Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 09:52:32 ·
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana.

    | @errymars_

    #ManaraTV
    #manaratvupdates
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana. ✍️| @errymars_ #ManaraTV #manaratvupdates
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 09:53:15 ·
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga👐
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·520 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 09:53:56 ·
    Man United na matumizi mabaya ya Hela
    Man United na matumizi mabaya ya Hela😂
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·188 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 09:54:45 ·
    Kuna watu wanainjoi sana
    Kuna watu wanainjoi sana😂
    Haha
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·202 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 09:55:25 ·
    Ayaaaaa
    Ayaaaaa😂
    Haha
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·199 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 10:00:50 ·
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania

    Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza

    Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 10:01:37 ·
    Hela anazo sasa
    Hela anazo sasa😂
    Haha
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·190 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 10:02:17 ·
    Huyu Ronaldo huyu daah
    Huyu Ronaldo huyu daah👐👐
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·190 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 10:03:06 ·
    Bayern Munich na ufalme wa Bundesliga
    Bayern Munich na ufalme wa Bundesliga🔥
    Like
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·191 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin John @Jumae добавлены фото
    2025-01-27 10:03:57 ·
    Novatus Dismas
    Novatus Dismas
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·190 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (22001-22010 из 32390)
  • «
  • Назад
  • 2199
  • 2200
  • 2201
  • 2202
  • 2203
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики