• *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·481 Views
  • PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • (C)
    Baada ya kifo cha mama yake, Shipman aliamua kuwa daktari. Alijiunga na Chuo Kikuu cha Leeds na baadaye akawa tabibu wa familia.

    Katika mwonekano wa nje, alikuwa mtu mwema, mtu wa familia, mwenye mke na watoto, anayependwa na wagonjwa wake. Lakini ndani yake, alikuwa akijificha kwenye kivuli cha giza na mauaji l.

    Alianza kazi yake kama daktari huko Yorkshire, na ilisemekana kuwa alikuwa mzuri sana kwa wagonjwa wake.

    Hata hivyo, mnamo 1975, alinaswa akiandika dawa za opioid (pethidine) kwa matumizi yake binafsi. Alipatikana na hatia, lakini badala ya kufungwa jela, alipigwa faini na kupoteza kazi kwa muda mfupi.

    Baadaye, alihamia mji wa Hyde na kuanza upya maisha yake kama daktari wa familia.

    Huko ndipo msururu wa vifo vya ajabu ulipoanza.
    (C) Baada ya kifo cha mama yake, Shipman aliamua kuwa daktari. Alijiunga na Chuo Kikuu cha Leeds na baadaye akawa tabibu wa familia. Katika mwonekano wa nje, alikuwa mtu mwema, mtu wa familia, mwenye mke na watoto, anayependwa na wagonjwa wake. Lakini ndani yake, alikuwa akijificha kwenye kivuli cha giza na mauaji l. Alianza kazi yake kama daktari huko Yorkshire, na ilisemekana kuwa alikuwa mzuri sana kwa wagonjwa wake. Hata hivyo, mnamo 1975, alinaswa akiandika dawa za opioid (pethidine) kwa matumizi yake binafsi. Alipatikana na hatia, lakini badala ya kufungwa jela, alipigwa faini na kupoteza kazi kwa muda mfupi. Baadaye, alihamia mji wa Hyde na kuanza upya maisha yake kama daktari wa familia. Huko ndipo msururu wa vifo vya ajabu ulipoanza.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·849 Views
  • Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo.
    Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika.
    Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama.
    Shari tumeigeuza shwari.
    Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua?
    Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana.
    Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri.
    Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi.
    Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo. Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika. Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama. Shari tumeigeuza shwari. Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua? Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana. Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri. Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi. Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • MBWA KICHAA NA USIKU WA GIZA

    Ilianza kama usiku wa kawaida kijijini Mavumbi. Watu walikuwa wamejifungia ndani ya nyumba zao baada ya kushuhudia mwezi mwekundu ukipaa angani. Hii ilikuwa ishara ya giza kwa wakazi wa kijiji, maana waliamini mwezi huu huamsha nguvu za viumbe vya kishetani.

    Kamau, mchungaji wa ng'ombe, alikuwa ameachwa na shangazi yake ndani ya kibanda kidogo pembeni ya msitu. Shangazi yake alimuonya kuwa asithubutu kutoka nje, lakini Kamau alikuwa na ujasiri wa kijinga wa kijana wa miaka kumi na sita.

    Akiwa ameketi karibu na moto, Kamau alisikia mlio wa mbali wa mbwa ukisogea karibu. Mlio huo haukuwa wa kawaida – ulikuwa wa kutisha, kama wimbo wa mauti. Kila mbwa kijijini alijulikana, lakini sauti hii haikuwahi kusikika hapo awali.

    Moto ulipoanza kuzima, Kamau alihisi upepo wa ajabu ukipita. Akaona kivuli kikubwa kikimzunguka, na kisha akaona macho mekundu yakimwangalia nje ya dirisha. Mbwa huyo alikuwa mkubwa kuliko mbwa yeyote aliyewahi kumuona, manyoya yake yakiwa yamejaa matope na damu iliyokauka.

    Kamau alishtuka alipogundua kuwa mbwa huyo hakusogea bali alikuwa amesimama pale pale, akitabasamu kwa namna isiyo ya kawaida. Kisha ghafla, mlango wa kibanda ulifunguka bila mtu kuufungua. Mbwa huyo akaingia ndani polepole, miguu yake ikigonga sakafu kwa mlio wa chuma.

    Kamau alijaribu kupiga kelele, lakini sauti yake haikutoka. Mbwa huyo akasema kwa sauti nzito isiyo ya kawaida, "Wewe ni wa mwisho, Kamau. Familia yako yote imeondoka. Sasa, ni zamu yako."

    Akiwa amepooza kwa hofu, Kamau alikumbuka kifaa kimoja cha zamani ambacho shangazi yake alimwambia kilikuwa na nguvu ya kuondoa pepo waovu – kikombe cha mti kilichowekwa chini ya kitanda. Kwa juhudi za mwisho, Kamau alijitupa chini ya kitanda, akakivuta kikombe, na kumwaga maji yaliyokuwa ndani yake kuelekea kwa mbwa huyo.

    Mlio wa maumivu ulitanda kote kibandani, na mwanga wa ajabu ulijaa kila kona. Mbwa huyo alipotea ghafla, akiacha moshi mzito wenye harufu mbaya.

    Kamau alinusurika, lakini hakuwahi tena kuzungumza. Wanasema, kila mwezi mwekundu unapoonekana, mbwa kichaa hurejea kutafuta mwathirika mpya.

    Usiku huu, je, wewe uko tayari?
    MBWA KICHAA NA USIKU WA GIZA Ilianza kama usiku wa kawaida kijijini Mavumbi. Watu walikuwa wamejifungia ndani ya nyumba zao baada ya kushuhudia mwezi mwekundu ukipaa angani. Hii ilikuwa ishara ya giza kwa wakazi wa kijiji, maana waliamini mwezi huu huamsha nguvu za viumbe vya kishetani. Kamau, mchungaji wa ng'ombe, alikuwa ameachwa na shangazi yake ndani ya kibanda kidogo pembeni ya msitu. Shangazi yake alimuonya kuwa asithubutu kutoka nje, lakini Kamau alikuwa na ujasiri wa kijinga wa kijana wa miaka kumi na sita. Akiwa ameketi karibu na moto, Kamau alisikia mlio wa mbali wa mbwa ukisogea karibu. Mlio huo haukuwa wa kawaida – ulikuwa wa kutisha, kama wimbo wa mauti. Kila mbwa kijijini alijulikana, lakini sauti hii haikuwahi kusikika hapo awali. Moto ulipoanza kuzima, Kamau alihisi upepo wa ajabu ukipita. Akaona kivuli kikubwa kikimzunguka, na kisha akaona macho mekundu yakimwangalia nje ya dirisha. Mbwa huyo alikuwa mkubwa kuliko mbwa yeyote aliyewahi kumuona, manyoya yake yakiwa yamejaa matope na damu iliyokauka. Kamau alishtuka alipogundua kuwa mbwa huyo hakusogea bali alikuwa amesimama pale pale, akitabasamu kwa namna isiyo ya kawaida. Kisha ghafla, mlango wa kibanda ulifunguka bila mtu kuufungua. Mbwa huyo akaingia ndani polepole, miguu yake ikigonga sakafu kwa mlio wa chuma. Kamau alijaribu kupiga kelele, lakini sauti yake haikutoka. Mbwa huyo akasema kwa sauti nzito isiyo ya kawaida, "Wewe ni wa mwisho, Kamau. Familia yako yote imeondoka. Sasa, ni zamu yako." Akiwa amepooza kwa hofu, Kamau alikumbuka kifaa kimoja cha zamani ambacho shangazi yake alimwambia kilikuwa na nguvu ya kuondoa pepo waovu – kikombe cha mti kilichowekwa chini ya kitanda. Kwa juhudi za mwisho, Kamau alijitupa chini ya kitanda, akakivuta kikombe, na kumwaga maji yaliyokuwa ndani yake kuelekea kwa mbwa huyo. Mlio wa maumivu ulitanda kote kibandani, na mwanga wa ajabu ulijaa kila kona. Mbwa huyo alipotea ghafla, akiacha moshi mzito wenye harufu mbaya. Kamau alinusurika, lakini hakuwahi tena kuzungumza. Wanasema, kila mwezi mwekundu unapoonekana, mbwa kichaa hurejea kutafuta mwathirika mpya. Usiku huu, je, wewe uko tayari?
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·840 Views
  • VAMPIRE WA AJABU

    Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kidogo kilichozungukwa na misitu minene. Watu wa kijiji hicho waliishi kwa amani kwa miaka mingi, hadi usiku mmoja wa kiza kizito ulipofika. Usiku huo, mwezi ulikuwa umekufa, na upepo ulikuwa na sauti ya ajabu, kana kwamba ulikuwa unaimba nyimbo za kutisha.

    Mwanamke mmoja, Maria, alikuwa akitoka kisimani akibeba ndoo ya maji, alipohisi jicho la mtu likimfuata gizani. Alipoangalia, hakuona chochote isipokuwa kivuli kilichotoweka kwa kasi. Hata hivyo, alihisi baridi kali ikipenya kwenye ngozi yake, kana kwamba usiku wenyewe ulikuwa unamtazama.

    Maria alirudi nyumbani haraka na kufunga milango yote. Lakini wakati alipokuwa amelala, ndoto ya kutisha ilimjia. Aliota kuwa amezungukwa na viumbe wa ajabu, wenye meno makali na macho mekundu kama damu. Walikuwa wanamkaribia polepole, wakinyemelea kama wanyama wawindaji. Alipoamka, alikuwa na jasho, moyo wake ukidunda kwa kasi. Hapo ndipo alipogundua alama mbili ndogo shingoni mwake, alama za meno.

    Siku zilizofuata, kijiji kizima kilijawa na wasiwasi. Watu walianza kupotea usiku, na wengine walipatikana wakiwa wamechoka sana, wakiwa na alama hizo za ajabu shingoni mwao. Ilibainika kwamba kuna vampire aliyeingia kijijini. Kiumbe huyo alikuwa na uwezo wa kubadilika kuwa kivuli na kuishi kati ya watu bila kutambulika.

    Maria alikusanya ujasiri wake na kuamua kumfuata vampire huyo. Akiongozwa na hadithi za zamani kuhusu jinsi ya kumwangamiza vampire, alichukua kitu cha fedha na msalaba mdogo. Usiku mmoja, alijificha kwenye mti mkubwa karibu na makaburi, akingoja. Upepo ulikuwa na sauti ile ya ajabu tena, na alihisi uwepo wa kitu kikiwa karibu.

    Ghafla, kivuli kirefu kilitokea, na macho mekundu yaliwaka gizani. Maria hakupoteza muda. Alimrushia vampire mshale wa fedha. Kiumbe huyo kilipiga kelele za maumivu makali, na kivuli chake kilianza kutoweka. Kijiji kilikuwa kimetulia tena, lakini Maria alijua kuwa kulikuwa na zaidi ya vampire mmoja. Vitisho vya usiku bado vilikuwa vinaishi kwenye misitu minene, wakisubiri wakati mwingine wa kuwinda.

    Kila usiku, kijiji kilipowaka mishumaa na watu kujifungia ndani, walijua kwamba walikuwa wamesalimika kwa muda, lakini kiza kilikuwa na siri nyingi ambazo bado hazikufichuliwa.
    VAMPIRE WA AJABU Hapo zamani za kale, kulikuwa na kijiji kidogo kilichozungukwa na misitu minene. Watu wa kijiji hicho waliishi kwa amani kwa miaka mingi, hadi usiku mmoja wa kiza kizito ulipofika. Usiku huo, mwezi ulikuwa umekufa, na upepo ulikuwa na sauti ya ajabu, kana kwamba ulikuwa unaimba nyimbo za kutisha. Mwanamke mmoja, Maria, alikuwa akitoka kisimani akibeba ndoo ya maji, alipohisi jicho la mtu likimfuata gizani. Alipoangalia, hakuona chochote isipokuwa kivuli kilichotoweka kwa kasi. Hata hivyo, alihisi baridi kali ikipenya kwenye ngozi yake, kana kwamba usiku wenyewe ulikuwa unamtazama. Maria alirudi nyumbani haraka na kufunga milango yote. Lakini wakati alipokuwa amelala, ndoto ya kutisha ilimjia. Aliota kuwa amezungukwa na viumbe wa ajabu, wenye meno makali na macho mekundu kama damu. Walikuwa wanamkaribia polepole, wakinyemelea kama wanyama wawindaji. Alipoamka, alikuwa na jasho, moyo wake ukidunda kwa kasi. Hapo ndipo alipogundua alama mbili ndogo shingoni mwake, alama za meno. Siku zilizofuata, kijiji kizima kilijawa na wasiwasi. Watu walianza kupotea usiku, na wengine walipatikana wakiwa wamechoka sana, wakiwa na alama hizo za ajabu shingoni mwao. Ilibainika kwamba kuna vampire aliyeingia kijijini. Kiumbe huyo alikuwa na uwezo wa kubadilika kuwa kivuli na kuishi kati ya watu bila kutambulika. Maria alikusanya ujasiri wake na kuamua kumfuata vampire huyo. Akiongozwa na hadithi za zamani kuhusu jinsi ya kumwangamiza vampire, alichukua kitu cha fedha na msalaba mdogo. Usiku mmoja, alijificha kwenye mti mkubwa karibu na makaburi, akingoja. Upepo ulikuwa na sauti ile ya ajabu tena, na alihisi uwepo wa kitu kikiwa karibu. Ghafla, kivuli kirefu kilitokea, na macho mekundu yaliwaka gizani. Maria hakupoteza muda. Alimrushia vampire mshale wa fedha. Kiumbe huyo kilipiga kelele za maumivu makali, na kivuli chake kilianza kutoweka. Kijiji kilikuwa kimetulia tena, lakini Maria alijua kuwa kulikuwa na zaidi ya vampire mmoja. Vitisho vya usiku bado vilikuwa vinaishi kwenye misitu minene, wakisubiri wakati mwingine wa kuwinda. Kila usiku, kijiji kilipowaka mishumaa na watu kujifungia ndani, walijua kwamba walikuwa wamesalimika kwa muda, lakini kiza kilikuwa na siri nyingi ambazo bado hazikufichuliwa.
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·588 Views
  • Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!!
    Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!!
    Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!!
    Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!!
    Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!!
    Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!!
    Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!!
    Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
    Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!! Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!! Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!! Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!! Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!! Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!! Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!! Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
  • ilikua m0nday ya jana..
    m0nday kwa maana..
    ikit0ka jumapili si0 ndi0 m0nday inazama..

    nik0 mishe mishe kuzi c0me d0wn mashida...
    kuzichanga mingi mingi nile raha t0wn barida...

    kat0kea binti mwenye rangi ya kudumu..
    white c0l0ur face mwenye ladha ya pafyumu...

    kanikata jich0 lenye p0zi ya kindumu..
    mwamba nikak0sa swali kama njaa ya swaumu...

    akaja akaketi.. akiwa na stress...
    akajinamia kand0 nkas0nga nimcheki..

    hell0 miss vipi miss kiny0nge kamama..
    niache please sina jinsi akajibu akinama..

    nimepita penzi kama kivuli cha mchana..
    wamepanda wengi nikawa jigari la chama..

    maumivu ya kutendwa..nikiachwa na kwenda..
    nimesagwa kila angle kama michuzi kwa brenda..

    huna mme..?akajibu mimi sina wala..
    mt0t0 yup0 anaitwa paula kajala..

    nikashtuka ku0na kama vile mzee nik0 renchi..
    kutazama nika0na kama vile k0nde lip0 gang..
    ilikua m0nday ya jana.. m0nday kwa maana.. ikit0ka jumapili si0 ndi0 m0nday inazama.. nik0 mishe mishe kuzi c0me d0wn mashida... kuzichanga mingi mingi nile raha t0wn barida... kat0kea binti mwenye rangi ya kudumu.. white c0l0ur face mwenye ladha ya pafyumu... kanikata jich0 lenye p0zi ya kindumu.. mwamba nikak0sa swali kama njaa ya swaumu... akaja akaketi.. akiwa na stress... akajinamia kand0 nkas0nga nimcheki.. hell0 miss vipi miss kiny0nge kamama.. niache please sina jinsi akajibu akinama.. nimepita penzi kama kivuli cha mchana.. wamepanda wengi nikawa jigari la chama.. maumivu ya kutendwa..nikiachwa na kwenda.. nimesagwa kila angle kama michuzi kwa brenda.. huna mme..?akajibu mimi sina wala.. mt0t0 yup0 anaitwa paula kajala.. nikashtuka ku0na kama vile mzee nik0 renchi.. kutazama nika0na kama vile k0nde lip0 gang..
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·376 Views