• .... 𝗧𝗢𝗙𝗔𝗨𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗕𝗔𝗟𝗘𝗞𝗘, 𝗚𝗨𝗘𝗗𝗘

    Jean Baleke (23) na Joseph Guede (29) 🇨🇮 ni aina tofauti kabisa ya washambuliaji. Hawafanani kiuchezaji uwanjani.

    ◉ Jean Baleke ana kasi, yuko sharp.
    ◉ Joseph Guede hana kasi.

    ◉ Baleke ni presser mzuri | Anaweza kufanya pressing kwa muda mrefu.

    ◉ Joseph Guede sio presser mzuri.

    ◉ Joseph Guede ni mtulivu zaidi.
    ◉ Utulivu wa Baleke haujafikia wa Guede.

    ◉ Katika uwiiano wa kufunga magoli ukilinganisha na idadi ya mechi, Jean Baleke yuko juu ya Joseph Guede.

    Gamondi anataka timu yake icheze kwa kasi wanapovuka mstari wa katikati, aina ya striker kama Guede utamlaumu kwa sababu hana kasi hiyo wakati wa counter attack.

    Mfumo wa Gamondi ndio umemtoa Guede kwenye kikosi cha Yanga SC.

    Washambuliaji aina ya Guede wasio na kasi kubwa huenjoy zaidi kucheza ndani ya box kusubiri huduma kutoka kwa viungo washambuliaji hasa Mawinga.. Gamondi hachezi hivyo anataka mshambuliaji pia ahusike kwenye build-up.

    Aina ya mawinga anaowataka ni kama DUKE ABUYA Modern Inverted wingers ambao hawakumbatii sana chaki pembeni, wana cut in.. Sio kama Okrah au Kisinda ambao muda mwingi wanacheza na chaki.. Wapo makocha wenye falsafa tofauti na Gamondi hutaka aina hiyo ya mawinga.

    Kwa mantiki hiyo bila shaka yoyote DUKE ABUYA atakuwa ni pendejezo la Gamondi.

    Jean Baleke ni striker ambaye anafit kwenye mfumo wa Gamondi kwa sababu ana kasi na anaweza kuwa sehemu ya ujenzi wa mashambulizi bila kuathiri uwepo wake katika goli la mpinzani kwa kuwa anakasi.

    Rejea kwa strikers wakigeni waliosajiliwa na Yanga baada ya Mayele kuondoka.

    ◉ Hafiz Konkoni.
    ◉ Joseph Guede.

    Wote ni washambuliaji wazuri, wame struggle kuingia kwenye mfumo wa Gamondi kwa sababu hawana kasi.


    Wasipoleta timu tutawafuata hata kwenye viwanja vyao vya mazoezi.
    .... ⚙️ 𝗧𝗢𝗙𝗔𝗨𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗕𝗔𝗟𝗘𝗞𝗘, 𝗚𝗨𝗘𝗗𝗘 Jean Baleke (23) 🇨🇩 na Joseph Guede (29) 🇨🇮 ni aina tofauti kabisa ya washambuliaji. Hawafanani kiuchezaji uwanjani. ◉ Jean Baleke ana kasi, yuko sharp. ◉ Joseph Guede hana kasi. ◉ Baleke ni presser mzuri | Anaweza kufanya pressing kwa muda mrefu. ◉ Joseph Guede sio presser mzuri. ◉ Joseph Guede ni mtulivu zaidi. ◉ Utulivu wa Baleke haujafikia wa Guede. ◉ Katika uwiiano wa kufunga magoli ukilinganisha na idadi ya mechi, Jean Baleke yuko juu ya Joseph Guede. ℹ️ Gamondi anataka timu yake icheze kwa kasi wanapovuka mstari wa katikati, aina ya striker kama Guede utamlaumu kwa sababu hana kasi hiyo wakati wa counter attack. Mfumo wa Gamondi ndio umemtoa Guede kwenye kikosi cha Yanga SC. Washambuliaji aina ya Guede wasio na kasi kubwa huenjoy zaidi kucheza ndani ya box kusubiri huduma kutoka kwa viungo washambuliaji hasa Mawinga.. Gamondi hachezi hivyo anataka mshambuliaji pia ahusike kwenye build-up. Aina ya mawinga anaowataka ni kama DUKE ABUYA Modern Inverted wingers ambao hawakumbatii sana chaki pembeni, wana cut in.. Sio kama Okrah au Kisinda ambao muda mwingi wanacheza na chaki.. Wapo makocha wenye falsafa tofauti na Gamondi hutaka aina hiyo ya mawinga. Kwa mantiki hiyo bila shaka yoyote DUKE ABUYA atakuwa ni pendejezo la Gamondi. Jean Baleke ni striker ambaye anafit kwenye mfumo wa Gamondi kwa sababu ana kasi na anaweza kuwa sehemu ya ujenzi wa mashambulizi bila kuathiri uwepo wake katika goli la mpinzani kwa kuwa anakasi. ℹ️ Rejea kwa strikers wakigeni waliosajiliwa na Yanga baada ya Mayele kuondoka. ◉ Hafiz Konkoni. ◉ Joseph Guede. Wote ni washambuliaji wazuri, wame struggle kuingia kwenye mfumo wa Gamondi kwa sababu hawana kasi. Wasipoleta timu tutawafuata hata kwenye viwanja vyao vya mazoezi.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 157 Views 13
  • Hii sasa ndo ile UBAYA UBWELA kama ulikuwa huijui
    Hii sasa ndo ile UBAYA UBWELA kama ulikuwa huijui 😂😂😂
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 148 Views 12
  • #paulswai
    🤣🤣🙌 #paulswai
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 145 Views 16
  • 0 Comments 0 Shares 138 Views
  • 0 Comments 0 Shares 117 Views
  • 𝗬𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗶𝗻𝗮𝘀𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝗸𝗶𝗺𝗮𝗵𝗲𝘀𝗮𝗯𝘂 𝘀𝗮𝗻𝗮 ..Kuna wakati nilikuwa najiuliza, hivi vilabu vyetu vikubwa hawamuoni Duke Abuya? Anajituma sana ,anaufundi mkubwa, anacheza nafasi zote za mbele,zote za kati na ulinzi wa pembeni pande zote mbili, na kote huko anakupa katika ubora wa hali ya juu... Ukiutazama usajili wa Yanga unakwenda kujibu changamoto za msimu uliopita:"

    "1- 𝗞𝘂𝘀𝘂𝗺𝗯𝘂𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝘁𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗽𝗮𝗸𝗶 𝗯𝗮𝘀𝗶 ..Timu kama Kagera Sugar,JKT Tanzania na Tanzania Prisons ziliwapa Yanga wakati mgumu kuzifungua. Wachezaji kama Clatous Chama na Duke Abuya wanauwezo mkubwa wa kuifungua beki iliyo compact kama tu alivyo Paccome. Mechi za hivi wakati mwingine unahitaji watu wenye uwezo wa kupiga kutokea mbali,Prince Dube anahuo uwezo akiungana na Ki Aziz."

    "2 - 𝗠𝗲𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗸𝘂𝗴𝗼𝗻𝗴𝗮𝗻𝗮 𝗮𝘂 𝗺𝘁𝘂 𝗺𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗸𝗮𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲 𝗽𝗲𝗸𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗲 .. Jean Baleke anauwezo mkubwa wa kusimama kama mshambuliaji pekee. Kuna wakati Kocha Gamondi anataka timu icheze 4-2-3-1, kwa usajili huu punda mbeba mzigo yupo."

    "3 - 𝗠𝗲𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗺𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗮𝗸𝗮𝗯𝗲 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗸𝗶𝗺𝗯𝗶𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮.. Hizi ndio zile show za akina Kennedy Musonda, Mudathir Yahya na Maxi Nzengeli. Mfano mzuri ni mechi dhidi ya Mamelodi Sundown na Al Ahly. Chadrack Boka, Duke Abuya na Jean Baleke wanafaa sana kwenye mechi za aina hii"

    "4 - 𝗦𝗶𝗸𝘂 𝘁𝗶𝗺𝘂 𝗶𝗻𝗮𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮𝘀𝗵𝗮𝗺𝗯𝘂𝗹𝗶𝗮𝗷𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮 𝘄𝗮𝘄𝗶𝗹𝗶 .. Kuna wakati Gamondi anapenda kutumia mfumo wa 3-5-2, hizi ndio zile siku za Clement Mzize na Joseph Guede walikuwa wanaanza pamoja,kombinesheni ilikuwa haijakolea sana. Prince Dube na Jean Baleke wanaweza kuifanya kazi hii vizuri sana kwa sababu Dube anauwezo wa kuibia pembeni kidogo huku Baleke akisaidia kuimarisha muundo na uti wa mgongo wa timu kwa kutulia kati."

    "5 - 𝗞𝗶𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝘀𝗼𝗸𝗼 𝗹𝗶𝗻𝗮𝗳𝘂𝗻𝗴𝘂𝗸𝗮 .. Asilimia 90% ya rafiki zangu wenye uraia wa Kenya ni mashabiki wa Yanga na niwanunuaji wazuri sana wa jezi. Kutua kwa Abuya Yanga kutaongeza ufuatiliwaji wa Yanga nchini Kenya na kufungua zaidi mlango wa biashara kama ilivyo Congo na South Africa. Hii inaitwa Sir Alex Ferguson Approach."

    "Lakini wakumbusheni wageni wote wanaokwenda Yanga kuwa namba zote zinawenyewe, wanatakiwa wakapambanie. Adios......." Mwl. Sama Ndambile, Mchambuzi.
    𝗬𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗶𝗻𝗮𝘀𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝗸𝗶𝗺𝗮𝗵𝗲𝘀𝗮𝗯𝘂 𝘀𝗮𝗻𝗮 ..Kuna wakati nilikuwa najiuliza, hivi vilabu vyetu vikubwa hawamuoni Duke Abuya? Anajituma sana ,anaufundi mkubwa, anacheza nafasi zote za mbele,zote za kati na ulinzi wa pembeni pande zote mbili, na kote huko anakupa katika ubora wa hali ya juu... Ukiutazama usajili wa Yanga unakwenda kujibu changamoto za msimu uliopita:" "1- 𝗞𝘂𝘀𝘂𝗺𝗯𝘂𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝘁𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗽𝗮𝗸𝗶 𝗯𝗮𝘀𝗶 ..Timu kama Kagera Sugar,JKT Tanzania na Tanzania Prisons ziliwapa Yanga wakati mgumu kuzifungua. Wachezaji kama Clatous Chama na Duke Abuya wanauwezo mkubwa wa kuifungua beki iliyo compact kama tu alivyo Paccome. Mechi za hivi wakati mwingine unahitaji watu wenye uwezo wa kupiga kutokea mbali,Prince Dube anahuo uwezo akiungana na Ki Aziz." "2 - 𝗠𝗲𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗸𝘂𝗴𝗼𝗻𝗴𝗮𝗻𝗮 𝗮𝘂 𝗺𝘁𝘂 𝗺𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗸𝗮𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲 𝗽𝗲𝗸𝗲 𝘆𝗮𝗸𝗲 .. Jean Baleke anauwezo mkubwa wa kusimama kama mshambuliaji pekee. Kuna wakati Kocha Gamondi anataka timu icheze 4-2-3-1, kwa usajili huu punda mbeba mzigo yupo." "3 - 𝗠𝗲𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘇𝗼𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗺𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗮𝗸𝗮𝗯𝗲 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗸𝗶𝗺𝗯𝗶𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮.. Hizi ndio zile show za akina Kennedy Musonda, Mudathir Yahya na Maxi Nzengeli. Mfano mzuri ni mechi dhidi ya Mamelodi Sundown na Al Ahly. Chadrack Boka, Duke Abuya na Jean Baleke wanafaa sana kwenye mechi za aina hii" "4 - 𝗦𝗶𝗸𝘂 𝘁𝗶𝗺𝘂 𝗶𝗻𝗮𝗵𝗶𝘁𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮𝘀𝗵𝗮𝗺𝗯𝘂𝗹𝗶𝗮𝗷𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮 𝘄𝗮𝘄𝗶𝗹𝗶 .. Kuna wakati Gamondi anapenda kutumia mfumo wa 3-5-2, hizi ndio zile siku za Clement Mzize na Joseph Guede walikuwa wanaanza pamoja,kombinesheni ilikuwa haijakolea sana. Prince Dube na Jean Baleke wanaweza kuifanya kazi hii vizuri sana kwa sababu Dube anauwezo wa kuibia pembeni kidogo huku Baleke akisaidia kuimarisha muundo na uti wa mgongo wa timu kwa kutulia kati." "5 - 𝗞𝗶𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝘀𝗼𝗸𝗼 𝗹𝗶𝗻𝗮𝗳𝘂𝗻𝗴𝘂𝗸𝗮 .. Asilimia 90% ya rafiki zangu wenye uraia wa Kenya ni mashabiki wa Yanga na niwanunuaji wazuri sana wa jezi. Kutua kwa Abuya Yanga kutaongeza ufuatiliwaji wa Yanga nchini Kenya na kufungua zaidi mlango wa biashara kama ilivyo Congo na South Africa. Hii inaitwa Sir Alex Ferguson Approach." "Lakini wakumbusheni wageni wote wanaokwenda Yanga kuwa namba zote zinawenyewe, wanatakiwa wakapambanie. Adios......." Mwl. Sama Ndambile, Mchambuzi.
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • “Simba inachoweza kuizidi Singida ni jina. Simba inajulikana kimataifa, Singida (Balck Stars) ndio kwanza inakuja. Siwezi kusema Simba ni timu kubwa sana kuizidi Singida hamna, wachezaji ni walewe wote wanamiguu miwili.” Kennedy Juma, Mchezaji wa klabu ya Singida Black Stars.
    “Simba inachoweza kuizidi Singida ni jina. Simba inajulikana kimataifa, Singida (Balck Stars) ndio kwanza inakuja. Siwezi kusema Simba ni timu kubwa sana kuizidi Singida hamna, wachezaji ni walewe wote wanamiguu miwili.” Kennedy Juma, Mchezaji wa klabu ya Singida Black Stars.
    0 Comments 0 Shares 148 Views
  • “Mkataba wangu na Yanga unamalizika lakini moja ya makubaliano makubwa na Rais (@caamil_88 ) kuwa ili nisaini anihakikishie Yanga tutakuwa na TV yetu na Redio yetu… Mtu aamke atazame hiyo kama anavyotazama Manchester United TV au zingine!”

    “Pale ofisi za Yanga SC jengo jipya tayari kuna sehemu ya Studio… Tupo vizuri” Ally Kamwe, Afisa wa habari wa klabu ya Yanga SC.
    “Mkataba wangu na Yanga unamalizika lakini moja ya makubaliano makubwa na Rais (@caamil_88 ) kuwa ili nisaini anihakikishie Yanga tutakuwa na TV yetu na Redio yetu… Mtu aamke atazame hiyo kama anavyotazama Manchester United TV au zingine!” “Pale ofisi za Yanga SC jengo jipya tayari kuna sehemu ya Studio… Tupo vizuri” Ally Kamwe, Afisa wa habari wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    3
    1 Comments 0 Shares 271 Views
  • “Haitakuwa rahisi kufikia Malengo Tuliyojiwekea, ni lazima tuimarike na kuwa bora zaidi ya tulivyokuwa msimu uliopita. Nafahamu kila timu inajandaa kwa ajili ya kukabiliana na Yanga. Hivyo, pamoja na usajili mzuri tuliofanya, tunapaswa kuongeza ubora wetu uwanjani,

    “Kama klabu, msimu huu tunataka kuweka alama katika soka la Afrika, tunataka kuona Yanga inakuwa mongoni mwa timu tano bora barani Afrika,

    “Mimi niko hapa kwa sababu moja tu, kuhakikisha tunafikia malengo hayo.” - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
    “Haitakuwa rahisi kufikia Malengo Tuliyojiwekea, ni lazima tuimarike na kuwa bora zaidi ya tulivyokuwa msimu uliopita. Nafahamu kila timu inajandaa kwa ajili ya kukabiliana na Yanga. Hivyo, pamoja na usajili mzuri tuliofanya, tunapaswa kuongeza ubora wetu uwanjani, “Kama klabu, msimu huu tunataka kuweka alama katika soka la Afrika, tunataka kuona Yanga inakuwa mongoni mwa timu tano bora barani Afrika, “Mimi niko hapa kwa sababu moja tu, kuhakikisha tunafikia malengo hayo.” - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 160 Views