• #PART4

    Lakini cha kushangaza, wanaume wengi hawafanyi hivi.

    Kwa nini?

    Kwa sababu mwanaume hapendi kuonekana amefeli.

    Dogo akimuuliza baba yake, "Kwanini ulimuacha mama?" baba atapata kigugumizi.

    Hakuna mwanaume anayependa aonekane alishindwa kufanya kitu sahihi.

    Ndiyo maana wanaume wengi husema mambo mazuri kuhusu mama wa mtoto wao, hata kama waliachana kwa mabaya.

    Lakini wanawake wengi hawawezi kufanya hivyo. Wengi hujaza chuki kwa mtoto. Wanaangalia maisha yao kwa sasa, wanasahau mtoto atakua na atagundua ukweli wenyewe.

    50 Cent ni role model wa wanaume wengi kwa sababu moja kubwa, anajua dunia ilivyo.

    Ndiyo maana hata Chris Brown, kabla ya kuingia kwenye ndoa, alikwenda kwa 50 Cent kumuuliza ushauri.

    50 Cent alimwambia USITHUBUTU!
    #PART4 Lakini cha kushangaza, wanaume wengi hawafanyi hivi. Kwa nini? Kwa sababu mwanaume hapendi kuonekana amefeli. Dogo akimuuliza baba yake, "Kwanini ulimuacha mama?" baba atapata kigugumizi. Hakuna mwanaume anayependa aonekane alishindwa kufanya kitu sahihi. Ndiyo maana wanaume wengi husema mambo mazuri kuhusu mama wa mtoto wao, hata kama waliachana kwa mabaya. Lakini wanawake wengi hawawezi kufanya hivyo. Wengi hujaza chuki kwa mtoto. Wanaangalia maisha yao kwa sasa, wanasahau mtoto atakua na atagundua ukweli wenyewe. 50 Cent ni role model wa wanaume wengi kwa sababu moja kubwa, anajua dunia ilivyo. Ndiyo maana hata Chris Brown, kabla ya kuingia kwenye ndoa, alikwenda kwa 50 Cent kumuuliza ushauri. 50 Cent alimwambia USITHUBUTU!
    0 Commentaires ·0 Parts ·880 Vue
  • #PART5

    Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka."

    Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa.

    Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani.

    Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye.

    Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji.

    50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe.

    Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia.

    Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
    #PART5 Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka." Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa. Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani. Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye. Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji. 50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe. Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia. Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
    0 Commentaires ·0 Parts ·739 Vue
  • Like
    Love
    Yay
    5
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·303 Vue
  • MPANZU

    #paulswai
    MPANZU #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·741 Vue
  • #paulswai
    #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·596 Vue
  • 𝐌𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀


    #paulswai
    🦁 𝐌𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀 🦁 #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·599 Vue
  • ⚡️ FABRICE ⚡️

    #paulswai
    ⚡️ FABRICE ⚡️ #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·602 Vue
  • Mpinzani wa SimbaSC hatua ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB ni TMA FC.

    #paulswai
    Mpinzani wa SimbaSC hatua ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB ni TMA FC. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·873 Vue
  • HII KITAALAM INAITWAJE?

    #paulswai
    HII KITAALAM INAITWAJE? #paulswai
    Like
    Love
    Sad
    5
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·756 Vue ·10
  • See your life before
    See your life before
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·515 Vue