• AC Milan yapigania kumsajili Darwin Núñez!

    Klabu hiyo ya Italia iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa Liverpool kuhusu uhamisho kwenda San Siro , lakini inakumbana na ushindani mkali kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia ambao tayari wamewasilisha ofa rasmi .

    Liverpool wanahitaji karibu £70 milioni , huku Núñez akionekana kupendelea kubaki barani Ulaya .

    #ACMilan #Liverpool #DarwinNúñez #TransferNews #AlHilal #SanSiro

    #SportsElite
    🚨 AC Milan yapigania kumsajili Darwin Núñez! Klabu hiyo ya Italia iko kwenye mazungumzo na mshambuliaji wa Liverpool kuhusu uhamisho kwenda San Siro 🏟️, lakini inakumbana na ushindani mkali kutoka Al-Hilal ya Saudi Arabia 🇸🇦 ambao tayari wamewasilisha ofa rasmi 💰. Liverpool wanahitaji karibu £70 milioni 💸, huku Núñez akionekana kupendelea kubaki barani Ulaya 🌍. #ACMilan #Liverpool #DarwinNúñez #TransferNews #AlHilal #SanSiro #SportsElite
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·293 Views
  • OFFICIAL: Real Betis imetangaza uhamisho wa Valentín Gómez!

    #ValentinGomez #RealBetis #TransferNews

    #SportsElite
    🚨 OFFICIAL: Real Betis imetangaza uhamisho wa Valentín Gómez! 💚🇦🇷 ✨⚽ #ValentinGomez #RealBetis #TransferNews #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·124 Views
  • ✍🏿RASMI :Klabu ya soka ya Young Africans imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuongeza watu wawili ambao ni

    Manu Rodriguez - kocha msaidizi

    Tshephang Makaila - Kocha wa mazoezi ya viungo

    #BaseTvsportnews #NBCPremierLeague #sokalaAfrika #yangasc
    #SportsElite
    🚨📜✍🏿🔰RASMI :Klabu ya soka ya Young Africans imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuongeza watu wawili ambao ni Manu Rodriguez - kocha msaidizi Tshephang Makaila - Kocha wa mazoezi ya viungo #BaseTvsportnews #NBCPremierLeague #sokalaAfrika #yangasc #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·357 Views
  • Understanding the Capabilities of a 110GHz Cable in High-Frequency Applications


    In RF and microwave systems, choosing the right components makes all the difference. One of the most critical elements in any high-frequency setup is the cable assembly. When systems operate above 50 GHz, maintaining signal integrity becomes more challenging. For more info - https://indiadailynews.in/posts/understanding-the-capabilities-of-a-110ghz-cable-in-high-frequency-applications
    Understanding the Capabilities of a 110GHz Cable in High-Frequency Applications In RF and microwave systems, choosing the right components makes all the difference. One of the most critical elements in any high-frequency setup is the cable assembly. When systems operate above 50 GHz, maintaining signal integrity becomes more challenging. For more info - https://indiadailynews.in/posts/understanding-the-capabilities-of-a-110ghz-cable-in-high-frequency-applications
    Understanding the Capabilities of a 110GHz Cable in High-Frequency Applications
    indiadailynews.in
    Are you looking for the free guest posting sites to post your blogs? India Daily News is the one stop for Free guest blogging site
    0 Comments ·0 Shares ·204 Views
  • | JUST IN

    Barcelona na Frenkie de Jong wako kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu hadi Juni 2029, na chaguo la mwaka mmoja zaidi. Mazungumzo sasa yako katika hatua za juu na yanaendelea vyema.

    Ili kusaidia uthabiti wa kifedha wa klabu, De Jong anakubali kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa—kutoka zaidi ya €700k kwa wiki (kutokana na malipo yaliyocheleweshwa hapo awali) hadi kiasi cha kudumu kati ya €200k na €250k kwa wiki.

    Source [ Transfer News]

    #SportsElite
    🚨 | JUST IN Barcelona na Frenkie de Jong wako kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu hadi Juni 2029, na chaguo la mwaka mmoja zaidi. Mazungumzo sasa yako katika hatua za juu na yanaendelea vyema. 🔵🔴 Ili kusaidia uthabiti wa kifedha wa klabu, De Jong anakubali kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa—kutoka zaidi ya €700k kwa wiki (kutokana na malipo yaliyocheleweshwa hapo awali) hadi kiasi cha kudumu kati ya €200k na €250k kwa wiki. 💰 Source [ Transfer News] #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·203 Views
  • Yoga classes in Brooklyn, including Yoga Sculpt and hot yoga, promote emotional stability and mental clarity through mindful movement, breathwork, and supportive practice environments.
    https://www.prpnewswire.com/how-yoga-classes-support-mental-clarity-and-emotional-balance
    Yoga classes in Brooklyn, including Yoga Sculpt and hot yoga, promote emotional stability and mental clarity through mindful movement, breathwork, and supportive practice environments. https://www.prpnewswire.com/how-yoga-classes-support-mental-clarity-and-emotional-balance
    How Yoga Classes Support Mental Clarity and Emotional Balance
    www.prpnewswire.com
    Yoga classes in Brooklyn, including Yoga Sculpt and hot yoga, promote emotional stability and mental clarity through mindful movement, breathwork, and supportive practice environments.
    0 Comments ·0 Shares ·177 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo
    @SkySportsNews.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇫🇷 Mshambuliaji wa Villarreal Thierno Barry (22) amejiunga na Everton! Kwa Ada ya £27m Na vipimo vya afya atafanyiwa leo @SkySportsNews. ✈️ #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·172 Views
  • Partnering with a nursing home staffing agency that Ohio providers trust offers access to qualified staff, reduces administrative burden, ensures compliance, and supports consistent, high-quality care.
    https://www.prpnewswire.com/top-benefits-of-partnering-with-a-nursing-home-staffing-agency
    Partnering with a nursing home staffing agency that Ohio providers trust offers access to qualified staff, reduces administrative burden, ensures compliance, and supports consistent, high-quality care. https://www.prpnewswire.com/top-benefits-of-partnering-with-a-nursing-home-staffing-agency
    Top Benefits of Partnering with a Nursing Home Staffing Agency
    www.prpnewswire.com
    Partnering with a nursing home staffing agency that Ohio providers trust offers access to qualified staff, reduces administrative burden, ensures compliance, and supports consistent, high-quality care.
    0 Comments ·0 Shares ·282 Views
  • Jack Grealish ataondoka Manchester City kwa ada ya £40m kama itapatikana dili..

    (Source: Manchester Evening News)

    #SportsElite
    🚨 Jack Grealish ataondoka Manchester City kwa ada ya £40m kama itapatikana dili.. (Source: Manchester Evening News) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·56 Views
  • A solar battery for house use stores excess energy, lowers utility costs, and ensures backup power, offering a smarter, more resilient energy solution for today’s homeowners.
    https://freenews.cc/@brgibson72/homeowners-turn-to-solar-battery-solutions-for-energy-independence-and-resilience-ent30w67ia7e
    A solar battery for house use stores excess energy, lowers utility costs, and ensures backup power, offering a smarter, more resilient energy solution for today’s homeowners. https://freenews.cc/@brgibson72/homeowners-turn-to-solar-battery-solutions-for-energy-independence-and-resilience-ent30w67ia7e
    freenews.cc
    With increasing residential energy needs as well as growing concern about power reliability, solar batteries for houses are shaping up as “the” must-have home improvement.
    0 Comments ·0 Shares ·308 Views
  • Unlock affordable solar panels California residents love. Explore tips, incentives, and Simply Solar’s expert solutions to reduce energy costs and maximize savings.
    https://www.prpnewswire.com/unlock-the-secrets-to-affordable-solar-panels-in-california
    Unlock affordable solar panels California residents love. Explore tips, incentives, and Simply Solar’s expert solutions to reduce energy costs and maximize savings. https://www.prpnewswire.com/unlock-the-secrets-to-affordable-solar-panels-in-california
    Unlock the Secrets to Affordable Solar Panels in California
    www.prpnewswire.com
    Unlock affordable solar panels California residents love. Explore tips, incentives, and Simply Solar’s expert solutions to reduce energy costs and maximize savings.
    0 Comments ·0 Shares ·283 Views
  • BREAKING NEWS…..!!!!!

    FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea.

    Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea....

    #sportselite
    🚨BREAKING NEWS…..!!!!! FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea. Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea.... #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·596 Views
  • https://blogingers.com/essential-fire-safety-tips-every-melbourne-business-must-follow/
    https://euromediawire.com/?p=10872
    https://newsworldstream.com/profile/australiafireprotection
    https://newsworldstream.com/complete-guide-to-fire-protection-systems-for-homes-and-offices
    https://blogingers.com/essential-fire-safety-tips-every-melbourne-business-must-follow/ https://euromediawire.com/?p=10872 https://newsworldstream.com/profile/australiafireprotection https://newsworldstream.com/complete-guide-to-fire-protection-systems-for-homes-and-offices
    0 Comments ·0 Shares ·511 Views
  • Latest Car & Bike News, Reviews, and Updates – Wheelsbingo

    Click here for more information- https://www.wheelsbingo.com/news-listing
    Latest Car & Bike News, Reviews, and Updates – Wheelsbingo Click here for more information- https://www.wheelsbingo.com/news-listing
    Latest Car & Bike News, Reviews, and Updates – Wheelsbingo
    www.wheelsbingo.com
    Get the latest car and bike news, price updates, new launches, and expert reviews. Stay informed about upcoming models, features, and auto industry trends only on Wheelsbingo.
    0 Comments ·0 Shares ·251 Views
  • https://blogingers.com/from-silverfish-to-huntsman-spiders-complete-pest-control-in-melbourne/
    https://newsworldstream.com/profile/envirosafepestcontrol
    https://newsworldstream.com/from-buzz-to-burrow-complete-pest-control-for-melbournes-most-unwanted-intruders
    https://blogingers.com/from-silverfish-to-huntsman-spiders-complete-pest-control-in-melbourne/ https://newsworldstream.com/profile/envirosafepestcontrol https://newsworldstream.com/from-buzz-to-burrow-complete-pest-control-for-melbournes-most-unwanted-intruders
    0 Comments ·0 Shares ·201 Views
  • https://newsworldstream.com/from-studio-to-suburb-the-heartfelt-reach-of-melbournes-floristry
    https://bloghub.in.net/profile/blossomby-daisy-876
    https://bloghub.in.net/article/melbourne-in-bloom-delivering-floral-joy-across-every-suburb
    https://ontoplist.in.net/profile/blossomby-daisy-682
    https://newsworldstream.com/from-studio-to-suburb-the-heartfelt-reach-of-melbournes-floristry https://bloghub.in.net/profile/blossomby-daisy-876 https://bloghub.in.net/article/melbourne-in-bloom-delivering-floral-joy-across-every-suburb https://ontoplist.in.net/profile/blossomby-daisy-682
    0 Comments ·0 Shares ·294 Views
  • #barca news
    #barca news
    0 Comments ·0 Shares ·331 Views
  • Rais wa Marekani , DonaldTrump, ameibua mjadala mkali baada ya kusema kuwa kuna uwezekano wa yeye kuwania muhula wa tatu, licha ya Katiba ya Marekani kupiga marufuku jambo hilo kupitia Marekebisho ya 22. Katika mahojiano na NBCNews, Rais huyo hakutaka kufuta uwezekano wa kuwania tena Urais baada ya kumaliza mihula miwili, akidai kuwa kuna njia za kufanya hilo kutokea. Alisisitiza kuwa "hakuwa anatania," jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa Wachambuzi wa siasa na Wanaharakati wa demokrasia Nchini humo.

    Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais haruhusiwi kutawala kwa zaidi ya mihula miwili ya miaka minne minne. Marekebisho ya 22 yaliwekwa ili kuzuia Mtu mmoja kuwa na mamlaka ya muda mrefu kama ilivyokuwa kwa Franklin D. Roosevelt, ambaye altawala kwa zaidi ya mihula miwili kabla ya marekebisho hayo kuidhinishwa mwaka 1951.

    Kauli ya Trump imeibua maswali kuhusu mbinu anazoweza kutumia kutafuta muhula wa tatu. Wachambuzi wa sheria wanabainisha kuwa ili hilo litokee, ama katiba ibadilishwe rasmi kwa marekebisho mapya, au ipatikane tafsiri mpya ya kisheria inayomruhusu kugombea tena. Hata hivyo, mchakato wa kubadili katiba ni mgumu na unahitaji ridhaa ya Bunge pamoja na Majimbo mengi ya Marekani.

    Baadhi ya Wafuasi wa Donald Trump wameunga mkono kauli yake, wakidai kuwa anastahili muda zaidi wa kuongoza Nchi. Hata hivyo, Wakosoaji wake wanasema kuwa hatua yoyote ya kupindua Marekebisho ya 22 inaweza kuwa tishio kwa demokrasia ya Marekani na kuweka msingi wa uongozi wa kiimla.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, DonaldTrump, ameibua mjadala mkali baada ya kusema kuwa kuna uwezekano wa yeye kuwania muhula wa tatu, licha ya Katiba ya Marekani kupiga marufuku jambo hilo kupitia Marekebisho ya 22. Katika mahojiano na NBCNews, Rais huyo hakutaka kufuta uwezekano wa kuwania tena Urais baada ya kumaliza mihula miwili, akidai kuwa kuna njia za kufanya hilo kutokea. Alisisitiza kuwa "hakuwa anatania," jambo ambalo limeibua hofu miongoni mwa Wachambuzi wa siasa na Wanaharakati wa demokrasia Nchini humo. Kwa mujibu wa Katiba ya Marekani, Rais haruhusiwi kutawala kwa zaidi ya mihula miwili ya miaka minne minne. Marekebisho ya 22 yaliwekwa ili kuzuia Mtu mmoja kuwa na mamlaka ya muda mrefu kama ilivyokuwa kwa Franklin D. Roosevelt, ambaye altawala kwa zaidi ya mihula miwili kabla ya marekebisho hayo kuidhinishwa mwaka 1951. Kauli ya Trump imeibua maswali kuhusu mbinu anazoweza kutumia kutafuta muhula wa tatu. Wachambuzi wa sheria wanabainisha kuwa ili hilo litokee, ama katiba ibadilishwe rasmi kwa marekebisho mapya, au ipatikane tafsiri mpya ya kisheria inayomruhusu kugombea tena. Hata hivyo, mchakato wa kubadili katiba ni mgumu na unahitaji ridhaa ya Bunge pamoja na Majimbo mengi ya Marekani. Baadhi ya Wafuasi wa Donald Trump wameunga mkono kauli yake, wakidai kuwa anastahili muda zaidi wa kuongoza Nchi. Hata hivyo, Wakosoaji wake wanasema kuwa hatua yoyote ya kupindua Marekebisho ya 22 inaweza kuwa tishio kwa demokrasia ya Marekani na kuweka msingi wa uongozi wa kiimla.
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Felix Tshisekedi amesema Nchi yake iko tayari kuingia mkataba wa madini na Nchi Marekani kwa mabadilishano ya kupatiwa uwezo wa kujilinda dhidi ya Makundi ya Wapiganaji mashariki mwa taifa hilo kama vile kundi la M23 na mengineyo.

    Akizungumza na kituo cha Televisheni cha Fox News leo asubuhi, Rais huyo amesema makubaliano ya aina hiyo yataiwezesha Nchi ya DR Congo kuchimba madini yake kupitia Kampuni za Marekani huku yenyewe ikinufaika kwa kuimarisha mifumo yake ya ulinzi na usalama. Nchi hiyo yenye utajiri mkubwa wa madini ikiwemo kobalti na urani imekuwa inapambana na Kundi la Waasi wa M23 linadaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda ambalo limefanikiwa tangu mwanzoni mwa mwaka huu kuchukua udhibiti wa maeneo makubwa upande wa mashariki mwa Nchi hiyo.

    Hapo jana, kundi hilo la Waasi wa M23 limeendelea kufanya mashambulizi na kuingia Mji mdogo wenye utajiri wa madini wa Walikale licha ya mwito wa kusitishwa mapigano uliotolewa na Rais Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame walipokutana Nchini Qatar mapema wiki hii.

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, Felix Tshisekedi amesema Nchi yake iko tayari kuingia mkataba wa madini na Nchi Marekani 🇺🇸 kwa mabadilishano ya kupatiwa uwezo wa kujilinda dhidi ya Makundi ya Wapiganaji mashariki mwa taifa hilo kama vile kundi la M23 na mengineyo. Akizungumza na kituo cha Televisheni cha Fox News leo asubuhi, Rais huyo amesema makubaliano ya aina hiyo yataiwezesha Nchi ya DR Congo kuchimba madini yake kupitia Kampuni za Marekani huku yenyewe ikinufaika kwa kuimarisha mifumo yake ya ulinzi na usalama. Nchi hiyo yenye utajiri mkubwa wa madini ikiwemo kobalti na urani imekuwa inapambana na Kundi la Waasi wa M23 linadaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼 ambalo limefanikiwa tangu mwanzoni mwa mwaka huu kuchukua udhibiti wa maeneo makubwa upande wa mashariki mwa Nchi hiyo. Hapo jana, kundi hilo la Waasi wa M23 limeendelea kufanya mashambulizi na kuingia Mji mdogo wenye utajiri wa madini wa Walikale licha ya mwito wa kusitishwa mapigano uliotolewa na Rais Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame walipokutana Nchini Qatar 🇶🇦 mapema wiki hii.
    0 Comments ·0 Shares ·656 Views
  • MTUNZI WA JINA LA 'TANZANIA' AFARIKI

    Hicho ni kipande cha gazeti la The Nationalist la Oktoba 30, 1964. Habari kubwa kwenye gazeti hili na Nchi kwa ujumla ni jina jipya la TANZANIA. Ni kwamba baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa April 26, 1964, jina la nchi mpya lilikuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Lakini jina hili lilikuwa refu sana na kuwa kero kwa Watumiaji.

    Serikali kupitia wizara ya habari na utalii chini ya waziri Dkt. Idrisa Abdul Wakili, ikaanzisha mchakato wa kutafuta jina jipya litakalokuwa fupi na rahisi. Ikatoa tangazo kupitia gazeti la Tanganyika Standard, ambalo sasa ni Daily News, kuwataka Watanzania wenye kuweza kubuni jina jipya la Nchi kufanya hivyo. Ndipo kijana wa miaka 18 kutoka Morogoro, Mohamed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Sekondari ya Aga Khan Morogoro, akaliona tangazo hilo na kushiriki.

    Akatunga jina la Tanzania na kulituma kwenye anwani iliyotangazwa. Baada ya muda kupita, akapata barua kutoka serikalini ikimtaja na kumpongeza yeye kama mmoja wa Washindi 16 na wakatakiwa kufika ofisi za wizara. Kwa pamoja watu hawa walitakiwa kugawana zawadi ya shilingi 200, wakati huo shilingi moja ilikuwa sawa na dola 8 za Marekani.

    Siku ilipofika, watu wawili tu walijitokeza; yeye Mohamed Iqbal Dar na Yusufal Pir Mohamed. Lakini huyo mwenzake hakuwa na ile barua ya kutajwa kama mshindi na kupongezwa... Serikali ikashindwa kumthibitisha hivyo kumtangaza Mohamed Iqbal Dar kama Mshindi pekee. Ndipo Jumatano ya Oktoba 29, 1964 serikali ikatangaza rasmi kwamba jina jipya la nchi ni Tanzania na gazeti la The Nationalist likaichapisha habari hii kubwa, Alhamisi ya Oktoba 30, 1964. Jina la Tanzania likaanza kutumika rasmi Novemba Mosi, 1964.

    - Alitungaje jina?

    TAN - kutoka Tanganyika
    ZAN - kutoka Zanzibar
    I - kutoka jina lake la Iqbal.
    A - kutoka dini yake ya Ahmadiya. Hii pia ikawa rahisi zaidi kwake kwani majina ya nchi nyingi za Afrika yaliishia na A kama Ethiopia, Zambia, Gambia nk.

    - Ni nani huyu Mohamed Iqbal Dar?

    Ni mtoto wa Dkt. Dar, ambaye alikuja Tanzania mwaka 1930 kutoka India. Alifikia Tanga, na ndiko alikozaliwa Mohamed, hakafu akahamia Morogoro. Mohamed amefarikia huko Birmingham Nchini Uingereza .
    MTUNZI WA JINA LA 'TANZANIA' AFARIKI Hicho ni kipande cha gazeti la The Nationalist la Oktoba 30, 1964. Habari kubwa kwenye gazeti hili na Nchi kwa ujumla ni jina jipya la TANZANIA. Ni kwamba baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa April 26, 1964, jina la nchi mpya lilikuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Lakini jina hili lilikuwa refu sana na kuwa kero kwa Watumiaji. Serikali kupitia wizara ya habari na utalii chini ya waziri Dkt. Idrisa Abdul Wakili, ikaanzisha mchakato wa kutafuta jina jipya litakalokuwa fupi na rahisi. Ikatoa tangazo kupitia gazeti la Tanganyika Standard, ambalo sasa ni Daily News, kuwataka Watanzania wenye kuweza kubuni jina jipya la Nchi kufanya hivyo. Ndipo kijana wa miaka 18 kutoka Morogoro, Mohamed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Sekondari ya Aga Khan Morogoro, akaliona tangazo hilo na kushiriki. Akatunga jina la Tanzania na kulituma kwenye anwani iliyotangazwa. Baada ya muda kupita, akapata barua kutoka serikalini ikimtaja na kumpongeza yeye kama mmoja wa Washindi 16 na wakatakiwa kufika ofisi za wizara. Kwa pamoja watu hawa walitakiwa kugawana zawadi ya shilingi 200, wakati huo shilingi moja ilikuwa sawa na dola 8 za Marekani. Siku ilipofika, watu wawili tu walijitokeza; yeye Mohamed Iqbal Dar na Yusufal Pir Mohamed. Lakini huyo mwenzake hakuwa na ile barua ya kutajwa kama mshindi na kupongezwa... Serikali ikashindwa kumthibitisha hivyo kumtangaza Mohamed Iqbal Dar kama Mshindi pekee. Ndipo Jumatano ya Oktoba 29, 1964 serikali ikatangaza rasmi kwamba jina jipya la nchi ni Tanzania na gazeti la The Nationalist likaichapisha habari hii kubwa, Alhamisi ya Oktoba 30, 1964. Jina la Tanzania likaanza kutumika rasmi Novemba Mosi, 1964. - Alitungaje jina? TAN - kutoka Tanganyika ZAN - kutoka Zanzibar I - kutoka jina lake la Iqbal. A - kutoka dini yake ya Ahmadiya. Hii pia ikawa rahisi zaidi kwake kwani majina ya nchi nyingi za Afrika yaliishia na A kama Ethiopia, Zambia, Gambia nk. - Ni nani huyu Mohamed Iqbal Dar? Ni mtoto wa Dkt. Dar, ambaye alikuja Tanzania mwaka 1930 kutoka India. Alifikia Tanga, na ndiko alikozaliwa Mohamed, hakafu akahamia Morogoro. Mohamed amefarikia huko Birmingham Nchini Uingereza 🇬🇧.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
More Results