• Kumekucha
    Kumekucha 馃槀
    Haha
    1
    1 Reacties 0 aandelen 178 Views
  • Ronaldo
    Ronaldo 馃憪
    Love
    1
    1 Reacties 0 aandelen 177 Views
  • Semaji
    Semaji馃槀
    Haha
    1
    1 Reacties 0 aandelen 176 Views
  • Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan
    Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan
    Love
    1
    1 Reacties 0 aandelen 179 Views
  • Sema VAR inaboa
    Sema VAR inaboa馃槶
    Haha
    1
    1 Reacties 0 aandelen 176 Views
  • Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana.

    | @errymars_

    #ManaraTV
    #manaratvupdates
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana. 鉁嶏笍| @errymars_ #ManaraTV #manaratvupdates
    Love
    1
    1 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Kutoka Kwa Gharib Mzinga
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga馃憪
    Love
    1
    1 Reacties 0 aandelen 458 Views
  • Man United na matumizi mabaya ya Hela
    Man United na matumizi mabaya ya Hela馃槀
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 180 Views
  • Kuna watu wanainjoi sana
    Kuna watu wanainjoi sana馃槀
    Haha
    1
    1 Reacties 0 aandelen 194 Views
  • Ayaaaaa
    Ayaaaaa馃槀
    Haha
    1
    1 Reacties 0 aandelen 191 Views