• bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    馃槀馃槀馃槀 bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    Haha
    1
    0 Comments 0 Shares 43 Views
  • Naomba mnifollow wadau na like zenu na comments ni za muhimu sana
    Naomba mnifollow wadau na like zenu na comments ni za muhimu sana
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 54 Views
  • Usisahau kunifollow,kulike na kucomment asante
    Usisahau kunifollow,kulike na kucomment asante
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 26 Views
  • BAD RESULTS: pole sana shabiki zangu leo tulikuwa na siku mbaya kazini ZUBKOV wa Shaktar Donetsk amefunga goli halali DK ya 90+5 limekataliwa ambapo goli Hilo lilikuwa la 3 lakukamilisha mission yetu na tungeondoka na 4.6MILLION. Tukutane NEXT...
    Nifollow #sokachampions
    BAD RESULTS: pole sana shabiki zangu leo tulikuwa na siku mbaya kazini ZUBKOV wa Shaktar Donetsk amefunga goli halali DK ya 90+5 limekataliwa ambapo goli Hilo lilikuwa la 3 lakukamilisha mission yetu na tungeondoka na 4.6MILLION. Tukutane NEXT...馃檹 Nifollow #sokachampions
    Like
    Love
    Angry
    9
    4 Comments 0 Shares 580 Views
  • _|| WARNING "UWIZI MPYA"

    Kuna mbinu mpya ya matapeli wamekuja na kuwalaghai watu inaoitwa
    'IMERUKA'

    Tapeli hukutumia pesa kwenye simu yako akitumia namba yake.

    Hii si pesa fake, ni ya kweli kabisa anakutumia pesa kidogo kama laki 100000 au elf 50000 na hata hana shaka.

    Baada ya kutuma pesa hizi kisha anaanzisha muamala wa kutoa pesa kwenye account yako yako. kuna menyu ya kurequest muamala kutoka kwenye namba ya mtu mwingine ambae yupo mbali. Ila yule mtu atatakiwa aweke namba yake ya siri ili kuruhusu muamala huo.

    Sasa tapeli anafanya hivyo kwa sababu anajua Unapopokea ujumbe kwenye simu yako kuwa umepokea pesa jambo la kawaida ni kufurahia na kisha kutaka kuangalia salio lako.

    Ili kuangalia salio utahitaji kuweka Nambari yako ya siri (Msimbo).

    Mara tu utakapofanya hivi utakuwa umethibitisha ombi lake la kutoa pesa kwenye akaunti yako.

    Akaunti yako itaruhusu ombi lake la kutoa hela kiotomatiki na kuchukua pesa zako.

    Ujanja ni kukurubuni tu kwa kiasi kidogo ili kukuibia.

    Ili kujilinda dhidi ya ulaghai huu wakati wowote ulipopokea amana hiyo isiyotarajiwa, ili kuangalia salio lako kwanza weka Nambari ya Msimbo isiyo sahihi makusudi.

    Kitendo cha wewe kuweka Msimbo wa uongo itafuta maombi yoyote ya tapeli kiutoa fedha toka akaunti yako. Kisha angalia salio lako kwa Nambari yako halisi ya Msimbo.

    Kwa uhamisho huu mpya wa pesa za kielektroniki na Artificial Intelligence (AI) tufanye hivyo kila wakati ili kuepuka kudanganywa na matapeli hawa ambao kila mara wanakuja na mbinu mpya za kujaribu kutuibia.

    Shiriki habari kama hizi kila wakati na familia na wafanyikazi wenza pia ili kuwafahamisha na kuwa macho.

    KAA MACHO

    #nifollow
    #highlightseveryonefollowers2024
    #Peterjoram
    鈿狅笍_|| WARNING "UWIZI MPYA" 鉃★笍 Kuna mbinu mpya ya matapeli wamekuja na kuwalaghai watu inaoitwa 'IMERUKA' 鉃★笍 Tapeli hukutumia pesa kwenye simu yako akitumia namba yake. 鉃★笍 Hii si pesa fake, ni ya kweli kabisa anakutumia pesa kidogo kama laki 100000 au elf 50000 na hata hana shaka. 鉃★笍 Baada ya kutuma pesa hizi kisha anaanzisha muamala wa kutoa pesa kwenye account yako yako. kuna menyu ya kurequest muamala kutoka kwenye namba ya mtu mwingine ambae yupo mbali. Ila yule mtu atatakiwa aweke namba yake ya siri ili kuruhusu muamala huo. 鉃★笍 Sasa tapeli anafanya hivyo kwa sababu anajua Unapopokea ujumbe kwenye simu yako kuwa umepokea pesa jambo la kawaida ni kufurahia na kisha kutaka kuangalia salio lako. 鉃★笍 Ili kuangalia salio utahitaji kuweka Nambari yako ya siri (Msimbo). 鉃★笍 Mara tu utakapofanya hivi utakuwa umethibitisha ombi lake la kutoa pesa kwenye akaunti yako. 鉃★笍 Akaunti yako itaruhusu ombi lake la kutoa hela kiotomatiki na kuchukua pesa zako. 鉃★笍 Ujanja ni kukurubuni tu kwa kiasi kidogo ili kukuibia. 鉃★笍 Ili kujilinda dhidi ya ulaghai huu wakati wowote ulipopokea amana hiyo isiyotarajiwa, ili kuangalia salio lako kwanza weka Nambari ya Msimbo isiyo sahihi makusudi. 鉃★笍 Kitendo cha wewe kuweka Msimbo wa uongo itafuta maombi yoyote ya tapeli kiutoa fedha toka akaunti yako. Kisha angalia salio lako kwa Nambari yako halisi ya Msimbo. 鉃★笍 Kwa uhamisho huu mpya wa pesa za kielektroniki na Artificial Intelligence (AI) tufanye hivyo kila wakati ili kuepuka kudanganywa na matapeli hawa ambao kila mara wanakuja na mbinu mpya za kujaribu kutuibia. 鉃★笍 Shiriki habari kama hizi kila wakati na familia na wafanyikazi wenza pia ili kuwafahamisha na kuwa macho. 鈩癸笍 KAA MACHO 鈥硷笍 #nifollow #highlightseveryonefollowers2024 #Peterjoram
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 991 Views
  • _|| 饾棯饾棓饾棩饾棥饾棞饾棥饾棜 "饾棯饾棞饾棴饾棞 饾棤饾棧饾棳饾棓"

    Kuna mbinu mpya ya matapeli wamekuja na kuwalaghai watu inaoitwa
    'IMERUKA'

    Tapeli hukutumia pesa kwenye simu yako akitumia namba yake.

    Hii si pesa fake, ni ya kweli kabisa anakutumia pesa kidogo kama laki 100000 au elf 50000 na hata hana shaka.

    Baada ya kutuma pesa hizi kisha anaanzisha muamala wa kutoa pesa kwenye account yako yako. kuna menyu ya kurequest muamala kutoka kwenye namba ya mtu mwingine ambae yupo mbali. Ila yule mtu atatakiwa aweke namba yake ya siri ili kuruhusu muamala huo.

    Sasa tapeli anafanya hivyo kwa sababu anajua Unapopokea ujumbe kwenye simu yako kuwa umepokea pesa jambo la kawaida ni kufurahia na kisha kutaka kuangalia salio lako.

    Ili kuangalia salio utahitaji kuweka Nambari yako ya siri (Msimbo).

    Mara tu utakapofanya hivi utakuwa umethibitisha ombi lake la kutoa pesa kwenye akaunti yako.

    Akaunti yako itaruhusu ombi lake la kutoa hela kiotomatiki na kuchukua pesa zako.

    Ujanja ni kukurubuni tu kwa kiasi kidogo ili kukuibia.

    Ili kujilinda dhidi ya ulaghai huu wakati wowote ulipopokea amana hiyo isiyotarajiwa, ili kuangalia salio lako kwanza weka Nambari ya Msimbo isiyo sahihi makusudi.

    Kitendo cha wewe kuweka Msimbo wa uongo itafuta maombi yoyote ya tapeli kiutoa fedha toka akaunti yako. Kisha angalia salio lako kwa Nambari yako halisi ya Msimbo.

    Kwa uhamisho huu mpya wa pesa za kielektroniki na Artificial Intelligence (AI) tufanye hivyo kila wakati ili kuepuka kudanganywa na matapeli hawa ambao kila mara wanakuja na mbinu mpya za kujaribu kutuibia.

    Shiriki habari kama hizi kila wakati na familia na wafanyikazi wenza pia ili kuwafahamisha na kuwa macho.

    KAA MACHO

    #nifollow
    #highlightseveryonefollowers2024
    @highlight
    Pete@highlightPeter Joram
    鈿狅笍_|| 饾棯饾棓饾棩饾棥饾棞饾棥饾棜 "饾棯饾棞饾棴饾棞 饾棤饾棧饾棳饾棓" 鉃★笍 Kuna mbinu mpya ya matapeli wamekuja na kuwalaghai watu inaoitwa 'IMERUKA' 鉃★笍 Tapeli hukutumia pesa kwenye simu yako akitumia namba yake. 鉃★笍 Hii si pesa fake, ni ya kweli kabisa anakutumia pesa kidogo kama laki 100000 au elf 50000 na hata hana shaka. 鉃★笍 Baada ya kutuma pesa hizi kisha anaanzisha muamala wa kutoa pesa kwenye account yako yako. kuna menyu ya kurequest muamala kutoka kwenye namba ya mtu mwingine ambae yupo mbali. Ila yule mtu atatakiwa aweke namba yake ya siri ili kuruhusu muamala huo. 鉃★笍 Sasa tapeli anafanya hivyo kwa sababu anajua Unapopokea ujumbe kwenye simu yako kuwa umepokea pesa jambo la kawaida ni kufurahia na kisha kutaka kuangalia salio lako. 鉃★笍 Ili kuangalia salio utahitaji kuweka Nambari yako ya siri (Msimbo). 鉃★笍 Mara tu utakapofanya hivi utakuwa umethibitisha ombi lake la kutoa pesa kwenye akaunti yako. 鉃★笍 Akaunti yako itaruhusu ombi lake la kutoa hela kiotomatiki na kuchukua pesa zako. 鉃★笍 Ujanja ni kukurubuni tu kwa kiasi kidogo ili kukuibia. 鉃★笍 Ili kujilinda dhidi ya ulaghai huu wakati wowote ulipopokea amana hiyo isiyotarajiwa, ili kuangalia salio lako kwanza weka Nambari ya Msimbo isiyo sahihi makusudi. 鉃★笍 Kitendo cha wewe kuweka Msimbo wa uongo itafuta maombi yoyote ya tapeli kiutoa fedha toka akaunti yako. Kisha angalia salio lako kwa Nambari yako halisi ya Msimbo. 鉃★笍 Kwa uhamisho huu mpya wa pesa za kielektroniki na Artificial Intelligence (AI) tufanye hivyo kila wakati ili kuepuka kudanganywa na matapeli hawa ambao kila mara wanakuja na mbinu mpya za kujaribu kutuibia. 鉃★笍 Shiriki habari kama hizi kila wakati na familia na wafanyikazi wenza pia ili kuwafahamisha na kuwa macho. 鈩癸笍 KAA MACHO 鈥硷笍 #nifollow #highlightseveryonefollowers2024 @highlight Pete@highlightPeter Joram
    Like
    Love
    3
    2 Comments 0 Shares 919 Views
  • Njoo tuishi wote nifollow tu
    Njoo tuishi wote nifollow tu
    0 Comments 0 Shares 292 Views
  • Na. Instagram nipo nenda chapu ukani NIFOLLOW
    Na. Instagram nipo nenda chapu ukani NIFOLLOW
    0 Comments 0 Shares 430 Views
  • Naomba mnifollow wapendwa

    #cktvtanzania
    #SocialPop
    Naomba mnifollow wapendwa #cktvtanzania #SocialPop
    Like
    2
    0 Comments 2 Shares 2K Views