• 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona wamekutana na wasimamizi wa Marcus Rashford juu ya uwezekano wa kuwa nae msimu ujao.
    #SportsElite
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona wamekutana na wasimamizi wa Marcus Rashford juu ya uwezekano wa kuwa nae msimu ujao. 💙❤️ #SportsElite
    Haha
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·25 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5⚫️

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Inter imefikia makubaliano ya kumsaini Luis Henrique kutoka Olympique Marseille kwa kiasi cha €25 na mkataba wa miaka 5⚫️🔵🇧🇷 #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·25 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Victor Lindelof anaondoka ndani ya viunga vya Old Trafford kama mchezaji huru

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Victor Lindelof anaondoka ndani ya viunga vya Old Trafford kama mchezaji huru #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·95 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea I mean a mazungumzo na Brighton juu ya uwezekano wa kumpata João Pedro kwa of a ya £50 million!

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇧🇷 Chelsea I mean a mazungumzo na Brighton juu ya uwezekano wa kumpata João Pedro kwa of a ya £50 million! #SportsElite
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·113 Views
  • *...||TEAM ZILIZOFUZU KUCHEZA CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025/26*

    1. Al Ahly SC
    2. RS Berkane
    3. AS FAR
    4. Pyramids FC
    5. Esperance Tunis
    6. US Monastir
    7. Mamelodi Sundowns
    8. Orlando Pirates
    9. Simba SC
    10. Young Africans Sports Club
    11. Rahimo
    12. FC Nouadhibou
    13. Al Hilal Omdurman
    14. Al Merriekh
    15. Petro Luanda
    16. Remo Stars
    17. Vipers SC
    18. Mangasport
    19. Fassell
    20. Lioli
    21. Aigle Noir
    22. Power Dynamos
    *...||TEAM ZILIZOFUZU KUCHEZA CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025/26* 1. 🇪🇬 Al Ahly SC 2. 🇲🇦 RS Berkane 3. 🇲🇦 AS FAR 4. 🇪🇬 Pyramids FC 5. 🇹🇳 Esperance Tunis 6. 🇹🇳 US Monastir 7. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns 8. 🇿🇦 Orlando Pirates 9. 🇹🇿 Simba SC 10. 🇹🇿 Young Africans Sports Club 11. 🇧🇫 Rahimo 12. 🇲🇷 FC Nouadhibou 13. 🇸🇩 Al Hilal Omdurman 14. 🇸🇩 Al Merriekh 15. 🇦🇴 Petro Luanda 16. 🇳🇬 Remo Stars 17. 🇺🇬 Vipers SC 18. 🇬🇦 Mangasport 19. 🇱🇷 Fassell 20. 🇱🇸 Lioli 21. 🇧🇮 Aigle Noir 22. 🇿🇲 Power Dynamos
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·234 Views
  • #sportselite
    #Europaligue
    #sportselite #Europaligue
    Like
    Wow
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·211 Views
  • USIPO TIKI MKEKA HUU NAACHA BASHIRI KUANZIA LEO
    #sokachampions
    #soccersports
    USIPO TIKI MKEKA HUU NAACHA BASHIRI KUANZIA LEO💯💯 #sokachampions #soccersports
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·695 Views
  • Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania , Profesa Palamagamba Kabudi anatarajiwa kukutana na Viongozi wa klabu za Simba SC na Yanga SC kuzungumzia sakata la uamuzi wa klabu ya Simba SC kugomea mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ifanyike Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

    Pamoja na Viongozi hao wa klabu ya Simba SC na Yanga SC, Wengine ambao wanatarajiwa kushiriki kikao hicho kilichopangwa kufanyika Machi 27 mwaka huu ni Viongozi wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) pamoja na Viongozi kutoka Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara (TPBL).

    Ikumbukwe kwamba klabu ya Simba Sports SC iligomea mchezo huo kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni namba 17(45) ya Kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa zuiliwa kwa Vijana (Mabausa) waliodhaniwa kuwa ni wa klabu ya Yanga SC, ambayo inaruhusu klabu ngeni kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa mechi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania 🇹🇿, Profesa Palamagamba Kabudi anatarajiwa kukutana na Viongozi wa klabu za Simba SC na Yanga SC kuzungumzia sakata la uamuzi wa klabu ya Simba SC kugomea mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ifanyike Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Pamoja na Viongozi hao wa klabu ya Simba SC na Yanga SC, Wengine ambao wanatarajiwa kushiriki kikao hicho kilichopangwa kufanyika Machi 27 mwaka huu ni Viongozi wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) pamoja na Viongozi kutoka Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara (TPBL). Ikumbukwe kwamba klabu ya Simba Sports SC iligomea mchezo huo kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni namba 17(45) ya Kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa zuiliwa kwa Vijana (Mabausa) waliodhaniwa kuwa ni wa klabu ya Yanga SC, ambayo inaruhusu klabu ngeni kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa mechi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·999 Views
  • #SportsElite
    #FT
    #SportsElite🇪🇦 #FT
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·737 Views
  • #SportsElite
    Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    #SportsElite 🇹🇿 Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    0 Comments ·0 Shares ·832 Views
  • #SportsElite
    #Matokeo ya mchezo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania

    #SportsElite🇹🇿 #Matokeo ya mchezo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·858 Views
  • #SportsElite
    #UEFAConferenceligue
    #SportsElite #UEFAConferenceligue
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·883 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    0 Comments ·0 Shares ·866 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·860 Views
  • #SportsElite
    #NBCPREMIERLIGUE
    #Ratibanbc
    #SportsElite #NBCPREMIERLIGUE #Ratibanbc
    Like
    Yay
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue Round 16
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue Round 16
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·862 Views
  • #SportsElite
    #UEFAEUROPALigue Round 16
    #SportsElite #UEFAEUROPALigue Round 16
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·928 Views
  • #SportsElite
    #NBCChampionship
    #SportsElite 🇹🇿 #NBCChampionship
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·882 Views
  • #SportsElite
    #CRDBFederation
    #SportsElite🇹🇿 #CRDBFederation
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·771 Views
  • KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Comments ·0 Shares ·926 Views
More Results