نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 09:52:32 ·
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana.

    | @errymars_

    #ManaraTV
    #manaratvupdates
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana. ✍️| @errymars_ #ManaraTV #manaratvupdates
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 09:53:15 ·
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga👐
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·520 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 09:53:56 ·
    Man United na matumizi mabaya ya Hela
    Man United na matumizi mabaya ya Hela😂
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·188 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 09:54:45 ·
    Kuna watu wanainjoi sana
    Kuna watu wanainjoi sana😂
    Haha
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·202 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 09:55:25 ·
    Ayaaaaa
    Ayaaaaa😂
    Haha
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·199 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 10:00:50 ·
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania

    Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza

    Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 10:01:37 ·
    Hela anazo sasa
    Hela anazo sasa😂
    Haha
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·190 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 10:02:17 ·
    Huyu Ronaldo huyu daah
    Huyu Ronaldo huyu daah👐👐
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·190 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 10:03:06 ·
    Bayern Munich na ufalme wa Bundesliga
    Bayern Munich na ufalme wa Bundesliga🔥
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·191 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John @Jumae أضاف صورة
    2025-01-27 10:03:57 ·
    Novatus Dismas
    Novatus Dismas
    Love
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·190 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (22001-22010 من 32390)
  • «
  • السابق
  • 2199
  • 2200
  • 2201
  • 2202
  • 2203
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين