) kuzidi idadi ya mechi alizopoteza (3). ➜ Lionel Messi ndiye mchezaji pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon d'or katika Decades | Miongo (3) tofauti kwenye historia. ➜ Left Fullback,, Layvin Kurzawa ana hat-trick nyingi UEFA champions league kuwazidi Xavi, Zidane, Kroos na Suarez kwa pamoja !! ➜ Raphinha ana hatricks nyingi La liga kumzidi Ronaldinho Gaucho !. ➜ Neymar alikuwa mchezaji wa kwanza wa FC Barcelona kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi La liga (November 2015). ➜ Klabu ya Nottingham Forest imetwaa makombe mengi ya European Cup mara nyingi zaidi kuliko klabu za Manchester City, Arsenal, Atletico Madrid na Tottenham kwa pamoja Kabla ya Kombe Hilo kuitwa UEFA champions league. ➜ Klabu ya Chelsea ilishashuka daraja mara (6), mara nyingi kuliko idadi ya makombe ya (EPL) waliyotwaa mpaka sasa (5). ➜ Harry Maguire ndiye mchezaji pekee England aliyewahi kushuka daraja mara mbili katika msimu mmoja na amewahi kushuka daraja mara (5) kwenye career yake 😀 ➜ Kingsley Coman ndiye mchezaji pekee Ulaya kwa sasa mwenye makombe mengi zaidi (29) kuliko umri wake (28 yrs) ➜ Real Madrid ndiyo timu pekee Ulaya iliyocheza mechi rasmi ya ushindani kwenye fainali dhidi ya timu yake (B). • 1980 Real Madrid walitwaa kombe la Copa Del Rey kwa kuifunga Real Madrid (B) mabao (6-1), Mechi hiyo ilichezwa Bernabeu. ➜ Jamie Carragher amejifunga magoli mengi (7) kuliko idadi ya magoli aliyoifungia klabu ya Liverpool (3) ! 😀 ➜ Juventus waliuza jezi (0) za Lord Nicklas Bendtner katika msimu mzima. ➜ Zidane ndiye mchezaji pekee aliyeoneshwa kadi nyekundu (Straight red card) kisha akatwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano (World cup 2006) siku hiyohiyo aliyooneshwa red card. ♠ Fundi Wa Mpira Kevin De Bruyne Ajawahi kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Mwenzi wowote Toka aanze kuitumikia Manchester City FACTS gani imekushangaza ? 😎
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
Arama Sonuçları