Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Faustine Ngonyani @Faustine7 was live
    2025-01-20 23:57:55 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·263 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Adam Shangwe @Abdul34 обновить изображение профиля
    2025-01-21 03:53:17 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·219 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • ANOLD NGONYA @Noldy добавлены фото
    2025-01-21 04:44:33 ·
    Weka hela hapo Paripesa
    Weka hela hapo Paripesa
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·300 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Steve Clement @Stev добавлены фото
    2025-01-21 04:50:48 ·
    #Hamieni LEON bet hamtaki #

    #Photographchallenge#
    #Hamieni LEON bet hamtaki # 😄😄😄 #Photographchallenge#
    1 Комментарии ·0 Поделились ·846 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Binary Milanzi @Bmovies25 обновить изображение профиля
    2025-01-21 04:54:12 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·298 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Rama Ally @Ramadeel обновить изображение профиля
    2025-01-21 05:03:01 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·239 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-21 05:24:26 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·93 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-21 05:36:12 ·
    "Mimi sasa hivi nimetimiza miaka 35, suala la kupata mtoto nimelikatia tamaa kwasababu nimesubiri mtoto kwa hamu nikiwa binti nimekosa sasa itakuwa vipi kwenye umri huu wa kuelekea uzeeni? Nimejikatia tamaa hata Mungu akinipa mtoto sasa hivi nitampokea lakini aaah!! sasa nitamlea vipi mtoto nitakayempata katika umri huu jamani"

    "Mungu tu alinipangia niishi hivi na silaumu kwasababu huenda ningepata mtoto ningepata shida ndio maana kaamua kuniacha hivihivi. Na huyo mtoto ningempata angependwa mpaka achanganyikiwe, lakini Alhamdulillah nashukuru kwa yote nalea watoto wa dada zangu ba ndugu zangu wengine maana hao ni wangu pia"- Wema Sepetu, Mwigizaji wa filamu Tanzania.

    "Mimi sasa hivi nimetimiza miaka 35, suala la kupata mtoto nimelikatia tamaa kwasababu nimesubiri mtoto kwa hamu nikiwa binti nimekosa sasa itakuwa vipi kwenye umri huu wa kuelekea uzeeni? Nimejikatia tamaa hata Mungu akinipa mtoto sasa hivi nitampokea lakini aaah!! sasa nitamlea vipi mtoto nitakayempata katika umri huu jamani" "Mungu tu alinipangia niishi hivi na silaumu kwasababu huenda ningepata mtoto ningepata shida ndio maana kaamua kuniacha hivihivi. Na huyo mtoto ningempata angependwa mpaka achanganyikiwe, lakini Alhamdulillah nashukuru kwa yote nalea watoto wa dada zangu ba ndugu zangu wengine maana hao ni wangu pia"- Wema Sepetu, Mwigizaji wa filamu Tanzania.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·441 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 добавлены фото
    2025-01-21 05:37:29 ·
    Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon aliyewahi kucheza klabu ya FC Barcelona ya Hispania Samuel Eto’o (43) akiwa na Klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi, aliweka rekodi ya Mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa Duniani kati ya mwaka 2011 na 2013.

    Eto’o alikuwa akilipwa pauni 365,000 kwa wiki ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.1 za Kitanzania na alipewa Ndege binafsi (Private Jet) ambayo aliweza kusafiri kila siku kutoka Makhachkala kwenda Moscow ambapo ni umbali wa (1,910 KM) kwa mujibu wa Mkataba wake.

    Samuel Eto’o hadi anaachana na Klabu hiyo, alikuwa kacheza jumla ya mechi (73), kafunga mabao (36), Pasi saidizi (assist) 16. Cha kushangaza zaidi kwa sasa Klabu hiyo haipo kabisa imefilisika na Juni 2022 ilipoteza rasmi leseni ya Klabu baada ya kupitia matatizo ya kifedha na kushindwa kucheza mchezo wowote.

    Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Cameroon aliyewahi kucheza klabu ya FC Barcelona ya Hispania Samuel Eto’o (43) akiwa na Klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi, aliweka rekodi ya Mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa Duniani kati ya mwaka 2011 na 2013. Eto’o alikuwa akilipwa pauni 365,000 kwa wiki ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.1 za Kitanzania na alipewa Ndege binafsi (Private Jet) ambayo aliweza kusafiri kila siku kutoka Makhachkala kwenda Moscow ambapo ni umbali wa (1,910 KM) kwa mujibu wa Mkataba wake. Samuel Eto’o hadi anaachana na Klabu hiyo, alikuwa kacheza jumla ya mechi (73), kafunga mabao (36), Pasi saidizi (assist) 16. Cha kushangaza zaidi kwa sasa Klabu hiyo haipo kabisa imefilisika na Juni 2022 ilipoteza rasmi leseni ya Klabu baada ya kupitia matatizo ya kifedha na kushindwa kucheza mchezo wowote.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·552 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-01-21 05:38:16 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·145 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (21431-21440 из 25723)
  • «
  • Назад
  • 2142
  • 2143
  • 2144
  • 2145
  • 2146
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики