• 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·194 Views
  • My or genuine thought is to wear those high heels
    My or genuine thought is to wear those high heels 👠
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·299 Views
  • 😔😔👈👈👈
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·251 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·233 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·196 Views
  • Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·258 Views
  • Like
    Love
    Haha
    3
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·254 Views
  • Like
    Love
    Wow
    4
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·263 Views
  • #PART1

    Kuna gereza, na kuna Guantanamo Bay.

    Hili si gereza la kawaida. Ni shimo la mateso, mahali ambapo sheria za haki za binadamu zinaonekana kama hadithi za kufikirika.

    Lipo Cuba, lakini linamilikiwa na Marekani.

    Wanasema gereza ni sehemu ya kutumikia adhabu, lakini Guantanamo ni sehemu ambapo unatakiwa kusahau kama ulikuwa binadamu.

    Kama umewekwa hapa, ni ishara kwamba dunia imeshakusahau.
    Na hata kama hauna hatia, hutaweza kuthibitisha chochote.

    Marekani ni taifa la haki, Ndio! angalau kwenye makaratasi.
    Lakini hata Wamarekani wenyewe walikuwa hawapendi Guantanamo.

    Kila mwaka, wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wakiandamana, wakitaka gereza hilo lifungwe.

    Ilipofika mwaka 2008, Barack Obama alipoingia kwenye kinyang'anyiro cha urais, akaahidi jambo moja kubwa.

    "Nikichaguliwa kuwa Rais, gereza la Guantanamo litafungwa mara moja!"

    Ilionekana kama ahadi ya kweli.

    Wamarekani wakashangilia, wakaamini kwamba hatimaye heshima ya taifa lao itarudi.
    #PART1 Kuna gereza, na kuna Guantanamo Bay. Hili si gereza la kawaida. Ni shimo la mateso, mahali ambapo sheria za haki za binadamu zinaonekana kama hadithi za kufikirika. Lipo Cuba, lakini linamilikiwa na Marekani. Wanasema gereza ni sehemu ya kutumikia adhabu, lakini Guantanamo ni sehemu ambapo unatakiwa kusahau kama ulikuwa binadamu. Kama umewekwa hapa, ni ishara kwamba dunia imeshakusahau. Na hata kama hauna hatia, hutaweza kuthibitisha chochote. Marekani ni taifa la haki, Ndio! angalau kwenye makaratasi. Lakini hata Wamarekani wenyewe walikuwa hawapendi Guantanamo. Kila mwaka, wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wakiandamana, wakitaka gereza hilo lifungwe. Ilipofika mwaka 2008, Barack Obama alipoingia kwenye kinyang'anyiro cha urais, akaahidi jambo moja kubwa. "Nikichaguliwa kuwa Rais, gereza la Guantanamo litafungwa mara moja!" Ilionekana kama ahadi ya kweli. Wamarekani wakashangilia, wakaamini kwamba hatimaye heshima ya taifa lao itarudi.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·797 Views
  • #PART2

    Na kweli, wakampigia kura, Obama akaingia madarakani.

    Mwaka wa kwanza ukapita.
    Mwaka wa pili ukapita.
    Mwaka wa tatu ukapita.

    Gereza bado liko palepale.

    Kila alipoulizwa juu ya ahadi yake, alitoa majibu yasiyoeleweka.

    Ndani ya miaka yake minane madarakani, Guantanamo Bay liliendelea kuwepo.

    Ndipo Wamarekani wakagundua kitu.
    Hata Rais hana nguvu juu ya gereza hili.

    Wakati Trump akaingia madarakani, yeye hakutumia Guantanamo kama njia ya kuombea kura.

    Hakusema atalifunga.
    Hakusema atalifungua.

    Lakini alipoingia, akatoa amri ya kuhamisha wafungwa zaidi ya 30,000.

    Lengo lake lilikuwa moja tu.

    "Tuhakikishe gereza linajaa wale ambao kweli wanastahili kuwepo humo."
    #PART2 Na kweli, wakampigia kura, Obama akaingia madarakani. Mwaka wa kwanza ukapita. Mwaka wa pili ukapita. Mwaka wa tatu ukapita. Gereza bado liko palepale. Kila alipoulizwa juu ya ahadi yake, alitoa majibu yasiyoeleweka. Ndani ya miaka yake minane madarakani, Guantanamo Bay liliendelea kuwepo. Ndipo Wamarekani wakagundua kitu. Hata Rais hana nguvu juu ya gereza hili. Wakati Trump akaingia madarakani, yeye hakutumia Guantanamo kama njia ya kuombea kura. Hakusema atalifunga. Hakusema atalifungua. Lakini alipoingia, akatoa amri ya kuhamisha wafungwa zaidi ya 30,000. Lengo lake lilikuwa moja tu. "Tuhakikishe gereza linajaa wale ambao kweli wanastahili kuwepo humo."
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·659 Views