• DDoS Attack ni Nini?

    DDoS (Distributed Denial of Service) attack ni aina ya shambulio la mtandao ambapo mifumo mingi hutumiwa kwa pamoja kuzidisha mzigo wa trafiki kwenye lengo fulani (kama tovuti, seva, au mtandao). Hii husababisha mfumo kulala au kushindwa kufanya kazi vizuri.


    ---

    Jinsi DDoS Attack Inavyofanyika

    Shambulio la DDoS kwa kawaida hufuata hatua hizi:

    1. Kuunda Botnet: Mshambuliaji huambukiza vifaa vingi (kompyuta, vifaa vya IoT, seva) kwa programu hasidi (malware), na kuvifanya kuwa "bots" au "zombies" anazoweza kudhibiti kwa mbali. Huu mtandao wa vifaa vilivyoathirika huitwa botnet.


    2. Kuchagua Shabaha: Mshambuliaji huchagua tovuti, seva, au huduma ya mtandao ambayo anataka kushambulia. Hii inaweza kuwa seva ya michezo, tovuti ya biashara, au hata tovuti ya serikali.


    3. Kuzidisha Trafiki: Botnet hutuma mamilioni ya maombi feki (kama maombi ya HTTP, paketi za UDP, au miunganisho ya TCP) kwenye shabaha. Kwa kuwa mfumo una uwezo mdogo wa kushughulikia maombi kwa wakati mmoja, unazidiwa na kushindwa kujibu maombi halali.


    4. Kukatizwa kwa Huduma: Watumiaji halali hawawezi kufikia tovuti au huduma kwa sababu seva inashughulikia trafiki nyingi za mashambulizi.




    ---

    Mfano wa DDoS Attack

    Tuseme unaendesha duka la mtandaoni.

    Kawaida, unapata wateja 1,000 kwa saa, na seva yako inaweza kushughulikia hadi wateja 5,000 kwa wakati mmoja.

    Mshambuliaji anazindua DDoS attack kwa kutumia botnet yenye vifaa 100,000 vilivyoathirika ili kutuma mamilioni ya maombi feki kwenye tovuti yako.

    Seva yako inazidiwa na kushindwa kufanya kazi, na wateja halali hawawezi kufikia duka lako.

    Hii inasababisha kupoteza mapato, muda wa kupumzika wa tovuti (downtime), na kuharibu sifa ya biashara yako.



    ---

    Aina za DDoS Attacks

    1. Volumetric Attacks – Kuzidisha matumizi ya bandwidth (mfano: UDP Flood, ICMP Flood).


    2. Protocol Attacks – Kudhoofisha mifumo ya mtandao (mfano: SYN Flood, Ping of Death).


    3. Application Layer Attacks – Kulenga huduma maalum kama tovuti (mfano: HTTP Flood).




    ---

    Jinsi ya Kuzuia DDoS Attack

    Tumia huduma za ulinzi wa DDoS kama Cloudflare, AWS Shield, au Akamai.

    Weka firewall na mipaka ya maombi (rate-limiting) ili kuzuia trafiki isiyo ya kawaida.

    Tumia mfumo wa kugundua mashambulizi (IDS) na Web Application Firewall (WAF).

    Angalia trafiki yako kwa kutumia uchambuzi wa wakati halisi (real-time analytics) ili kutambua ongezeko lisilo la kawaida.
    DDoS Attack ni Nini? DDoS (Distributed Denial of Service) attack ni aina ya shambulio la mtandao ambapo mifumo mingi hutumiwa kwa pamoja kuzidisha mzigo wa trafiki kwenye lengo fulani (kama tovuti, seva, au mtandao). Hii husababisha mfumo kulala au kushindwa kufanya kazi vizuri. --- Jinsi DDoS Attack Inavyofanyika Shambulio la DDoS kwa kawaida hufuata hatua hizi: 1. Kuunda Botnet: Mshambuliaji huambukiza vifaa vingi (kompyuta, vifaa vya IoT, seva) kwa programu hasidi (malware), na kuvifanya kuwa "bots" au "zombies" anazoweza kudhibiti kwa mbali. Huu mtandao wa vifaa vilivyoathirika huitwa botnet. 2. Kuchagua Shabaha: Mshambuliaji huchagua tovuti, seva, au huduma ya mtandao ambayo anataka kushambulia. Hii inaweza kuwa seva ya michezo, tovuti ya biashara, au hata tovuti ya serikali. 3. Kuzidisha Trafiki: Botnet hutuma mamilioni ya maombi feki (kama maombi ya HTTP, paketi za UDP, au miunganisho ya TCP) kwenye shabaha. Kwa kuwa mfumo una uwezo mdogo wa kushughulikia maombi kwa wakati mmoja, unazidiwa na kushindwa kujibu maombi halali. 4. Kukatizwa kwa Huduma: Watumiaji halali hawawezi kufikia tovuti au huduma kwa sababu seva inashughulikia trafiki nyingi za mashambulizi. --- Mfano wa DDoS Attack Tuseme unaendesha duka la mtandaoni. Kawaida, unapata wateja 1,000 kwa saa, na seva yako inaweza kushughulikia hadi wateja 5,000 kwa wakati mmoja. Mshambuliaji anazindua DDoS attack kwa kutumia botnet yenye vifaa 100,000 vilivyoathirika ili kutuma mamilioni ya maombi feki kwenye tovuti yako. Seva yako inazidiwa na kushindwa kufanya kazi, na wateja halali hawawezi kufikia duka lako. Hii inasababisha kupoteza mapato, muda wa kupumzika wa tovuti (downtime), na kuharibu sifa ya biashara yako. --- Aina za DDoS Attacks 1. Volumetric Attacks – Kuzidisha matumizi ya bandwidth (mfano: UDP Flood, ICMP Flood). 2. Protocol Attacks – Kudhoofisha mifumo ya mtandao (mfano: SYN Flood, Ping of Death). 3. Application Layer Attacks – Kulenga huduma maalum kama tovuti (mfano: HTTP Flood). --- Jinsi ya Kuzuia DDoS Attack Tumia huduma za ulinzi wa DDoS kama Cloudflare, AWS Shield, au Akamai. Weka firewall na mipaka ya maombi (rate-limiting) ili kuzuia trafiki isiyo ya kawaida. Tumia mfumo wa kugundua mashambulizi (IDS) na Web Application Firewall (WAF). Angalia trafiki yako kwa kutumia uchambuzi wa wakati halisi (real-time analytics) ili kutambua ongezeko lisilo la kawaida.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·393 Views
  • KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Comments ·0 Shares ·510 Views
  • "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo.

    Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi.

    Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga.

    Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo?

    Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.

    "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo. Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi. Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga. Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo? Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.
    0 Comments ·0 Shares ·484 Views

  • KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Comments ·0 Shares ·634 Views
  • Selemani Bwenzi magoli matatu katika michezo mitatu
    Selemani Bwenzi magoli matatu katika michezo mitatu👐😱👐
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·111 Views
  • Jay Z si mwanamuziki wa kawaida. Alianza maisha kwa shida mitaani, lakini leo ni bilionea, mjasiriamali na mmiliki wa makampuni makubwa duniani.

    Amemuoa Beyoncé, mmoja wa wasanii wenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani.

    Anamiliki Tidal, kampuni ya muziki, ana mkataba na kampuni kubwa za mavazi, anamiliki klabu ya michezo, na ana mikataba ya uwekezaji kwenye teknolojia na mali zisizohamishika.

    Kwa mtu wa hadhi yake, Rockstar ni ishara ya mafanikio yake.

    Kwa Jay Z, hii ni ishara ya kuwa juu ya mfumo wa kawaida wa maisha.
    Ni alama ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.

    Kwa kawaida, saa ni kifaa cha kuonesha muda, lakini kwa Jay Z, hii ni hadithi ya maisha. Ni hadithi ya kupanda kutoka chini kabisa hadi kileleni.

    Ni hadithi ya nguvu za akili na juhudi za kipekee. Lakini pia ni hadithi ya siri na mafumbo ya ulimwengu wa nguvu na ushawishi.

    Kwa wengi, ni saa tu.
    Lakini kwa wachache wenye macho ya ndani, ni ishara ya siri kubwa zaidi duniani.

    Hakuna anayejua kwa hakika, lakini kinachojulikana ni kwamba saa hii imeacha maswali mengi zaidi kuliko majibu.
    Jay Z si mwanamuziki wa kawaida. Alianza maisha kwa shida mitaani, lakini leo ni bilionea, mjasiriamali na mmiliki wa makampuni makubwa duniani. Amemuoa Beyoncé, mmoja wa wasanii wenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani. Anamiliki Tidal, kampuni ya muziki, ana mkataba na kampuni kubwa za mavazi, anamiliki klabu ya michezo, na ana mikataba ya uwekezaji kwenye teknolojia na mali zisizohamishika. Kwa mtu wa hadhi yake, Rockstar ni ishara ya mafanikio yake. Kwa Jay Z, hii ni ishara ya kuwa juu ya mfumo wa kawaida wa maisha. Ni alama ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani. Kwa kawaida, saa ni kifaa cha kuonesha muda, lakini kwa Jay Z, hii ni hadithi ya maisha. Ni hadithi ya kupanda kutoka chini kabisa hadi kileleni. Ni hadithi ya nguvu za akili na juhudi za kipekee. Lakini pia ni hadithi ya siri na mafumbo ya ulimwengu wa nguvu na ushawishi. Kwa wengi, ni saa tu. Lakini kwa wachache wenye macho ya ndani, ni ishara ya siri kubwa zaidi duniani. Hakuna anayejua kwa hakika, lakini kinachojulikana ni kwamba saa hii imeacha maswali mengi zaidi kuliko majibu.
    0 Comments ·0 Shares ·453 Views
  • Mtengeneza maudhui (Content Creator) kwenye mtandao wa Tiktok, Fanuel John Masamaki maarufu Zerobrainer0, ameshinda kipengele cha mtengeneza maudhui bora wa michezo kwa mwaka 2024 barani Afrika, katika tuzo zilizofanyika Februari 8, 2025 Nchini Afrika Kusini.

    Zerobrainer0 ana Wafuasi zaidi ya milioni (12) kwenye mtandao wake wa TikTok huku TikToker huyo akjizoelea umaarufu kwa maudhui yake ya kuchekekesha kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Pia anatajwa kama ‘TikToker’ wa kuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025.

    Mtengeneza maudhui (Content Creator) kwenye mtandao wa Tiktok, Fanuel John Masamaki maarufu Zerobrainer0, ameshinda kipengele cha mtengeneza maudhui bora wa michezo kwa mwaka 2024 barani Afrika, katika tuzo zilizofanyika Februari 8, 2025 Nchini Afrika Kusini. Zerobrainer0 ana Wafuasi zaidi ya milioni (12) kwenye mtandao wake wa TikTok huku TikToker huyo akjizoelea umaarufu kwa maudhui yake ya kuchekekesha kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Pia anatajwa kama ‘TikToker’ wa kuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025.
    0 Comments ·0 Shares ·267 Views
  • Wilson Orumo Vs Privaldinho

    "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam.

    Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka.

    So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao.

    Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94.

    Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi

    Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu?

    Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu.

    Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi.

    Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ?

    Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube

    Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3
    Ligi kuu: Magoli 7, assists 4,
    Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo
    Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga?

    Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.

    Wilson Orumo Vs Privaldinho "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam. Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka. So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao. Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94. Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu? Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu. Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi. Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ? Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3 Ligi kuu: Magoli 7, assists 4, Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga? Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·215 Views
  • "Tutaboresha uwezo wetu kwenye mchezo huu unaofuata na michezo inayokuja, Ligi si rahisi timu nyingi zinazokuja kwenye huu mzunguko wa pili wanajilinda sana kutokufungwa kwa hiyo nyingi zinaona bora kupata sare kuliko kupoteza alama zote tatu, walimu wanaliona hilo na wanalifanyia kazi" Mshery

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    "Tutaboresha uwezo wetu kwenye mchezo huu unaofuata na michezo inayokuja, Ligi si rahisi timu nyingi zinazokuja kwenye huu mzunguko wa pili wanajilinda sana kutokufungwa kwa hiyo nyingi zinaona bora kupata sare kuliko kupoteza alama zote tatu, walimu wanaliona hilo na wanalifanyia kazi" Mshery #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    0 Comments ·0 Shares ·646 Views
  • "Leo Asilimia 90 ya mijadala iliyofanywa kwenye vipindi vya Michezo, Wachambuzi wamejadili kuhusu Makosa ya Waamuzi kwenye mechi ya Kolo.

    Na leo sio mara ya kwanza, Huu ni muendelezo. Ni kama Mechi ya 10 Mfululizo, Kila mechi ya Kolo huwa na Mijadala redioni kuhusu Makosa ya Waamuzi yanayowanufaisha KOLO kupata Ushindi

    Mara wapinzani wanayimwa Magoli Halali, Mara mjadala wa Kolo akifunga Magoli ya Offside na waamuzi wanayakubali. Tumesikia pia Mijadala ya Penalti nyingi za mchongo zikiwanufaisha Makolo.

    This is Is Too Much .. Na inatupa Wasiwasi kama Haya Yanayotokea, huwa yanatokea kwa Bahati mbaya kwa kichaka cha ‘Makosa ya Kibinadamu’

    Tafadhali, Wenye Mamlaka naamini mnaona na kusikia yanayojadiliwa kuhusu Mpira wetu.

    Hii mijadala inayoendelea sasa kwenye Media, Sio tu kwamba inapunguza ladha ya mpira wetu, Bali inatia Doa nguvu kubwa mnayoifanya kuhakikisha Mpira wetu unapanda na unakuwa na mvuto Afrika.

    Tafadhali sana .. Tunahitaji kusikia sauti zenu wenye Mamlaka juu ya hiki kinachoendelea kwa sasa.

    Haiwezekani Timu moja tu iwe na Matukio ya Utata kwenye Mechi zaidi ya 10" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Leo Asilimia 90 ya mijadala iliyofanywa kwenye vipindi vya Michezo, Wachambuzi wamejadili kuhusu Makosa ya Waamuzi kwenye mechi ya Kolo. Na leo sio mara ya kwanza, Huu ni muendelezo. Ni kama Mechi ya 10 Mfululizo, Kila mechi ya Kolo huwa na Mijadala redioni kuhusu Makosa ya Waamuzi yanayowanufaisha KOLO kupata Ushindi Mara wapinzani wanayimwa Magoli Halali, Mara mjadala wa Kolo akifunga Magoli ya Offside na waamuzi wanayakubali. Tumesikia pia Mijadala ya Penalti nyingi za mchongo zikiwanufaisha Makolo. This is Is Too Much .. Na inatupa Wasiwasi kama Haya Yanayotokea, huwa yanatokea kwa Bahati mbaya kwa kichaka cha ‘Makosa ya Kibinadamu’ Tafadhali, Wenye Mamlaka naamini mnaona na kusikia yanayojadiliwa kuhusu Mpira wetu. Hii mijadala inayoendelea sasa kwenye Media, Sio tu kwamba inapunguza ladha ya mpira wetu, Bali inatia Doa nguvu kubwa mnayoifanya kuhakikisha Mpira wetu unapanda na unakuwa na mvuto Afrika. Tafadhali sana .. Tunahitaji kusikia sauti zenu wenye Mamlaka juu ya hiki kinachoendelea kwa sasa. Haiwezekani Timu moja tu iwe na Matukio ya Utata kwenye Mechi zaidi ya 10" - Ally Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·439 Views
  • David Kameta 'DUCHU' baada ya kukosa nafasi ya kucheza mzuunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC, kesho atakuwa sehemu ya kikosi kinachosafiri kuelekea Tabora pamoja na Manyara kwa ajili ya michezo ya ligi.

    DUCHU alikuwa na kiwango bora mechi iliyopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders.

    #paulswai
    David Kameta 'DUCHU' baada ya kukosa nafasi ya kucheza mzuunguko wa kwanza wa ligi kuu ya NBC, kesho atakuwa sehemu ya kikosi kinachosafiri kuelekea Tabora pamoja na Manyara kwa ajili ya michezo ya ligi. DUCHU alikuwa na kiwango bora mechi iliyopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·488 Views
  • COMPLEX NA VIVY.
    Walipata ajali mbaya ya gari wakitokea Morogoro kwenda Arusha kwenye sherehe ya kumbukizi ya miaka 25 ya ndoa ya wazazi wa Vivian a.k.a Vivy.

    Complex na Vivy walikuwa ni wapenzi waliozaliwa tarehe moja, mwezi mmoja na mwaka mmoja. Walishangaza wengi baada ya wao kufa pamoja tar 21.08.2005.

    Walikutanishwa na mtaalamu Ambwene Yessayah, A.Y. Complex akiwa ni producer wa studio ya Algies Records huku Vivian akiwa Ni mtangazaji wa Clouds FM.

    Kisa Cha kukutana nakuwa Wapenzi Kiko hivi Vivian alifahamiana na A.Y Mkoani Iringa Kipindi A.Y anasoma Ifunda na Vivian alikuwa anasoma Mkwawa.

    Baada ya School, AY alikuja kukutana na Vivian Arusha alipoenda kwenye show akamshawishi Vivian kwa muonekano wake awe Mtangazaji. Vivian akaelewa Mchongo akakutanishwa na Hayati Gardener G Habash pale Clouds akapewa Mchongo wa Utangazaji.

    Simon Sai a.K.a Complex alikuwa anafanya kazi na A.Y

    Kuna ngoma walishirikishana kiufupi walikuwa Maswahiba wakubwa baada ya kufahamiana.

    Simon Sai a.K.a Complex akamuona Vivian pale Clouds FM kupitia A.Y akatokea kumpenda Vivian

    Baada ya hapo kilichofuata ni kuibuka kwa Penzi Zito kati ya Complex na Vivian..

    #BURUDANI #michezoonlineupdates #mahusiano

    Like & follow
    COMPLEX NA VIVY. Walipata ajali mbaya ya gari wakitokea Morogoro kwenda Arusha kwenye sherehe ya kumbukizi ya miaka 25 ya ndoa ya wazazi wa Vivian a.k.a Vivy. Complex na Vivy walikuwa ni wapenzi waliozaliwa tarehe moja, mwezi mmoja na mwaka mmoja. Walishangaza wengi baada ya wao kufa pamoja tar 21.08.2005. Walikutanishwa na mtaalamu Ambwene Yessayah, A.Y. Complex akiwa ni producer wa studio ya Algies Records huku Vivian akiwa Ni mtangazaji wa Clouds FM. Kisa Cha kukutana nakuwa Wapenzi Kiko hivi Vivian alifahamiana na A.Y Mkoani Iringa Kipindi A.Y anasoma Ifunda na Vivian alikuwa anasoma Mkwawa. Baada ya School, AY alikuja kukutana na Vivian Arusha alipoenda kwenye show akamshawishi Vivian kwa muonekano wake awe Mtangazaji. Vivian akaelewa Mchongo akakutanishwa na Hayati Gardener G Habash pale Clouds akapewa Mchongo wa Utangazaji. Simon Sai a.K.a Complex alikuwa anafanya kazi na A.Y Kuna ngoma walishirikishana kiufupi walikuwa Maswahiba wakubwa baada ya kufahamiana. Simon Sai a.K.a Complex akamuona Vivian pale Clouds FM kupitia A.Y akatokea kumpenda Vivian 😊 Baada ya hapo kilichofuata ni kuibuka kwa Penzi Zito kati ya Complex na Vivian.. #BURUDANI #michezoonlineupdates #mahusiano Like & follow 🙏 🙏
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·958 Views
  • Tangu ajiunge na Al Nassr, Cristiano Ronaldo amefunga mabao 8️⃣5️⃣ katika michezo 9️⃣4️⃣ akitoa pasi za mabao 1️⃣9️⃣ .
    Tangu ajiunge na Al Nassr, Cristiano Ronaldo amefunga mabao 8️⃣5️⃣ katika michezo 9️⃣4️⃣ akitoa pasi za mabao 1️⃣9️⃣ .
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·225 Views
  • Mkusanyiko wa Corneil Nangaa ambaye ni Kiongozi la Waasi wa M23, ulishambuliwa na Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wakati alikuwa akijiandaa kufanya mkutano kwenye Uwanja wa michezo huko Mjini Goma.

    Kulingana na taarifa zinazoendelea kuripotiwa, Chigoro Ntawirigabo, Kiongozi wa Operesheni za Rwanda ndani ya kundi la M23, inasemekana pia kupoteza maisha pamoja na kundi lake lote kufuatia Operesheni iliyofanywa na FARDC.

    Mkusanyiko wa Corneil Nangaa ambaye ni Kiongozi la Waasi wa M23, ulishambuliwa na Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wakati alikuwa akijiandaa kufanya mkutano kwenye Uwanja wa michezo huko Mjini Goma. Kulingana na taarifa zinazoendelea kuripotiwa, Chigoro Ntawirigabo, Kiongozi wa Operesheni za Rwanda ndani ya kundi la M23, inasemekana pia kupoteza maisha pamoja na kundi lake lote kufuatia Operesheni iliyofanywa na FARDC.
    0 Comments ·0 Shares ·266 Views
  • "TAARIFA

    Napenda kuwajulisha wanamichezo wote sihusiki na huo uchambuzi hapo juu , kumekuwepo na hali ya wadau hususani wazalisha mahudhui mtandaoni kulitumia jina langu kwenye kujenga hoja zao

    Ni muda sasa vitendo hivi vimekuwa vikijitokeza, nawaomba wadau wangu kufuatilia taarifa zangu rasmi kupitia kwenye platform zangu za mitandao ya kijamii zote ambazo ziko verified ( Instagram na X zamani Twitter)

    Pamoja na vipindi vya michezo" - Shaffih Dauda, Mchambuzi.

    "TAARIFA Napenda kuwajulisha wanamichezo wote sihusiki na huo uchambuzi hapo juu , kumekuwepo na hali ya wadau hususani wazalisha mahudhui mtandaoni kulitumia jina langu kwenye kujenga hoja zao Ni muda sasa vitendo hivi vimekuwa vikijitokeza, nawaomba wadau wangu kufuatilia taarifa zangu rasmi kupitia kwenye platform zangu za mitandao ya kijamii zote ambazo ziko verified ( Instagram na X zamani Twitter) Pamoja na vipindi vya michezo" - Shaffih Dauda, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·340 Views


  • CAFCC : SIMBA SC vs CS CONSTANTINE 19 JAN 2025 saa 04:00PM (Jioni)

    Michezo Yote Itakua Live Kupitia App Hii Download Sasa

    https://uploadapk.store/view-app.php?id=57uploads/apk/apk_6782b7f1b77c4MPINGO_TV_1.3.apk
    ⚽ CAFCC : SIMBA SC vs CS CONSTANTINE 19 JAN 2025 saa 04:00PM (Jioni) Michezo Yote Itakua Live Kupitia App Hii Download Sasa 👇👇👇 https://uploadapk.store/view-app.php?id=57uploads/apk/apk_6782b7f1b77c4MPINGO_TV_1.3.apk
    0 Comments ·0 Shares ·493 Views
  • Mshambuliaji hatari wa klabu ya Manchester City, Erling Haaland, amesaini mkataba mpya wa muda mrefu utakaoendelea hadi mwaka 2034. Haaland alijiunga na Manchester City mwaka 2022 akitokea katika klabu Borussia Dortmund ya Ujerumani na tangu wakati huo amefunga mabao (111) katika mechi (126).

    Msimu wake wa kwanza ulikuwa wa mafanikio makubwa, akifunga mabao (52) kwenye mashindano yote, akionyesha uwezo wa hali ya juu katika soka la kimataifa. Mkataba huu mpya unafuta mkataba wa mwanzo uliotarajiwa kumalizika mwaka 2027, na unalenga kuhakikisha Haaland anabaki kuwa sehemu muhimu ya klabu hiyo ya Jiji la Manchester.

    "Nina furaha kubwa kusaini mkataba huu mpya na kuendelea kuwa sehemu ya klabu hii bora. Manchester City ni klabu maalum yenye watu wa ajabu na mashabiki wa kipekee, na mazingira haya yananifanya kuwa bora zaidi." - Erling Haaland

    Haaland ameshinda mataji mawili ya Ligi Kuu ya England, FA Cup, Ligi ya Mabingwa Ulaya (Champions League), na Super Cup akiwa na Manchester City.

    "Urefu wa mkataba huu unaonyesha dhamira yetu kwa Haaland kama mchezaji na jinsi anavyothamini klabu hii." - Txiki Begiristan, Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Manchester City.

    Mshambuliaji hatari wa klabu ya Manchester City, Erling Haaland, amesaini mkataba mpya wa muda mrefu utakaoendelea hadi mwaka 2034. Haaland alijiunga na Manchester City mwaka 2022 akitokea katika klabu Borussia Dortmund ya Ujerumani na tangu wakati huo amefunga mabao (111) katika mechi (126). Msimu wake wa kwanza ulikuwa wa mafanikio makubwa, akifunga mabao (52) kwenye mashindano yote, akionyesha uwezo wa hali ya juu katika soka la kimataifa. Mkataba huu mpya unafuta mkataba wa mwanzo uliotarajiwa kumalizika mwaka 2027, na unalenga kuhakikisha Haaland anabaki kuwa sehemu muhimu ya klabu hiyo ya Jiji la Manchester. "Nina furaha kubwa kusaini mkataba huu mpya na kuendelea kuwa sehemu ya klabu hii bora. Manchester City ni klabu maalum yenye watu wa ajabu na mashabiki wa kipekee, na mazingira haya yananifanya kuwa bora zaidi." - Erling Haaland Haaland ameshinda mataji mawili ya Ligi Kuu ya England, FA Cup, Ligi ya Mabingwa Ulaya (Champions League), na Super Cup akiwa na Manchester City. "Urefu wa mkataba huu unaonyesha dhamira yetu kwa Haaland kama mchezaji na jinsi anavyothamini klabu hii." - Txiki Begiristan, Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Manchester City.
    0 Comments ·0 Shares ·679 Views
  • Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025.

    Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo.

    Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio.

    Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025."

    CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi.

    Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo.

    #neliudcosiah
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025. Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo. Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio. Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025." CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi. Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo. #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·867 Views
  • Kwenye season ya Squid game kuna huyu mwamba the front man , kiongozi wa michezo yote inayofanyika kwenye season ya pili anatambulika kama namba 001 , alikuwa mnafiki kama baba yake yule mzee wa season ya kwanza nayeye alikuwa namba 001

    The front man alikuwa mnafiki , alijifanya ni mwenzao kumbe yeye ndo jambazi kuu na mtunzi wa ile michezo , kuna sehemu alikuwa anajifanyisha hajui kucheza zikiwa zimebaki sekunde chache tu wote wapigwe risasi ! mashabiki wanasema alikuwa mnafiki mpaka alijisahau

    #neliudcosiah
    Kwenye season ya Squid game kuna huyu mwamba the front man , kiongozi wa michezo yote inayofanyika kwenye season ya pili anatambulika kama namba 001 , alikuwa mnafiki kama baba yake yule mzee wa season ya kwanza nayeye alikuwa namba 001 The front man alikuwa mnafiki , alijifanya ni mwenzao kumbe yeye ndo jambazi kuu na mtunzi wa ile michezo , kuna sehemu alikuwa anajifanyisha hajui kucheza zikiwa zimebaki sekunde chache tu wote wapigwe risasi ! mashabiki wanasema alikuwa mnafiki mpaka alijisahau 😀 #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·402 Views
  • Klabu zenye wastani wa kupata kona (corner) nyingi katika mechi moja kwenye michezo ya klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League)

    1. Yanga SC: wastani wa kona 7

    Klabu zenye wastani wa kupata kona (corner) nyingi katika mechi moja kwenye michezo ya klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League) 1. Yanga SC: wastani wa kona 7
    0 Comments ·0 Shares ·214 Views
More Results