• "Sisi Simba tumeitwa kujadili kuhusu soka la Tanzania na maendeleo yake na Waziri, hatujaitwa hapa kujadili kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga na kama ingekuwa hivyo tungeitwa wote kwa pamoja, wao kama wamejadili kuhusu mchezo huo ni wao sasa ila sisi hatujajadili hilo kwanza hata sifahamu kama Yanga walikuwepo” - Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC.

    "Sisi Simba tumeitwa kujadili kuhusu soka la Tanzania na maendeleo yake na Waziri, hatujaitwa hapa kujadili kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga na kama ingekuwa hivyo tungeitwa wote kwa pamoja, wao kama wamejadili kuhusu mchezo huo ni wao sasa ila sisi hatujajadili hilo kwanza hata sifahamu kama Yanga walikuwepo” - Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC.
    0 Commentarii 0 Distribuiri 957 Views
  • Klabu ya Simba SC imewaombea uraia wa Tanzania wachezaji wake tisa (9) ambao sio raia wa Tanzania. Simba SC imemuandikia Kamishina Jenerali wa Uhamiaji barua leo tarehe 23 Januari 2025, barua ambayo imesainiwa na Mwenyekiti wa kkabu Murtaza Ally Mangungu.

    Maombi haya ya klabu ya Simba SC yamekuja siku moja baada ya taarifa kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii ikiihusisha Wachezaji wanne (4) wa klabu ya Singida Black Stars kupata uraia wa Tanzania hali iliyozua mijadala mikubwa mitandaoni kuanzia jana jioni mpaka leo.

    Simba imesajili Wachezaji (12) wa kigeni kama kanuni za Ligi Kuu bara inavyotaka lakini wanaomba kati ya hao (12) inawaombea tisa (9) uraia wa Tanzania.

    Klabu ya Simba SC imewaombea uraia wa Tanzania wachezaji wake tisa (9) ambao sio raia wa Tanzania. Simba SC imemuandikia Kamishina Jenerali wa Uhamiaji barua leo tarehe 23 Januari 2025, barua ambayo imesainiwa na Mwenyekiti wa kkabu Murtaza Ally Mangungu. Maombi haya ya klabu ya Simba SC yamekuja siku moja baada ya taarifa kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii ikiihusisha Wachezaji wanne (4) wa klabu ya Singida Black Stars kupata uraia wa Tanzania hali iliyozua mijadala mikubwa mitandaoni kuanzia jana jioni mpaka leo. Simba imesajili Wachezaji (12) wa kigeni kama kanuni za Ligi Kuu bara inavyotaka lakini wanaomba kati ya hao (12) inawaombea tisa (9) uraia wa Tanzania.
    Like
    Love
    2
    1 Commentarii 0 Distribuiri 570 Views
  • Mangungu
    Mangungu🤣
    Like
    1
    1 Commentarii 0 Distribuiri 259 Views
  • Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu akimkabidhi zawadi ya jezi Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai.

    #paulswai
    Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu akimkabidhi zawadi ya jezi Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Salum Njalikai. #paulswai
    Like
    Love
    Yay
    Angry
    5
    0 Commentarii 0 Distribuiri 532 Views
  • Kuna mchezaji wa Simba anaweza kumwagia Maji Mangungu au Mo au Try Again?
    Kuna mchezaji wa Simba anaweza kumwagia Maji Mangungu au Mo au Try Again?
    Like
    Love
    5
    4 Commentarii 0 Distribuiri 277 Views
  • Viongozi, benchi la ufundi na wachezaji wamepata nafasi ya kukutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi leo mchana baada ya kuwasili visiwani Zanzibar.

    Katika hafla hiyo fupi iliyofanyika Ikulu tumemkabidhi zawadi ya jezi Rais Dkt. Mwinyi pamoja na mke wake mama Mariam Mwinyi.

    Akizungumzia katika hafla hiyo fupi iliyofanyika Ikulu, Rais Dkt. Mwinyi ametupongeza kwa namna tunavyoiwakilisha vyema nchi kimataifa kwani jambo hilo linasaidia kukuza utalii kupitia michezo.

    Pia Rais Dkt. Mwinyi amesema serikali yake imejipanga kuendelea kuboresha na kujenga viwanja vya michezo ambavyo vitakuwa na vigezo vya kutumika kwenye michuano ya AFCON 2027 na CHAN 2025 hivyo kutukaribisha muda wowote kuja kuchezea hapa michezo ya mashindano ya ndani na kimataifa.

    Kwa upande wa Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu amempongeza Rais Dkt. Mwinyi kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuleta maendeleo lakini pia ametumia nafasi hiyo kuwasilisha ombi la Simba kupata eneo ambalo tutajenga kituo cha kukuzia vipaji vya mpira wa miguu (academy). #WenyeNchi #NguvuMoja
    #paulswai
    Viongozi, benchi la ufundi na wachezaji wamepata nafasi ya kukutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi leo mchana baada ya kuwasili visiwani Zanzibar. Katika hafla hiyo fupi iliyofanyika Ikulu tumemkabidhi zawadi ya jezi Rais Dkt. Mwinyi pamoja na mke wake mama Mariam Mwinyi. Akizungumzia katika hafla hiyo fupi iliyofanyika Ikulu, Rais Dkt. Mwinyi ametupongeza kwa namna tunavyoiwakilisha vyema nchi kimataifa kwani jambo hilo linasaidia kukuza utalii kupitia michezo. Pia Rais Dkt. Mwinyi amesema serikali yake imejipanga kuendelea kuboresha na kujenga viwanja vya michezo ambavyo vitakuwa na vigezo vya kutumika kwenye michuano ya AFCON 2027 na CHAN 2025 hivyo kutukaribisha muda wowote kuja kuchezea hapa michezo ya mashindano ya ndani na kimataifa. Kwa upande wa Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu amempongeza Rais Dkt. Mwinyi kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuleta maendeleo lakini pia ametumia nafasi hiyo kuwasilisha ombi la Simba kupata eneo ambalo tutajenga kituo cha kukuzia vipaji vya mpira wa miguu (academy). #WenyeNchi #NguvuMoja #paulswai
    Like
    3
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views

  • KAGOMA NI MCHEZAJI HALALI WA KLABU YA SIMBA SC - MWENYEKITI

    Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema kiungo Yusuph Kagoma ni mchezaji halali wa klabu ya Simba kwani walifauta taratibu zote kumsajili kutoka klabu ya Singida Fountain Gate.

    "Sisi tulifuata taratibu zote za kumsajili Kagoma ikiwa pamoja na kuwasiliana klabu aliyokuwa anacheza, Fountain Gate ambao walitupatia release letter"

    "Ndio maana mchezaji unaona amepata leseni ya kuitumikia Simba. Lakini kwa sababu suala lake liko mbele ya Kamati tunasubiri maamuzi," alisema Mangungu

    Taarifa iliyopatikana mapema hapo jana, imebainisha kuwa Kamati imemsimamisha Kagoma kwa muda wakati shauri lake likiendelea kusikilizwa

    Swali ni je kwanini Mwanzo aliruhusiwa kucheza..?

    #paulswai
    🚨KAGOMA NI MCHEZAJI HALALI WA KLABU YA SIMBA SC - MWENYEKITI 🔗Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema kiungo Yusuph Kagoma ni mchezaji halali wa klabu ya Simba kwani walifauta taratibu zote kumsajili kutoka klabu ya Singida Fountain Gate. 🗣️ "Sisi tulifuata taratibu zote za kumsajili Kagoma ikiwa pamoja na kuwasiliana klabu aliyokuwa anacheza, Fountain Gate ambao walitupatia release letter" 🗣️ "Ndio maana mchezaji unaona amepata leseni ya kuitumikia Simba. Lakini kwa sababu suala lake liko mbele ya Kamati tunasubiri maamuzi," alisema Mangungu Taarifa iliyopatikana mapema hapo jana, imebainisha kuwa Kamati imemsimamisha Kagoma kwa muda wakati shauri lake likiendelea kusikilizwa 🔗 Swali ni je kwanini Mwanzo aliruhusiwa kucheza..? #paulswai
    Like
    2
    2 Commentarii 0 Distribuiri 1K Views
  • Mwanasimba unakumbuka hii mechi iliishaje?? Tupe matokeo ya Ft. @soccersports
    #simbasc
    #Nguvumoja
    #mangungu
    Mwanasimba unakumbuka hii mechi iliishaje?? Tupe matokeo ya Ft. @soccersports #simbasc #Nguvumoja #mangungu
    Love
    Like
    3
    1 Commentarii 0 Distribuiri 728 Views