• INUKA WEWE!!
    luka 8:51-56
    Kisa cha mtoto wa mkuu wa sinagogi ambaye alikuja kumuomba Yesu akamponye mtoto wake lakini kabla hata hajaenda walimletea taarifa kuwa binti yake amefariki tayari.

    Yesu kabla ajaenda kwake anamwambia mambo mawili makubwa *usiwe na hofu* na *Amini tu* mtoto wako ataponywa.

    Kumbuka huyu mtoto amekufa anawakuta wanalia anawambia msilie wao wanamcheka na sababu ya kumcheka ni wanauhakika kuwa amekufa tayari.

    Lakini Yesu anamshika anamwita yule mtoto anainuka.

    Nini ninacho jiuliza kwanini Yesu asemi fufuka anamwita kwa kumuamsha pia alifanya hivyo kwa Lazaro aliye kaa kaburini siku nne.

    Najifunza nini
    Kufa ni usingizi wa milele lakini ikitokea nguvu kubwa kuliko maiti inaweza kuamshwa kwa kuitwa na ikasikia.

    Kuna sehemu watu walio kufa au vitu vinavyo kufa huwa vinahifadhiwa sauti yako ikifanikiwa kupenya mpaka kwenye eneo hilo kitu kinarudi hai tena.

    Kumbe mahusiano,ndoa ,kazi , biashara iliyokufa inahitaji mtu aiite kwa sauti na mamlaka ili irudi kuwa hai tena.

    Hakuna kinacho kufa harafu hakiwezi kurudi kwa kuwa kinakuwa kimelala na kchochote kilicho lala kinaweza kuamshwa tena

    Tunakubaliana sote kila kazi yangu ambayo katika ulimwengu wa damu na nyama ikaonekana imekufa naiamsha tena kwa kuiita kwa sautu kuu INUKA ,INUKA ,INUKA KATIKA JINA LA YESU.

    Nakuombea nawe pia kila mahusiano,ndoa ,iliyo kuwa imekufa nayaamsha tena amka katika jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

    SEMA NAMI AMKA ,AMKA,MKA EWE BIASHARA,EWE NDOA ,EWE KIBALI,EWE HUDUMA,EWE KARAMA ,EWE NDOA ,EWE MCHUMBA ULIYE LALA YESU ANAKUITA ANASEMA AMKA ,AMKA ,AMKA KATIKA JINA NA UWEZA WA DAMU YAKE KRISTO YESU WA NAZARETH.

    Namuona mtu mmoja anakwenda kunyanyuka na kuinuka tena kutoka katika usingizi mzito aliyo kuwa amelala ,2026 utanyanyuka tena na kufufuka tena kwa mbio mpya ,unakwenda kuwa na njaa ya mafanikio kwa ukubwa kiwango ambacho mbingu itashindwa kujizuia kukuahibisha mema na matunda yake kwa jina la Yesu.

    Nimetumwa nikwambie kuwa.

    Warumi 8:11
    [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.

    Sema lazima nitafufuka tena kwa sababu roho yule yule aliye mfufua Kristi ndiye atakaye uisha karama na huduma yangu iliyo katika hali ya kufa.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ndiyo_wale_tunao_piganiwa_na_Bwaan
    INUKA WEWE!! luka 8:51-56 Kisa cha mtoto wa mkuu wa sinagogi ambaye alikuja kumuomba Yesu akamponye mtoto wake lakini kabla hata hajaenda walimletea taarifa kuwa binti yake amefariki tayari. Yesu kabla ajaenda kwake anamwambia mambo mawili makubwa *usiwe na hofu* na *Amini tu* mtoto wako ataponywa. Kumbuka huyu mtoto amekufa anawakuta wanalia anawambia msilie wao wanamcheka na sababu ya kumcheka ni wanauhakika kuwa amekufa tayari. Lakini Yesu anamshika anamwita yule mtoto anainuka. Nini ninacho jiuliza kwanini Yesu asemi fufuka anamwita kwa kumuamsha pia alifanya hivyo kwa Lazaro aliye kaa kaburini siku nne. Najifunza nini ⏩ Kufa ni usingizi wa milele lakini ikitokea nguvu kubwa kuliko maiti inaweza kuamshwa kwa kuitwa na ikasikia. ⏩Kuna sehemu watu walio kufa au vitu vinavyo kufa huwa vinahifadhiwa sauti yako ikifanikiwa kupenya mpaka kwenye eneo hilo kitu kinarudi hai tena. Kumbe mahusiano,ndoa ,kazi , biashara iliyokufa inahitaji mtu aiite kwa sauti na mamlaka ili irudi kuwa hai tena. ⏩Hakuna kinacho kufa harafu hakiwezi kurudi kwa kuwa kinakuwa kimelala na kchochote kilicho lala kinaweza kuamshwa tena Tunakubaliana sote kila kazi yangu ambayo katika ulimwengu wa damu na nyama ikaonekana imekufa naiamsha tena kwa kuiita kwa sautu kuu INUKA ,INUKA ,INUKA KATIKA JINA LA YESU. Nakuombea nawe pia kila mahusiano,ndoa ,iliyo kuwa imekufa nayaamsha tena amka katika jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. SEMA NAMI AMKA ,AMKA,MKA EWE BIASHARA,EWE NDOA ,EWE KIBALI,EWE HUDUMA,EWE KARAMA ,EWE NDOA ,EWE MCHUMBA ULIYE LALA YESU ANAKUITA ANASEMA AMKA ,AMKA ,AMKA KATIKA JINA NA UWEZA WA DAMU YAKE KRISTO YESU WA NAZARETH. Namuona mtu mmoja anakwenda kunyanyuka na kuinuka tena kutoka katika usingizi mzito aliyo kuwa amelala ,2026 utanyanyuka tena na kufufuka tena kwa mbio mpya ,unakwenda kuwa na njaa ya mafanikio kwa ukubwa kiwango ambacho mbingu itashindwa kujizuia kukuahibisha mema na matunda yake kwa jina la Yesu. Nimetumwa nikwambie kuwa. Warumi 8:11 [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu. Sema lazima nitafufuka tena kwa sababu roho yule yule aliye mfufua Kristi ndiye atakaye uisha karama na huduma yangu iliyo katika hali ya kufa. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ndiyo_wale_tunao_piganiwa_na_Bwaan
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 318 Views
  • NENO LA SIKU.

    NAKUOMBEA SIKU YA LEO IKAWE SIKU YA KUFUJGULIWA KWA MALANGO YAKOPANDE ZOTE NNE ZA NCHI.

    BWANA AKAFUNGUE MALANGO YAKO YA FURSA ,MALANGO YAKO YA NDOA ,MALANGO YAKO YA UCHUMI,MALANGO YAKO YA BISHARA .

    Isaya 60:11
    [11]Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;
    Hayatafungwa mchana wala usiku;
    Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa,
    Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao.

    MALANGO YAKO YAWE WAZI WAKATI HUO HUO MUNGU AKUSOGEZEEE WATU SAHIHI AMBAO WATAKUJA KUKULETEA UTAJIRI KONA ZOTE ZA NCHI.

    MUNGU AKAKUFANYE KUWA SUMAKU INAYO WEZA KUVUTA WATU WA MAANA WAKATI MALANGO YAKO YAKO WAZI.

    Isaya 60:14

    [14]Na wana wa watu wale waliokutesa
    Watakuja kwako na kukuinamia;
    Nao wote waliokudharau
    Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako;
    Nao watakuita, Mji wa BWANA,
    Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli.

    KILA ADUI YAKO ALIYE KUTESA ATAANGUKA MBELE YAKO NA WEWE UTASHUHUDIA WAZI WAZI NAWE UTASEMA BWANA KANILETEA MFALME WA SIHONI NIMPIGE MBELE YANGU

    NA BAADA TU YA KUMPIGA MALANGO YATAANZA KUWA WAZI WAKATI WOTE NA WAFALME KUTOKA MBALI YA NCHI WATAKUSANYANA WAKITAKA KUJUA KUKUONA WAKIAMBIANA YULE NDIYE BWANA ALIYE MBARIKI NA KUMPA MILKI YOTE YA NCHI HII.

    Sylvester Mwakabende
    0622625340
    #2026_SISI_NDOO_WALE_TUNAO PIGANIWA_NA _BWANA.
    NENO LA SIKU. NAKUOMBEA SIKU YA LEO IKAWE SIKU YA KUFUJGULIWA KWA MALANGO YAKOPANDE ZOTE NNE ZA NCHI. BWANA AKAFUNGUE MALANGO YAKO YA FURSA ,MALANGO YAKO YA NDOA ,MALANGO YAKO YA UCHUMI,MALANGO YAKO YA BISHARA . Isaya 60:11 [11]Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao. MALANGO YAKO YAWE WAZI WAKATI HUO HUO MUNGU AKUSOGEZEEE WATU SAHIHI AMBAO WATAKUJA KUKULETEA UTAJIRI KONA ZOTE ZA NCHI. MUNGU AKAKUFANYE KUWA SUMAKU INAYO WEZA KUVUTA WATU WA MAANA WAKATI MALANGO YAKO YAKO WAZI. Isaya 60:14 [14]Na wana wa watu wale waliokutesa Watakuja kwako na kukuinamia; Nao wote waliokudharau Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako; Nao watakuita, Mji wa BWANA, Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli. KILA ADUI YAKO ALIYE KUTESA ATAANGUKA MBELE YAKO NA WEWE UTASHUHUDIA WAZI WAZI NAWE UTASEMA BWANA KANILETEA MFALME WA SIHONI NIMPIGE MBELE YANGU NA BAADA TU YA KUMPIGA MALANGO YATAANZA KUWA WAZI WAKATI WOTE NA WAFALME KUTOKA MBALI YA NCHI WATAKUSANYANA WAKITAKA KUJUA KUKUONA WAKIAMBIANA YULE NDIYE BWANA ALIYE MBARIKI NA KUMPA MILKI YOTE YA NCHI HII. Sylvester Mwakabende 0622625340 #2026_SISI_NDOO_WALE_TUNAO PIGANIWA_NA _BWANA.
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 337 Views
  • Cristiano Ronaldo amkingia kifua Garnacho: “Waacheni Watoto wafurahie mpira”.

    Cristiano Ronaldo ameibuka na kutetea kijana wa Manchester United, Alejandro Garnacho, kufuatia malalamiko kutoka kwa baadhi ya mashabiki wa Argentina wanaompinga kuiga mtindo wa kusherehekea mabao wa Ronaldo anapofunga mabao.

    Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Ronaldo alionyesha mshangao wake juu ya jinsi mashabiki wa Argentina wanavyomshambulia Garnacho kwa sababu ya kusherehekea kama yeye badala ya Lionel Messi, ambaye ni Mchezaji wa taifa lao.

    “Nchini Argentina, wanasema Garnacho asisherehekee kama Cristiano, kwamba si jambo jema. Ninaliona hilo kuwa la ajabu, ni Mtoto tu, waacheni acheze,” alisema Ronaldo kwa msisitizo.

    Nyota huyo mwenye mafanikio makubwa pia aliongeza kuwa hajawahi kuwazuia Wachezaji wa Ureno kumpenda Messi, akisema: "Sijawahi kumwambia Mchezaji yeyote wa Ureno asimpenda Messi.”

    Kauli hii ya Ronaldo imepokelewa kwa hisia tofauti mtandaoni, huku wengi wakimpongeza kwa kukubali tofauti na kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika soka. Ronaldo na Messi wamekuwa wakilinganishwa kwa miaka mingi, lakini kauli hii inaonesha dalili ya kuheshimiana zaidi kuliko ushindani.

    Mashabiki wanaendelea kufuatilia kwa karibu uhusiano huu unaoibuka kati ya kizazi kipya kama Garnacho na Wachezaji wakongwe waliowatangulia.
    Cristiano Ronaldo amkingia kifua Garnacho: “Waacheni Watoto wafurahie mpira”. Cristiano Ronaldo ameibuka na kutetea kijana wa Manchester United, Alejandro Garnacho, kufuatia malalamiko kutoka kwa baadhi ya mashabiki wa Argentina wanaompinga kuiga mtindo wa kusherehekea mabao wa Ronaldo anapofunga mabao. Katika mahojiano yake ya hivi karibuni, Ronaldo alionyesha mshangao wake juu ya jinsi mashabiki wa Argentina wanavyomshambulia Garnacho kwa sababu ya kusherehekea kama yeye badala ya Lionel Messi, ambaye ni Mchezaji wa taifa lao. “Nchini Argentina, wanasema Garnacho asisherehekee kama Cristiano, kwamba si jambo jema. Ninaliona hilo kuwa la ajabu, ni Mtoto tu, waacheni acheze,” alisema Ronaldo kwa msisitizo. Nyota huyo mwenye mafanikio makubwa pia aliongeza kuwa hajawahi kuwazuia Wachezaji wa Ureno kumpenda Messi, akisema: "Sijawahi kumwambia Mchezaji yeyote wa Ureno asimpenda Messi.” Kauli hii ya Ronaldo imepokelewa kwa hisia tofauti mtandaoni, huku wengi wakimpongeza kwa kukubali tofauti na kuonyesha ukomavu wa hali ya juu katika soka. Ronaldo na Messi wamekuwa wakilinganishwa kwa miaka mingi, lakini kauli hii inaonesha dalili ya kuheshimiana zaidi kuliko ushindani. Mashabiki wanaendelea kufuatilia kwa karibu uhusiano huu unaoibuka kati ya kizazi kipya kama Garnacho na Wachezaji wakongwe waliowatangulia.
    Love
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 796 Views
  • Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu".

    Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe.

    Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.”

    Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi.

    Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko.

    Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.”

    Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao.

    Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu". Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe. Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.” Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi. Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko. Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.” Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao. Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views
  • Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional

    “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha”

    “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote”

    Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile

    #SportsElite
    Mlinzi wa kushoto wa Bayern Munich Alphonso Davies akielezea namna anavyojiona amepoteza uhuru wake baada ya kuwa mchezaji professional “Nipo mbali na familia yangu , siishi na girlfriend wangu marafiki zangu hawafiki watano yote haya yananifanya nijione nimepoteza kila kitu kwenye maisha” “Maisha ya kuwa mchezaji ni magumu sana ,kuna muda baada ya mazoezi unatakiwa kulala na sio kufanya chochote” Mpira wa miguu ni mchezo unaohitaji kujitoa sana hasa unapokuwa professional , ili kuishi mpira unavyotaka basi ni lazima uipe mgongo dunia na hiko ndicho anachopitia Davies hadi kujiona amepoteza kila kitu , imagine pesa unayo ya kutosha ila unapangiwa vitamu usile #SportsElite
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views
  • Top DI Sluice Valve Manufacturer in India – Quality You Can Trust


    When it comes to water supply networks, wastewater management, and industrial fluid control, choosing the right valve is critical for efficiency and long-term performance. One of the most reliable options for these applications is the Ductile Iron (DI) Sluice Valve. Known for its strength, durability, and resistance to corrosion, the DI Sluice Valve has become the backbone of India’s water distribution and industrial systems.

    At resilientgatevalve, we take pride in being recognized as one of the top DI Sluice Valve manufacturers in India. With years of experience in valve manufacturing, we ensure every product meets international standards and delivers reliable performance even under challenging operating conditions.

    Why DI Sluice Valves Are the Preferred Choice

    A DI Sluice Valve plays an essential role in controlling and isolating water or fluid flow in pipelines. Made from high-grade ductile iron, these valves offer several benefits:

    Durability: Stronger than cast iron, ductile iron provides long-lasting performance.

    Corrosion Resistance: Special coatings and materials make DI valves ideal for underground and water supply use.

    Leak-Proof Operation: Designed for zero leakage, ensuring efficiency and safety.

    Cost-Effective: Offers long service life, reducing maintenance costs.

    Because of these advantages, industries such as municipal water supply, irrigation, sewage treatment plants, and power generation widely prefer DI sluice valves.

    resilientgatevalve – Your Trusted DI Sluice Valve Manufacturer

    As a leading manufacturer in India, resilientgatevalve offers a wide range of DI sluice valves designed for both small and large-scale applications. Our valves are tested for durability, pressure handling, and operational reliability. With a focus on quality engineering and customer trust, we deliver valves that exceed industry expectations.

    Some of our core strengths include:

    Precision Engineering: Every valve is manufactured with high accuracy for consistent performance.

    Quality Assurance: Strict testing at each stage ensures leak-proof and durable products.

    Customization Options: We provide valves in different sizes and specifications to meet diverse requirements.

    Timely Delivery: Efficient processes guarantee prompt supply to projects across India.

    Our Range of Valves

    While DI Sluice Valves are our specialty, resilientgatevalve also manufactures a variety of valves trusted across industries.

    1. AWWA Butterfly Valve

    We supply AWWA butterfly valves designed as per international American Water Works Association standards. These valves are ideal for municipal water supply and large distribution networks.

    2. Double Flanged Butterfly Valve

    Our double flanged butterfly valves are built for easy installation and high-pressure performance. Widely used in pipelines carrying water and wastewater, these valves are designed for long-term reliability.

    3. Wafer Type Butterfly Valve

    The wafer type butterfly valve is compact, lightweight, and suitable for applications where space is limited. It offers easy installation between flanges and provides efficient control of flow.

    4. Motorized Double Flange Butterfly Valve

    For advanced automation, our motorized double flange butterfly valves are engineered for precise flow control with electric actuators. These are commonly used in treatment plants and industrial systems.

    5. Motorized Butterfly Valve

    Our motorized butterfly valves offer convenience and accuracy in controlling fluid flow. Designed with automation in mind, they integrate seamlessly into modern water supply and industrial systems.

    Why Choose resilientgatevalve?

    As one of the top butterfly valve manufacturers in India, resilientgatevalve is trusted by industries, contractors, and municipal boards for:

    Proven Expertise: Years of experience in valve manufacturing.

    End-to-End Solutions: From sluice valves to butterfly valves, we offer complete flow control solutions.

    Trusted Quality: We adhere to IS and international standards.

    Wide Applications: Our valves serve water boards, irrigation systems, power plants, and industries nationwide.

    Applications of DI Sluice Valves

    Our DI sluice valves are widely used in:

    Municipal Water Supply Projects – ensuring uninterrupted water flow.

    Irrigation Systems – for efficient agricultural water distribution.

    Wastewater Treatment Plants – controlling sewage flow with reliability.

    Power Generation Units – supporting cooling water and process requirements.

    Industrial Pipelines – managing fluids across sectors like chemicals, oil, and gas.

    Commitment to Long-Lasting Performance

    At resilientgatevalve, our mission is to provide valves that last longer, work efficiently, and save maintenance costs for our customers. Every product is designed to meet tough operational demands while maintaining high efficiency.

    When you choose us as your DI Sluice Valve Manufacturer in India, you not only get a durable product but also trusted after-sales support.

    Final Thoughts

    The demand for high-performance and reliable valves in India is growing rapidly, and resilientgatevalve continues to be a leader in this sector. Whether it is a DI sluice valve for water supply or a motorized butterfly valve for industrial automation, our solutions are designed to deliver unmatched quality and performance.

    If you are searching for the best DI Sluice Valve Manufacturer in India, resilientgatevalve is the name you can trust for long-lasting reliability.

    visit our wensite :https://resilientgatevalve.com/product-category/resilient-seated-sluice-valve-manufacturer/
    Top DI Sluice Valve Manufacturer in India – Quality You Can Trust When it comes to water supply networks, wastewater management, and industrial fluid control, choosing the right valve is critical for efficiency and long-term performance. One of the most reliable options for these applications is the Ductile Iron (DI) Sluice Valve. Known for its strength, durability, and resistance to corrosion, the DI Sluice Valve has become the backbone of India’s water distribution and industrial systems. At resilientgatevalve, we take pride in being recognized as one of the top DI Sluice Valve manufacturers in India. With years of experience in valve manufacturing, we ensure every product meets international standards and delivers reliable performance even under challenging operating conditions. Why DI Sluice Valves Are the Preferred Choice A DI Sluice Valve plays an essential role in controlling and isolating water or fluid flow in pipelines. Made from high-grade ductile iron, these valves offer several benefits: Durability: Stronger than cast iron, ductile iron provides long-lasting performance. Corrosion Resistance: Special coatings and materials make DI valves ideal for underground and water supply use. Leak-Proof Operation: Designed for zero leakage, ensuring efficiency and safety. Cost-Effective: Offers long service life, reducing maintenance costs. Because of these advantages, industries such as municipal water supply, irrigation, sewage treatment plants, and power generation widely prefer DI sluice valves. resilientgatevalve – Your Trusted DI Sluice Valve Manufacturer As a leading manufacturer in India, resilientgatevalve offers a wide range of DI sluice valves designed for both small and large-scale applications. Our valves are tested for durability, pressure handling, and operational reliability. With a focus on quality engineering and customer trust, we deliver valves that exceed industry expectations. Some of our core strengths include: Precision Engineering: Every valve is manufactured with high accuracy for consistent performance. Quality Assurance: Strict testing at each stage ensures leak-proof and durable products. Customization Options: We provide valves in different sizes and specifications to meet diverse requirements. Timely Delivery: Efficient processes guarantee prompt supply to projects across India. Our Range of Valves While DI Sluice Valves are our specialty, resilientgatevalve also manufactures a variety of valves trusted across industries. 1. AWWA Butterfly Valve We supply AWWA butterfly valves designed as per international American Water Works Association standards. These valves are ideal for municipal water supply and large distribution networks. 2. Double Flanged Butterfly Valve Our double flanged butterfly valves are built for easy installation and high-pressure performance. Widely used in pipelines carrying water and wastewater, these valves are designed for long-term reliability. 3. Wafer Type Butterfly Valve The wafer type butterfly valve is compact, lightweight, and suitable for applications where space is limited. It offers easy installation between flanges and provides efficient control of flow. 4. Motorized Double Flange Butterfly Valve For advanced automation, our motorized double flange butterfly valves are engineered for precise flow control with electric actuators. These are commonly used in treatment plants and industrial systems. 5. Motorized Butterfly Valve Our motorized butterfly valves offer convenience and accuracy in controlling fluid flow. Designed with automation in mind, they integrate seamlessly into modern water supply and industrial systems. Why Choose resilientgatevalve? As one of the top butterfly valve manufacturers in India, resilientgatevalve is trusted by industries, contractors, and municipal boards for: Proven Expertise: Years of experience in valve manufacturing. End-to-End Solutions: From sluice valves to butterfly valves, we offer complete flow control solutions. Trusted Quality: We adhere to IS and international standards. Wide Applications: Our valves serve water boards, irrigation systems, power plants, and industries nationwide. Applications of DI Sluice Valves Our DI sluice valves are widely used in: Municipal Water Supply Projects – ensuring uninterrupted water flow. Irrigation Systems – for efficient agricultural water distribution. Wastewater Treatment Plants – controlling sewage flow with reliability. Power Generation Units – supporting cooling water and process requirements. Industrial Pipelines – managing fluids across sectors like chemicals, oil, and gas. Commitment to Long-Lasting Performance At resilientgatevalve, our mission is to provide valves that last longer, work efficiently, and save maintenance costs for our customers. Every product is designed to meet tough operational demands while maintaining high efficiency. When you choose us as your DI Sluice Valve Manufacturer in India, you not only get a durable product but also trusted after-sales support. Final Thoughts The demand for high-performance and reliable valves in India is growing rapidly, and resilientgatevalve continues to be a leader in this sector. Whether it is a DI sluice valve for water supply or a motorized butterfly valve for industrial automation, our solutions are designed to deliver unmatched quality and performance. If you are searching for the best DI Sluice Valve Manufacturer in India, resilientgatevalve is the name you can trust for long-lasting reliability. visit our wensite :https://resilientgatevalve.com/product-category/resilient-seated-sluice-valve-manufacturer/
    RESILIENTGATEVALVE.COM
    Resilient Seated (Non Rising) Sluice/Gate Valve Maufacturer PN10
    DI Sluice Valve,Resilient Seated Gate Valve Manufacturers PN10/16 in India. Non Rising Stem Soft Seated BS 5163/IS 14846 valves, supplier & exporter, customizable sizes.
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views
  • Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini.

    WAFUNGAJI :
    Feitoto
    Kitambala

    #SportsElite
    Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini. WAFUNGAJI : ⚽ Feitoto ⚽ Kitambala #SportsElite
    Love
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 835 Views
  • CHUKUA HII

    Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.
    CHUKUA HII 👇 👉Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.
    Like
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 734 Views
  • Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita.

    Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana.

    Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita. Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana. Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views
  • Games Fans

    Richarlison amebadilisha maisha ya familia ya mtangazaji wa mitandaoni Lalau, mkazi wa Serra do Mel, eneo la ndani la Rio Grande do Norte.

    Richarlison aliguswa na chapisho la Lalau mwaka 2024, ambapo aliwaomba wafuasi wake kusaidia kukarabati chumba cha nyumba kwa ajili ya ujio wa binti yake mdogo, aliyezaliwa kabla ya wakati.

    Nyumba hiyo ilikuwa katika hali mbaya, bila plasta, ilikuwa inavuja na nyaya zilizo wazi, kuta zenye nyufa, na bila bafu au choo cha maji.

    Mchezaji huyo alimtafuta ili kumsaidia na akaamua kugharamia ukarabati wa nyumba nzima, ambao umekamilika wiki hii.


    #SportsElite
    Games Fans Richarlison amebadilisha maisha ya familia ya mtangazaji wa mitandaoni Lalau, mkazi wa Serra do Mel, eneo la ndani la Rio Grande do Norte. Richarlison aliguswa na chapisho la Lalau mwaka 2024, ambapo aliwaomba wafuasi wake kusaidia kukarabati chumba cha nyumba kwa ajili ya ujio wa binti yake mdogo, aliyezaliwa kabla ya wakati. Nyumba hiyo ilikuwa katika hali mbaya, bila plasta, ilikuwa inavuja na nyaya zilizo wazi, kuta zenye nyufa, na bila bafu au choo cha maji. Mchezaji huyo alimtafuta ili kumsaidia na akaamua kugharamia ukarabati wa nyumba nzima, ambao umekamilika wiki hii. #SportsElite
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 778 Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views
  • BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 879 Views
  • Man United Imewafahamisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutuma Ofa rasmi kwa Benjamin Sesko ikiwa mchezo atakuwa tayari kujiunga na klabu yao.

    Newcastle United pia wako tayari kuwasilisha ofa yao kwa Sesko ila Uamuzi sasa ni kwa Sesko mwenyewe.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Man United Imewafahamisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutuma Ofa rasmi kwa Benjamin Sesko ikiwa mchezo atakuwa tayari kujiunga na klabu yao. Newcastle United pia wako tayari kuwasilisha ofa yao kwa Sesko ila Uamuzi sasa ni kwa Sesko mwenyewe. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 340 Views
  • Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu.

    Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka.

    #SportsElite
    🚨 Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu. Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka. #SportsElite
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 449 Views
  • Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .

    1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*

    #Mathayo 25:14-30.
    Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.

    2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.

    #Wafalme 4:1-7
    Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.

    3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa

    #waamuzi 6:14

    4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .

    #2wafalme 4:2
    Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.

    5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.

    #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.

    6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.

    Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.

    Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
    #Malaki 3:10

    7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.

    #Mithali 10:22

    8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .

    Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.

    9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.

    Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.

    Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.

    #isaya 43:4

    10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .

    #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.

    All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
    #yeremia 29:11

    Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340

    Ili uendelee kujifunza katika group zetu .

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #build new eden
    #Restore men position
    Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio . 1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production* #Mathayo 25:14-30. Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza. 2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini. #Wafalme 4:1-7 Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini. 3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa #waamuzi 6:14 4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia . #2wafalme 4:2 Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta. 5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe. #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri. 6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi. Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi. Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu. #Malaki 3:10 7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana. #Mithali 10:22 8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho . Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki. 9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao. Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe. Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana. #isaya 43:4 10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri . #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu. #yeremia 29:11 Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340 Ili uendelee kujifunza katika group zetu . Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #build new eden #Restore men position
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views
  • VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 3K Views
  • *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili*

    Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako .

    Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani..

    Mwanzo 27:27-29
    [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema,
    Tazama, harufu ya mwanangu
    Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana:

    [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
    Na ya manono ya nchi,
    Na wingi wa nafaka na mvinyo.
    :
    [29]Mataifa na wakutumikie
    Na makabila wakusujudie,
    Uwe bwana wa ndugu zako,
    Na wana wa mama yako na wakusujudie.
    alaaniwe,
    Na atakayekubariki abarikiwe.

    Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi

    Mwanzo 28:12-15
    [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake.
    And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it.
    [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako.

    [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.
    .
    [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.

    Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo .

    Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli .

    Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?)
    Mwanzo 29:18,21-22,25
    [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako

    [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.
    .
    [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali
    .
    [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


    Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe.

    Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha

    Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia.

    Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti.

    Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri.

    Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako.

    Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao.

    Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye .

    Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."*

    Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe.

    Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave .

    Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri.

    Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza .

    Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu .

    Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    #year of reformation and revival
    *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili* Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako . Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani.. Mwanzo 27:27-29 [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana: [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo. : [29]Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe. Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi Mwanzo 28:12-15 [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake. And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it. [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako. [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa. . [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia. Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo . Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli . Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?) Mwanzo 29:18,21-22,25 [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake. . [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali . [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda? Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe. Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia. Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti. Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri. Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako. Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao. Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye . Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."* Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe. Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave . Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri. Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza . Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu . Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position #year of reformation and revival
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views