Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • John Fwaya @johnfwaya
    2025-01-03 13:31:24 ·
    Wakongo lazima wapewe magoli hata kama hawapandi basi
    Wakongo lazima wapewe magoli hata kama hawapandi basi
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·223 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2025-01-03 15:05:31 ·
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Tunayo mechi muhimu sana mbele yetu, na tunajua tunahitaji alama tatu ili bado tuwe na nafasi ya kufuzu kwa raundi inayofuata. Tunaelewa hilo.

    Nilipofika wiki nne zilizopita, niliona kwamba timu haikuwa fiti kabisa, na hiyo ndiyo ukweli. Sasa katika hizi wiki nne lazima niwape sifa nyingi wachezaji wangu jinsi walivyofanya kazi, jinsi walivyovumilia kila siku kufikia kiwango ambacho ningependa kuwaona.

    Na tuna furaha kubwa kucheza mechi ya kesho tukiwa kwenye hali nzuri dhidi ya TP Mazembe" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Tunayo mechi muhimu sana mbele yetu, na tunajua tunahitaji alama tatu ili bado tuwe na nafasi ya kufuzu kwa raundi inayofuata. Tunaelewa hilo. Nilipofika wiki nne zilizopita, niliona kwamba timu haikuwa fiti kabisa, na hiyo ndiyo ukweli. Sasa katika hizi wiki nne lazima niwape sifa nyingi wachezaji wangu jinsi walivyofanya kazi, jinsi walivyovumilia kila siku kufikia kiwango ambacho ningependa kuwaona. Na tuna furaha kubwa kucheza mechi ya kesho tukiwa kwenye hali nzuri dhidi ya TP Mazembe" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020
    2025-01-03 15:06:15 ·
    "Pengine watacheza kwa mtindo ule ule waliocheza kwenye mchezo wa kwanza dhidi yetu. Kwa mipira ya juu, kushinda mipira ya pili, na kurusha krosi nyingi kwenye eneo letu. Tutakutana na mechi ngumu lakini tumejiandaa vizuri kwa sababu tuna wachezaji binafsi wenye uwezo mkubwa na tumeanza kuwa timu. Hili linanifanya nijivunie sana kama Kocha" Sead Ramovic

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    "Pengine watacheza kwa mtindo ule ule waliocheza kwenye mchezo wa kwanza dhidi yetu. Kwa mipira ya juu, kushinda mipira ya pili, na kurusha krosi nyingi kwenye eneo letu. Tutakutana na mechi ngumu lakini tumejiandaa vizuri kwa sababu tuna wachezaji binafsi wenye uwezo mkubwa na tumeanza kuwa timu. Hili linanifanya nijivunie sana kama Kocha" Sead Ramovic #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020
    2025-01-03 15:07:06 ·
    "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema.

    Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic akijibu swali la mwandishi wa habari.

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    "Asante sana kwa swali lako. Ndio, mtindo wangu wa uchezaji, kama wengi wanavyojua sasa ni mtindo wa kiwango cha juu wa nguvu ambapo hatutaki kuwapa wapinzani nafasi au muda, kama ulivyosema. Ni vizuri pia kuona kwamba wachezaji wanajifunza na wanaamini katika mtindo huu wa uchezaji. Wanajitahidi mazoezini, umeshacheza mechi nne za ligi vizuri. Kwa ujumla, tuko kwenye njia sahihi lakini kesho ni mechi mpya tena, yenye changamoto tofauti" Sead Ramovic akijibu swali la mwandishi wa habari. #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1 a adăugat un fișier
    2025-01-03 17:44:45 ·
    Haha
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·388 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-03 18:57:03 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·113 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-03 18:57:15 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·108 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-03 18:57:43 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·108 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 added 3 fotografii
    2025-01-03 18:58:23 ·
    "Comenti" nzuri kwa Rose Ndauka kutoka kwa Wema Sepetu, Lucy Komba na Wakazi.
    "Comenti" nzuri kwa Rose Ndauka kutoka kwa Wema Sepetu, Lucy Komba na Wakazi.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·158 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-03 18:59:59 ·
    Kylian Mbappé anasema hakutakiwa kukosa kushinda Ballon d'Or 2018.

    Mshambuliaji huyu wa Ufaransa anadai kuwa alikosa kushinda Tuzo ya Ballon d'Or 2023 kwa sababu ya mkwaju ya penati aliyoshindwa dhidi ya Timu ya Taifa ya Argentina kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2022. Anahakikisha kwamba anaweza kushinda Ballon d'Or 2025 ikiwa atang'ara akiwa akiwa na Uzi wa klabu ya Real Madrid.

    Kylian Mbappé anasema hakutakiwa kukosa kushinda Ballon d'Or 2018. Mshambuliaji huyu wa Ufaransa anadai kuwa alikosa kushinda Tuzo ya Ballon d'Or 2023 kwa sababu ya mkwaju ya penati aliyoshindwa dhidi ya Timu ya Taifa ya Argentina kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2022. Anahakikisha kwamba anaweza kushinda Ballon d'Or 2025 ikiwa atang'ara akiwa akiwa na Uzi wa klabu ya Real Madrid.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·216 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (20331-20340 de 26439)
  • «
  • Anterior
  • 2032
  • 2033
  • 2034
  • 2035
  • 2036
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers