• #
    #
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·341 Ansichten
  • ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )
    #neliudcosiah
    ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Like
    Love
    Haha
    5
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·301 Ansichten ·124
  • Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·433 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·141 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·119 Ansichten
  • Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )

    FT: Yanga 3-1 TP Mazembe

    Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) FT: Yanga 3-1 TP Mazembe
    0 Kommentare ·0 Anteile ·997 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·109 Ansichten
  • HIVI NDIVYO UNAVYOMSAMEHE ALIYEKUUGUA MOYO.

    Unawasamehe kwa kujipa muda wa kupona. Hii haifanyiki mara moja. Hii haifanyiki mara moja. Ni mwendelezo wa polepole. Unapiga hatua mbili mbele na hatua nne nyuma. Wakati mwingine haitakuwa na maana. Lakini unakua na nguvu kidogo, na ustahimilivu zaidi, kila siku. Hata kama hauoni kila wakati.

    Unawasamehe kwa kuzingatia wewe mwenyewe. Acha kumwaga nishati yako kwenye sumu. Unachomoa. Unaacha kufuata. Fanya mazoezi ya kujitunza. Soma tena vitabu unavyovipenda na utoke pamoja na marafiki zako bora, mkicheka na kukumbuka jinsi mambo yanavyoweza kuwa mazuri wakati unajizunguka kwa chanya. Uambie moyo wako uliovunjika ni sawa kuchukua pumziko ili kukumbuka jinsi ya kutabasamu tena.
    Unawasamehe kwa kujiondoa kwenye hali hiyo. Kadiri unavyokaa ndani yake, katika maumivu ya moyo, ndivyo inavyozidi. Ni ngumu, lakini lazima uiache peke yako. Heshimu hisia zako. Heshimu hisia zako. Lakini usiendelee kuzunguka nyuma. Usiendelee kuhangaikia kilichotokea. Wazia kama puto. Wacha ielee. Mwambie kwaheri. Haiwezi kukuumiza sasa.
    Unawasamehe kwa kukubali walichofanya. Hiyo haimaanishi kuwa maumivu yamefutwa. Hiyo haimaanishi kuwa ghafla unafikiri ni sawa au umewaacha waachane na ndoano. Haimaanishi kwamba hawawajibiki kwa matendo yao au kwamba umesahau kilichotokea. Inamaanisha tu kukubali kile kilichofanywa kimefanywa. Inamaanisha kukubali kuwa hakuna kitufe cha kurejesha nyuma. Unaweza tu kusonga mbele.
    Unawasamehe kwa kurejesha maisha yako. Kwa sababu kuna mengi zaidi ya mtu mmoja tu ambaye alivunja moyo wako.

    ✍Sifa kwa Mwandishi halali
    👩🏻‍🎨Pinterest
    HIVI NDIVYO UNAVYOMSAMEHE ALIYEKUUGUA MOYO. Unawasamehe kwa kujipa muda wa kupona. Hii haifanyiki mara moja. Hii haifanyiki mara moja. Ni mwendelezo wa polepole. Unapiga hatua mbili mbele na hatua nne nyuma. Wakati mwingine haitakuwa na maana. Lakini unakua na nguvu kidogo, na ustahimilivu zaidi, kila siku. Hata kama hauoni kila wakati. Unawasamehe kwa kuzingatia wewe mwenyewe. Acha kumwaga nishati yako kwenye sumu. Unachomoa. Unaacha kufuata. Fanya mazoezi ya kujitunza. Soma tena vitabu unavyovipenda na utoke pamoja na marafiki zako bora, mkicheka na kukumbuka jinsi mambo yanavyoweza kuwa mazuri wakati unajizunguka kwa chanya. Uambie moyo wako uliovunjika ni sawa kuchukua pumziko ili kukumbuka jinsi ya kutabasamu tena. Unawasamehe kwa kujiondoa kwenye hali hiyo. Kadiri unavyokaa ndani yake, katika maumivu ya moyo, ndivyo inavyozidi. Ni ngumu, lakini lazima uiache peke yako. Heshimu hisia zako. Heshimu hisia zako. Lakini usiendelee kuzunguka nyuma. Usiendelee kuhangaikia kilichotokea. Wazia kama puto. Wacha ielee. Mwambie kwaheri. Haiwezi kukuumiza sasa. Unawasamehe kwa kukubali walichofanya. Hiyo haimaanishi kuwa maumivu yamefutwa. Hiyo haimaanishi kuwa ghafla unafikiri ni sawa au umewaacha waachane na ndoano. Haimaanishi kwamba hawawajibiki kwa matendo yao au kwamba umesahau kilichotokea. Inamaanisha tu kukubali kile kilichofanywa kimefanywa. Inamaanisha kukubali kuwa hakuna kitufe cha kurejesha nyuma. Unaweza tu kusonga mbele. Unawasamehe kwa kurejesha maisha yako. Kwa sababu kuna mengi zaidi ya mtu mmoja tu ambaye alivunja moyo wako. ✍Sifa kwa Mwandishi halali 👩🏻‍🎨Pinterest
    Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·904 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·252 Ansichten