Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 09:52:32 路
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu.

    Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo.

    Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup).

    Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana.

    | @errymars_

    #ManaraTV
    #manaratvupdates
    Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Boniface, anayeichezea Bayer Leverkusen ya Ujerumani, ameachana na mpenzi wake, Rikke Hermine, raia wa Norway. Wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne, lakini wameamua kuvunja uhusiano wao kutokana na kugundua kuwa Victor kwenye mali zake ameandika majina ya mama yake tu. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa uamuzi wa Rikke kuachana na Victor ulitokana na kugundua kuwa katika mali zote za mshambuliaji huyo, majina ya mama yake mzazi pekee ndiyo yaliyoandikwa. Hali hii ilimfanya Rikke kuhisi kuwa hakuwa na nafasi ya kutosha katika maisha ya Victor, jambo lililomfanya kuchukua hatua hiyo. Aidha, inadaiwa kuwa Rikke alikuwa akishinikiza kufunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa muda mrefu, huku Victor akiwa tayari kufunga naye ndoa lakini kwa sharti la kusaini mkataba wa awali (prenup). Prenup ni Mkataba wa awali kabla ya kufunga ndoa ambao unalenga kulinda mali za pande zote mbili endapo itatokea mkaachana kila mmoja anabaki na alichokuja nacho katika ndoa na sio kugawana mali, ila bibie Rikkie amekuwa mgumu kukubali hilo hivyo kuachana. 鉁嶏笍| @errymars_ #ManaraTV #manaratvupdates
    Love
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路1K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 09:53:15 路
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga
    Kutoka Kwa Gharib Mzinga馃憪
    Love
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路520 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 09:53:56 路
    Man United na matumizi mabaya ya Hela
    Man United na matumizi mabaya ya Hela馃槀
    Like
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路188 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 09:54:45 路
    Kuna watu wanainjoi sana
    Kuna watu wanainjoi sana馃槀
    Haha
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路202 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 09:55:25 路
    Ayaaaaa
    Ayaaaaa馃槀
    Haha
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路199 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 10:00:50 路
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania

    Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza

    Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Love
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路1K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 10:01:37 路
    Hela anazo sasa
    Hela anazo sasa馃槀
    Haha
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路190 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 10:02:17 路
    Huyu Ronaldo huyu daah
    Huyu Ronaldo huyu daah馃憪馃憪
    Like
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路190 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 10:03:06 路
    Bayern Munich na ufalme wa Bundesliga
    Bayern Munich na ufalme wa Bundesliga馃敟
    Like
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路191 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin John @Jumae ha aggiunto una foto
    2025-01-27 10:03:57 路
    Novatus Dismas
    Novatus Dismas
    Love
    1
    路 1 Commenti 路0 condivisioni 路190 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (22001-22010 di 32390)
  • «
  • Prec.
  • 2199
  • 2200
  • 2201
  • 2202
  • 2203
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano pi霉 adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers