Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Faustine Ngonyani @Faustine7 was live
    2025-01-20 23:57:55 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·263 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Adam Shangwe @Abdul34 updated the profile picture
    2025-01-21 03:53:17 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·219 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • ANOLD NGONYA @Noldy ha aggiunto una foto
    2025-01-21 04:44:33 ·
    Weka hela hapo Paripesa
    Weka hela hapo Paripesa
    Love
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·300 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Steve Clement @Stev ha aggiunto una foto
    2025-01-21 04:50:48 ·
    #Hamieni LEON bet hamtaki #

    #Photographchallenge#
    #Hamieni LEON bet hamtaki # 😄😄😄 #Photographchallenge#
    1 Commenti ·0 condivisioni ·846 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Binary Milanzi @Bmovies25 updated the profile picture
    2025-01-21 04:54:12 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·298 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Rama Ally @Ramadeel updated the profile picture
    2025-01-21 05:03:01 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·239 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-21 05:24:26 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·93 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-21 05:36:12 ·
    "Mimi sasa hivi nimetimiza miaka 35, suala la kupata mtoto nimelikatia tamaa kwasababu nimesubiri mtoto kwa hamu nikiwa binti nimekosa sasa itakuwa vipi kwenye umri huu wa kuelekea uzeeni? Nimejikatia tamaa hata Mungu akinipa mtoto sasa hivi nitampokea lakini aaah!! sasa nitamlea vipi mtoto nitakayempata katika umri huu jamani"

    "Mungu tu alinipangia niishi hivi na silaumu kwasababu huenda ningepata mtoto ningepata shida ndio maana kaamua kuniacha hivihivi. Na huyo mtoto ningempata angependwa mpaka achanganyikiwe, lakini Alhamdulillah nashukuru kwa yote nalea watoto wa dada zangu ba ndugu zangu wengine maana hao ni wangu pia"- Wema Sepetu, Mwigizaji wa filamu Tanzania.

    "Mimi sasa hivi nimetimiza miaka 35, suala la kupata mtoto nimelikatia tamaa kwasababu nimesubiri mtoto kwa hamu nikiwa binti nimekosa sasa itakuwa vipi kwenye umri huu wa kuelekea uzeeni? Nimejikatia tamaa hata Mungu akinipa mtoto sasa hivi nitampokea lakini aaah!! sasa nitamlea vipi mtoto nitakayempata katika umri huu jamani" "Mungu tu alinipangia niishi hivi na silaumu kwasababu huenda ningepata mtoto ningepata shida ndio maana kaamua kuniacha hivihivi. Na huyo mtoto ningempata angependwa mpaka achanganyikiwe, lakini Alhamdulillah nashukuru kwa yote nalea watoto wa dada zangu ba ndugu zangu wengine maana hao ni wangu pia"- Wema Sepetu, Mwigizaji wa filamu Tanzania.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·441 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-21 05:37:29 ·
    Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon aliyewahi kucheza klabu ya FC Barcelona ya Hispania Samuel Eto’o (43) akiwa na Klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi, aliweka rekodi ya Mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa Duniani kati ya mwaka 2011 na 2013.

    Eto’o alikuwa akilipwa pauni 365,000 kwa wiki ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.1 za Kitanzania na alipewa Ndege binafsi (Private Jet) ambayo aliweza kusafiri kila siku kutoka Makhachkala kwenda Moscow ambapo ni umbali wa (1,910 KM) kwa mujibu wa Mkataba wake.

    Samuel Eto’o hadi anaachana na Klabu hiyo, alikuwa kacheza jumla ya mechi (73), kafunga mabao (36), Pasi saidizi (assist) 16. Cha kushangaza zaidi kwa sasa Klabu hiyo haipo kabisa imefilisika na Juni 2022 ilipoteza rasmi leseni ya Klabu baada ya kupitia matatizo ya kifedha na kushindwa kucheza mchezo wowote.

    Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon aliyewahi kucheza klabu ya FC Barcelona ya Hispania Samuel Eto’o (43) akiwa na Klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi, aliweka rekodi ya Mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa Duniani kati ya mwaka 2011 na 2013. Eto’o alikuwa akilipwa pauni 365,000 kwa wiki ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.1 za Kitanzania na alipewa Ndege binafsi (Private Jet) ambayo aliweza kusafiri kila siku kutoka Makhachkala kwenda Moscow ambapo ni umbali wa (1,910 KM) kwa mujibu wa Mkataba wake. Samuel Eto’o hadi anaachana na Klabu hiyo, alikuwa kacheza jumla ya mechi (73), kafunga mabao (36), Pasi saidizi (assist) 16. Cha kushangaza zaidi kwa sasa Klabu hiyo haipo kabisa imefilisika na Juni 2022 ilipoteza rasmi leseni ya Klabu baada ya kupitia matatizo ya kifedha na kushindwa kucheza mchezo wowote.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·552 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-01-21 05:38:16 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·145 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (21431-21440 di 25723)
  • «
  • Prec.
  • 2142
  • 2143
  • 2144
  • 2145
  • 2146
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers