• WACHEZAJI 12 WA KIMATAIFA SIMBASC 2024/25
    1:Ayoub Lakred
    2:Mousa Camara
    3:Valentin Nouma
    4:Chamou Karaboue 🇨🇮
    5:Che Malone
    6:Augustine Okejepha
    7: Debora Fernandez
    8:Fabrice Ngoma
    9:Steven Mukwala
    10:Joshua Mutale
    11:Charles Ahoua 🇨🇮
    12:Lionel Ateba
    WACHEZAJI 12 WA KIMATAIFA SIMBASC 2024/25 1:Ayoub Lakred 🇲🇦 2:Mousa Camara 🇬🇳 3:Valentin Nouma 🇧🇫 4:Chamou Karaboue 🇨🇮 5:Che Malone 🇨🇲 6:Augustine Okejepha🇳🇬 7: Debora Fernandez 🇦🇴 8:Fabrice Ngoma 🇨🇩 9:Steven Mukwala 🇺🇬 10:Joshua Mutale 🇿🇲 11:Charles Ahoua 🇨🇮 12:Lionel Ateba 🇨🇲
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 192 Vue
  • WASHAMBULIAJI WA KATI SIMBA SC 2024/25

    Kibu Denis Prosper
    Valentino Mashaka
    Steven Dese Mukwala
    Lionel Christian Ateba
    WASHAMBULIAJI WA KATI SIMBA SC 2024/25 🇹🇿 Kibu Denis Prosper 🇹🇿 Valentino Mashaka 🇺🇬 Steven Dese Mukwala 🇨🇲 Lionel Christian Ateba
    0 Commentaires 0 Parts 145 Vue

  • Taarifa zinasema Manula anahitajika kurejea kambi ya Simbasc.

    Manula bado ni Mchezaji wa Simbasc akiwa na mkataba wa Mwaka mmoja umesalia.

    Hii ni baada ya mchezaji huyo kukosa timu ya kumnunua moja kwa moja kama klabu ilivyotoka hapo Awali licha ya Azam kumtaka kwa mkopo jambo ambalo Simba hakuwakukubaliana nalo.

    #paulswai
    Taarifa zinasema Manula anahitajika kurejea kambi ya Simbasc. 🔗 Manula bado ni Mchezaji wa Simbasc akiwa na mkataba wa Mwaka mmoja umesalia. Hii ni baada ya mchezaji huyo kukosa timu ya kumnunua moja kwa moja kama klabu ilivyotoka hapo Awali licha ya Azam kumtaka kwa mkopo jambo ambalo Simba hakuwakukubaliana nalo. #paulswai
    Like
    2
    1 Commentaires 0 Parts 255 Vue
  • Afisa mmoja wa Polisi Nchini Uganda amesema kuwa Mume wa Zari, Shakib Chams ana uwezo wa kisheria kumfungulia kesi Zari kutokana na changamoto wanazopitia katika ndoa yao. Hii imekuja baada ya Zari na Shakib kutofautiana kufuatia hatua ya Diamond kuhudhuria "birthday" ya Binti yake Latifa nyumbani kwa Zari Nchini Afrika Kusini .

    Siku kadhaa Zari alingia "live" mtandaoni na kudai kuwa Shakib ni msumbufu katika mahusiano yake na hakutoa mwaliko kwa diamond kuja nyumbani kwake huku amtishia kutengana na Shakib na kuweka wazi kuwa hana mchango wa maana katika mahusiano yao na hana anachohudumia familia yake.

    Hata hivyo, Shakib alikanusha madai kuwa anamtegemea Zari katika maisha yake na kuweka wazi kuwa mara ya mwisho zari kumpa shilingi ni wakati wa ziara yake Nchini Tanzania na alimpa dola 2000 baada ya kupata dili la dola 40,000.

    Afisa mmoja wa Polisi Nchini Uganda 🇺🇬 amesema kuwa Mume wa Zari, Shakib Chams ana uwezo wa kisheria kumfungulia kesi Zari kutokana na changamoto wanazopitia katika ndoa yao. Hii imekuja baada ya Zari na Shakib kutofautiana kufuatia hatua ya Diamond kuhudhuria "birthday" ya Binti yake Latifa nyumbani kwa Zari Nchini Afrika Kusini 🇿🇦. Siku kadhaa Zari alingia "live" mtandaoni na kudai kuwa Shakib ni msumbufu katika mahusiano yake na hakutoa mwaliko kwa diamond kuja nyumbani kwake huku amtishia kutengana na Shakib na kuweka wazi kuwa hana mchango wa maana katika mahusiano yao na hana anachohudumia familia yake. Hata hivyo, Shakib alikanusha madai kuwa anamtegemea Zari katika maisha yake na kuweka wazi kuwa mara ya mwisho zari kumpa shilingi ni wakati wa ziara yake Nchini Tanzania 🇹🇿 na alimpa dola 2000 baada ya kupata dili la dola 40,000.
    Like
    Love
    4
    1 Commentaires 0 Parts 364 Vue
  • ''Japokuwa mimi mwenyewe natamani kuolewa, ila katika kitu sitamani ni kuolewa mke wa pili. Mwenyezi Mungu aniepushie tu na hicho kikombe, halafu wanachong'ang'ania ni suna ya mtume, suna ziko ngapi mpaka iwe hii tu'' - Lulu Diva, Msanii wa muziki na filamu Tanzania.

    ''Japokuwa mimi mwenyewe natamani kuolewa, ila katika kitu sitamani ni kuolewa mke wa pili. Mwenyezi Mungu aniepushie tu na hicho kikombe, halafu wanachong'ang'ania ni suna ya mtume, suna ziko ngapi mpaka iwe hii tu'' - Lulu Diva, Msanii wa muziki na filamu Tanzania.
    Love
    Like
    5
    1 Commentaires 0 Parts 251 Vue
  • Love
    Like
    4
    1 Commentaires 0 Parts 318 Vue
  • Karibuni kwenye page yangu tupeane ushauri katika masuala ya biashara, uchumi na ujasiriamali
    @business hub tz
    Karibuni kwenye page yangu tupeane ushauri katika masuala ya biashara, uchumi na ujasiriamali @business hub tz
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 737 Vue
  • Love
    1
    0 Commentaires 0 Parts 189 Vue
  • Mwamba walusaka
    #daimambelenyumamwiko
    Mwamba walusaka #daimambelenyumamwiko
    Love
    2
    1 Commentaires 0 Parts 333 Vue
  • #england
    #england
    Love
    1
    0 Commentaires 0 Parts 545 Vue