• AC Milan yapigania kumsajili Darwin Núñez!

    Klabu hiyo ya Italia iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa Liverpool kuhusu uhamisho kwenda San Siro , lakini inakumbana na ushindani mkali kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia ambao tayari wamewasilisha ofa rasmi .

    Liverpool wanahitaji karibu £70 milioni , huku Núñez akionekana kupendelea kubaki barani Ulaya .

    #ACMilan #Liverpool #DarwinNúñez #TransferNews #AlHilal #SanSiro

    #SportsElite
    🚨 AC Milan yapigania kumsajili Darwin Núñez! Klabu hiyo ya Italia iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa Liverpool kuhusu uhamisho kwenda San Siro 🏟️, lakini inakumbana na ushindani mkali kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia 🇸🇦 ambao tayari wamewasilisha ofa rasmi 💰. Liverpool wanahitaji karibu £70 milioni 💸, huku Núñez akionekana kupendelea kubaki barani Ulaya 🌍. #ACMilan #Liverpool #DarwinNúñez #TransferNews #AlHilal #SanSiro #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·292 Views
  • Crystal Palace wako tayari kutoa ofa ya £27.6M ili kukamilisha uhamisho wa Yann Bisseck kutoka Inter.

    Na atakuwa mbadala wa Marc Guehi ambae bado anawindwa na Liverpool.

    (Source: Gazzetta dello Sport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace wako tayari kutoa ofa ya £27.6M ili kukamilisha uhamisho wa Yann Bisseck kutoka Inter. Na atakuwa mbadala wa Marc Guehi ambae bado anawindwa na Liverpool. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·71 Views
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Bayern Munich imekamilisha usajili wa Luis Díaz kutoka Liverpool.

    Ada ya uhamisho £65.5M..
    Mkataba hadi 2029.

    (Source: FC Bayern München)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Bayern Munich imekamilisha usajili wa Luis Díaz kutoka Liverpool. 🔸Ada ya uhamisho £65.5M.. 🔸 Mkataba hadi 2029. (Source: FC Bayern München) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·92 Views
  • BREAKING : FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili.

    FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC

    #SportsElite
    BREAKING 🔴: FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa 🇨🇵 Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili. FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·228 Views
  • Crystal Palace imefungua milango kwa Marc Guéhi kuondoka klabuni hapo,, baada ya Liverpool kuonesha nia ya kumuhitaji na Liverpool imependekeza ofa ya £45M, Huku akiwa amesalia mkataba wa mwaka mmoja..

    (Source: GiveMeSport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace imefungua milango kwa Marc Guéhi kuondoka klabuni hapo,, baada ya Liverpool kuonesha nia ya kumuhitaji na Liverpool imependekeza ofa ya £45M, Huku akiwa amesalia mkataba wa mwaka mmoja.. (Source: GiveMeSport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • Real Madrid wanategemea kuimarisha zaidi eneo lao la kiungo kulingana na mapendekezo ya kocha, Xabi Alonso.

    Baadhi ya viungo kutoka timu mbalimbali ulaya wapo kwenye orodha ya Real Madrid;

    - Rodri (Manchester city)
    - Nicolo Barella (Inter Milan)
    - Enzo Fernandes (Chelsea)
    - Alexis Mac Allister ( Liverpool)

    Chaguo namba moja kwa Xabi Alonso ni Rodri wa Manchester city.

    #SportsElite
    Real Madrid wanategemea kuimarisha zaidi eneo lao la kiungo kulingana na mapendekezo ya kocha, Xabi Alonso. Baadhi ya viungo kutoka timu mbalimbali ulaya wapo kwenye orodha ya Real Madrid; - Rodri (Manchester city) - Nicolo Barella (Inter Milan) - Enzo Fernandes (Chelsea) - Alexis Mac Allister ( Liverpool) Chaguo namba moja kwa Xabi Alonso ni Rodri wa Manchester city. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·203 Views
  • Hugo Ekitike akiwa na wakala wake wakielekea kupanda ndege kuelekea England kwaajili ya kwenda kusaini mkataba na timu ya Liverpool

    #SportsElite
    🚨🇫🇷 Hugo Ekitike akiwa na wakala wake wakielekea kupanda ndege kuelekea England kwaajili ya kwenda kusaini mkataba na timu ya Liverpool #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·180 Views
  • Federico Chiesa hajaorodheshwa katika kikosi cha Liverpool kwa ziara yao ya maandalizi ya msimu.
    Anatarajiwa ataondoka majira haya ya kiangazi.

    #SportsElite
    Federico Chiesa hajaorodheshwa katika kikosi cha Liverpool kwa ziara yao ya maandalizi ya msimu. 🇮🇹❌ Anatarajiwa ataondoka majira haya ya kiangazi. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·131 Views
  • USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND

    MANCHESTER UNITED
    Matheus Cunha
    Diego Leon
    Bryan MBEUMO
    Emi Martinez Dibu

    Liverpool -
    Wirtz
    Frimpong
    Mamardashvilli
    Hugo Etikite
    Isak

    Manchester City
    Reijnders
    Cherki
    Ait Nouri

    Chelsea:
    Gittens
    Joao Pedro
    Delap

    Arsenal -
    Zubimendi
    Madeueke
    Norgaard
    Kepa
    Gyokeres

    Tottenham Hotspur Spurs
    Gibbs White
    Kudus

    Newcastle United-
    Elanga
    Ekitike

    #SportsElite
    USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND 🔴MANCHESTER UNITED 🇧🇷 Matheus Cunha 🇵🇾 Diego Leon 🇨🇲Bryan MBEUMO ⏳Emi Martinez Dibu 🔴Liverpool - ✅ Wirtz ✅ Frimpong ✅ Mamardashvilli ✅Hugo Etikite ⏳ Isak 🔵Manchester City ✅ Reijnders ✅ Cherki ✅ Ait Nouri 🔵Chelsea: ✅ Gittens ✅ Joao Pedro ✅ Delap 🔴Arsenal - ✅ Zubimendi ✅ Madeueke ✅ Norgaard ✅ Kepa ⏳ Gyokeres ⚪Tottenham Hotspur Spurs ✅ Gibbs White ✅ Kudus ⚪Newcastle United- ✅ Elanga ⏳ Ekitike #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·322 Views
  • RASMI:Club ya Liverpool imefanikiwa kumsajili Hugo Ekitike kutokea time ya Eintracht Frankfurt kwa kiwango cha €94M, Hivyo mchezaji huyo Hugo Ekitike ataitumikia Club ya Liverpool Mpaka 2030

    #SportsElite
    RASMI:Club ya Liverpool imefanikiwa kumsajili Hugo Ekitike kutokea time ya Eintracht Frankfurt kwa kiwango cha €94M, Hivyo mchezaji huyo Hugo Ekitike ataitumikia Club ya Liverpool Mpaka 2030 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·105 Views
  • Club ya Bayern Munich imetoa offer ya €75M ili iweze kumsajili winga wa Liverpool Luis Diaz Mpaka mnamo mwaka 2030



    #SportsElite
    Club ya Bayern Munich imetoa offer ya €75M ili iweze kumsajili winga wa Liverpool Luis Diaz Mpaka mnamo mwaka 2030 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·128 Views


  • Mchezaji Marcus Rashford ameendelea kubaki na msimamo wake wa kutaka kujiunga na Club ya Barcelona katika msimu huu wa kiangazii Richa ya kuwa timu ya Juventus, bayern Munich, Chelsea na Liverpool kuonekana zinamwitajii lakn ameendelea kusimamia msimamo wake wa kwenda club ya Barcelona


    #SportsElite
    Mchezaji Marcus Rashford ameendelea kubaki na msimamo wake wa kutaka kujiunga na Club ya Barcelona katika msimu huu wa kiangazii Richa ya kuwa timu ya Juventus, bayern Munich, Chelsea na Liverpool kuonekana zinamwitajii lakn ameendelea kusimamia msimamo wake wa kwenda club ya Barcelona #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·317 Views
  • Liverpool inaweza kumuuza Luis Diaz iwapo Bayern itafikia dau la £80M.

    Na Liverpool bado wako kwenye majadiliano na Rodrygo kama mbadala wake...

    (Source: talkSPORT)

    #SportsElite
    🚨 Liverpool inaweza kumuuza Luis Diaz iwapo Bayern itafikia dau la £80M. Na Liverpool bado wako kwenye majadiliano na Rodrygo kama mbadala wake... (Source: talkSPORT) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·179 Views
  • Alexis Mac Allister ameikataa ofa ya Bayern and made na wameweka wazi ataondoka Liverpool endapo atajiunga Real Madrid.

    (Source: Defensa Central)

    #SportsElite
    🚨 Alexis Mac Allister ameikataa ofa ya Bayern and made na wameweka wazi ataondoka Liverpool endapo atajiunga Real Madrid. (Source: Defensa Central) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·193 Views
  • Liverpool inafanya mazungumzo za Frankfurt kuona uwezekano wa kumsajili Hugo Ekitike . .

    Liverpool inamtazama Hugo Ekitike kama mbadala ikiwa watamkosa Alexander Isak wa Newcastle United

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🇫🇷🚨 Liverpool inafanya mazungumzo za Frankfurt kuona uwezekano wa kumsajili Hugo Ekitike . 🔴💰. Liverpool inamtazama Hugo Ekitike kama mbadala ikiwa watamkosa Alexander Isak wa Newcastle United Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·223 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz

    Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa.

    Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo.

    Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa.

    (Fabrizio Romano)
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz 🚫🇨🇴 Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa. Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo. Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa. (Fabrizio Romano)
    0 Comments ·0 Shares ·261 Views
  • HERE WE GO!! ⚡️ Liverpool wanajiandaa kuwasilisha ofa ya thamani €100M pamoja na nyongeza za kiufanikishaji, kwa lengo la kujaribu uwezekano wa kumsajili mshambuliaji Alexander Isak kutoka Newcastle United msimu huu wa joto.

    #SportsElite
    🚨HERE WE GO!! ⚡️ Liverpool wanajiandaa kuwasilisha ofa ya thamani €100M pamoja na nyongeza za kiufanikishaji, kwa lengo la kujaribu uwezekano wa kumsajili mshambuliaji Alexander Isak kutoka Newcastle United msimu huu wa joto. 💰 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·158 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hakuna makubaliano juu ya Ibrahima Konaté na Liverpool ili kuongeza kandarasi .

    Note: Real Madrid bado wako kwenye mbio za kumuwania beki huyo.

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hakuna makubaliano juu ya Ibrahima Konaté na Liverpool ili kuongeza kandarasi . 🔴⚠️ Note: Real Madrid bado wako kwenye mbio za kumuwania beki huyo. 👀 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·299 Views
  • West Ham United inavutiwa na wachezaji wa Liverpool Elliott na Tyler Morton.

    (Source: The Guardian)

    #SportsElite
    🚨 West Ham United inavutiwa na wachezaji wa Liverpool Elliott na Tyler Morton. (Source: The Guardian) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·217 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool inavutiwa na usajili wa Malick Fofana.
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool inavutiwa na usajili wa Malick Fofana.
    0 Comments ·0 Shares ·197 Views
More Results