• https://startupper.totalenergies.com/en/juries/Bn9oMAo6uY3-qlCW3VOfeg/participations/14327/vote?order=random&amp%3Bscope=voted#

    Habari wapendwa.

    Naomba mnisaidie kunipigia kura ili project yangu hii iweze kupata nafasi ya kuchaguliwa ili nipate mtaji wa kuitekeleza kwa weledi zaidi.

    Hatua za kunipigia kura
    1. Tengeneza account yako.
    2. Chagua project hii "Carbon credit business"
    3. Bonyeza kwenye alama ya like "❤" ya rangi nyeusi
    4. Hadi hapo utakuwa umenisaidia kunipigia kura.

    Asante na Mungu akubariki.
    STARTUPPER.TOTALENERGIES.COM
    Startupper of the Year Challenge by TotalEnergies
    The Startupper Challenge of the year by TotalEnergies is back in 32 African countries for a special edition celebrating the 100th anniversary of the Company!
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 740 Просмотры
  • Jeshi la Mnyama katika siku ya pili.
    #WenyeNchi #NguvuMoja
    Jeshi la Mnyama katika siku ya pili. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    2
    1 Комментарии 0 Поделились 163 Просмотры
  • Mipango marafiki wanapokutana. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Mipango marafiki wanapokutana. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    2
    1 Комментарии 0 Поделились 181 Просмотры
  • Love
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 201 Просмотры
  • Goli la dakika ya 90 likiwekwa wavuni na Ollie Watkins limeiwezesha England kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Uholanzi, ambao unaifanya timu hiyo kuingia Fainali ya Michuano ya UEFA Euro 2024

    Uholanzi ilikuwa ya kwanza kufunga kupitia kwa Xavi Simons dakika ya 7, England ikasawazisha mfungaji akiwa Harry Kane dakika ya 18 kwa njia ya penati, hivyo Fainali itapigwa Julai 14, 2024 itakuwa ni dhidi ya Hispania Jijini Berlin Nchini Ujerumani

    Uhispania inawania kubeba taji hilo kwa mara ya nne wakati England inawania kwa mara ya kwanza
    #cktvtanzania
    Goli la dakika ya 90 likiwekwa wavuni na Ollie Watkins limeiwezesha England kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Uholanzi, ambao unaifanya timu hiyo kuingia Fainali ya Michuano ya UEFA Euro 2024 Uholanzi ilikuwa ya kwanza kufunga kupitia kwa Xavi Simons dakika ya 7, England ikasawazisha mfungaji akiwa Harry Kane dakika ya 18 kwa njia ya penati, hivyo Fainali itapigwa Julai 14, 2024 itakuwa ni dhidi ya Hispania Jijini Berlin Nchini Ujerumani Uhispania inawania kubeba taji hilo kwa mara ya nne wakati England inawania kwa mara ya kwanza #cktvtanzania
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 663 Просмотры
  • Good morning
    Good morning🌞🌞🌞
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 119 Просмотры
  • Who will win EURO 2024?
    Who will win EURO 2024?
    1
    0
    Like
    2
    0 Комментарии 0 Поделились 120 Просмотры
  • Kwa upande wa CAFCC ( kombe la Shirikisho) timu 12 hazitaanzia hatua ya awali ya Kombe hilo :-

    Simba
    RS Berkane
    Zamalek
    🇨🇮 Asec Mimosas
    Enyimba
    Stade Malien
    USM Alger
    El Masry
    CS Sfaxien
    AS Vita
    Sekhukhune utd
    FC Lupopo
    Kwa upande wa CAFCC ( kombe la Shirikisho) timu 12 hazitaanzia hatua ya awali ya Kombe hilo :- 🇹🇿 Simba 🇲🇦 RS Berkane 🇪🇬 Zamalek 🇨🇮 Asec Mimosas 🇳🇬 Enyimba 🇲🇱 Stade Malien 🇩🇿 USM Alger 🇪🇬 El Masry 🇹🇳 CS Sfaxien 🇨🇩 AS Vita 🇿🇦 Sekhukhune utd 🇨🇩FC Lupopo
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 823 Просмотры
  • Leo Julai 11, Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) litaendesha Droo ya hatua za awali za msimu wa 2024/25 katika makao yake makuu huko Cairo, Misri.

    Ni timu 5 tu ambazo hazitakuwepo kwenye hatua ya awali kwenye Ligi ya mabingwa (CAFCL) ambazo ni:
    Al Ahly
    ES Tunis
    Mamelodi Sundowns
    Petro de Luanda
    TP Mazembe
    Timu zingine zitaanzia hatua ya awali

    Kwa Upande Wa Kombe la Shirikisho (CAFCC) timu 12 hazitaanzia hatua ya awali ambazo ni :

    Simba Sc
    RS Berkane
    Zamalek
    Asec Mimosas
    Enyimba
    Stade Malien
    USM Alger
    El Masry
    CS Sfaxien
    AS Vita
    Sekhukhune Utd
    FC Lupopo

    *Weka Emoji Ya Timu Ambayo Unaipa Sapoti Yako Kwenye Michuano Hii Ya Kimataifa*
    Leo Julai 11, Shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) litaendesha Droo ya hatua za awali za msimu wa 2024/25 katika makao yake makuu huko Cairo, Misri. Ni timu 5 tu ambazo hazitakuwepo kwenye hatua ya awali kwenye Ligi ya mabingwa (CAFCL) ambazo ni: ⭐Al Ahly ⭐ES Tunis ⭐Mamelodi Sundowns ⭐Petro de Luanda ⭐TP Mazembe ➡️Timu zingine zitaanzia hatua ya awali 💥Kwa Upande Wa Kombe la Shirikisho (CAFCC) timu 12 hazitaanzia hatua ya awali ambazo ni : ⭐Simba Sc ⭐RS Berkane ⭐Zamalek ⭐Asec Mimosas ⭐Enyimba ⭐Stade Malien ⭐USM Alger ⭐El Masry ⭐CS Sfaxien ⭐AS Vita ⭐Sekhukhune Utd ⭐FC Lupopo *Weka Emoji Ya Timu Ambayo Unaipa Sapoti Yako Kwenye Michuano Hii Ya Kimataifa* ⤵️
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 1Кб Просмотры
  • *KIKOSI CHA MSIMU UJAO WA 2024/2025 KINAWEZA KUWA HIVI*

    WASHAMBULIAJI

    𝗝𝗲𝗮𝗻 𝗼𝘁𝗵𝗼𝘀 𝗕𝗔𝗟𝗘𝗞𝗘
    𝗣𝗿𝗶𝗻𝗰𝗲 𝗗𝗨𝗕𝗘
    𝗖𝗹𝗲𝗺𝗲𝗻𝘁 𝗠𝗭𝗜𝗭𝗘
    𝗞𝗲𝗻𝗻𝗲𝗱𝘆 𝗠𝗨𝗦𝗢𝗡𝗗𝗔

    MABEKI

    𝗕𝗮𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗼𝗻𝗱𝗼 𝗠𝗪𝗔𝗠𝗡𝗬𝗘𝗧𝗢
    𝗗𝗶𝗰𝗸𝘀𝗼𝗻 𝗝𝗢𝗕 "𝗧𝗛𝗘 𝗦𝗛𝗔𝗥𝗞
    𝗜𝗯𝗿𝗮𝗵𝗶𝗺 𝗕𝗔𝗖𝗖𝗔
    𝗬𝗮𝗼 𝗢𝗧𝗧𝗢𝗛𝗢𝗨𝗟𝗔
    𝗖𝗵𝗮𝗱𝗿𝗮𝗰𝗸 𝗜𝘀𝘀𝗮𝗸𝗮 𝗕𝗢𝗞𝗔
    𝗡𝗶𝗰𝗸𝘀𝗼𝗻 𝗖𝗹𝗲𝗺𝗲𝗻𝘁 𝗞𝗜𝗕𝗔𝗕𝗔𝗚𝗘
    𝗞𝗶𝗯𝘄𝗮𝗻𝗮 𝗦𝗛𝗢𝗠𝗔𝗥𝗜

    VIUNGO WAKABAJI

    𝗸𝗵𝗮𝗹𝗶𝗱 𝗔𝗨𝗖𝗛𝗢
    𝗝𝗼𝗻𝗮𝘀 𝗠𝗞𝗨𝗗𝗘
    𝗔𝘇𝗶𝘇𝗶 𝗔𝗕𝗗𝗔𝗠𝗕𝗪𝗜𝗟𝗘
    Onoya Sangana Charve

    VIUNGO WASHAMBULIAJI

    𝗠𝘂𝗱𝗮𝘁𝗵𝗶𝗿 𝗬𝗮𝗵𝘆𝗮 𝗔𝗕𝗕𝗔𝗦
    𝗣𝗮𝗰ö𝗺𝗲 𝗭𝗢𝗨𝗭𝗢𝗨𝗭𝗔
    𝗖𝗹𝗮𝘁𝗼𝘂𝘀 𝗰𝗵𝗼𝘁𝘁𝗮 𝗖𝗛𝗔𝗠𝗔
    𝗦𝘁𝗲𝗽𝗵𝗶𝗻𝗲 𝗔𝘇𝗶𝘇𝗶 𝗞𝗜
    𝗠𝗮𝘅 𝗭𝗘𝗡𝗚𝗘𝗟𝗜
    𝗦𝗵𝗲𝗸𝗵𝗮𝗻 𝗛𝗔𝗠𝗜𝗦𝗜
    𝗗𝗲𝗻𝗶𝘀 𝗡𝗞𝗔𝗡𝗘
    𝗔𝗯𝘂𝗯𝗮𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗦𝗮𝗹𝘂𝗺𝘂 "𝗦𝗨𝗥𝗘 𝗕𝗢𝗬"

    MAKIPA

    𝗗𝗷𝗶𝗴𝘂𝗶 𝗗𝗜𝗔𝗥𝗥𝗔
    𝗞𝗵𝗼𝗺𝗲𝗶𝗻𝗶 𝗔𝗕𝗨𝗕𝗔𝗞𝗔𝗥𝗜
    𝗔𝗯𝗼𝘂𝘁𝘄𝗮𝗹𝗲𝗲𝗯 𝗠𝗦𝗛𝗘𝗥𝗬

    *KOCHA MIGUEL ANGEL GAMONDI*
    *KIKOSI CHA MSIMU UJAO WA 2024/2025 KINAWEZA KUWA HIVI* WASHAMBULIAJI 🔰𝗝𝗲𝗮𝗻 𝗼𝘁𝗵𝗼𝘀 𝗕𝗔𝗟𝗘𝗞𝗘 🔰𝗣𝗿𝗶𝗻𝗰𝗲 𝗗𝗨𝗕𝗘 🔰𝗖𝗹𝗲𝗺𝗲𝗻𝘁 𝗠𝗭𝗜𝗭𝗘 🔰𝗞𝗲𝗻𝗻𝗲𝗱𝘆 𝗠𝗨𝗦𝗢𝗡𝗗𝗔 MABEKI 🔰𝗕𝗮𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗼𝗻𝗱𝗼 𝗠𝗪𝗔𝗠𝗡𝗬𝗘𝗧𝗢 🔰𝗗𝗶𝗰𝗸𝘀𝗼𝗻 𝗝𝗢𝗕 "𝗧𝗛𝗘 𝗦𝗛𝗔𝗥𝗞 🦈 🔰𝗜𝗯𝗿𝗮𝗵𝗶𝗺 𝗕𝗔𝗖𝗖𝗔 🔰𝗬𝗮𝗼 𝗢𝗧𝗧𝗢𝗛𝗢𝗨𝗟𝗔 🔰𝗖𝗵𝗮𝗱𝗿𝗮𝗰𝗸 𝗜𝘀𝘀𝗮𝗸𝗮 𝗕𝗢𝗞𝗔 🔰𝗡𝗶𝗰𝗸𝘀𝗼𝗻 𝗖𝗹𝗲𝗺𝗲𝗻𝘁 𝗞𝗜𝗕𝗔𝗕𝗔𝗚𝗘 🔰𝗞𝗶𝗯𝘄𝗮𝗻𝗮 𝗦𝗛𝗢𝗠𝗔𝗥𝗜 VIUNGO WAKABAJI 🔰𝗸𝗵𝗮𝗹𝗶𝗱 𝗔𝗨𝗖𝗛𝗢 🔰𝗝𝗼𝗻𝗮𝘀 𝗠𝗞𝗨𝗗𝗘 🔰𝗔𝘇𝗶𝘇𝗶 𝗔𝗕𝗗𝗔𝗠𝗕𝗪𝗜𝗟𝗘 🔰Onoya Sangana Charve VIUNGO WASHAMBULIAJI 🔰𝗠𝘂𝗱𝗮𝘁𝗵𝗶𝗿 𝗬𝗮𝗵𝘆𝗮 𝗔𝗕𝗕𝗔𝗦 🔰 𝗣𝗮𝗰ö𝗺𝗲 𝗭𝗢𝗨𝗭𝗢𝗨𝗭𝗔 🔰𝗖𝗹𝗮𝘁𝗼𝘂𝘀 𝗰𝗵𝗼𝘁𝘁𝗮 𝗖𝗛𝗔𝗠𝗔 🔰𝗦𝘁𝗲𝗽𝗵𝗶𝗻𝗲 𝗔𝘇𝗶𝘇𝗶 𝗞𝗜 🔰𝗠𝗮𝘅 𝗭𝗘𝗡𝗚𝗘𝗟𝗜 🔰𝗦𝗵𝗲𝗸𝗵𝗮𝗻 𝗛𝗔𝗠𝗜𝗦𝗜 🔰𝗗𝗲𝗻𝗶𝘀 𝗡𝗞𝗔𝗡𝗘 🔰𝗔𝗯𝘂𝗯𝗮𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗦𝗮𝗹𝘂𝗺𝘂 "𝗦𝗨𝗥𝗘 𝗕𝗢𝗬" MAKIPA 🔰𝗗𝗷𝗶𝗴𝘂𝗶 𝗗𝗜𝗔𝗥𝗥𝗔 🔰𝗞𝗵𝗼𝗺𝗲𝗶𝗻𝗶 𝗔𝗕𝗨𝗕𝗔𝗞𝗔𝗥𝗜 🔰𝗔𝗯𝗼𝘂𝘁𝘄𝗮𝗹𝗲𝗲𝗯 𝗠𝗦𝗛𝗘𝗥𝗬 *KOCHA MIGUEL ANGEL GAMONDI*🏆
    0 Комментарии 0 Поделились 337 Просмотры