• 5.BETHLEHEMU

    “Nyumba ya mkate” imetajwa katika sehemu mbalimbali za Maandiko.

    Zamani iliitwa Efratha na katika visa vingine Bethlehemu ya Yuda au Bethlehemu-Yuda. Elimeleki, ambaye angekuwa baba-mkwe wa Ruthu aliyetajwa hapo juu alikuwa raia wa Bethlehemu.

    Mfalme Daudi wa Israeli pia alikuwa Mbethlehemu.

    Zaidi sana ingawa, ulikuwa ni mji ambao ulitupa Kristo mwenyewe.

    Hapa palikuwa mahali pa kuzaliwa kwa mtoto wa kwanza wa Mariamu. “Akamzaa mwanawe mzaliwa wa kwanza, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe; kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni”, Luka 2:7 inasema.
    5.BETHLEHEMU “Nyumba ya mkate” imetajwa katika sehemu mbalimbali za Maandiko. Zamani iliitwa Efratha na katika visa vingine Bethlehemu ya Yuda au Bethlehemu-Yuda. Elimeleki, ambaye angekuwa baba-mkwe wa Ruthu aliyetajwa hapo juu alikuwa raia wa Bethlehemu. Mfalme Daudi wa Israeli pia alikuwa Mbethlehemu. Zaidi sana ingawa, ulikuwa ni mji ambao ulitupa Kristo mwenyewe. Hapa palikuwa mahali pa kuzaliwa kwa mtoto wa kwanza wa Mariamu. “Akamzaa mwanawe mzaliwa wa kwanza, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe; kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni”, Luka 2:7 inasema.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·107 Views
  • Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa?

    Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi.

    Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki...

    Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu.

    Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona.

    Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia".

    Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa? Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi. Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki... Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu. Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona. Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia". Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·554 Views
  • Chelsea imekamilisha usajili wa beki wa kushoto CALEB WILEY akitokea Atlanta United ya nchini MAREKANI ( USA ).
    #sokachampions
    #Egypt
    #Chelsea
    #manunited
    #MBET
    #BETPAWA
    #atlantaunitedfc
    Chelsea imekamilisha usajili wa beki wa kushoto CALEB WILEY akitokea Atlanta United ya nchini MAREKANI ( USA ). #sokachampions #Egypt #Chelsea #manunited #MBET #BETPAWA #atlantaunitedfc
    Like
    Love
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Ana puliza tarumbeta....mikono kwenye piano
    Let me love hallelujah .... Tuimbe pia teamo....//

    Kaniweza ile mbaya... Ana step kama kwaya
    Mlokole nashukulu....kwa maombi haleluya....//

    Mtoto yupo fire....nasimzia nikiwaza
    Ndoa nifunge leo....au nitulie kwanza....//

    Body yake iko clear....mnyama ninajilia
    Na utamu ukinoga .... Nina chaji hadi mia....//

    Let me love you my baby ... Njoo tucheze lege
    Unifanye rose muhando ....kwenye bed unibebe...//

    Coz kwako nina wenge....ukifungua zipu
    We chukua utakacho.... Nitakupa kira kitu....//

    Ntamwambia mama ... Ukinifanya nilie
    Ukinyima moyo wako... Nitajuta kubalee...//

    Ok fanya kama jana....minyia kwa ndani
    Kologa na mwiko ....kwani jiko liko ndani....//

    Mamacta izo wushu.....mie napiga puchu
    Mchizi nakuwa mwehu.... Asa mida ya usiku...//*

    Job naona mbali... Pia napata uvivu
    Kukuacha uwe mpweke.... Kama nina kupa tabu...//
    Ana puliza tarumbeta....mikono kwenye piano Let me love hallelujah .... Tuimbe pia teamo....// Kaniweza ile mbaya... Ana step kama kwaya Mlokole nashukulu....kwa maombi haleluya....// Mtoto yupo fire....nasimzia nikiwaza Ndoa nifunge leo....au nitulie kwanza....// Body yake iko clear....mnyama ninajilia Na utamu ukinoga .... Nina chaji hadi mia....// Let me love you my baby ... Njoo tucheze lege Unifanye rose muhando ....kwenye bed unibebe...// Coz kwako nina wenge....ukifungua zipu We chukua utakacho.... Nitakupa kira kitu....// Ntamwambia mama ... Ukinifanya nilie Ukinyima moyo wako... Nitajuta kubalee...// Ok fanya kama jana....minyia kwa ndani Kologa na mwiko ....kwani jiko liko ndani....// Mamacta izo wushu.....mie napiga puchu Mchizi nakuwa mwehu.... Asa mida ya usiku...//* Job naona mbali... Pia napata uvivu Kukuacha uwe mpweke.... Kama nina kupa tabu...//
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·695 Views