• Ana puliza tarumbeta....mikono kwenye piano
    Let me love hallelujah .... Tuimbe pia teamo....//

    Kaniweza ile mbaya... Ana step kama kwaya
    Mlokole nashukulu....kwa maombi haleluya....//

    Mtoto yupo fire....nasimzia nikiwaza
    Ndoa nifunge leo....au nitulie kwanza....//

    Body yake iko clear....mnyama ninajilia
    Na utamu ukinoga .... Nina chaji hadi mia....//

    Let me love you my baby ... Njoo tucheze lege
    Unifanye rose muhando ....kwenye bed unibebe...//

    Coz kwako nina wenge....ukifungua zipu
    We chukua utakacho.... Nitakupa kira kitu....//

    Ntamwambia mama ... Ukinifanya nilie
    Ukinyima moyo wako... Nitajuta kubalee...//

    Ok fanya kama jana....minyia kwa ndani
    Kologa na mwiko ....kwani jiko liko ndani....//

    Mamacta izo wushu.....mie napiga puchu
    Mchizi nakuwa mwehu.... Asa mida ya usiku...//*

    Job naona mbali... Pia napata uvivu
    Kukuacha uwe mpweke.... Kama nina kupa tabu...//
    Ana puliza tarumbeta....mikono kwenye piano Let me love hallelujah .... Tuimbe pia teamo....// Kaniweza ile mbaya... Ana step kama kwaya Mlokole nashukulu....kwa maombi haleluya....// Mtoto yupo fire....nasimzia nikiwaza Ndoa nifunge leo....au nitulie kwanza....// Body yake iko clear....mnyama ninajilia Na utamu ukinoga .... Nina chaji hadi mia....// Let me love you my baby ... Njoo tucheze lege Unifanye rose muhando ....kwenye bed unibebe...// Coz kwako nina wenge....ukifungua zipu We chukua utakacho.... Nitakupa kira kitu....// Ntamwambia mama ... Ukinifanya nilie Ukinyima moyo wako... Nitajuta kubalee...// Ok fanya kama jana....minyia kwa ndani Kologa na mwiko ....kwani jiko liko ndani....// Mamacta izo wushu.....mie napiga puchu Mchizi nakuwa mwehu.... Asa mida ya usiku...//* Job naona mbali... Pia napata uvivu Kukuacha uwe mpweke.... Kama nina kupa tabu...//
    Like
    Love
    4
    · 0 Comments ·0 Shares ·736 Views
  • kumekucha kijuhudi... hatua zangu nazitupa,,,//
    kuhaso ndo kusudi...la Jah rizki atanipa,,//

    na kaza Kazi zote nagonga... pesa nalipwa kesh,,,//
    nafunga zipu noti nakunja... nazama chuch,,,//

    Jah ndo langu jeshi... kila chaka sitoki kapa,,//
    yuko freshi... mwenyezi nampa sifa,,//

    imani kwa Jah... japo mbele naona giza,,//
    imani ni taa... imulike kwenye giza,,//

    iangaze napoenda viwanja nipige mawe...
    uvivu ndo wenye kuvunja moyo,,,//

    kila chaka nalotimba ni full shangwe...
    wanangu kwa Jah hakuna choyo,,//
    kumekucha kijuhudi... hatua zangu nazitupa,,,// kuhaso ndo kusudi...la Jah rizki atanipa,,// na kaza Kazi zote nagonga... pesa nalipwa kesh,,,// nafunga zipu noti nakunja... nazama chuch,,,// Jah ndo langu jeshi... kila chaka sitoki kapa,,// yuko freshi... mwenyezi nampa sifa,,// imani kwa Jah... japo mbele naona giza,,// imani ni taa... imulike kwenye giza,,// iangaze napoenda viwanja nipige mawe... uvivu ndo wenye kuvunja moyo,,,// kila chaka nalotimba ni full shangwe... wanangu kwa Jah hakuna choyo,,//
    0 Comments ·0 Shares ·214 Views
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu🎤 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mavuzi ni Urembo

    Jua Jinsi ya Kunyoa Staili Nzuri za Mavuzi za Kumvutia Baby Wako..!!!

    Je wajua kuwa nywele za chini aka mavuzi na ndevu ni urembo wa kimahaba?

    Mwenyezi Mungu alituumba na kutuwekea hivyo akiwa na maana kabisa ila sasa binadamu wa leo wamestaarabika kiasi waonaona ndevu au mavuzi ni uchafu tena uchafu sana. Mwanaume akiwa na ndevu anaonekana mchafu sana, Au ikiwa ni mwanamke wa mwanaume na uvuzi mwingi basi mchafu.

    Ntakupa mifano michache kwa wanyama

    Hivi wajua kule porini kama ni SIMBA dume na halina minywele ya kutosha Simba jike hasisimki na hivyo hali mzigo

    Hivi wajua hata ndege pori DUME huwa na minyoya ya kutosha na ile humpendezesha kushawishi majike

    Hivi wajua hata samaki – Kama unafuga samaki hata wale wa urembo je wajua dume lazima liwe na matezi mengi mengi

    Hivi wajua hata Mbwa wetu hawa akiwa siku za kupata mimba yakaja madume mengi atachagua lile lenye manywele mengi

    Kwa mifano hiyo utakuwa umenisoma kiduchu.

    Mwanamke kikawaida hana ndevu ila vuzi lipo… Linatakiwa lipendeze ila sio kusafisha kiwanja kinakuwa cheupeeee basi tukupe dawa zisiote tena maana huzitaki na hujui kazi yake.

    Mwanamke uwe wazinyoa kwaa style ile ya kupunguza tu na ndio maana mwezi wako anatakiwa kukusaidia. Au kama kuna salon za kunyoa huko basi sio waxing bali kuzipunguza kifashion….

    Kwanza ukiwa unapunguza tu hautakaa upate tatizo la in-grow hair na kufanya **** iwe na mapeleeee mabalaa duniani. Mipele inafanya **** inakuwaa na vidoti vyeusi.

    Mwanaume anatakiwa kuwa na ndevu ile ziwe ninakwatwa kwa uzuri ili kupendezesha asiache kama Alshabab – Na hata kule chini anatakiwa kupungusa kwa sehemu za kende ndio amalize ile juu ya dyudyu ndio anaacha kiasi tena ikibidi kwa style mahususi aipendayo malkia wake.

    Ndevu – kidogo zatumika kukuna mgongo wa mwanamke – Imagine akiwa anakupumulia kwa nyuma alafu anakukuna na kidevu sehemu za shingo hahahha bye……

    NAWACHANGANYA EEEH
    Mavuzi ni Urembo Jua Jinsi ya Kunyoa Staili Nzuri za Mavuzi za Kumvutia Baby Wako..!!! Je wajua kuwa nywele za chini aka mavuzi na ndevu ni urembo wa kimahaba? Mwenyezi Mungu alituumba na kutuwekea hivyo akiwa na maana kabisa ila sasa binadamu wa leo wamestaarabika kiasi waonaona ndevu au mavuzi ni uchafu tena uchafu sana. Mwanaume akiwa na ndevu anaonekana mchafu sana, Au ikiwa ni mwanamke wa mwanaume na uvuzi mwingi basi mchafu. Ntakupa mifano michache kwa wanyama Hivi wajua kule porini kama ni SIMBA dume na halina minywele ya kutosha Simba jike hasisimki na hivyo hali mzigo Hivi wajua hata ndege pori DUME huwa na minyoya ya kutosha na ile humpendezesha kushawishi majike Hivi wajua hata samaki – Kama unafuga samaki hata wale wa urembo je wajua dume lazima liwe na matezi mengi mengi Hivi wajua hata Mbwa wetu hawa akiwa siku za kupata mimba yakaja madume mengi atachagua lile lenye manywele mengi Kwa mifano hiyo utakuwa umenisoma kiduchu. Mwanamke kikawaida hana ndevu ila vuzi lipo… Linatakiwa lipendeze ila sio kusafisha kiwanja kinakuwa cheupeeee basi tukupe dawa zisiote tena maana huzitaki na hujui kazi yake. Mwanamke uwe wazinyoa kwaa style ile ya kupunguza tu na ndio maana mwezi wako anatakiwa kukusaidia. Au kama kuna salon za kunyoa huko basi sio waxing bali kuzipunguza kifashion…. Kwanza ukiwa unapunguza tu hautakaa upate tatizo la in-grow hair na kufanya kuma iwe na mapeleeee mabalaa duniani. Mipele inafanya kuma inakuwaa na vidoti vyeusi. Mwanaume anatakiwa kuwa na ndevu ile ziwe ninakwatwa kwa uzuri ili kupendezesha asiache kama Alshabab – Na hata kule chini anatakiwa kupungusa kwa sehemu za kende ndio amalize ile juu ya dyudyu ndio anaacha kiasi tena ikibidi kwa style mahususi aipendayo malkia wake. Ndevu – kidogo zatumika kukuna mgongo wa mwanamke – Imagine akiwa anakupumulia kwa nyuma alafu anakukuna na kidevu sehemu za shingo hahahha bye…… ✍️NAWACHANGANYA EEEH😁😁😂😂😂
    Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·388 Views