• Like
    Love
    3
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·427 Views ·12
  • Like
    Love
    4
    · 2 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·676 Views
  • Mmeamkaje wana familia? Je mko tayari
    Rk ametujuza tarehe 5 anaachia mziko kuwa hewani
    Mshabiki wa bongo movie kali
    Mmeamkaje wana familia? Je mko tayari Rk ametujuza tarehe 5 anaachia mziko kuwa hewani Mshabiki wa bongo movie kali🥳
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·966 Views
  • Most DOWNLOADED premium Apps This December From DUDUU_MENDEZ COMMUNITY WEBSITE

    - DARK TOOLS (instagram story downloader, reels downloader,Profile downloader, Fonts generator, ai chat,Netflix, n.k)
    - CAPCUT PRO ( unlocked premium)
    - AZAM TV (free, no subscription)
    - DSTV & GO TV( no subscription)
    - NETFLIX PREM
    - PRIME BETTING (unlocked premium betting tips)
    - INSTA BOOSTER ( TOP FOLLOW likes,comments and followers)
    - ADVANCED CHATGPT (unlocked premium mode)
    - ADOBE PRO (no subscription)
    - TIKTOK BOOSTERS (likes,comments,followers)

    Website
    https://mendez-website.vercel.app/



    Thanks For Your Support

    #Duduumendez
    #Duduu_mendez
    #Duduu_mendez_backup

    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1
    ▶︎ ●────────── 0:41
    Most DOWNLOADED premium Apps This December From DUDUU_MENDEZ COMMUNITY WEBSITE - DARK TOOLS (instagram story downloader, reels downloader,Profile downloader, Fonts generator, ai chat,Netflix, n.k) - CAPCUT PRO ( unlocked premium) - AZAM TV (free, no subscription) - DSTV & GO TV( no subscription) - NETFLIX PREM - PRIME BETTING (unlocked premium betting tips) - INSTA BOOSTER ( TOP FOLLOW likes,comments and followers) - ADVANCED CHATGPT (unlocked premium mode) - ADOBE PRO (no subscription) - TIKTOK BOOSTERS (likes,comments,followers) Website https://mendez-website.vercel.app/ Thanks For Your Support #Duduumendez #Duduu_mendez #Duduu_mendez_backup > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4.1 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    Yay
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
  • Wakongo lazima wapewe magoli hata kama hawapandi basi
    Wakongo lazima wapewe magoli hata kama hawapandi basi
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·272 Views
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Tunayo mechi muhimu sana mbele yetu, na tunajua tunahitaji alama tatu ili bado tuwe na nafasi ya kufuzu kwa raundi inayofuata. Tunaelewa hilo.

    Nilipofika wiki nne zilizopita, niliona kwamba timu haikuwa fiti kabisa, na hiyo ndiyo ukweli. Sasa katika hizi wiki nne lazima niwape sifa nyingi wachezaji wangu jinsi walivyofanya kazi, jinsi walivyovumilia kila siku kufikia kiwango ambacho ningependa kuwaona.

    Na tuna furaha kubwa kucheza mechi ya kesho tukiwa kwenye hali nzuri dhidi ya TP Mazembe" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Tunayo mechi muhimu sana mbele yetu, na tunajua tunahitaji alama tatu ili bado tuwe na nafasi ya kufuzu kwa raundi inayofuata. Tunaelewa hilo. Nilipofika wiki nne zilizopita, niliona kwamba timu haikuwa fiti kabisa, na hiyo ndiyo ukweli. Sasa katika hizi wiki nne lazima niwape sifa nyingi wachezaji wangu jinsi walivyofanya kazi, jinsi walivyovumilia kila siku kufikia kiwango ambacho ningependa kuwaona. Na tuna furaha kubwa kucheza mechi ya kesho tukiwa kwenye hali nzuri dhidi ya TP Mazembe" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • "Pengine watacheza kwa mtindo ule ule waliocheza kwenye mchezo wa kwanza dhidi yetu. Kwa mipira ya juu, kushinda mipira ya pili, na kurusha krosi nyingi kwenye eneo letu. Tutakutana na mechi ngumu lakini tumejiandaa vizuri kwa sababu tuna wachezaji binafsi wenye uwezo mkubwa na tumeanza kuwa timu. Hili linanifanya nijivunie sana kama Kocha" Sead Ramovic

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    "Pengine watacheza kwa mtindo ule ule waliocheza kwenye mchezo wa kwanza dhidi yetu. Kwa mipira ya juu, kushinda mipira ya pili, na kurusha krosi nyingi kwenye eneo letu. Tutakutana na mechi ngumu lakini tumejiandaa vizuri kwa sababu tuna wachezaji binafsi wenye uwezo mkubwa na tumeanza kuwa timu. Hili linanifanya nijivunie sana kama Kocha" Sead Ramovic #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema.

    Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic akijibu swali la mwandishi wa habari.

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema. Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic akijibu swali la mwandishi wa habari. #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • Haha
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·402 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·124 Views