• Enhance your spa experience with premium spa pool accessories. Discover essentials for comfort, style, and easy maintenance designed to suit New Zealand's outdoor environments.
    https://www.bipmemphis.com/must-have-spa-pool-accessories-for-comfort-style-and-function
    Enhance your spa experience with premium spa pool accessories. Discover essentials for comfort, style, and easy maintenance designed to suit New Zealand's outdoor environments. https://www.bipmemphis.com/must-have-spa-pool-accessories-for-comfort-style-and-function
    Must-Have Spa Pool Accessories for Comfort, Style, and Function
    www.bipmemphis.com
    Enhance your spa experience with premium spa pool accessories. Discover essentials for comfort, style, and easy maintenance designed to suit New Zealand's outdoor environments.
    0 Comments 0 Shares 1 Views
  • Enhance your spa experience with premium spa pool accessories. Discover essentials for comfort, style, and easy maintenance designed to suit New Zealand's outdoor environments.
    https://www.bipprime.net/must-have-spa-pool-accessories-for-comfort-style-and-function
    Enhance your spa experience with premium spa pool accessories. Discover essentials for comfort, style, and easy maintenance designed to suit New Zealand's outdoor environments. https://www.bipprime.net/must-have-spa-pool-accessories-for-comfort-style-and-function
    Must-Have Spa Pool Accessories for Comfort, Style, and Function
    www.bipprime.net
    Enhance your spa experience with premium spa pool accessories. Discover essentials for comfort, style, and easy maintenance designed to suit New Zealand's outdoor environments.
    0 Comments 0 Shares 1 Views
  • Enhance your outdoor space with quality pool accessories NZ that boost comfort, safety, and maintenance efficiency, transforming your summer pool experience into pure relaxation.
    https://medium.com/@jadencarter192/how-the-right-pool-accessories-can-transform-your-summer-experience-53137d3fa085
    Enhance your outdoor space with quality pool accessories NZ that boost comfort, safety, and maintenance efficiency, transforming your summer pool experience into pure relaxation. https://medium.com/@jadencarter192/how-the-right-pool-accessories-can-transform-your-summer-experience-53137d3fa085
    How the Right Pool Accessories Can Transform Your Summer Experience
    medium.com
    A beautiful pool can be the star of summer fun, but problems with maintenance can put a damper on any pool owner’s party. But to make the…
    0 Comments 0 Shares 2 Views
  • Enhance your outdoor space with quality pool accessories NZ that boost comfort, safety, and maintenance efficiency, transforming your summer pool experience into pure relaxation.
    https://ranksmagzine.com/how-the-right-pool-accessories-can-transform-your-summer-experience/
    Enhance your outdoor space with quality pool accessories NZ that boost comfort, safety, and maintenance efficiency, transforming your summer pool experience into pure relaxation. https://ranksmagzine.com/how-the-right-pool-accessories-can-transform-your-summer-experience/
    0 Comments 0 Shares 2 Views
  • 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Copenhagen imekamilisha usajiri wa Youssoufa Moukoko (20) kutoka Dortmund! 鈿笍
    馃毃馃嚛馃嚜 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Copenhagen imekamilisha usajiri wa Youssoufa Moukoko (20) kutoka Dortmund! 馃數鈿笍
    0 Comments 0 Shares 161 Views
  • EsMedication

    L'azithromycine est un antibiotique puissant qui traite rapidement et efficacement un large éventail d'infections bactériennes. Chez EsMedication, nous fournissons de l'azithromycine de haute qualité pour vous aider à vous rétablir plus rapidement de maladies telles que les infections respiratoires, les infections cutanées, etc. Les patients font confiance à EsMedication pour sa fiabilité et son service rapide. Notre azithromycine offre un soulagement rapide des symptômes, vous permettant de vous sentir mieux sans retards inutiles. Choisissez EsMedication pour des soins de confiance.

    Website : https://esmedication.com/
    EsMedication L'azithromycine est un antibiotique puissant qui traite rapidement et efficacement un large éventail d'infections bactériennes. Chez EsMedication, nous fournissons de l'azithromycine de haute qualité pour vous aider à vous rétablir plus rapidement de maladies telles que les infections respiratoires, les infections cutanées, etc. Les patients font confiance à EsMedication pour sa fiabilité et son service rapide. Notre azithromycine offre un soulagement rapide des symptômes, vous permettant de vous sentir mieux sans retards inutiles. Choisissez EsMedication pour des soins de confiance. Website : https://esmedication.com/
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 262 Views
  • https://about.me/blossombydaisy
    https://about.me/blossombydaisy
    0 Comments 0 Shares 190 Views
  • https://blossombydaisy.com.au/pages/florist-burnside
    https://blossombydaisy.com.au/pages/florist-burnside
    Florist Burnside, Same Day Flower Delivery, Florist Near Me
    blossombydaisy.com.au
    Florist Burnside. Same day flower delivery from Blossom by Daisy. Local Florist near you in Burnside. Buy beautiful & fresh flowers online.
    0 Comments 0 Shares 283 Views
  • https://ontoplist.in.net/article/petals-of-perfection-celebrating-lifes-moments-with-melbournes-best-blooms
    https://postr.blog/blossoms-that-speak-tailored-florals-for-every-melbourne-occasion
    https://guest-post.org/from-petals-to-people-how-melbournes-local-florists-are-spreading-joy/
    https://younivix.com/blossombydaisy
    https://ontoplist.in.net/article/petals-of-perfection-celebrating-lifes-moments-with-melbournes-best-blooms https://postr.blog/blossoms-that-speak-tailored-florals-for-every-melbourne-occasion https://guest-post.org/from-petals-to-people-how-melbournes-local-florists-are-spreading-joy/ https://younivix.com/blossombydaisy
    0 Comments 0 Shares 260 Views
  • https://newsworldstream.com/from-studio-to-suburb-the-heartfelt-reach-of-melbournes-floristry
    https://bloghub.in.net/profile/blossomby-daisy-876
    https://bloghub.in.net/article/melbourne-in-bloom-delivering-floral-joy-across-every-suburb
    https://ontoplist.in.net/profile/blossomby-daisy-682
    https://newsworldstream.com/from-studio-to-suburb-the-heartfelt-reach-of-melbournes-floristry https://bloghub.in.net/profile/blossomby-daisy-876 https://bloghub.in.net/article/melbourne-in-bloom-delivering-floral-joy-across-every-suburb https://ontoplist.in.net/profile/blossomby-daisy-682
    0 Comments 0 Shares 198 Views
  • https://blossombydaisy.medium.com/blooming-with-purpose-why-local-florists-matter-more-than-ever-906a69f51a40
    https://euromediawire.com/blogs/from-petals-to-porches-the-blooming-journey-of-your-bouquet/
    https://blogingers.com/petals-with-a-purpose-sending-smiles-across-melbournes-suburbs/
    https://blossombydaisy.medium.com/blooming-with-purpose-why-local-florists-matter-more-than-ever-906a69f51a40 https://euromediawire.com/blogs/from-petals-to-porches-the-blooming-journey-of-your-bouquet/ https://blogingers.com/petals-with-a-purpose-sending-smiles-across-melbournes-suburbs/
    Blooming with Purpose: Why Local Florists Matter More Than Ever
    blossombydaisy.medium.com
    In a fast-paced world where everything is just a click away, the charm and importance of a local florist might seem like a thing of the…
    0 Comments 0 Shares 249 Views
  • https://instapaper.com/p/blossombydaisy
    https://instapaper.com/p/blossombydaisy
    Instapaper
    instapaper.com
    A simple tool for saving web pages to read later on your iPhone, iPad, Android, computer, or Kindle.
    0 Comments 0 Shares 167 Views
  • "Goli 8 Asisti 9 So Far .. Kabatini kwake kuna TUZO 6 za MAN OF THE MATCH. Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za ugenini, Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za Nyumbani

    Na kubwa zaidi, Tuzo 3 za Man of The Match kazibeba kwenye MECHI 3 MFULULIZO

    Mabibi na Mabwana .. Huyu sio mwingine ni EL PROFFESSSSOR @pacom_zouzoua .. HE IS ON FIRE馃

    Mungu aendelee kumpa afya njema Tukamilishe Jambo letu Msimu huu" - Ali Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.

    "Goli 8 Asisti 9 So Far .. Kabatini kwake kuna TUZO 6 za MAN OF THE MATCH. Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za ugenini, Tuzo 3 kazibeba kwenye mechi za Nyumbani Na kubwa zaidi, Tuzo 3 za Man of The Match kazibeba kwenye MECHI 3 MFULULIZO Mabibi na Mabwana .. Huyu sio mwingine ni EL PROFFESSSSOR @pacom_zouzoua .. HE IS ON FIRE馃 Mungu aendelee kumpa afya njema Tukamilishe Jambo letu Msimu huu馃憫" - Ali Kamwe, Msemaji wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 784 Views
  • Nchi ya Marekani imeunda sera mpya inayozuia Wafanyakazi wa Serikali, Wanafamilia, na Wakandarasi walio na vibali vya usalama kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi au kingono na Raia wa China . Hii ni kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press.

    Sera hiyo imewekwa na aliyekuwa Balozi wa Marekani, Nicholas Burns mnamo Januari, ikiwa ni uondoaji mkubwa kutoka kwa miongo ya awali, ambayo ilizuia uhusiano na Raia wa China wanaofanya kazi katika majukumu maalum, kama vile Walinzi wa ubalozi. Inaripotiwa kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu kwamba Mawakala wa China wanaweza kuchukua taarifa za siri za Serikali ya Marekani na kuziwasilisha kwa Serikali ya China.

    Sera hiyo inatumika kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko China Bara, ikiwa ni pamoja na ubalozi wa Beijing na balozi ndogo huko Guangzhou, Shanghai, Shenyang na Wuhan, pamoja na ubalozi mdogo wa Marekani huko Hong Kong. Pia haitumiki kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko nje ya China ambao wana uhusiano uliokuwepo hapo awali na Raia wa China ingawa wanaweza kutuma maombi ya misamaha, lakini wakikataliwa, lazima wasitishe uhusiano huo au waache nafasi zao.

    Ikiwa sera hiyo itakiukwa, Wafanyakazi wanaohusika wataamriwa kuondoka China mara moja. Hata hivyo, Sera hiyo inaashiria mabadiliko makubwa katika mtazamo wa Serikali ya Marekani kuhusu usalama Nchini China, ikionyesha mvutano unaoongezeka kati ya Washington na Beijing kuhusu biashara, teknolojia na ushindani wa kijiografia na kisiasa.

    Kwaupande wa Wizara ya mambo ya nje ya China imekataa kutoa maoni yake kuhusu sera hiyo, ikisema kwamba "ni sahihi zaidi kuuliza Marekani kuhusu swali hilo." imekadiriwa ikisema Wizara hiyo ya China.

    Nchi ya Marekani 馃嚭馃嚫 imeunda sera mpya inayozuia Wafanyakazi wa Serikali, Wanafamilia, na Wakandarasi walio na vibali vya usalama kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi au kingono na Raia wa China 馃嚚馃嚦. Hii ni kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press. Sera hiyo imewekwa na aliyekuwa Balozi wa Marekani, Nicholas Burns mnamo Januari, ikiwa ni uondoaji mkubwa kutoka kwa miongo ya awali, ambayo ilizuia uhusiano na Raia wa China wanaofanya kazi katika majukumu maalum, kama vile Walinzi wa ubalozi. Inaripotiwa kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu kwamba Mawakala wa China wanaweza kuchukua taarifa za siri za Serikali ya Marekani na kuziwasilisha kwa Serikali ya China. Sera hiyo inatumika kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko China Bara, ikiwa ni pamoja na ubalozi wa Beijing na balozi ndogo huko Guangzhou, Shanghai, Shenyang na Wuhan, pamoja na ubalozi mdogo wa Marekani huko Hong Kong. Pia haitumiki kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko nje ya China ambao wana uhusiano uliokuwepo hapo awali na Raia wa China ingawa wanaweza kutuma maombi ya misamaha, lakini wakikataliwa, lazima wasitishe uhusiano huo au waache nafasi zao. Ikiwa sera hiyo itakiukwa, Wafanyakazi wanaohusika wataamriwa kuondoka China mara moja. Hata hivyo, Sera hiyo inaashiria mabadiliko makubwa katika mtazamo wa Serikali ya Marekani kuhusu usalama Nchini China, ikionyesha mvutano unaoongezeka kati ya Washington na Beijing kuhusu biashara, teknolojia na ushindani wa kijiografia na kisiasa. Kwaupande wa Wizara ya mambo ya nje ya China imekataa kutoa maoni yake kuhusu sera hiyo, ikisema kwamba "ni sahihi zaidi kuuliza Marekani kuhusu swali hilo." imekadiriwa ikisema Wizara hiyo ya China.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Mbosso kafuta "takataka".zote ila kaacha UNDER maana yake bado angali chini ya Lebo ya WCB Wasafi.

    Mbosso kafuta "takataka".zote ila kaacha UNDER maana yake bado angali chini ya Lebo ya WCB Wasafi.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 973 Views
  • Motivating quotes

    Creating quotes including inspiration, motivating quotes and daily lessons
    Creating quotes including inspiration, motivating quotes and daily lessons
    Tsh0 Raised of Tsh50000
    0%
    0 Comments 0 Shares 1K Views 0 Donations
  • Kutoka kwa Juma Lokole, chapisho la Mange Kimambi kuhusu Zuchu na Mbosso ni uongo.

    Kutoka kwa Juma Lokole, chapisho la Mange Kimambi kuhusu Zuchu na Mbosso ni uongo.
    0 Comments 0 Shares 686 Views
  • Ya Mange Kimambi kuhusu sakata la Mbosso na Zuchu kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi.

    Mnaosema Mbosso bora angebaki wasafi hivi mnawaza nini? Hivi mnadhani hawa wasanii ni wajinga wanapoamua kutoka kwa Diamond?

    Wanatoka coz wanaona hawapati matunda ya kazi zao, wanapiga kazi kubwa, wanakuwa famous nchi nzima ila hakuna pesa ya maana wanayopata, faida kubwa inaenda kwa kampuni ndo maana wanaona bora watoke wakajitafutie hata kama ni kidogo ila angalau ni chake na hatumiki tena kumtajirisha mtu.

    Nawaambia hata Zuchu leo akiachwa na Dai kesho yake asubuhi na mapema anatoka Wasafi. kinachomuweka Zuchu wasafi ni kwamba yuko obsessed na kuolewa na Diamond.

    Oh yeah, bado tukiwa kwenye hiyo topic ya king’ang’a ngoja niwaambie hivi, ni ngumu mnooo Diamond kumuacha king’ang’a, tena mnooooo. Hivi ndugu zangu mnajua maisha yalivyo magumu, mnataka Diamond amuache mwanamke anaemuingizia mabilioni ya pesa then aje kwenu vishanshuda wa mjini mnaosubiri kupewa? Itabidi akununulie gari, akupangie nyumba, akupe hela ya mawigi, akupe hela ya kulea ukoo wako, then uombe akujengee nyumba, why aingie kwenye matatizo hayo wakati Zuchu hayo mambo yote anajifanyia mwenyewe na on top of that anamwingizia pesa kwenye account? Yani aache mwanamke ambae hamcosti hata senti moja na bado anamwingizia mahela kwenye account aje kwenu omba omba na makalio yenu ya Uturuki? Itabidi Zuchu ashuke kimziki aache kumwingizia Diamond mahela ndo atapigwa chini. Yani Zuchu siku akishindwa kumwingizia Dai pesa kwenye account ndio ataachwa na sio kabla.Sasa acheni kujaji uzuri wako vs wa king’ang’a, jaji pesa utakayoweza kumwingizia Dai kwenye account Vs Zuchu anayomwingizia ndo utapata majibu. Na sasa hivi Zuchu kawaka moto Dai amuoe au anaingia mitini mnadhani Dai atachagua nini? Ampoteze top money maker wa Wasafi au aoe?Tumieni akili hapo, mnadhani atachagua nini?

    Basi kwa hii posti kama namuona Dai atavyoniletea barua ingine ya lawyer huku Marekani . Weee mi sio kina Mwijaku uliowatishia na vibarua vya lawyer siku hizi wameufyata wooote. Weeee, mimi tutagaragazana mahakamani mpaka woote tufilisike kwa kulipa malawyer . Chezea wapare tunavyopenda kesi .Yes guys, kama mnenoti siku hizi hakuna mtu bongo anadhubutu kumchamba Dai, wooote kawanyoosha kwa kuwatishia lawyer.

    Ya Mange Kimambi kuhusu sakata la Mbosso na Zuchu kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi. Mnaosema Mbosso bora angebaki wasafi hivi mnawaza nini? Hivi mnadhani hawa wasanii ni wajinga wanapoamua kutoka kwa Diamond? Wanatoka coz wanaona hawapati matunda ya kazi zao, wanapiga kazi kubwa, wanakuwa famous nchi nzima ila hakuna pesa ya maana wanayopata, faida kubwa inaenda kwa kampuni ndo maana wanaona bora watoke wakajitafutie hata kama ni kidogo ila angalau ni chake na hatumiki tena kumtajirisha mtu. Nawaambia hata Zuchu leo akiachwa na Dai kesho yake asubuhi na mapema anatoka Wasafi. kinachomuweka Zuchu wasafi ni kwamba yuko obsessed na kuolewa na Diamond. Oh yeah, bado tukiwa kwenye hiyo topic ya king’ang’a ngoja niwaambie hivi, ni ngumu mnooo Diamond kumuacha king’ang’a, tena mnooooo. Hivi ndugu zangu mnajua maisha yalivyo magumu, mnataka Diamond amuache mwanamke anaemuingizia mabilioni ya pesa then aje kwenu vishanshuda wa mjini mnaosubiri kupewa? Itabidi akununulie gari, akupangie nyumba, akupe hela ya mawigi, akupe hela ya kulea ukoo wako, then uombe akujengee nyumba, why aingie kwenye matatizo hayo wakati Zuchu hayo mambo yote anajifanyia mwenyewe na on top of that anamwingizia pesa kwenye account? Yani aache mwanamke ambae hamcosti hata senti moja na bado anamwingizia mahela kwenye account aje kwenu omba omba na makalio yenu ya Uturuki? Itabidi Zuchu ashuke kimziki aache kumwingizia Diamond mahela ndo atapigwa chini. Yani Zuchu siku akishindwa kumwingizia Dai pesa kwenye account ndio ataachwa na sio kabla.Sasa acheni kujaji uzuri wako vs wa king’ang’a, jaji pesa utakayoweza kumwingizia Dai kwenye account Vs Zuchu anayomwingizia ndo utapata majibu. Na sasa hivi Zuchu kawaka moto Dai amuoe au anaingia mitini mnadhani Dai atachagua nini? Ampoteze top money maker wa Wasafi au aoe?Tumieni akili hapo, mnadhani atachagua nini? Basi kwa hii posti kama namuona Dai atavyoniletea barua ingine ya lawyer huku Marekani 馃ぃ. Weee mi sio kina Mwijaku uliowatishia na vibarua vya lawyer siku hizi wameufyata wooote. Weeee, mimi tutagaragazana mahakamani mpaka woote tufilisike kwa kulipa malawyer 馃ぃ. Chezea wapare tunavyopenda kesi 馃ぃ馃ぃ.Yes guys, kama mnenoti siku hizi hakuna mtu bongo anadhubutu kumchamba Dai, wooote kawanyoosha kwa kuwatishia lawyer.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Baba Levo atangaza Mbosso kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi.

    Baba Levo atangaza Mbosso kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Kwa faida ya wengi ambao wanahoji kuhusu Kibu Denis na Uraia, ikawaje picha akacheza timu ya Taifa na FIFA wakapitisha, mkapitie kwenye website ya FIFA kuhusu “Guide to submitting a request for eligibility or change of association “

    Hapo FIFA wana mambo mawili kubadili Mashirikisho ama kuomba uhalali wa kucheza timu ya taifa, mfano Pacome akitaka kucheza Tanzania anaangukia kigezo cha kubadili Mashirikisho (Change of association) ila KIBU wakati anataka kucheza Tanzania, tuliomba uhalali ambapo tukaangukia kigezo cha “Request for eligibility “ kwakuwa Kibu ni Mkimbizi na hakuwa Raia wa Congo na hata angekuwa Raia bado ni rahisi kwakuwa ana haki ya Ukimbizi FIFA wanaitambua.

    Sasa FIFA kwenye eneo hilo kwa mujibu wa RGAS, kifungu cha saba (7) ambapo KIBU kukimbilia Tanzania haikuwa kwasababu za Kimpira bali kusaka Hifadhi hivyo ilihitajika cheti chake cha Ukimbizi na sababu za Kibinadamu, hiyo haina mlolongo wowote mrefu, anakidhi vigezo kwa haraka na anatwanga timu ya Taifa.

    Hivyo KIBU ni kesi tofauti na hii ya Wachezaji wa Singida.
    (Farhan JR)

    Kwa faida ya wengi ambao wanahoji kuhusu Kibu Denis na Uraia, ikawaje picha akacheza timu ya Taifa na FIFA wakapitisha, mkapitie kwenye website ya FIFA kuhusu “Guide to submitting a request for eligibility or change of association “ Hapo FIFA wana mambo mawili kubadili Mashirikisho ama kuomba uhalali wa kucheza timu ya taifa, mfano Pacome akitaka kucheza Tanzania anaangukia kigezo cha kubadili Mashirikisho (Change of association) ila KIBU wakati anataka kucheza Tanzania, tuliomba uhalali ambapo tukaangukia kigezo cha “Request for eligibility “ kwakuwa Kibu ni Mkimbizi na hakuwa Raia wa Congo na hata angekuwa Raia bado ni rahisi kwakuwa ana haki ya Ukimbizi FIFA wanaitambua. Sasa FIFA kwenye eneo hilo kwa mujibu wa RGAS, kifungu cha saba (7) ambapo KIBU kukimbilia Tanzania haikuwa kwasababu za Kimpira bali kusaka Hifadhi hivyo ilihitajika cheti chake cha Ukimbizi na sababu za Kibinadamu, hiyo haina mlolongo wowote mrefu, anakidhi vigezo kwa haraka na anatwanga timu ya Taifa. Hivyo KIBU ni kesi tofauti na hii ya Wachezaji wa Singida. (Farhan JR)
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 776 Views
More Results