• TBT ya Haji Manara

    "September 2007 nikiwa kijana Mdogo na nikiwa kiongozi wa Chama changu na hapo ni fresh from School kule Beijing China.
    Kipindi hicho nna madini ya hatari kuhusu taaluma ya Propaganda na Uenezi,enzi ambazo nilikuwa naweza kukuaminisha Jiwe ni Keki

    Enzi ambazo nilikuwa naweza kuwavusha hata kuku barabarani kwa maneno tu,
    Ni zile zile zama nilizowaaminisha Barcelona haichomoki kwa Mkapa, tena Barcelona kweli ya Xavi ,Iniesta na kina Messi.
    Taaluma iliyonipa ujasiri wa kusema na kuamini tutafuzu kwa AFCON ya 2019 kule Misri,wakati huo tukiwa chini kwenye msimamo wa kundi letu, na Nchi nzima ikiwa imejikatia tamaa ya kwenda Cairo.

    Bila kusahau one day kule Paris France niliposahau Passport hotelini na siku hiyo tulisimamishwa na Manjagu njiani nikiwa na wenzangu ambao walikuwa Kamil Gado,
    Nikazuga kama naitoa kwenye mfuko wa koti, Askari wakaniamini kabla ya kuwaonyesha ,wakaturuhusu kilaini kabisa,inaitwa Blue Propaganda

    Yes: Pembeni yangu katika hiyo picha ni Marehemu Captain Barongo aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam,
    Na hii ilikuwa sherehe ya harusi ya DC wa Temeke hivi sasa Mh Sixtus Mapunda ambae wakati huo alikuwa Katibu wa Umoja wa Vijana ( UV CCM ) Mkoa huu.
    Hadi leo tumebaki marafiki wakubwa na hakosi mwaliko wowote kwangu

    Nb: Usicheke ukubwa wa koti,miaka ile ilikuwa ndio fashion na wenyewe tuliyaita Majumba "

    TBT ya Haji Manara "September 2007 nikiwa kijana Mdogo na nikiwa kiongozi wa Chama changu na hapo ni fresh from School kule Beijing China. Kipindi hicho nna madini ya hatari kuhusu taaluma ya Propaganda na Uenezi,enzi ambazo nilikuwa naweza kukuaminisha Jiwe ni Keki 😀😀😀 Enzi ambazo nilikuwa naweza kuwavusha hata kuku barabarani kwa maneno tu😀😀😀, Ni zile zile zama nilizowaaminisha Barcelona haichomoki kwa Mkapa, tena Barcelona kweli ya Xavi ,Iniesta na kina Messi. Taaluma iliyonipa ujasiri wa kusema na kuamini tutafuzu kwa AFCON ya 2019 kule Misri,wakati huo tukiwa chini kwenye msimamo wa kundi letu, na Nchi nzima ikiwa imejikatia tamaa ya kwenda Cairo. Bila kusahau one day kule Paris France niliposahau Passport hotelini na siku hiyo tulisimamishwa na Manjagu njiani nikiwa na wenzangu ambao walikuwa Kamil Gado, Nikazuga kama naitoa kwenye mfuko wa koti, Askari wakaniamini kabla ya kuwaonyesha ,wakaturuhusu kilaini kabisa,inaitwa Blue Propaganda 😀😀😀 Yes: Pembeni yangu katika hiyo picha ni Marehemu Captain Barongo aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Na hii ilikuwa sherehe ya harusi ya DC wa Temeke hivi sasa Mh Sixtus Mapunda ambae wakati huo alikuwa Katibu wa Umoja wa Vijana ( UV CCM ) Mkoa huu. Hadi leo tumebaki marafiki wakubwa na hakosi mwaliko wowote kwangu 🙏🙏 Nb: Usicheke ukubwa wa koti,miaka ile ilikuwa ndio fashion na wenyewe tuliyaita Majumba 😀😀😀"
    0 Comments ·0 Shares ·223 Views
  • Yamesemwa na Mwijaku, Mtangazaji wa Crown Media.

    #TBT-Sikutamani kusema ila wacha niseme nimesaidia wasanii zaidi ta asilimia 55% Tanzania na wamefanikiwa . Ila hawasemi na mawazo yangu wanayatumia hadi leo mwijaku_maokoto #2025
    Yamesemwa na Mwijaku, Mtangazaji wa Crown Media. #TBT-Sikutamani kusema ila wacha niseme nimesaidia wasanii zaidi ta asilimia 55% Tanzania na wamefanikiwa . Ila hawasemi na mawazo yangu wanayatumia hadi leo mwijaku_maokoto #2025
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·408 Views
  • #TBT

    #paulswai
    #TBT #paulswai
    Like
    Love
    6
    · 1 Comments ·0 Shares ·446 Views
  • TBT
    #bernaldpeter
    #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    TBT #bernaldpeter #intellectual_and_developmental_disability_IDD
    Like
    Love
    4
    · 6 Comments ·0 Shares ·622 Views
  • TBT #bernaldpeter
    TBT #bernaldpeter
    Like
    Love
    2
    · 2 Comments ·0 Shares ·549 Views
  • #bernaldpeter TBT
    #bernaldpeter TBT
    Like
    Love
    2
    · 2 Comments ·0 Shares ·539 Views
  • TBT #bernaldpeter
    TBT #bernaldpeter
    Like
    1
    · 2 Comments ·0 Shares ·550 Views
  • #bernalpeter TBT
    #bernalpeter TBT
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·709 Views
  • kurap nimeanza shule,umarufu unaongezeka/
    ustar toka kale,mashabiki wanaongezeka/


    sina jina la usanii,ila hizi flow zinati/
    masnich hamfikii,eti mnabonga TBT/
    mi do master wa bruce lee, ama master key/
    nachana nangamua,hili beat linanijua/
    una punchline za pua,mi na mistari yakishua/


    kurap nimeanza shule,umarufu unaongezeka/ ustar toka kale,mashabiki wanaongezeka/ sina jina la usanii,ila hizi flow zinati/ masnich hamfikii,eti mnabonga TBT/ mi do master wa bruce lee, ama master key/ nachana nangamua,hili beat linanijua/ una punchline za pua,mi na mistari yakishua/
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·707 Views
  • #tbt
    #tbt
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·706 Views
  • #TBT ya juzi
    #TBT ya juzi 🦏
    Like
    Love
    9
    · 1 Comments ·0 Shares ·752 Views