• Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu.

    Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka.

    #SportsElite
    🚨 Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu. Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka. #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·32 Просмотры
  • Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu.

    #SportsElite
    Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu. #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·31 Просмотры
  • Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo

    #SportsElite
    Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·28 Просмотры
  • Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.

    Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao.

    #SportsElite
    🚨 Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.💰 Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao. #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·30 Просмотры
  • USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND

    MANCHESTER UNITED
    Matheus Cunha
    Diego Leon
    Bryan MBEUMO
    Emi Martinez Dibu

    Liverpool -
    Wirtz
    Frimpong
    Mamardashvilli
    Hugo Etikite
    Isak

    Manchester City
    Reijnders
    Cherki
    Ait Nouri

    Chelsea:
    Gittens
    Joao Pedro
    Delap

    Arsenal -
    Zubimendi
    Madeueke
    Norgaard
    Kepa
    Gyokeres

    Tottenham Hotspur Spurs
    Gibbs White
    Kudus

    Newcastle United-
    Elanga
    Ekitike

    #SportsElite
    USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND 🔴MANCHESTER UNITED 🇧🇷 Matheus Cunha 🇵🇾 Diego Leon 🇨🇲Bryan MBEUMO ⏳Emi Martinez Dibu 🔴Liverpool - ✅ Wirtz ✅ Frimpong ✅ Mamardashvilli ✅Hugo Etikite ⏳ Isak 🔵Manchester City ✅ Reijnders ✅ Cherki ✅ Ait Nouri 🔵Chelsea: ✅ Gittens ✅ Joao Pedro ✅ Delap 🔴Arsenal - ✅ Zubimendi ✅ Madeueke ✅ Norgaard ✅ Kepa ⏳ Gyokeres ⚪Tottenham Hotspur Spurs ✅ Gibbs White ✅ Kudus ⚪Newcastle United- ✅ Elanga ⏳ Ekitike #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·56 Просмотры
  • Club ya Chelsea na Arsenal wapo kwenye vita kubwa ya kumuwania kumsajiri mchezaji wa RB Leipzig Xavi Simons

    #SportsElite
    Club ya Chelsea na Arsenal wapo kwenye vita kubwa ya kumuwania kumsajiri mchezaji wa RB Leipzig Xavi Simons #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·45 Просмотры


  • Mchezaji Marcus Rashford ameendelea kubaki na msimamo wake wa kutaka kujiunga na Club ya Barcelona katika msimu huu wa kiangazii Richa ya kuwa timu ya Juventus, bayern Munich, Chelsea na Liverpool kuonekana zinamwitajii lakn ameendelea kusimamia msimamo wake wa kwenda club ya Barcelona


    #SportsElite
    Mchezaji Marcus Rashford ameendelea kubaki na msimamo wake wa kutaka kujiunga na Club ya Barcelona katika msimu huu wa kiangazii Richa ya kuwa timu ya Juventus, bayern Munich, Chelsea na Liverpool kuonekana zinamwitajii lakn ameendelea kusimamia msimamo wake wa kwenda club ya Barcelona #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·122 Просмотры
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Noni Madueke kutoka Chelsea kwa ada ya £50M. Mkataba hadi 2030.

    (Source: Arsenal)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Noni Madueke kutoka Chelsea kwa ada ya £50M. Mkataba hadi 2030. (Source: Arsenal) #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·84 Просмотры
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea.

    Dili limegharimu kiasi £25m!
    🚨🇷🇸 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea. 🧤 Dili limegharimu kiasi £25m! 🍒
    0 Комментарии ·0 Поделились ·125 Просмотры
  • Baada ya kushinda Taji la Klabu Bingwa, Kampuni zifuatazo zimeweka wazi kutaka kuwa wadhamini wa Chelsea.

    Shabiki wa Chelsea, ungependa nani awe mbele ya shati yenu?

    Qatar Airways
    Fly Emirates
    Riyadh Air
    SAMSUNG
    DAMAC
    💰🏆🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Baada ya kushinda Taji la Klabu Bingwa, Kampuni zifuatazo zimeweka wazi kutaka kuwa wadhamini wa Chelsea. Shabiki wa Chelsea, ungependa nani awe mbele ya shati yenu? ✅Qatar Airways ✅Fly Emirates ✅Riyadh Air ✅SAMSUNG ✅DAMAC
    0 Комментарии ·0 Поделились ·154 Просмотры
  • Klabu ya Chelsea itapata heshima ya kuvaa nembo ya Fifa Club World Cup kwa muda wa miaka minne kwenye jezi zao na hii imekuja baada ya Michuano hiyo kuanza kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya mabadiliko yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya timu shiriki.

    Pia Chelsea wamepewa heshima hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa ngazi ya klabu kwa kuwachapa Psg mabao 3-0 usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Metlife Nchini Marekani.

    #SportsElite
    🚨Klabu ya Chelsea itapata heshima ya kuvaa nembo ya Fifa Club World Cup kwa muda wa miaka minne kwenye jezi zao na hii imekuja baada ya Michuano hiyo kuanza kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya mabadiliko yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya timu shiriki. Pia Chelsea wamepewa heshima hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa ngazi ya klabu kwa kuwachapa Psg mabao 3-0 usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Metlife Nchini Marekani. #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·195 Просмотры
  • Chelsea wameweka bei ya pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wao Nicolas Jackson, wakitoa ujumbe wazi kwa vilabu vinavyomtaka kuwa hawako tayari kumuachia kirahisi.

    #SportsElite
    Chelsea wameweka bei ya pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wao Nicolas Jackson, wakitoa ujumbe wazi kwa vilabu vinavyomtaka kuwa hawako tayari kumuachia kirahisi. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·161 Просмотры
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa Chelsea Djordje Petrović

    Petrović atafanyiwa vipimo vya kiafya wiki ijayo kwa ada ya £25m.

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bournemouth imekamilisha usajili wa golikipa wa zamani wa Chelsea Djordje Petrović 🍒 Petrović atafanyiwa vipimo vya kiafya wiki ijayo kwa ada ya £25m. #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·151 Просмотры
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nicolas Jackson ananafasi ya kuondoka Chelsea kwenye dirisha hili la uhamisho 👋🏾

    Baada ya Noni Madueke kwenda Arsenal…ndio yatafuata kama ikipatikana ofa kwa timu itakayo muhitaji..

    AC Milan imeulizia uhamisho huo wa Jackson.. Ijapo kuwa Chelsea imetoa gharama za uhamisho huo lakini AC kwao ni kiasi kikubwa.. .

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nicolas Jackson ananafasi ya kuondoka Chelsea kwenye dirisha hili la uhamisho 👀👋🏾 Baada ya Noni Madueke kwenda Arsenal…ndio yatafuata kama ikipatikana ofa kwa timu itakayo muhitaji.. AC Milan imeulizia uhamisho huo wa Jackson.. Ijapo kuwa Chelsea imetoa gharama za uhamisho huo lakini AC kwao ni kiasi kikubwa.. . 🇬🇧 #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·123 Просмотры
  • Benfica imeulizia uwezekano wa kulipa kiasi cha €30M kwa Chelsea ili kumpata Joao Felix,
    lakini malipo ya mshahara wa mchezaji ni makubwa kuliko mahitaji ya timu am ambapo Joao Felix anakusanya €4M/ kwa mwaka...

    (Source: abolapt)

    #SportsElite
    🚨 Benfica imeulizia uwezekano wa kulipa kiasi cha €30M kwa Chelsea ili kumpata Joao Felix, lakini malipo ya mshahara wa mchezaji ni makubwa kuliko mahitaji ya timu am ambapo Joao Felix anakusanya €4M/ kwa mwaka... (Source: abolapt) #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·136 Просмотры
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund! ⚡️

    Ada ya uhamisho £48.5m na nyongeza ya £3.5m,
    @EnochArthur.

    #SportsElite
    🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund! ⚡️🔵 Ada ya uhamisho £48.5m na nyongeza ya £3.5m, @EnochArthur. #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·116 Просмотры
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Noni Madueke amekubali kujiunga na Arsenal, kutokana na project nzuri

    Na majadiliano yatafuata baina ya Arsenal na Chelsea

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Noni Madueke amekubali kujiunga na Arsenal, kutokana na project nzuri ❤️🤍 Na majadiliano yatafuata baina ya Arsenal na Chelsea #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·153 Просмотры
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m
    reports @sachatavolieri. ⚪️

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇷🇸 Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m reports @sachatavolieri. 🔴⚪️ #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·129 Просмотры
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa João Pedro (23) kutoka Brighton! kwa kandarasi ya miaka 7..

    João Pedro ameondoka Brighton kwa ada ya £55m na nyongeza ya £5m @EnochArthur

    #SportsElite
    🚨🇧🇷 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa João Pedro (23) kutoka Brighton! kwa kandarasi ya miaka 7.. 🔵 João Pedro ameondoka Brighton kwa ada ya £55m na nyongeza ya £5m @EnochArthur #SportsElite
    0 Комментарии ·0 Поделились ·126 Просмотры
  • Chelsea Football Club inaimani huenda ikamuuza Christopher Nkunku kwa ada ya £35m kwa timu itakayo muhitaji
    (Source: Metro)

    #SportsElite
    🚨 Chelsea Football Club inaimani huenda ikamuuza Christopher Nkunku kwa ada ya £35m kwa timu itakayo muhitaji (Source: Metro) #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·150 Просмотры
Расширенные страницы