• OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.

    Source Fabrizio

    #SportsElite
    🇳🇱✍️OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.🔐 Source Fabrizio #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·137 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m.

    Source Football Tweets

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m. Source Football Tweets #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·226 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak.

    Source The Touchline

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak. 💰 🇸🇪 Source The Touchline #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·156 Views
  • Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.”

    “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.”

    “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.” 🗣️ “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.” 🗣️ “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.” #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·282 Views
  • Slot: Ekitike tayari ana mchango mkubwa kwenye safu ya ushambuliaji

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Tayari amekuwa na mchango mkubwa kwenye sehemu ya ushambuliaji ya mchezo wetu—si tu kwa kufunga mabao, bali pia kwa kushiriki katika ujenzi wa mashambulizi, akiwa mmoja wa wanaoanzisha hatari.”

    “Jibu rahisi kuhusu anachoweza kuboresha ni uwezo wa kuhimili mechi kwa dakika zote. Natarajia afanye mengi zaidi bila mpira kuliko anavyofanya sasa, ingawa tayari anajitahidi.”

    “Hii ni hali ya kawaida kabisa kwa mchezaji anayehama kutoka ligi tofauti na mtindo wa uchezaji tofauti. Frankfurt hawakuwa wakishambulia kwa presha kama tunavyofanya sisi, na sasa akiwa kwenye ligi mpya, kuna mengi ya kukabiliana nayo.”

    “Ili kuzoea kiwango cha nguvu na kasi bila mpira, kuna hatua ndogo anazopaswa kuchukua.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Ekitike tayari ana mchango mkubwa kwenye safu ya ushambuliaji 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Tayari amekuwa na mchango mkubwa kwenye sehemu ya ushambuliaji ya mchezo wetu—si tu kwa kufunga mabao, bali pia kwa kushiriki katika ujenzi wa mashambulizi, akiwa mmoja wa wanaoanzisha hatari.” 🗣️ “Jibu rahisi kuhusu anachoweza kuboresha ni uwezo wa kuhimili mechi kwa dakika zote. Natarajia afanye mengi zaidi bila mpira kuliko anavyofanya sasa, ingawa tayari anajitahidi.” 🗣️ “Hii ni hali ya kawaida kabisa kwa mchezaji anayehama kutoka ligi tofauti na mtindo wa uchezaji tofauti. Frankfurt hawakuwa wakishambulia kwa presha kama tunavyofanya sisi, na sasa akiwa kwenye ligi mpya, kuna mengi ya kukabiliana nayo.” 🗣️ “Ili kuzoea kiwango cha nguvu na kasi bila mpira, kuna hatua ndogo anazopaswa kuchukua.” #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·260 Views
  • 🆕️ Liverpool wamewasilisha ofa mpya kwa Newcastle United kwa ajili ya kumsajili Alexander Isak msimu huu wa kiangazi.

    Ofa hiyo mpya inazidi ile ya awali ya £120 milioni, na ina masharti bora zaidi ya malipo ikilinganishwa na pendekezo la awali.

    Mkataba kati ya Isak na Liverpool hadi Juni 2030 tayari umeafikiwa, na mchezaji huyo anashinikiza dili hilo, akifanya kila juhudi kuhakikisha anajiunga na Liverpool msimu huu.

    Liverpool wana uhakika kuwa ofa hii inaweza kuwa ya kuamua hatima ya usajili, huku Newcastle United wakitarajiwa kutoa majibu ndani ya siku chache zijazo.

    (Chanzo: Enock Kobina Essel)

    #SportsElite
    🚨🚨🆕️‼️ Liverpool wamewasilisha ofa mpya kwa Newcastle United kwa ajili ya kumsajili Alexander Isak msimu huu wa kiangazi. 💰 Ofa hiyo mpya inazidi ile ya awali ya £120 milioni, na ina masharti bora zaidi ya malipo ikilinganishwa na pendekezo la awali. 📝 Mkataba kati ya Isak na Liverpool hadi Juni 2030 tayari umeafikiwa, na mchezaji huyo anashinikiza dili hilo, akifanya kila juhudi kuhakikisha anajiunga na Liverpool msimu huu. 🔴 Liverpool wana uhakika kuwa ofa hii inaweza kuwa ya kuamua hatima ya usajili, huku Newcastle United wakitarajiwa kutoa majibu ndani ya siku chache zijazo. (Chanzo: Enock Kobina Essel) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·206 Views
  • Fahamu RB Leipzig wanafanya mazungumzo ya Moja kwa moja na Liverpool ili kumsajili Harvey Elliott kama mbadala wa Xavi Simons aliyejiunga na Spurs.

    Liverpool bado wanasitasita kumuuza Harvey Elliott lakini itategemea baadae kama Leipzig itatoa £50m.

    Ikiwa Alexander Isak atajiunga na Liverpool kwa saa 24 zijazo basi Liverpool itamuachia Harvey Elliott.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨 Fahamu RB Leipzig wanafanya mazungumzo ya Moja kwa moja na Liverpool ili kumsajili Harvey Elliott kama mbadala wa Xavi Simons aliyejiunga na Spurs. Liverpool bado wanasitasita kumuuza Harvey Elliott lakini itategemea baadae kama Leipzig itatoa £50m. Ikiwa Alexander Isak atajiunga na Liverpool kwa saa 24 zijazo basi Liverpool itamuachia Harvey Elliott. 💰 Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·126 Views
  • Mazungumzo ya Liverpool na Kambi la Alexander Isak yamefanyika katika saa 24 zilizopita na Imani ni kwamba Liverpool watatoa ofa ya rekodi ya Ligi kuu ya Uingereza kumsajili Isak mwisho wa Wiki hili.

    Source Football Tweets

    #SportsElite
    🚨Mazungumzo ya Liverpool na Kambi la Alexander Isak yamefanyika katika saa 24 zilizopita na Imani ni kwamba Liverpool watatoa ofa ya rekodi ya Ligi kuu ya Uingereza kumsajili Isak mwisho wa Wiki hili.💰🇸🇪 Source Football Tweets #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·168 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Alexander Isak amefikia makubaliano kujiunga na Liverpool hadi 2030 na nyongeza hadi 2031 na atapokea £13m/mwaka

    Isak bado anashinikiza kuondoka Newcastle.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Alexander Isak amefikia makubaliano kujiunga na Liverpool hadi 2030 na nyongeza hadi 2031 na atapokea £13m/mwaka ⚪🔴⌛ Isak bado anashinikiza kuondoka Newcastle. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·91 Views
  • Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla

    Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.

    Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.

    Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake

    #SportsElite
    🚨🚨Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla ✊🇧🇷 🌀Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa. Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati. 💔✨ Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake 😀 #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·208 Views
  • RATIBA YA LEO JUMATATU YA AGOSTI 25-2025

    19:30 - Udinese FC Hellas Verona

    20:30 - Athletic Club Rayo Vallecano

    21:45 - Inter Milan Torino FC

    22:00 - Newcastle United Liverpool FC

    22:30 - Sevilla FC Getafe FC
    🚨 RATIBA YA LEO JUMATATU YA AGOSTI 25-2025 🇮🇹 19:30 - Udinese FC ⚔️ Hellas Verona 🇪🇸 20:30 - Athletic Club ⚔️ Rayo Vallecano 🇮🇹 21:45 - Inter Milan ⚔️ Torino FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 22:00 - Newcastle United ⚔️ Liverpool FC 🇪🇸 22:30 - Sevilla FC ⚔️ Getafe FC
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·79 Views
  • Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza

    RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.

    Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni

    Source Ben Jacobs


    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.🔴 Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·262 Views
  • Marseille inavutiwa na usajili wa Kostas Tsimikas, ambae anatarajiwa kuondoka Liverpool dilisha hili.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    🚨 Marseille inavutiwa na usajili wa Kostas Tsimikas, ambae anatarajiwa kuondoka Liverpool dilisha hili. 💙🤍 (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·179 Views
  • Liverpool FC inaendelea kuisisitiza Real Madrid haitaweza kumuuza beki wake Ibrahima Konaté chini ya kiasi cha €50M.

    (Source: AS)

    #SportsElite
    🚨 Liverpool FC inaendelea kuisisitiza Real Madrid haitaweza kumuuza beki wake Ibrahima Konaté chini ya kiasi cha €50M. (Source: AS) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·125 Views
  • Sema kwenye deal la Isak ni gumu sana na bei ni ghali Sana, ndio maana hakuna timu inaweza ingilia hapo kati zaidi ya Liverpool wenyewe...

    Sema Hawa Newcastle Wana nguvu ya pesa ndio maana hawababaishwi na mtu... Ila nguvu ya demand kwa mchezaji kutaka kwenda kucheza Liverpool Pekee ndio kutabadilisha matokeo... Na Newcastle kukubali deal li kamamilike

    #SportsElite
    Sema kwenye deal la Isak ni gumu sana na bei ni ghali Sana, ndio maana hakuna timu inaweza ingilia hapo kati zaidi ya Liverpool wenyewe... Sema Hawa Newcastle Wana nguvu ya pesa ndio maana hawababaishwi na mtu... Ila nguvu ya demand kwa mchezaji kutaka kwenda kucheza Liverpool Pekee ndio kutabadilisha matokeo... Na Newcastle kukubali deal li kamamilike #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·233 Views
  • Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka

    Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane.

    Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake.

    Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL.

    Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.

    🚨Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane. Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake. Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL. Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·312 Views
  • Alexander Isak amekataa kuchezea Newcastle.

    Amegoma kujumuishwa kwenye kikosi kitakacho cheza dhidi ya Aston Villa au Liverpool pamoja na hilo bado Amegoma kuongeza mkataba kuendelea kusalia klabuni hapo..

    Bado marengo yake ni kuhamia Liverpool tu!

    (Source: Fabrizio Romano)


    #SportsElite
    🚨 Alexander Isak amekataa kuchezea Newcastle. 🇸🇪❌🤍🖤 Amegoma kujumuishwa kwenye kikosi kitakacho cheza dhidi ya Aston Villa au Liverpool pamoja na hilo bado Amegoma kuongeza mkataba kuendelea kusalia klabuni hapo.. Bado marengo yake ni kuhamia Liverpool tu! (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·252 Views
  • Kesho wanakutana wakwanza na wapili nan ataendelezea kichapo Liverpool FC vs AFC Bournemouth sisi ni people
    🚨🚨Kesho wanakutana wakwanza na wapili nan ataendelezea kichapo Liverpool FC vs AFC Bournemouth sisi ni people
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·227 Views
  • Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott.

    Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott....

    (Source: Sun Sport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott. Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott.... (Source: Sun Sport) #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·292 Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·502 Views
Arama Sonuçları