• 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester united bado wapo kwenye mazungumzo na PSG ili kumpata golikipa Gigi Donnarumma . Mchakato bado inaendelea

    (Source: x/JanAageFjortoft)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester united bado wapo kwenye mazungumzo na PSG ili kumpata golikipa Gigi Donnarumma . Mchakato bado inaendelea ✅ (Source: x/JanAageFjortoft) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·15 Views
  • Club ya Manchester city imeweka dau la €60M na offer mbali Bali kwa golikipa wa FC Porto Diogo Costa na pia Club ya PSG imehusishwa juu ya kumuhitaji golikipa huyo

    #SportsElite
    Club ya Manchester city imeweka dau la €60M na offer mbali Bali kwa golikipa wa FC Porto Diogo Costa na pia Club ya PSG imehusishwa juu ya kumuhitaji golikipa huyo #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·70 Views
  • :Real Madrid wanaripotiwa kupokea ofa ya zaidi ya £𝟑𝟎𝟎𝐌 kumnunua Vinicius Junior

    Ofa itavunja ada inayoshikilia rekodi ya dunia ya £198m, iliyolipwa na PSG kwa Neymar mnamo 2017

    #SportsElite
    🚨⚪:Real Madrid wanaripotiwa kupokea ofa ya zaidi ya £𝟑𝟎𝟎𝐌 kumnunua Vinicius Junior 😱💰 Ofa itavunja ada inayoshikilia rekodi ya dunia ya £198m, iliyolipwa na PSG kwa Neymar mnamo 2017 #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·104 Views
  • Manager wa Club ya PSG Luis Enrique amesema kuwa yuko mbioni katika sakata la kumsajiri aliyekuwa kiungo wa Real Madrid Eduardo Camavinga licha ya kuwa majeruhii hayo yamesemwa na Luis Enrique manager wa PSG
    Manager wa Club ya PSG Luis Enrique amesema kuwa yuko mbioni katika sakata la kumsajiri aliyekuwa kiungo wa Real Madrid Eduardo Camavinga licha ya kuwa majeruhii hayo yamesemwa na Luis Enrique manager wa PSG
    0 Reacties ·0 aandelen ·83 Views
  • Tottenham inavutiwa na Illia Zabarnyi na wako tayari kuzungumza na Bournemouth na thamani yake ni €70M —
    Lakini Zabarnyi ameipa kipaumbele PSG.

    (Source: @DiMarzio)

    #SportsElite
    🚨 Tottenham inavutiwa na Illia Zabarnyi na wako tayari kuzungumza na Bournemouth na thamani yake ni €70M — Lakini Zabarnyi ameipa kipaumbele PSG. 💰🤯 (Source: @DiMarzio) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·122 Views
  • 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜

    Paris Saint-Germain (PSG) wamemsajili kipa wa Kiitaliano Renato Marin kutoka AS Roma kwa uhamisho huru.

    Renato Marin amesaini mkataba wa miaka 5 utakaomuweka klabuni hadi mwaka 2030. ✍🏻

    #SportsElite
    𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜 ✅ Paris Saint-Germain (PSG) wamemsajili kipa wa Kiitaliano Renato Marin kutoka AS Roma kwa uhamisho huru.🔵🔴🇮🇹 Renato Marin amesaini mkataba wa miaka 5 utakaomuweka klabuni hadi mwaka 2030. ✍🏻📝🆓 #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·172 Views
  • Klabu ya Chelsea itapata heshima ya kuvaa nembo ya Fifa Club World Cup kwa muda wa miaka minne kwenye jezi zao na hii imekuja baada ya Michuano hiyo kuanza kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya mabadiliko yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya timu shiriki.

    Pia Chelsea wamepewa heshima hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa ngazi ya klabu kwa kuwachapa Psg mabao 3-0 usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Metlife Nchini Marekani.

    #SportsElite
    🚨Klabu ya Chelsea itapata heshima ya kuvaa nembo ya Fifa Club World Cup kwa muda wa miaka minne kwenye jezi zao na hii imekuja baada ya Michuano hiyo kuanza kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya mabadiliko yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya timu shiriki. Pia Chelsea wamepewa heshima hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa ngazi ya klabu kwa kuwachapa Psg mabao 3-0 usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Metlife Nchini Marekani. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·267 Views
  • Baada ya kurejea timu yake ya zamani Rosario de Central, Angel de Maria leo ataanza kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Godoy Cruz mchezo wa ligi kuu nchini Argentina.

    Rosario de Central ndio timu iliyomtoa Di maria kabla ya kutimkia vilabu vya ulaya kama vile Benfica, Real Madrid, Manchester united pamoja na PSG.

    #SportsElite
    Baada ya kurejea timu yake ya zamani Rosario de Central, Angel de Maria leo ataanza kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Godoy Cruz mchezo wa ligi kuu nchini Argentina. Rosario de Central ndio timu iliyomtoa Di maria kabla ya kutimkia vilabu vya ulaya kama vile Benfica, Real Madrid, Manchester united pamoja na PSG. #SportsElite
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·211 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe iko karibu kukamilisha usajiri wa Marco Asensio kutoka Paris St Germain

    Asensio tayari amekubali ofa hiyo na mpango wa Mourinho msimu ujao
    Kinachosubiriwa ni PSG kubariki uhamisho huo

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe iko karibu kukamilisha usajiri wa Marco Asensio kutoka Paris St Germain 💛💙🇹🇷 Asensio tayari amekubali ofa hiyo na mpango wa Mourinho msimu ujao Kinachosubiriwa ni PSG kubariki uhamisho huo🇪🇸🏁 #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·129 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·126 Views
  • Today's Match 🏟

    PSG vs REAL MADRID
    ⌚️ 22:00 EAT

    Stream live here
    https://duduumendez.xyz/FootballLiveMatch


    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4
    ▶︎ ●────────── 0:41
    Today's Match 🏟 PSG vs REAL MADRID ⌚️ 22:00 EAT Stream live here 👇👇 https://duduumendez.xyz/FootballLiveMatch > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4 ▶︎ ●────────── 0:41
    0 Reacties ·0 aandelen ·274 Views
  • Xabi Alonso anaamini Real Madrid isipo ziba pengo LA Luka Modrić au Toni Kroos huwenda wakapitia nyakati ngumu kwenye ushindani na mbadala huo amependekeza jina la kiungo wa PSG Vitinha...

    (Source: Defensa Central)

    #SportsElite
    🚨 Xabi Alonso anaamini Real Madrid isipo ziba pengo LA Luka Modrić au Toni Kroos huwenda wakapitia nyakati ngumu kwenye ushindani na mbadala huo amependekeza jina la kiungo wa PSG Vitinha... (Source: Defensa Central) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·78 Views
  • Napoli inavutiwa kumsajiri Lee Kang-In.

    PSG imeomba kiasi cha €30M kwa Mkorea huyo.

    (Source: @RomainCG75)

    #SportsElite
    🚨 Napoli inavutiwa kumsajiri Lee Kang-In. 💙🇰🇷 PSG imeomba kiasi cha €30M kwa Mkorea huyo. (Source: @RomainCG75) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·80 Views
  • Uongozi wa klabu ya Paris Saint-Germain umeamua kutoa kiasi cha €50m kwa ajili ya kusaidia harakati za kuinusuru klabu ya Olympique Lyonnaise isishushwe daraja kutoka Ligue 1 mpaka Ligue 2.

    Siku chache zilizopita DNCG ilitangaza rasmi kuishusha daraja klabu ya Olympique Lyonnaise mara baada ya kushindwa kulipa madeni wanayodaiwa.

    PSG imejipanga kulipa madeni Yao na wadau wengine wapo tayari kujitolea kulipa madeni yote Ili Klabu hiyo iendelee kusalia Ligue 1.

    Sababu kuu ya PSG kuisaidia klabu ya Lyonnaise ni kutokana na klabu hiyo kuwauzia Bradley Barcola ambae mpaka Sasa ni mchezaji tegemezi katika kikosi Cha kwanza Cha PSG.

    #sportselite
    Uongozi wa klabu ya Paris Saint-Germain umeamua kutoa kiasi cha €50m kwa ajili ya kusaidia harakati za kuinusuru klabu ya Olympique Lyonnaise isishushwe daraja kutoka Ligue 1 mpaka Ligue 2. Siku chache zilizopita DNCG ilitangaza rasmi kuishusha daraja klabu ya Olympique Lyonnaise mara baada ya kushindwa kulipa madeni wanayodaiwa. PSG imejipanga kulipa madeni Yao na wadau wengine wapo tayari kujitolea kulipa madeni yote Ili Klabu hiyo iendelee kusalia Ligue 1. Sababu kuu ya PSG kuisaidia klabu ya Lyonnaise ni kutokana na klabu hiyo kuwauzia Bradley Barcola ambae mpaka Sasa ni mchezaji tegemezi katika kikosi Cha kwanza Cha PSG. #sportselite
    0 Reacties ·0 aandelen ·201 Views
  • Miongoni mwa mabeki wanao windwa na vilabu ulaya ni beki za Bournemouth,huwenda tukazikosa msimu ujao ndani ya Bournemouth

    Dean Huijsen Madrid (hatua za mwishoni)
    Milos Kerkez Liverpool (dili limekamilika)
    Illia Zabarnyi PSG (dili liko mbioni kukamilika)

    Bournemouth mwendo wa kupiga mpunga tu!
    🍒🌟 Miongoni mwa mabeki wanao windwa na vilabu ulaya ni beki za Bournemouth,huwenda tukazikosa msimu ujao ndani ya Bournemouth 🇪🇸 Dean Huijsen ➡️ Madrid (hatua za mwishoni) 🇭🇺 Milos Kerkez ➡️ Liverpool (dili limekamilika) 🇺🇦 Illia Zabarnyi ➡️ PSG (dili liko mbioni kukamilika) Bournemouth mwendo wa kupiga mpunga tu!💰
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·184 Views
  • * Today's Matches | Live *

    * FIFA Club World Cup*

    * Round 1*

    * AthletiCo Madrid PSG*
    * 9:00 PM *
    * 11:00 PM *
    * 12:30 AM *
    *️ 10:00 PM *

    *Live Link*
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    https://duduumendez.xyz/

    * Bayern Aukland*
    * 9:30 PM *
    *⌚ 8:00 PM *
    *⌚️ 6:00 PM *
    *⌚️ 7:00 PM *

    * Live Link*
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match


    * Palmeiras Porto*
    *⌚️ 3:30 AM *
    * Live Links*
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match

    More Matches
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match

    *🚨 Today's Matches | Live ‼️* *🏆 FIFA Club World Cup* *🔰 Round 1* *⛳ AthletiCo Madrid 🆚 PSG* *⌚ 9:00 PM 🇿🇼* *⌚ 11:00 PM 🇦🇪* *⌚ 12:30 AM 🇮🇳* *⌚️ 10:00 PM 🇹🇿* *📱Live Link* 👉https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 👉https://duduumendez.xyz/ *⛳ Bayern 🆚 Aukland* *⌚ 9:30 PM 🇮🇳* *⌚ 8:00 PM 🇦🇪* *⌚️ 6:00 PM 🇿🇼* *⌚️ 7:00 PM 🇹🇿* *📱 Live Link* 👉 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match *⛳ Palmeiras 🆚 Porto* *⌚️ 3:30 AM 🇮🇳* *📱 Live Links* 👉https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 👉https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 📱More Matches👇 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    0 Reacties ·0 aandelen ·445 Views
  • UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL MATCH

    Psg Vs Inter milan 22:00 EAT
    🏟 Allianz Arena

    Live at
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL MATCH Psg Vs Inter milan 22:00 EAT 🏟 Allianz Arena Live at 👇👇 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·517 Views
  • Nchi ya Rwanda imesema kuwa mbinu za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ya kutaka kukomesha mikataba ya Rwanda kimataifa sio suluhisho kwa mzozo wa mashariki mwa DR Congo.

    Hii imekuja baada ya Serikali ya DR Congo kuandikia barua vilabu vya Arsenal FC, PSG na FC Bayern wakivitaka visitishe mikataba na Rwanda kwa madai kuwa Nchi hiyo inaunga mkono Waasi wa kundi la M23 na kuwa makubaliano hayo "yana damu".

    Nchi ya Rwanda 🇷🇼 imesema kuwa mbinu za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 ya kutaka kukomesha mikataba ya Rwanda kimataifa sio suluhisho kwa mzozo wa mashariki mwa DR Congo. Hii imekuja baada ya Serikali ya DR Congo kuandikia barua vilabu vya Arsenal FC, PSG na FC Bayern wakivitaka visitishe mikataba na Rwanda kwa madai kuwa Nchi hiyo inaunga mkono Waasi wa kundi la M23 na kuwa makubaliano hayo "yana damu".
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·805 Views
  • Klabu ya Juventus imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa PSG Randal Kolo Muani kwa mkopo hadi Mwisho wa Msimu.
    Klabu ya Juventus imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji wa PSG Randal Kolo Muani kwa mkopo hadi Mwisho wa Msimu.
    Like
    1
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·554 Views
  • Matokeo ya michezo ya Jana.

    Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca

    EFL CUP

    - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace
    - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford
    - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool

    LA LIGA

    - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence
    - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano

    COPPA ITALIA

    - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena
    - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria

    LIGUE 1

    - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG

    KNVB BEKER

    - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente
    - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht
    - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen
    - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣)
    - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣)
    - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue

    TACA DE PORTUGAL

    - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣)

    PSL

    - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns

    UEFA Champions League (Wanawake)

    - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City
    - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby
    - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich
    - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga

    SEGUNDA DIVISION

    - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria
    - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense
    - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon

    Matokeo ya michezo ya Jana. Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 EFL CUP - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool 🇪🇸 LA LIGA - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano 🇮🇹 COPPA ITALIA - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria 🇫🇷 LIGUE 1 - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG 🇳🇱 KNVB BEKER - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣) - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣) - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue 🇵🇹 TACA DE PORTUGAL - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣) 🇿🇦 PSL - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns 🌍 UEFA Champions League (Wanawake) - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga 🇪🇸 SEGUNDA DIVISION - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
Zoekresultaten